shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,153
Nimekuwa nikitafakari sababu za kushindwa kwa Upinzani katika chaguzi mbalimbali hapa nchini na kujiuliza maswari haya yafuatayo
1.Kushindwa kwa upinzani ni kutokana na aina ya viongozi walionao?
2.Aina ya mfumo uliopo hautoi fursa sawa kwa wote
3.Je upinzani ufanye nini kuyatoa au kupunguza hayo mawili hapo juu.
4.Je Mwl.J.k.Nyerere angegombea Urais kwa tiketi ya upinzani katika mfumo huu tulionao sasa matokeo yangekuwaje?
Nawakilisha
1.Kushindwa kwa upinzani ni kutokana na aina ya viongozi walionao?
2.Aina ya mfumo uliopo hautoi fursa sawa kwa wote
3.Je upinzani ufanye nini kuyatoa au kupunguza hayo mawili hapo juu.
4.Je Mwl.J.k.Nyerere angegombea Urais kwa tiketi ya upinzani katika mfumo huu tulionao sasa matokeo yangekuwaje?
Nawakilisha