Nyerere and Nkrumah: Towards African Unity

kajembe

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
982
429
Nyerere and Nkrumah: Towards African Unity

From the Book written by Godfrey Mwakigile

Book title "Nyerere and Africa End of an Era"


THEY WERE some of the most influential African leaders in the twentieth century; probably the most influential. They also shared a vision of a united Africa under one continental government. But they differed on how to achieve this goal.

Kwame Nkrumah led the Gold Coast to become the first country in sub-Saharan Africa to win independence as Ghana on March 6, 1957. Four years and nine months later, Julius Nyerere led Tanganyika to become the first country in East Africa to win independence on December 9, 1961. Both countries won independence from Britain.

In May 1963, the Organization of African Unity (OAU) was founded in Addis Ababa, Ethiopia, by the African heads of state and government from 32 independent countries. The other 21, out of a total of 53 African countries, were still under colonial or white minority rule. The founding of the OAU was also marked by another event: publication of Kwame Nkrumah’s book, Africa Must Unite.1 The book was released around the same time African leaders met in Addis Ababa in May 1963.

It was a timely release of a book that said Africa Must Unite at the very same time that African leaders met to form the Organization of African Unity. Nkrumah thought the book was appropriate for the occasion, to capitalize on the momentum provided by the founding of the OAU towards achieving continental unity under one government.

Most of his colleagues thought otherwise. They saw it as an attempt by Nkrumah to dominate Africa and realize his ambition to become the president of a United States of Africa. Earlier in 1960 during the Congo crisis, his proposal for an African high command to defend Africa with a continental army and liberate the remaining colonies and other countries still under white minority rule - South Africa, South West Africa, and Rhodesia - had been equally rejected by other African leaders, except a few, who believed that Nkrumah would control and dominate the Pan-African force and use it to overthrow them.

In many fundamental respects, he was ahead of his time and most of his colleagues, but was later vindicated by history when Africa remained weak and powerless as a divided continent composed of non-viable independent states because they did not heed his call to unite under one government as he urged them to, back in 1963. If he were alive today, in his 90s, he would probably be tempted to say, “I told you so!”

While Nkrumah advocated immediate continental unification, Nyerere sought a regional approach as the more realistic way to eventually achieve continental unity under one government, and became the strongest proponent of an East African federation as a step towards achieving this goal. Because of his opposition to this approach which he called “balkanization on a grand scale,” and for other political reasons as Nyerere’s rival whom he felt posed a challenge to his leadership of the continent and would make history - before he did - as the first African leader to unite independent countries even if on a regional scale, Nkrumah intervened in East Africa to thwart attempts by Nyerere to form an East African federation. As he stated in Africa Must Unite:

“The idea of regional federations in Africa is fraught with many dangers. There is the danger of the development of regional loyalties, fighting against each other. In effect, regional federations are a form of balkanization on a grand scale.”2

Nyerere dismissed Nkrumah’s opposition to regional federations as “attempts to rationalize absurdity.” As he stated on the third anniversary of Tanganyika’s independence on December 9, 1963 - the three East African countries of Kenya, Uganda, and Tanganyika had agreed to form a federation before the end of that year but failed to do so - reiterating his call for an East African federation as an imperative need and as a step towards African unity:

“We must reject some of the pretensions that have been made from outside East Africa. We have already heard the curious argument that the continued ‘balkanisation’ of East Africa will somehow help African unity.... These are attempts to rationalize absurdity.”3

Nkrumah’s opposition to the East African federation, and his interference in East Africa in an attempt to thwart any efforts towards consummation of such a union, tarnished more than enhanced his image as a Pan-Africanist in the eyes of many people, and was seen as an attempt on his part to further his own political ambitions. It also vindicated the position of many African leaders who felt that Nkrumah wanted to undermine their governments and replace them with those subservient to him, while professing African unity to hide his real intentions. As Basil Davidson says about Nkrumah’s involvement in East Africa and his attempts to block formation of the East African federation, in his book, Black Star: A View of the Life and Times of Kwame Nkrumah:

“Some, like Julius Nyerere of Tanzania, chastised Nkrumah for his interference. East Africa, Nyerere believed, could best contribute to continental unity by moving first towards regional unity. Although knowing little about East Africa, Nkrumah not only disagreed but actively interfered to obstruct the East African federation proposed by Nyerere.... It was one of Nkrumah’s worst mistakes.”4

Although the three East African countries failed to form a federation in 1963, Nyerere never gave up and continued to advocate African unity at the regional level, as well as on a continental scale. He told Jomo Kenyatta, the least interested of the three East African leaders, that Tanzania would renounce her sovereignty right away if Kenya was ready to unite. And he reiterated that in different forums. As he stated on June 25, 1965, in an address to the International Press Club during his visit to London for the Commonwealth Conference: “We stand for unity in Africa. In particular we still urgently desire an East African Federation. If Mzee Kenyatta today says he is ready, then we will federate tomorrow.”5

And as Jaramogi Oginga Odinga, Kenya’s vice president under Kenyatta but who resigned to form the opposition Kenya People’s Union (KPU), states in his book Not Yet Uhuru:
“As late as 8 July 1965, Nyerere said that Tanzania was still ready for East African Federation no matter that outside influences had interfered in the hope of blocking its formation. He said ‘If we listen to foreign influence we should be made to quarrel with Kenya and Uganda, but this we will not do.’ He had already told President Kenyatta that if his country was ready to unite, Tanzania was also ready.”6

But, in spite of their differences on the East African federation and regional federations in general, Nyerere and Nkrumah continued to work closely because of their ideological affinity and the Pan-African vision they shared. They even corresponded on numerous occasions on a number of issues, including ways to achieve African unity, as Nyerere himself said in an interview with Ikaweba Bunting in December 1998 not long before he died, published in the New Internationalist, and cited earlier in this book.

They may have taken divergent paths - immediate continental unification for Nkrumah, and a gradualist approach for Nyerere - but were united in their passionate quest for one government for the whole continent.

Nyerere was not, on principle, opposed to immediate continental unification as advocated by Nkrumah, but felt that Nkrumah underestimated the suspicion and animosity such an approach generated among other African leaders - most did not trust him - and would not get the necessary support needed to achieve a continental union immediately; a point he underscored during the 40th anniversary of Ghana’s independence in March 1997 when he was invited to Accra by President Jerry Rawlings as one of the honoured guests to participate in the celebrations on that momentous occasion, as we will learn later on.

He also told his audience in Ghana that African leaders should have set up a special committee under the auspices of the Organization of Africa Unity (OAU) to work on ways to achieve continental unification in the same way the OAU Liberation Committee was created to coordinate the struggle for the liberation of the countries still under white minority rule on the continent.

It was Nyerere who first proposed and introduced a resolution at the OAU summit in Cairo in July 1964 to retain the colonial boundaries inherited at independence. The resolution was adopted by his colleagues and became one of the bedrock principles of the OAU, enshrined in the OAU Charter, maintaining territorial integrity of the new African nations and barring interference in the internal affairs of another state.

Unfortunately, other African leaders saw this as a way of maintaining their separate sovereignties and consolidating their independence without pursuing continental unity, something Nyerere never intended. He remained firm in his commitment to continental unification, a Pan-African goal and ideal he shared with Nkrumah more than any other African leader, besides Obote, Sekou Toure, Modibo Keita, and Kenneth Kaunda. As he stated in the interview with the New Internationalist:

“Kwame Nkrumah and I were committed to the idea of unity. African leaders did not take Kwame seriously. I did. I did not believe in these small little nations. Still today I do not believe in them. I tell our people to look at the European Union, at these people who ruled us who are now uniting.

Kwame and I met in 1963 and discussed African Unity. We differed on how to achieve a United States of Africa. But we both agreed on a United States of Africa as necessary. Kwame went to Lincoln University, a black college in the US. He perceived things from the perspective of US history, where 13 colonies that revolted against the British formed a union. That is what he thought the OAU should do.

I tried to get East Africa to unite before independence. When we failed in this, I was wary about Kwame’s continental approach. We corresponded profusely on this. Kwame said my idea of ‘regionalization’ was only balkanization on a larger scale. Later, African historians will have to study our correspondence on this issue of uniting Africa.”7

Nyerere and Nkrumah worked closely on other issues, especially the liberation of southern Africa. Together with Nasser, Ben Bella, Sekou Toure, and Modibo Keita, they even had their own group, known as the Group of Six, within the OAU and coordinated their efforts on a number of issues, such as the Congo crisis during which they were infuriated by Tshombe and his Western backers, and had little regard for other OAU members whom they felt were not doing enough to unite and liberate Africa. Kenya, for instance, did virtually nothing for the liberation struggle in southern Africa. And President Jomo Kenyatta hardly spoke about it - let alone contribute material and financial support to the freedom fighters - in spite of his status as the Grand Old Man of the African independence movement who inspired, though he did not lead, Mau Mau in Kenya.

He was just one of the leaders the Group of Six found to be useless in pursuit of Pan-African goals, especially the liberation of southern Africa and Congo from Western domination. As Ben Bella said about the Congo crisis, progressive forces had arrived too late in the Congo.8 He was equally blunt on the Group of Six in an interview in 1995 with Jorge Castaneda, who became Mexico’s minister of foreign affairs in the late 1990s. As Castaneda states in his book Companero: The Life and Death of Che Guevara: “According to Ben Bella, these leaders had a group of their own within the OAU; they regularly consulted and conspired among themselves.”9

Before he died in October 1999, at 77, Nyerere was one of only two surviving members of the Group of Six. The other one was Ben Bella who outlived Nyerere but lived in exile in Switzerland. He was overthrown in June 1965 and was imprisoned for 15 years. But he did not continue to have much influence like Nyerere who remained a revered international statesman even after stepping down from the presidency in November 1985.

The other members of the Group of Six who died before Nyerere were Nasser who died of a heart attack in Egypt in September 1970 at the age of 52; Nkrumah, of cancer, at a hospital in Romania in April 1972, when he was 62; Modibo Keita in Mali in May 1977, also at 62, when he was under house arrest since he was overthrown in November 1968 - mass demonstrations at his funeral against the government of President Moussa Traore (military-turned-civilian head of state) who overthrew him led to the invocation of emergency powers by the despotic regime; and Sekou Toure during an emergency heart operation in the United States in March 1984, also when he was 62. Nyerere remained on the scene as the most ardent supporter of African unity and the liberation movements on the continent.

And just as Nkrumah released his seminal work Africa Must Unite in 1963, Nyerere’s article on the same subject was published about two months before Nkrumah’s book was. The article was entitled, “A United States of Africa,” and was published in The Journal of Modern African Studies in March 1963, about two months before the African heads of state and government met in Addis Ababa, Ethiopia, and formed the Organization of African Unity (OAU) towards the end of May. In that article, Nyerere advocated continental unification but, unlike Nkrumah, took a regional approach as the most practical way to achieve this goal.10

The two leaders had a heated exchange on the subject the following year at the second summit of the OAU in Cairo in July 1964 - Malcolm X also addressed the conference and asked African leaders to raise the issue of racial discrimination and injustices in the United States at the UN - and Nyerere won majority support for his approach towards continental unification. As he put it: “When you set out to build a house, you don’t begin by putting on the roof; first you start by laying the foundations.”11

Nkrumah, on the other hand, contended that a regional approach towards continental unification would only benefit the enemies of Africa as they continued to exploit the weaknesses of a divided continent. It would also make it impossible for the whole continent to unite. And time was critical. Africa must unite now. The proposed East African federation would accomplish exactly the opposite.

And he probably underestimated Nyerere and did not expect a sharp response from him and saw him as his junior, given the age difference between the two, 13 years apart; and because of his status as the trail-blazer of the African independence movement, having led Ghana to become the first black African country to win independence in 1957. And as Professor Ali Mazrui stated in his lecture at the University of Ghana in 2002:

“Nkrumah pointed out that his own country could not very easily join an East African federation. This proved how discriminatory and divisive the whole of Nyerere’s strategy was for the African continent.

Nyerere treated Nkrumah’s counter-thesis with contempt. He asserted that to argue that Africa had better remain in small bits than form bigger entities was nothing but ‘an attempt to rationalize absurdity.’ He denounced Nkrumah’s attempt to deflate the East African federation movement as petty mischief-making arising from Nkrumah’s own sense of frustration in his own Pan-African ventures.

Nyerere was indignant. He went public with his attack on Nkrumah. He referred to people who pretended that they were in favour of African continental union when all they cared about was to ensure that ‘some stupid historian in the future’ praised them for being in favour of the big continental ambition before anyone else was willing to undertake it.

Nyerere added snide remarks about ‘the Redeemer,’ Nkrumah’s self-embraced title of the Osagyefo.

On balance, history has proved Nkrumah wrong on the question of Nyerere’s commitment to liberation. Nyerere was second to none in that commitment.

At that Cairo conference of 1964 Nkrumah had asked ‘What could be the result of entrusting the training of Freedom Fighters against imperialism into the hands of an imperialist agent?’ Nyerere had indeed answered ‘the good Osagyefo’ with sarcasm and counter-argument.”12

Despite their shared Pan-African vision, and genuine Pan-African commitment, there was rivalry between the two leaders, fuelled by their strong personalities and charisma as well as militancy. And their different approaches to African unity only intensified this rivalry, as did Nyerere’s increasing prominence on the African political scene Nkrumah saw as his exclusive domain and himself as the brightest black star in the African firmament:

“In reality Nkrumah and Nyerere had already begun to be rivals as symbols of African radicalism before the coup, which overthrew Nkrumah. Nkrumah was beginning to be suspicious of Nyerere in this regard. The two most important issues over which Nyerere and Nkrumah before 1966 might have been regarded as rivals for continental pre-eminence were the issues of African liberation and African unity.... The Organization of African Unity, when it came into being in May 1963, designated Dar es Salaam as the headquarters of liberation movements. The choice was partly determined by the proximity of Dar es Salaam to southern Africa as the last bastion of colonialism and white minority rule. But the choice was also determined by the emergence of Nyerere as an important and innovative figure in African politics.

Nkrumah’s Ghana did make the bid to be the headquarters of liberation movements but Nkrumah lost the battle....

The great voice of African self-reliance, and the most active African head of government in relation to liberation in Southern Africa from 1967 (after Nkrumah was overthrown in February 1966) until the 1980s was in fact Nyerere.... He became the toughest spokesman against the British on the Rhodesian question. His country played a crucial role at the OAU Ministerial meeting at which it was decided to issue that fatal ultimatum to Britain’s Prime Minister, Harold Wilson - ‘Break Ian Smith or Africa will break with you.’”13

While Nyerere will always be remembered as the most relentless supporter of the liberation movements in Africa among all the heads of state on the continent after Nkrumah was overthrown; Nkrumah will, on his part, be always acknowledged not only as the leader who blazed the trail for the African independence movement when he led the Gold Coast (renamed Ghana) to become the first country in black Africa to win freedom; he will also be always remembered for his bold initiatives, including his call for immediate continental unification, a Pan-African quest given eloquent and forceful expression in his seminal work, Africa Must Unite. As he stated from exile in Conakry, Guinea, on April 22, 1970, almost exactly two years before he died in April 1972:

“The wave of military coups, and the stepping up of imperialist and neocolonialist aggression in Africa since 1963, when Africa Must Unite was first published, have proved conclusively the urgent need for political unification. No single part of Africa can be safe, or free to develop fully and independently, while any part remains unliberated, or while Africa’s vast economic resources continue to be exploited by imperialist and neo-colonialist interests.

Unless Africa is politically united under an all-African Union Government, there can be no solution to our political and economic problems. The thesis of Africa Must Unite remains unassailable.”14

Nkrumah’s thesis that Africa Must Unite indeed remains unassailable. But why has Africa failed to unite? Africa has failed to unite because of nationalism more than anything else. Countries on the continent jealously guard their independence and don’t want to surrender their sovereign status to a higher authority for the sake of African unity. That Africa is still not united 40 years after the Organization of African Unity (OAU) was formed in 1963, also vindicates Nyerere’s position that immediate continental unification was not a realistic goal - more than just a tough proposition - and would have been rejected by most African leaders, as it indeed was, back in 1963 and through the decades.

But it also vindicates Nkrumah’s position that if African countries don’t unite now, they probably never will, but will only drift farther and and farther apart. Ironically, Nyerere shared the same position, in terms of divided loyalties as each country consolidated its independence and separate identity the longer it took to unite, even regionally, thus making it virtually impossible for them to form such a union.

That is one of the strongest arguments he made when he called for the establishment of the East African federation right away at independence or soon thereafter. But after the three countries - Kenya, Uganda, and Tanganyika - failed to unite, he no longer saw such an approach, immediate unification, as a practical proposition. The concrete blocks of nationalism built since independence had to be whittled away, and transcended, gradually in order to achieve continental unity. Otherwise Africa will never unite.

And it is an approach that has been accepted by most African leaders, thus vindicating Nyerere, and has been validated by experience even in contemporary times; as has been clearly demonstrated by the formation of such regional blocs as the Economic Community of West African States (ECOWAS); the Southern African Development Community (SADC); the East African Community (EAC); and the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA).

It is our hope that these regional bodies will one day merge to form a continental union under one government as advocated by Nkrumah and Nyerere; two African titans who remain an embodiment of Pan-African ideals cherished by millions across our beleaguered continent whose only salvation lies in unity.

Although dismissed as a Utopian ideal, Nkrumah’s quest for immediate continental unification had emotional and rhetorical appeal on this divided continent, especially among the young. And his Pan-African militancy resonated well across the continent. It inspired many people, especially in the euphoric sixties soon after independence and during the liberation struggle in southern Africa, to pursue higher goals that transcended parochial nationalism to affirm what Nkrumah called the African personality in a world where Africans are not accorded due respect.

Nelson Mandela was one of those who greatly admired Nkrumah, as he states in his autobiography, Long Walk to Freedom.15 So did Robert Mugabe and millions others across Africa and beyond.

Nkrumah remained a source of inspiration to Mandela, Mugabe and their compatriots during their years in prison, as much as Nyerere was, and through the liberation struggle in southern Africa. In fact, Mugabe even went to live and taught in Ghana during Nkrumah’s reign and got married to a Ghanaian, Sarah, who became Zimbabwe’s First Lady when Mugabe became president.

Nyerere also saw Nkrumah as an embodiment of Pan-African ideals he shared with him and strongly condemned those who overthrew him in February 1966. Tanzania never recognized the government that replaced Nkrumah. And Nkrumah himself paid tribute to Nyerere for his support and for his bitter condemnation of the Ghana coup, as he states in the book he wrote in exile in Conakry, Guinea, after he was overthrown, and appropriately entitled, Dark Days in Ghana.16

And both went down in history probably as the most revered statesmen Africa has ever produced, together with Nelson Mandela who was also a close friend of Nyerere. Tragically, they died before their goal of African unity was realized.

The quest for African unity is going to be the biggest challenge Africa faces in the twentieth-first century. Without unity, all talk of an African renaissance is no more than empty rhetoric. African countries are too weak to be viable entities. They just don’t make any sense. None.
 
0_0
...

Kwa hivyo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, kama ilivyo kwa Obama siku za karibuni—hawakuzungumzia Elimu, Elimu na Elimu… Bali walizungumza kwa minajili ya >ELIMU 1.0<…

Kwa hivyo, hebu tutumie ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ kubaini sura na muktadha kwa ususi wa nchi-taifa…

Mwalimu katika ‘Uhuru na Maendeleo’ alisema:

Yet there is more that one way in which the present-day African societies can reduce the dangers to themselves which come from the proliferation of nation states. While we work towards world unity, we can create unity in our continent. Or, if African Unity is still too big a step to take at once, then we can create greater African unity by unions, federations or mergers of the present nation states, so that the number of sovereign societies in Africa is reduced.
Na hapo hapo kuna njia moja ambayo jamii za leo za Kiafrika zinaweza kuzipunguza hatari za zenyewe kwa zenyewe ambavyo huja na kujijazia uhai wakimanchi-taifa. Wakati tukifanya kazi kuelekea umoja wa kidunia, tunaweza kuunda umoja katika bara letu. Au, ikiwa umoja wa Kiafrika bado ni hatua kubwa sana ya kupiga kwa mara moja, basi tunaweza kuunda umoja wa Kiafrika mkubwa zaidi kwa yuniani, mashirikisho na mamezano ya nchi-taifa zilizopo, hivyo kwamba idadi ya jamii sovereini katika Afrika ipunguzike.

These preliminary steps need not be day-dreaming. If we have courage and intelligence, they can become reality in the immediate future. And certainly, they are essential if the ordinary African citizen is ever really to overcome the poverty which at present grips him and if he is to increase his degree of personal safety. For this is, and must be, the purpose of greater unity in Africa as elsewhere. Not size for its own sake, but strength and power used to defend the real freedoms of the ordinary man and to help him progress in his freedom.

Hatua hizi za mwanzo mwanzo zisiwe ndoto-za-mchana. Ikiwa tunao ujasiri na ujuzi wa kuona sura nyingi za mambo kwa wakati mmoja, hizo zaweza kuja kuwa ni uhalisia katika mustakabali wa karibu sana. Na kwa hakika, hizo ni za umuhimu sana ikiwa raia wa kawaida wa Kiafrika ni mwenye kujinasibu kweli hasa na kuuvuka umaskini ambao leo hii umemshikilia pasi kufurukuta na ikiwa yeye ajekuongeza mapana ya usalama wake binafsi. Kwani hili ni, na yapaswa kuwa, dhumuni kuu zaidi katika Afrika kadiri ya kungineko kokote. Siyo kwa ajili ya ukubwa wake yenyewe, ila pumzi na nguvu itumikayo kulinda uhuru halisi wa mtu wa kawaida na kumsaidia yeye apige hatua katika uhuru wake.


Katika fikra hizi, ni dhahiri Mwalimu alikuwa anaunasibu Umma wa Waafrika na mabadiliko yanayokuja kwa >sura ya kike—yaani hatua kwa hatua< … Kama vile Obama alivyosadifu maudhui ya changamoto za leo na masuala yaliyotokana na fikra za waasisi wa taifa la Wamarekani, sisi pia hatuna budi kuyamulika maudhui na fikra za waasisi wetu wa taifa.

Hadi hapa na sasa, tunaona—tangia mwanzo kulikuwa na wazo kwamba lije kuwapo taifa moja moja lenye uhuru. Taifa hili si jingine bali lile la ‘Waafrika’. Mwanzo wa ‘mchicha’ huu wa Afrika, kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki, na Tanganyika -- kuwa mahsusi, ni harakati za kisiasa kupitia shughuli za vyama vya kisiasa kama TAA na baadaye TANU. Kama vile kule Amerika kumekuwako na vyama vikuu pinzani vya Republican na Democratics, ambavyo misingi, tofauti ya kimsimamo ni juu ya ‘tawala nchi’ na ‘stawi za jamii’; vyama vya kisiasa ni daraja kwa ‘machaguo ya kitaasisi’ yenye kukadirisha sura, mapana, ustawi na maendeleo ya jamii katika muktadha wa nchi-taifa.

Kiuono mifumo, falsafa za ‘Ujamhuri’ ni juu ya mipaka ya nchi-taifa na namna zote za watu wa mlengo wake, kitaasisi chama, kuona taifa lao kama ‘nguvu moja’ katika kujipambanua dhidi ya mataifa mengine kiuchumi, siasa na maendeleo. ‘Udemokrasia’ ni ‘mlengo wa kushoto’ kwa ujamhuri, kwa kuwa kiutaasisi chama, huu hujinasibu na watu, utamaduni na maendeleo isivyo ‘utaifa kwanza’ hasa. Ndivyo hivi kwa nini siasa za Obama zilikuja kupitia kwa chama cha ma-demokrati, na tena muendelezo za >‘sera za njia ya Tatu’< za Rais mtangulizi wa chama hicho hicho cha Demokrati—Bill Clinton(wa 42). Yeye Obama alipata nguvu ya umaarufu kutokana na kupinga siasa na sera za ki-Ujamhuri za George Bush (wa 43)…

Kwa Tanzania, nchi-taifa yetu ni matokeo ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo chama tawala kwa Tanganyika wakati wa uhuru kilikuwa ni TANU(Tanganyika African National Union—Yuniani ya Kitaifa Afrika ya Tanganyika); na kwa visiwani Zanzibar, ASP(Afro-Shirazi Party—Chama cha Washirazi Afrika); vyama hivi viwili vilikuja kuungana kuwa chama kimoja—Chama cha Mapinduzi, CCM, mnamo mwaka 1977 ili kukadirisha rasmi mwanzo mpya wa >Taifa lenye kujinasibu na Siasa za Ujamaa na Kujitegemea<.

Chama cha Mpinduzi, ni chama kilichoasisiwa na Mwalimu Nyerere na pamoja na waasisi wengine wa vyama vilivyotangulia na watendaji/watumishi wa serikali waliounga jitahada za jamii ya watu huru na yenye kushirikiana ili kutatua, kwa maneno na vitendo, adha za umaskini, maradhi na ujinga. Shabaha kuu ya kuanzishwa kwa chama hichi ni kuendeleza mapambano dhidi ya mifumo ya kinyonyaji na dhuluma miongoni mwa wanajamii wa serikali ya watu walio huru. Misingi ya chama hichi si tu inalandana na maudhui ya katiba iliyopo, Chama hichi ni chombo cha sauti na harakati za Wanamapinduzi wote—walioko ndani na nje ya nchi.

Kwa takribani miaka 60 sasa, Ujenzi wa taifa jipya la Kiafrika, imekuwa ni mapambano dhidi ya mifumo kandamizi kwa ustawi wa umma -- ni vita ya wazi wazi na hata chini chini kati kwa itikadi na mlengo juu ya ustawi wa watu na maendeleo yao wanaotambuliwa kama wakulima na wafanyakazi. Hata jitihada kwa kuunda na kuimarisha Jumuiya ya Afrika Mashariki ni sehemu ya muktadha wa kukabiliana za athari ya mifumo ya kibeberu ya uchumi duniani.

Tukitazama sura ya pilika na harakati za siasa kiduniani, mgongano wa kifikra za kisiasa ndani ya mataifa ya kibeberu, akina Bill Clinton, Tony Blair, Gerhard Schröder na wengine walikuja kuona na kung’amua umuhimu wa sera za njia ya tatu mnamo miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 lakini Chama cha Mapinduzi—kwa sura na namna ya utaasisi wake, msingi wa ‘njia ya tatu’ ilishategeshwa tangu kuasisiwa kwake.

Katika nchi zilizoendelea, na siku za leo, demokrasia yao imeleta somo la kuonesha hata namna gani ‘itikadi ya kisiasa’ ni ‘biashara’; na basi hata kwa kutumia umodelishi wa kihisabati, sera za njia ya tatu ‘zinauzika zaidi’ kuliko za tofauti na hapo hususani katika kipindi hichi chenye umma wenye muamuko. Lakini hili pia kwa wao limekuja kutokana na matunda ya ‘mema na mabaya’ ya fikra za >uliberali wa kileo na masoko<. Katika ligi za kimataifa, siasa ni ulingo wa ‘kupambanisha fikra za umma’ juu ya hatma za Maisha yao na kuratibu maoni kwa ajili ya hijimoni za kisiasa na utawala. Na hii imejaa ufundi na ujuzi kwa hadaa na michezo ya ‘siasa za utawala’ kwa gharama ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na makundi ya maslahi binafsi…

Chama cha Mapinduzi ni taasisi iliyoundwa kuinasibu nchi-taifa ya Tanzania na siasa za ujamaa na kujitegemea katika ulimwengu wa ubepari na unyonyaji. Katika hili, siyo kwamba magumu na changamoto havikuonwa ama kuonjwa hata na waasisi wa chama na serikali; ni kwa moyo mkuu, maono, Imani na tumaini chama hiki kimepewa majukumu na wajibu wa kulinda, na kutetea siasa za ujamaa na kujitegemea. Hata katika kipindi ambacho taifa letu limepitia >‘marekebisho ya kimuundo’<—miundo uchumi, kuratibiwa na vyombo vya jumuiya ya kimataifa, na leo hii utandawazi; kudumu kwa chama katika hatamu ni kwa ajili ya mustakabli wa taifa -- kwa lililo jema huko tuendako na jinsi tuendavyo.

Uhai wa Chama cha Mapinduzi upo katika mioyo ya watu, watu wenye kushiriki kwa kina Imani na kusudi la chama chenyewe. Na basi kama ilivyo kwa jina lenyewe, watu hawa ni wanamapinduzi; watu hawa ni wenye kuwa na nia ya upande mmoja na katiba inayoelekeza juu utekelezaji wa siasa za ujamaa na kujitegemea, na pia sera zinazojibu kwa shabaha ya katiba yenyewe. Na basi, ikiwa Imani na tumaini hili la wanaoshiriki kwa kina Imani na itikadi kwa chama si ya bure—hata mapinduzi ya kweli na kheri yanatokea ndani ya CCM yenyewe.

Katika kipindi chote tokea kuasisiwa kwake CCM 1.0 imepitia misukosuko na changamoto zijazo kutokana na shinikizo za siasa na/ama uchumi wa ulimwengu na basi pia tabia za walimwengu; lakini daima iko CCM 2.0 ambayo ni ufunguo kwa kuzidia mbali ‘siasa za chuki, fitina na unafiki’ zilizo ni magugu katika ulingo na duru za ‘siasa za utawala’; Na basi, pale wakati muafaka ukiwadia, ufunguo huu utadhihiri vile ambavyo >‘Mapinduzi hayatotangazwa kwenye luninga’<...

Wasaliti wa chama na serikali ni zao lile lile la nasibu ya ‘utashi wa kisiasa’ ulio ni mwepesi kuathirika na makusudi mabovu ya kiuanadamu. Basi >Fikara, Maneno na vitendo< hukadirisha >usafi ama uchafu wa tabia za walimwengu<, na haya huja kwa sura ya ‘kilichoko ndani ndicho huja nje’ kupitia ‘dhamira’; vile sawa pia na kwa ule ‘uruhusu’ iwe kwamba >‘kimuingiacho mtu asiye na utashi, ndicho kimtokacho kwa hata lile ovu’<…

Kwa hivyo umma hauna budi kuwa tayari kujimulika na siyo kuburuzwa ama kukorogana na ‘vitovu vya uovu’. Ikiwa chama kina muongozo kwa sifa kuu tatu (3) za kiongozi wa chama; na miiko yake mikuu mitatu (3) ya uongozi; lolote lililokinyume na haya, katika safu ya watendaji wa moja kwa moja serikalini, linaweza kutia doa la kiutendaji kwa serikali ya chama kilichoshika hatamu; lakini hili haliathiri chochote kwa watu wenye mioyo safi, na wenye kusimama katika misingi ya chama na pia jamii, utu na maendeleo.

Kwa mtu anayetafuta mwangaza katika kuelewa na kutafakari kwa kina makusudi na matendo ya chama na serikali, mtu huyu hana budi kuwa ni mtu wa visomo. Awe ni mtu mwenye bidii katika kujielimisha na mambo ya ulimwengu na jamii kwa ujumla. Ni vema atambue siasa ni chombo cha kutekelezea malengo, lakini si ‘lengo’ lenyewe katika mafikio ya mtu. Ikiwa ‘lengo la siasa’ litafikiwa, siasa itakoma.

Chama cha Mapinduzi, kwa mwenye bidii ya elimu ama tena ‘uono mifumo’ aweza kubaini ya kwamba hiki kina nasibu na mawezekano ya kukaba uwanja wa siasa za tawala ya nchi kama namna ya kukuza demokrasia miongoni mwa wanachama wake na huku kimkakati, kuilinda siasa ya ujamaa na kujitegemea kwa ajili ya Afrika ya kisoshalisiti. Sasa ni wengi wanaweza kutaka kubeza, kuleta upinzani ama kukosoa fikra za Ushoshalisti wa Afrika—kana kudai ni ‘ndoto za Alinacha’; ama kufikiri, Afrika hakuna awezaye kuja na mawazo ya ‘maajabu’ labda hata kumzidi ‘mzungu’…

Na hichi basi kiwe ni kionjo cha kustaajabu katika muktadha wa CCM 2.0, Afrika ya Kisoshalisti si ya ‘Mtu Mweusi’… Ni ya Mchina, Mjapani, Mkiwi, Muamerika na basi watu wote wenye ‘fikra za Kimapinduzi’ -- kutoka kokote duniani na kupita… Na ndivyo kuelekea kuitimiza ‘#Ndoto_Mama_Afrika’ ilivyo ni ‘Usoshalisti wa Kiafrika’.

Na hili latutaka kuibaini misingi ya uundaji wa nchi-taifa…

Wakosoaji wa siasa za ujamaa na kujitegemea hukumbusha adha ya vijiji vya ujamaa, kati ya miaka ya 60 katikati na 70, kwa kulibayanisha hili kwamba ni jambo lililotenganisha watu na ardhi zao mama kwa ajili ya ‘ndoto za ujamaa’—ambapo baadhi yao iliwabidi waache mambo ya mila na desturi zao kwa ajili ya namna fulani ya ‘usasa’ wa kimaisha—ya hata ukoloni mamboleo labda(?)
...

Sasa, upande wa kiza ni mwingine kwa ulio wa mwangazani; hauwezi kuunda taifa jipya pasipo kuchagua ‘kusuka ama kunyoa’ mambo fulani katika mapana ya jamii isiyo na mlandano wa taratibu zake za maisha. Kuliunda na kulijenga taifa ni kazi inayotaka ‘akili kubwa’, Subira, Jitihada, Utengeneaji, Taasisi na Sanaa…

Kuinua taifa jipya ni jambo na kuitoa kafara mifumo yetu ya zamani ili jamii zetu ipate mwanzo mpya. Hata usoshalisti wa kiafrika ulitambua mazuri ya huko tulikotoka kimfumo kama umiliki wa njia kuu za uchumi na mgawanyo wa majukumu katika kaya, lakini haukuafiki kila kitu kulingana na desturi na tamaduni zetu. Pendekezo kwa Usoshalisti wa Kiafrika tangia awali halikuafiki kubaguana kwa namna za kimakabila, tamaduni, tawala za koo na uadui miongoni kwa jamii za Waafrika wenyewe…

Taifa jipya daima huwa ni teketeke, hili linaweza kuingiliwa na kusambaratishwa kirahisi kwa elementi za ndani ama nje yake lenyewe. Kiuono mifumo, ipo namna hata ya kuweza kuona vile ‘hatua kali kuchukuliwa’ ama ‘ustahimilivu’ katika kutetea misingi ya taifa ni jukumu ya Taasisi kuu ya nchi, ama sivyo hata hiyo itakosa ‘mizizi’ ya tawala na kusudi. Kwa hivyo, inategemea na taasisi yenyewe, wema wake katika hili hauwezi kuthibitika kwa mapana ya yasiyosahihi ya kitathmini. Kama vile uzuri wa mti, huonwa kutokana na uzuri matunda yake, je, italiwezekanaje kuhukumu mti mchanga kabla ya wakati wake wa uzao?

Hili huhitaji ujuzi, maarifa na Sanaa kwa ‘kuchimbisha’ vina vya tafsiri, kwa wanajamii, ili hawa wapate misingi ya utambulisho wa ‘umoja wao wa kitaifa’. Kwenye visomo vya sosholojia, huwa kuna habari na maarifa kuhusiana na namna za kubaini jamii kwa misingi ya >ufanusi jamii, nadharia migongano na muingiliano wa alama oanifu<. Sasa hili lirudiwe kusisitiza kuhusu uzembe wetu wa kijamii wa kufanya ‘visomo’ kwa lugha ya kigeni kwa muda mrefu pasipo kurejea katika lugha ya Kiswahili… Kuna mengi tumechelewa kuyabaini na hata kujijengea ‘uelewa bora’ na ‘umahiri’ kwa kuwa tu twajidanganya na fikra za ‘manufaa’ ya ‘kiingereza kama lugha ya dunia’—kiingereza kama lugha ya kimahadhi…

Labda tunahitaji kujifunza jambo kuhusu pambazuko la kiutamaduni la Urusi, kimatumizi ya lugha na visomo, lilivyoanza na Murusi aliyekuwa na asili ya Bara la Afrika, >Alexander Pushkin< mnamo karne ya 19…

Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo, suala la lugha ‘halizuzui akili’ hata kidogo, kuna namna ya kuona hata kwa kule kukumbatia lugha ya kiingereza haimaanishi taifa ‘linaendelea’ kadiri sawa kwa kuibeza lugha ya kiingereza kudai ‘kunachelewesha maendeleo’. Umahiri wa lugha ni jambo linalowezekana katika lugha yoyote, inaweza kuwa Kiingereza na inaweza kuwa Kiswahili… Inaweza kuwa hata lugha ya kikabila kabisa—kinyakyusa, kihaya, kigogo n.k. Mambo kama misamiati na istilahi siyo kikwazo kwa mpanuko wa lugha yoyote… Hili linahitaji tu utashi wa watumiaji wa lugha ‘kujiongeza’ na kuhakikisha lugha yao inatanuka kufaa maendeleo yoyote kiwakati…

Kiswahili ni lugha yetu sisi, na kwa kujichagulia, kama watu wa taifa moja—ambapo awali tumekuwa na lugha za makabila anuai -- ambazo pia si dhamira yetu zitoweke. Lugha hii, si tu ni urithi wetu wa kiutamaduni na maendeleo kiukanda wa Afrika, lakini ina uzuri na kheri yake ambayo tukikaza dhamiri zetu, uwezekano upo wa hii kuja kuwa lugha ya upili kwa watu wengi duniani, ukiachia lugha za kwanza za mataifa mengine kote duniani—ikiwemo Kiingereza chenyewe. Kwa kuwa hii si tu inayonasibu ya kuwa lugha ya Afrika, bali pia ni moja ya viungo vikuu vya kuja kukadirisha Usoshalisti wa Kiafrika…

Kwa hivyo watu wamoja na lugha moja, kwa dhima ya Usoshalisti wa Kiafrika hii yaja kwa lugha ya Kiswahili…

Na kwa kuwa tunaweza kubaini jitihada za kuiunganisha Afrika ilipamba moto kwa mujibu wa vinara watatu wa umajumui-Afrika, Mwalimu Nyerere, Ndugu kwame Nkurumah na Haile Selassie I; ambao kwa Pamoja waliazimia kuanzishwa kwa OAU(Organization of African Unity—Chombo cha Umoja wa Kiafrika), kama mwanzo wa kuelekea azimio la AU(African Union—Yuniani ya Kiafrika)…

Tangia awali, makao makuu ya OAU, kwa ule moyo wa kujitoa wa Mtawala Haile Selassie na tena kwa kusudi kuu la Bara huru la Afrika, yalipata baraka kuwa ni Addis Ababa, Ethiopia -- tangu mwaka 1963.

Ni mwaka 2002, Yuniani Afrika (AU) ilizaliwa kutokea pahala pale pale hasa pa Chombo cha Umoja wa Kiafrika; OAU ilikuwa na dhima na makusudi juu ya kutia moyo jitihada za ujumuishi wa mambo ya kisiasa na uchumi miongoni mwa nchi wajumbe ili kutokomeza ukoloni na ukoloni mamboleo barani Afrika; AU inasongambele katika azma za ‘maendeleo ya watu’ zaidi kuliko milki za ardhi na tawala za mataifa wanachama—kuendeleza na kuchochea machaguo bora ya kitaasisi…

Haile Selassie I, alikuwa ni mtawala wa Ethiopia – Ethiopia, nchi yenye historia ndefu ya tawala na milki za kuvuka hata ng’ambo ya Arabia, wakati mmoja kufika hata ‘nchi ya ubani’ --Yemeni. Mtawala Selassie, ndiye mmoja wa waasisi wa OAU ambaye dhamiri yake ilikuwa na nasibu ya matazamio ya kiroho juu ya mustakabli wa Bara hili, kwamba >Waafrika, na hata watu wote duniani, ni budi kutafuta maendeleo ya vitu (Sayansi) na maendeleo ya utu(Maarifa ya Kiroho) kwa ajili ya mustakabali wa mema ya utamaduni wa watu wake<.

Angalizo hili la Mtawala Haile Selassie limekuwa ni la kipekee sana miongoni mwa waasisi wote wa dhana za umoja wowote wa kiafrika na hata wafikirifu wengine wa sura ya utamaduni na maendeleo ya jamii za Afrika baada ya Uhuru, kutoka kwa wakoloni, kwa minajili ya elimu inayotaasishwa kwa Waafrika<. Kwa kuwa Selassie, yeye muono wake kuhusu elimu ulikuwa katika kuinasibu mielekeo ya ustawi na maendeleo ya jamii, na kule ‘kuiongozea jamii juu -- kulingana na ile neema toka juu’; ijayo kufanyika katika ‘nuru’ ama ‘chachu’ ya visomofikra, itikadi na utaasisi wa taifa, milki na maendeleo--maendeleo kwa nchi iliyopendekezwa, nchi tawala ya Afrika, ili hii ije kuwa ni yenye ‘utangamano’ na ‘uzima wa kweli’ kwa ‘mambo’ yake.


Waunga mkono wa nchi-tawala ya Kiafrika walikuwa ni wenye mitizamo na matazamio yenye kuegemea katika asili za mifumo ya uchumi, tawala na maendeleo ya vitu, katika jamii mpya ya mataifa huru ya Kiafrika. Lakini Mtawala Selassie, akwisha kuona kuna jambo la ‘pengo la kimaarifa’ linaloweza kuja kuandama maendeleo ya mtu wa Afrika ikiwa maendeleo yanatazamwa kwa visomo vya juu juu vya mambo.

Tunaweza kulibaini hili kwa mfano, huu mmojawapo wa ndugu Nkwame Nkrumah--Nkrumah alikuwa ni mtu wa mapendeleo ya ‘Uono na Ushawishi’ juu ya ‘machaguo ya Kitaasisi’ kama ule wa ndugu Marcus Garvey—Garvey(kuz. 1887, kuf. 1940); ambaye alikuwa ni mwanahakati diaspora wa KiKaribiani kule Marekani, pia Amerika na Kati (robo ya kwanza ya karne ya 20)… Marcus Garvey alikuwa akilingania kuunganika kwa taifa la watu Weusi, kutoka kokote duniani, ili kupambana dhidi ya ukandamizwaji, kubezwa na kujibeza kadri waishivyo miongoni mwa jamii za watu kujipenda kwa rangi zao za Ngozi; na nchi zao tawala. Yeye, wakati ule, kufikiri: ‘biashara, kujizatiti na umoja’ wa mtu Mweusi kuwa ndiyo mwongozo kwa kujikwamua kijamii na maendeleo; kupitia basi, marejeo ya hao Weusi barani Afrika ili kulifanya hili kuwa nchi tawala ya watu wa Ngozi nyeusi.

Hilo la kufanya Afrika ni nchi tawala ya watu Weusi, lilikuwa tofauti na ule uono wa Mwalimu Nyerere, wakati wake ulipowadia wa yeye kuwa ni mmoja wa viongozi wachache wenye kujitambua barani Afrika(mwanzoni mwa miaka ya 1960); kipindi cha vuguvugu la kudai uhuru wa taifa moja moja kutoka kwa wakoloni. Hiki pia kilikuwa ni kipindi cha mambo moto moto baada ya mafanikio ya kupata uhuru mwenyewe. Hii ni kwa kuwa Mwalimu alikuja kuwa na kule kuuona ule ‘utayari hafifu wa kiutamaduni’ -- wa jamii za makabila ya watu wa Afrika katika kuuvaa uhusika wa ‘Taifa Jipya’ la Kiafrika-- sembuse mataifa changa madogo madogo ‘huku na kule’ barani Afrika(?).

Mwalimu Nyerere alikuwa akitokea katika moja ya ‘jamii asilia’ ndani ya bara ambamo ‘rangi ya ngozi ya mtu’ ni kikwazo pale tu inapokuja katika ‘mfumo wa ukoloni’; na ile adha yake mbovu ya upendeleo wa kimakundi, ya mbari za watu—tuseme kama vile wazungu, wahindi na waarabu wachache, kwa mapenzi ya Mkoloni, kwenye kuyafaidi mema ya nchi. Muktadha wa maendeleo barani Afrika, uliokuwa ni wenye kubagua wazawa wa asili walio ni Weusi wengi.

Mwalimu pia alikuwa macho na kule kuona sura ya kwamba: hata watu Weusi wanachangamoto zao zenye asili ya ‘ukabila—lugha na tamaduni anuai’ na ‘kasumba’ miongoni mwao. Changamoto ambazo zisiposhughulikuwa basi hata ule mchakato wa kujenga ‘utaifa’, uwe mdogo ama mkubwa, unaweza ‘kuingia mdudu’. Labda kuna mambo ya uthamani yanaweza kuchukuliwa kutoka katika ‘sifa’ na ‘hadhi’ za makabila haya—ili kuyaendeleza katika ile bidii mpya za kufumia ‘mizizi ya taifa na maendeleo’; lakini hili halifuti ukweli kwamba ‘dola’ ama ‘utaifa’ ni dhana ngeni kwa jamii ya Waafrika wazawa. Na basi hili ni jambo ambalo hata Marcus Garvey, miaka takribani 30 nyuma, hakuwa na upeo nalo-- katika kulibaini hivyo kiufundi; kwa kuwa Marcus Garvey hakuwahi kukanyaga bara la Afrika katika kipindi chote cha Maisha yake duniani, hadi kufariki kwake mnamo mwaka 1940.

Mara zote yeye Garvey, wakati wa nyakati zake, alikuwa ni mwenye kulifikiria bara la Afrika kana vile ni nchi itakayoweza kuwa na mustakabali wa kujengwa kwa ile picha ya kuwatanguliza watu Weusi wachache-- kutoka tuseme labda Marekani yenyewe; ili hao ‘wayaandae mazingira’ ya wengine wengi kurejea—kwa kuwa watu Weusi kutoka Marekani ama kungine kokote ‘kulikoendelea’ ni viumbe waliozoea faraja ya miundo mbinu ya maendeleo na utamaduni—mambo kama vile uwepo wa barabara bora na za kisasa, njia za reli, huduma za hospitali, elimu na nishati ya umeme… Wakati wa uhai wake, Habari zilizokuwa zikimfikia ni sura ya Bara lenyewe la Afrika kuwa nyuma kimaendeleo; na wenyeji wasio na uwezo ama jinsi ya kujiinua—na labda kukosa viongozi shupavu?

Marcus Garvey alikuwa ni muasisi na ‘Jenerali-Rais wa kwanza’ wa ‘>UNIA-ACL<(Universal Negro Improvement Association and African Communities League -- Jumuiya fungamano Yunivasali kwa Maboresho ya Hali za Mtu Mweusi na Hatamu za Mkusanyiko wa Jamii za Kiafrika, pia kutajwa kama ‘UNIA’, tangu 1914)’, ambavyo kupitia harakati ya chombo hichi, yeye pia alijitamka ni ‘Mfaa nafasi ya kiti cha Urais’--Urais wa Afrika; basi kiitikadi, yeye alikuwa ni ‘Mwanautaifa-Weusi’ na ‘Mmajumuyi Uafrika’ -- viwili hivi vimekuja kufahamika kama Ugarveyi....

Wakati mmoja wanajumuiya ya UNIA walikuwa na matumaini makubwa na Mtawala Haile Selassie wa Ethiopia, kumuona yeye kama mtu thabiti na jemedari wa kulikomboa bara la Afrika dhidi ya uvamizi na ukoloni wa wageni. Hii ilikuwa ni kulingana na uthabiti wa nchi yenyewe ya Ethiopia, kutoka Mashariki ya Afrika, katika kukinza ukoloni na uvamizi -- hata kijeshi dhidi ya Italia; na pia hasa kutokana na >machapisho ya Marcus Garvey mwenyewe juu ya ‘unabii’ wa ‘nyota kutoka Mashariki’—alivyopata yeye mwenyewe kuwa ni fundi wa utayarishaji na upikaji wa Habari kwa umma wake; na kutengeneza mikatano ya amsha amsha na hamasa kwa wajumbe wakindakindaki wa UNIA. Basi ‘nyota. iliyo ni ‘kuvikwa taji’ kwa Haile Selassie (1930) pia lilikuwa ni ‘tumaini’ na matarajio ya Marcus Garvey; hadi pale alipokuja kumuona Haile Selassie kakimbilia London, Uingereza, ambako na >yeye pia alikuwa akijihifadhi(1935-1940)< baada Maisha yake kuwa magumu nchni kwake Jamaika—siku za mwisho wa maisha yake duniani.

Mtawala Haile Selassie, aliporejea Ethiopia baada ya kuisha kwa uvamizi wa Italia(1941), si tu aliunga mkono fikra na dhamira ya marejeo ya Weusi barani Afrika kimawazo, yeye alikwenda hatua moja mbele na kutoa eneo katika nchi ya Ethiopia kwa kusudi kwamba wale wenye kupenda kufanya hivyo waweza kukimirika mahitaji ya kirasilimali ardhi.

Shashamane< ndipo mahala Selassie(1948) alikusudia wale wenye kurejea wanaweza kukaa pale na basi kustahiki utu, udugu na usawa—vitu ambavyo kungine wanakotoka wamekuwa wakinyimwa na mifumo ya kibaguzi ama kandamizi. ‘Dhamira kwa haki-sawa kwa wote’ ya Selassie ilikuwa si tu kwa watu Weusi pekee, ila >muongozo wa kikanuni kwa wanadamu wote<—kokote duniani; kwamba Afrika na OAU, kutokea Ethiopia, ije kuwa ndicho chombo cha mstari wa mbele katika kutekeleza fikra za ukuu wa ‘nguvu ya hoja’ badala ya ‘hoja ya nguvu’. Kwamba, katika sura, msimamo ama mwenendo wa jamii sovereini, 'hoja itawale juu' kuliko ule upuuziaji wa urazini--kule kujiuliza uliza maswali makini kwa majibu makini. Nguvu ya Hoja itawale kwa mujibu wa ubora wa mashauri yake ya kimwongozo na dhamira safi kwa mastahikio haki-sawa kwa wote; iwe dhidi ya yale yote ya matumizi ya mabavu katika kubuni, kujenga na kuendeleza ustawi na mtu na maendeleo yao. Mabavu pasipo kujali ile adha ya kuumizwa kwa wengi kwa maslahi ya wachache wenye kula raha ama shangwe.


-_-​
 
Nyerere and Nkrumah: Towards African Unity

From the Book written by Godfrey Mwakigile

Book title "Nyerere and Africa End of an Era"


THEY WERE some of the most influential African leaders in the twentieth century; probably the most influential. They also shared a vision of a united Africa under one continental government. But they differed on how to achieve this goal.

Kwame Nkrumah led the Gold Coast to become the first country in sub-Saharan Africa to win independence as Ghana on March 6, 1957. Four years and nine months later, Julius Nyerere led Tanganyika to become the first country in East Africa to win independence on December 9, 1961. Both countries won independence from Britain.

In May 1963, the Organization of African Unity (OAU) was founded in Addis Ababa, Ethiopia, by the African heads of state and government from 32 independent countries. The other 21, out of a total of 53 African countries, were still under colonial or white minority rule. The founding of the OAU was also marked by another event: publication of Kwame Nkrumah’s book, Africa Must Unite.1 The book was released around the same time African leaders met in Addis Ababa in May 1963.

It was a timely release of a book that said Africa Must Unite at the very same time that African leaders met to form the Organization of African Unity. Nkrumah thought the book was appropriate for the occasion, to capitalize on the momentum provided by the founding of the OAU towards achieving continental unity under one government.

Most of his colleagues thought otherwise. They saw it as an attempt by Nkrumah to dominate Africa and realize his ambition to become the president of a United States of Africa. Earlier in 1960 during the Congo crisis, his proposal for an African high command to defend Africa with a continental army and liberate the remaining colonies and other countries still under white minority rule - South Africa, South West Africa, and Rhodesia - had been equally rejected by other African leaders, except a few, who believed that Nkrumah would control and dominate the Pan-African force and use it to overthrow them.

In many fundamental respects, he was ahead of his time and most of his colleagues, but was later vindicated by history when Africa remained weak and powerless as a divided continent composed of non-viable independent states because they did not heed his call to unite under one government as he urged them to, back in 1963. If he were alive today, in his 90s, he would probably be tempted to say, “I told you so!”

While Nkrumah advocated immediate continental unification, Nyerere sought a regional approach as the more realistic way to eventually achieve continental unity under one government, and became the strongest proponent of an East African federation as a step towards achieving this goal. Because of his opposition to this approach which he called “balkanization on a grand scale,” and for other political reasons as Nyerere’s rival whom he felt posed a challenge to his leadership of the continent and would make history - before he did - as the first African leader to unite independent countries even if on a regional scale, Nkrumah intervened in East Africa to thwart attempts by Nyerere to form an East African federation. As he stated in Africa Must Unite:

“The idea of regional federations in Africa is fraught with many dangers. There is the danger of the development of regional loyalties, fighting against each other. In effect, regional federations are a form of balkanization on a grand scale.”2

Nyerere dismissed Nkrumah’s opposition to regional federations as “attempts to rationalize absurdity.” As he stated on the third anniversary of Tanganyika’s independence on December 9, 1963 - the three East African countries of Kenya, Uganda, and Tanganyika had agreed to form a federation before the end of that year but failed to do so - reiterating his call for an East African federation as an imperative need and as a step towards African unity:

“We must reject some of the pretensions that have been made from outside East Africa. We have already heard the curious argument that the continued ‘balkanisation’ of East Africa will somehow help African unity.... These are attempts to rationalize absurdity.”3

Nkrumah’s opposition to the East African federation, and his interference in East Africa in an attempt to thwart any efforts towards consummation of such a union, tarnished more than enhanced his image as a Pan-Africanist in the eyes of many people, and was seen as an attempt on his part to further his own political ambitions. It also vindicated the position of many African leaders who felt that Nkrumah wanted to undermine their governments and replace them with those subservient to him, while professing African unity to hide his real intentions. As Basil Davidson says about Nkrumah’s involvement in East Africa and his attempts to block formation of the East African federation, in his book, Black Star: A View of the Life and Times of Kwame Nkrumah:

“Some, like Julius Nyerere of Tanzania, chastised Nkrumah for his interference. East Africa, Nyerere believed, could best contribute to continental unity by moving first towards regional unity. Although knowing little about East Africa, Nkrumah not only disagreed but actively interfered to obstruct the East African federation proposed by Nyerere.... It was one of Nkrumah’s worst mistakes.”4

Although the three East African countries failed to form a federation in 1963, Nyerere never gave up and continued to advocate African unity at the regional level, as well as on a continental scale. He told Jomo Kenyatta, the least interested of the three East African leaders, that Tanzania would renounce her sovereignty right away if Kenya was ready to unite. And he reiterated that in different forums. As he stated on June 25, 1965, in an address to the International Press Club during his visit to London for the Commonwealth Conference: “We stand for unity in Africa. In particular we still urgently desire an East African Federation. If Mzee Kenyatta today says he is ready, then we will federate tomorrow.”5

And as Jaramogi Oginga Odinga, Kenya’s vice president under Kenyatta but who resigned to form the opposition Kenya People’s Union (KPU), states in his book Not Yet Uhuru:
“As late as 8 July 1965, Nyerere said that Tanzania was still ready for East African Federation no matter that outside influences had interfered in the hope of blocking its formation. He said ‘If we listen to foreign influence we should be made to quarrel with Kenya and Uganda, but this we will not do.’ He had already told President Kenyatta that if his country was ready to unite, Tanzania was also ready.”6

But, in spite of their differences on the East African federation and regional federations in general, Nyerere and Nkrumah continued to work closely because of their ideological affinity and the Pan-African vision they shared. They even corresponded on numerous occasions on a number of issues, including ways to achieve African unity, as Nyerere himself said in an interview with Ikaweba Bunting in December 1998 not long before he died, published in the New Internationalist, and cited earlier in this book.

They may have taken divergent paths - immediate continental unification for Nkrumah, and a gradualist approach for Nyerere - but were united in their passionate quest for one government for the whole continent.

Nyerere was not, on principle, opposed to immediate continental unification as advocated by Nkrumah, but felt that Nkrumah underestimated the suspicion and animosity such an approach generated among other African leaders - most did not trust him - and would not get the necessary support needed to achieve a continental union immediately; a point he underscored during the 40th anniversary of Ghana’s independence in March 1997 when he was invited to Accra by President Jerry Rawlings as one of the honoured guests to participate in the celebrations on that momentous occasion, as we will learn later on.

He also told his audience in Ghana that African leaders should have set up a special committee under the auspices of the Organization of Africa Unity (OAU) to work on ways to achieve continental unification in the same way the OAU Liberation Committee was created to coordinate the struggle for the liberation of the countries still under white minority rule on the continent.

It was Nyerere who first proposed and introduced a resolution at the OAU summit in Cairo in July 1964 to retain the colonial boundaries inherited at independence. The resolution was adopted by his colleagues and became one of the bedrock principles of the OAU, enshrined in the OAU Charter, maintaining territorial integrity of the new African nations and barring interference in the internal affairs of another state.

Unfortunately, other African leaders saw this as a way of maintaining their separate sovereignties and consolidating their independence without pursuing continental unity, something Nyerere never intended. He remained firm in his commitment to continental unification, a Pan-African goal and ideal he shared with Nkrumah more than any other African leader, besides Obote, Sekou Toure, Modibo Keita, and Kenneth Kaunda. As he stated in the interview with the New Internationalist:

“Kwame Nkrumah and I were committed to the idea of unity. African leaders did not take Kwame seriously. I did. I did not believe in these small little nations. Still today I do not believe in them. I tell our people to look at the European Union, at these people who ruled us who are now uniting.

Kwame and I met in 1963 and discussed African Unity. We differed on how to achieve a United States of Africa. But we both agreed on a United States of Africa as necessary. Kwame went to Lincoln University, a black college in the US. He perceived things from the perspective of US history, where 13 colonies that revolted against the British formed a union. That is what he thought the OAU should do.

I tried to get East Africa to unite before independence. When we failed in this, I was wary about Kwame’s continental approach. We corresponded profusely on this. Kwame said my idea of ‘regionalization’ was only balkanization on a larger scale. Later, African historians will have to study our correspondence on this issue of uniting Africa.”7

Nyerere and Nkrumah worked closely on other issues, especially the liberation of southern Africa. Together with Nasser, Ben Bella, Sekou Toure, and Modibo Keita, they even had their own group, known as the Group of Six, within the OAU and coordinated their efforts on a number of issues, such as the Congo crisis during which they were infuriated by Tshombe and his Western backers, and had little regard for other OAU members whom they felt were not doing enough to unite and liberate Africa. Kenya, for instance, did virtually nothing for the liberation struggle in southern Africa. And President Jomo Kenyatta hardly spoke about it - let alone contribute material and financial support to the freedom fighters - in spite of his status as the Grand Old Man of the African independence movement who inspired, though he did not lead, Mau Mau in Kenya.

He was just one of the leaders the Group of Six found to be useless in pursuit of Pan-African goals, especially the liberation of southern Africa and Congo from Western domination. As Ben Bella said about the Congo crisis, progressive forces had arrived too late in the Congo.8 He was equally blunt on the Group of Six in an interview in 1995 with Jorge Castaneda, who became Mexico’s minister of foreign affairs in the late 1990s. As Castaneda states in his book Companero: The Life and Death of Che Guevara: “According to Ben Bella, these leaders had a group of their own within the OAU; they regularly consulted and conspired among themselves.”9

Before he died in October 1999, at 77, Nyerere was one of only two surviving members of the Group of Six. The other one was Ben Bella who outlived Nyerere but lived in exile in Switzerland. He was overthrown in June 1965 and was imprisoned for 15 years. But he did not continue to have much influence like Nyerere who remained a revered international statesman even after stepping down from the presidency in November 1985.

The other members of the Group of Six who died before Nyerere were Nasser who died of a heart attack in Egypt in September 1970 at the age of 52; Nkrumah, of cancer, at a hospital in Romania in April 1972, when he was 62; Modibo Keita in Mali in May 1977, also at 62, when he was under house arrest since he was overthrown in November 1968 - mass demonstrations at his funeral against the government of President Moussa Traore (military-turned-civilian head of state) who overthrew him led to the invocation of emergency powers by the despotic regime; and Sekou Toure during an emergency heart operation in the United States in March 1984, also when he was 62. Nyerere remained on the scene as the most ardent supporter of African unity and the liberation movements on the continent.

And just as Nkrumah released his seminal work Africa Must Unite in 1963, Nyerere’s article on the same subject was published about two months before Nkrumah’s book was. The article was entitled, “A United States of Africa,” and was published in The Journal of Modern African Studies in March 1963, about two months before the African heads of state and government met in Addis Ababa, Ethiopia, and formed the Organization of African Unity (OAU) towards the end of May. In that article, Nyerere advocated continental unification but, unlike Nkrumah, took a regional approach as the most practical way to achieve this goal.10

The two leaders had a heated exchange on the subject the following year at the second summit of the OAU in Cairo in July 1964 - Malcolm X also addressed the conference and asked African leaders to raise the issue of racial discrimination and injustices in the United States at the UN - and Nyerere won majority support for his approach towards continental unification. As he put it: “When you set out to build a house, you don’t begin by putting on the roof; first you start by laying the foundations.”11

Nkrumah, on the other hand, contended that a regional approach towards continental unification would only benefit the enemies of Africa as they continued to exploit the weaknesses of a divided continent. It would also make it impossible for the whole continent to unite. And time was critical. Africa must unite now. The proposed East African federation would accomplish exactly the opposite.

And he probably underestimated Nyerere and did not expect a sharp response from him and saw him as his junior, given the age difference between the two, 13 years apart; and because of his status as the trail-blazer of the African independence movement, having led Ghana to become the first black African country to win independence in 1957. And as Professor Ali Mazrui stated in his lecture at the University of Ghana in 2002:

“Nkrumah pointed out that his own country could not very easily join an East African federation. This proved how discriminatory and divisive the whole of Nyerere’s strategy was for the African continent.

Nyerere treated Nkrumah’s counter-thesis with contempt. He asserted that to argue that Africa had better remain in small bits than form bigger entities was nothing but ‘an attempt to rationalize absurdity.’ He denounced Nkrumah’s attempt to deflate the East African federation movement as petty mischief-making arising from Nkrumah’s own sense of frustration in his own Pan-African ventures.

Nyerere was indignant. He went public with his attack on Nkrumah. He referred to people who pretended that they were in favour of African continental union when all they cared about was to ensure that ‘some stupid historian in the future’ praised them for being in favour of the big continental ambition before anyone else was willing to undertake it.

Nyerere added snide remarks about ‘the Redeemer,’ Nkrumah’s self-embraced title of the Osagyefo.

On balance, history has proved Nkrumah wrong on the question of Nyerere’s commitment to liberation. Nyerere was second to none in that commitment.

At that Cairo conference of 1964 Nkrumah had asked ‘What could be the result of entrusting the training of Freedom Fighters against imperialism into the hands of an imperialist agent?’ Nyerere had indeed answered ‘the good Osagyefo’ with sarcasm and counter-argument.”12

Despite their shared Pan-African vision, and genuine Pan-African commitment, there was rivalry between the two leaders, fuelled by their strong personalities and charisma as well as militancy. And their different approaches to African unity only intensified this rivalry, as did Nyerere’s increasing prominence on the African political scene Nkrumah saw as his exclusive domain and himself as the brightest black star in the African firmament:

“In reality Nkrumah and Nyerere had already begun to be rivals as symbols of African radicalism before the coup, which overthrew Nkrumah. Nkrumah was beginning to be suspicious of Nyerere in this regard. The two most important issues over which Nyerere and Nkrumah before 1966 might have been regarded as rivals for continental pre-eminence were the issues of African liberation and African unity.... The Organization of African Unity, when it came into being in May 1963, designated Dar es Salaam as the headquarters of liberation movements. The choice was partly determined by the proximity of Dar es Salaam to southern Africa as the last bastion of colonialism and white minority rule. But the choice was also determined by the emergence of Nyerere as an important and innovative figure in African politics.

Nkrumah’s Ghana did make the bid to be the headquarters of liberation movements but Nkrumah lost the battle....

The great voice of African self-reliance, and the most active African head of government in relation to liberation in Southern Africa from 1967 (after Nkrumah was overthrown in February 1966) until the 1980s was in fact Nyerere.... He became the toughest spokesman against the British on the Rhodesian question. His country played a crucial role at the OAU Ministerial meeting at which it was decided to issue that fatal ultimatum to Britain’s Prime Minister, Harold Wilson - ‘Break Ian Smith or Africa will break with you.’”13

While Nyerere will always be remembered as the most relentless supporter of the liberation movements in Africa among all the heads of state on the continent after Nkrumah was overthrown; Nkrumah will, on his part, be always acknowledged not only as the leader who blazed the trail for the African independence movement when he led the Gold Coast (renamed Ghana) to become the first country in black Africa to win freedom; he will also be always remembered for his bold initiatives, including his call for immediate continental unification, a Pan-African quest given eloquent and forceful expression in his seminal work, Africa Must Unite. As he stated from exile in Conakry, Guinea, on April 22, 1970, almost exactly two years before he died in April 1972:

“The wave of military coups, and the stepping up of imperialist and neocolonialist aggression in Africa since 1963, when Africa Must Unite was first published, have proved conclusively the urgent need for political unification. No single part of Africa can be safe, or free to develop fully and independently, while any part remains unliberated, or while Africa’s vast economic resources continue to be exploited by imperialist and neo-colonialist interests.

Unless Africa is politically united under an all-African Union Government, there can be no solution to our political and economic problems. The thesis of Africa Must Unite remains unassailable.”14

Nkrumah’s thesis that Africa Must Unite indeed remains unassailable. But why has Africa failed to unite? Africa has failed to unite because of nationalism more than anything else. Countries on the continent jealously guard their independence and don’t want to surrender their sovereign status to a higher authority for the sake of African unity. That Africa is still not united 40 years after the Organization of African Unity (OAU) was formed in 1963, also vindicates Nyerere’s position that immediate continental unification was not a realistic goal - more than just a tough proposition - and would have been rejected by most African leaders, as it indeed was, back in 1963 and through the decades.

But it also vindicates Nkrumah’s position that if African countries don’t unite now, they probably never will, but will only drift farther and and farther apart. Ironically, Nyerere shared the same position, in terms of divided loyalties as each country consolidated its independence and separate identity the longer it took to unite, even regionally, thus making it virtually impossible for them to form such a union.

That is one of the strongest arguments he made when he called for the establishment of the East African federation right away at independence or soon thereafter. But after the three countries - Kenya, Uganda, and Tanganyika - failed to unite, he no longer saw such an approach, immediate unification, as a practical proposition. The concrete blocks of nationalism built since independence had to be whittled away, and transcended, gradually in order to achieve continental unity. Otherwise Africa will never unite.

And it is an approach that has been accepted by most African leaders, thus vindicating Nyerere, and has been validated by experience even in contemporary times; as has been clearly demonstrated by the formation of such regional blocs as the Economic Community of West African States (ECOWAS); the Southern African Development Community (SADC); the East African Community (EAC); and the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA).

It is our hope that these regional bodies will one day merge to form a continental union under one government as advocated by Nkrumah and Nyerere; two African titans who remain an embodiment of Pan-African ideals cherished by millions across our beleaguered continent whose only salvation lies in unity.

Although dismissed as a Utopian ideal, Nkrumah’s quest for immediate continental unification had emotional and rhetorical appeal on this divided continent, especially among the young. And his Pan-African militancy resonated well across the continent. It inspired many people, especially in the euphoric sixties soon after independence and during the liberation struggle in southern Africa, to pursue higher goals that transcended parochial nationalism to affirm what Nkrumah called the African personality in a world where Africans are not accorded due respect.

Nelson Mandela was one of those who greatly admired Nkrumah, as he states in his autobiography, Long Walk to Freedom.15 So did Robert Mugabe and millions others across Africa and beyond.

Nkrumah remained a source of inspiration to Mandela, Mugabe and their compatriots during their years in prison, as much as Nyerere was, and through the liberation struggle in southern Africa. In fact, Mugabe even went to live and taught in Ghana during Nkrumah’s reign and got married to a Ghanaian, Sarah, who became Zimbabwe’s First Lady when Mugabe became president.

Nyerere also saw Nkrumah as an embodiment of Pan-African ideals he shared with him and strongly condemned those who overthrew him in February 1966. Tanzania never recognized the government that replaced Nkrumah. And Nkrumah himself paid tribute to Nyerere for his support and for his bitter condemnation of the Ghana coup, as he states in the book he wrote in exile in Conakry, Guinea, after he was overthrown, and appropriately entitled, Dark Days in Ghana.16

And both went down in history probably as the most revered statesmen Africa has ever produced, together with Nelson Mandela who was also a close friend of Nyerere. Tragically, they died before their goal of African unity was realized.

The quest for African unity is going to be the biggest challenge Africa faces in the twentieth-first century. Without unity, all talk of an African renaissance is no more than empty rhetoric. African countries are too weak to be viable entities. They just don’t make any sense. None.


A nice hidden piece of history.
 

Katika taifa letu la Tanzania, Mwenge ni Alama ya >'Maendeleo na Kujichagulia'< kupitia Taamuli katika Fahamu ya Akili.

Waasisi wa Taifa, >'signali iliwafikia'<, juu ya 'mapana fulani ya tawala, ustaarabu na maendeleo', KIWAKATI, ilivyo si tu kwa watu wa ukanda huu wa 'Tanzania' bali Bara zima la Afrika. Ujumbe 'ulibanguliwa' kwa usahihi kabisa --kwa ufasaha wa dhamira, juu ya mambo ya jana, leo na kesho, na Mwalimu Kambarage Julius Nyerere:

“Tutauwasha Mwenge wa Uhuru na kuuweka juu ya Mlima Kilimanjaro, umulike ndani na nje ya mipaka yetu, ulete Tumaini pale ambapo hakuna Matumaini, Upendo mahali palipo na Chuki na Heshima palipojaa Dharau."

Kuna wakati huko nyuma, jambo hili la 'utaasisi wa Mwenge' kupitia shughuli ya 'Mbio za Mwenge', lilikuwa limefunganishwa na 'harakati za Chama'--Chama Tawala, Chama cha Mapinduzi. Ni mfumo wa Vyama vingi ndiyo uliopelekea shughuli hiyo sasa kuratibiwa nje ya utaratibu wa 'shughuli, hamasa na kalenda' za Chama cha Mapinduzi. Sasa Chama cha Mapinduzi ndicho chombo cha hamasa kwa 'Maendeleo ya Utu' na 'Siasa bora', kama >ilivyokusudiwa< tangu awali. Kina wajibu wa kuleta 'Mapinduzi' na si tu kujenga 'safu' na 'minyororo-madaraka' ya Watawala.

Chama cha Mapinduzi ni taasisi iliyoundwa kuinasibu nchi-taifa ya Tanzania na siasa za ujamaa na kujitegemea katika ulimwengu wa ubepari na unyonyaji. Katika hili, siyo kwamba magumu na changamoto havikuonwa ama kuonjwa hata na waasisi wa chama na serikali; ni kwa moyo mkuu, maono, Imani na tumaini chama hiki kimepewa majukumu na wajibu wa kulinda, na kutetea siasa za ujamaa na kujitegemea. Hata katika kipindi ambacho taifa letu limepitia >‘marekebisho ya kimuundo’<—miundo uchumi, kuratibiwa na vyombo vya jumuiya ya kimataifa, na leo hii utandawazi; kudumu kwa chama katika hatamu ni kwa ajili ya mustakabli wa taifa -- kwa lililo jema huko tuendako na jinsi tuendavyo.​

Uhai wa Chama cha Mapinduzi upo katika mioyo ya watu, watu wenye kushiriki kwa kina Imani na kusudi la chama chenyewe. Na basi kama ilivyo kwa jina lenyewe, watu hawa ni wanamapinduzi; watu hawa ni wenye kuwa na nia ya upande mmoja na katiba inayoelekeza juu utekelezaji wa siasa za ujamaa na kujitegemea, na pia sera zinazojibu kwa shabaha ya katiba yenyewe. Na basi, ikiwa Imani na tumaini hili la wanaoshiriki kwa kina Imani na itikadi kwa chama si ya bure—hata mapinduzi ya kweli na kheri yanatokea ndani ya CCM yenyewe.
Katika kipindi chote tokea kuasisiwa kwake CCM 1.0 imepitia misukosuko na changamoto zijazo kutokana na shinikizo za siasa na/ama uchumi wa ulimwengu na basi pia tabia za walimwengu; lakini daima iko CCM 2.0 ambayo ni ufunguo kwa kuzidia mbali ‘siasa za chuki, fitina na unafiki’ zilizo ni magugu katika ulingo na duru za ‘siasa za utawala’; Na basi, pale wakati muafaka ukiwadia, ufunguo huu utadhihiri vile ambavyo >‘Mapinduzi hayatotangazwa kwenye luninga’<...
Wasaliti wa chama na serikali ni zao lile lile la nasibu ya ‘utashi wa kisiasa’ ulio ni mwepesi kuathirika na makusudi mabovu ya kiuanadamu. Basi >Fikara, Maneno na vitendo< hukadirisha >usafi ama uchafu wa tabia za walimwengu<, na haya huja kwa sura ya ‘kilichoko ndani ndicho huja nje’ kupitia ‘dhamira’; vile sawa pia na kwa ule ‘uruhusu’ iwe kwamba >‘kimuingiacho mtu asiye na utashi, ndicho kimtokacho kwa hata lile ovu’<…
Kwa hivyo umma hauna budi kuwa tayari kujimulika na siyo kuburuzwa ama kukorogana na ‘vitovu vya uovu’. Ikiwa chama kina muongozo kwa sifa kuu tatu (3) za kiongozi wa chama; na miiko yake mikuu mitatu (3) ya uongozi; lolote lililokinyume na haya, katika safu ya watendaji wa moja kwa moja serikalini, linaweza kutia doa la kiutendaji kwa serikali ya chama kilichoshika hatamu; lakini hili haliathiri chochote kwa watu wenye mioyo safi, na wenye kusimama katika misingi ya chama na pia jamii, utu na maendeleo.
Kwa mtu anayetafuta mwangaza katika kuelewa na kutafakari kwa kina makusudi na matendo ya chama na serikali, mtu huyu hana budi kuwa ni mtu wa visomo. Awe ni mtu mwenye bidii katika kujielimisha na mambo ya ulimwengu na jamii kwa ujumla. Ni vema atambue siasa ni chombo cha kutekelezea malengo, lakini si ‘lengo’ lenyewe katika mafikio ya mtu. Ikiwa ‘lengo la siasa’ litafikiwa, siasa itakoma.
Chama cha Mapinduzi, kwa mwenye bidii ya elimu ama tena ‘uono mifumo’ aweza kubaini ya kwamba hiki kina nasibu na mawezekano ya kukaba uwanja wa siasa za tawala ya nchi kama namna ya kukuza demokrasia miongoni mwa wanachama wake na huku kimkakati, kuilinda siasa ya ujamaa na kujitegemea kwa ajili ya Afrika ya kisoshalisiti. Sasa ni wengi wanaweza kutaka kubeza, kuleta upinzani ama kukosoa fikra za Ushoshalisti wa Afrika—kana kudai ni ‘ndoto za Alinacha’; ama kufikiri, Afrika hakuna awezaye kuja na mawazo ya ‘maajabu’ labda hata kumzidi ‘mzungu’…
Na hichi basi kiwe ni kionjo cha kustaajabu katika muktadha wa CCM 2.0, Afrika ya Kisoshalisti si ya ‘Mtu Mweusi’… Ni ya Mchina, Mjapani, Mkiwi, Muamerika na basi watu wote wenye ‘fikra za Kimapinduzi’ -- kutoka kokote duniani na kupita… Na ndivyo kuelekea kuitimiza ‘#Ndoto_Mama_Afrika’ ilivyo ni ‘Usoshalisti wa Kiafrika’.
Kwa hivyo, Chama cha Mapinduzi, ikiwa kitajinasibu na 'JUM' ilivyo ni ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo basi mwaka 2023 utakuwa ni >'Novelti'<. Na vema izingatiwe kwamba Katiba ya nchi iliyopo sasa 'inavaana hasa' na makusudi kwa chama hiki. Ikiwa katiba hii itabadilishwa, na baadhi ya maudhui yake 'kupotezewa' basi Chama hiki nacho kitakuwa na nasibu ya 'kusambaratika' siku zijazo. Harakati za siasa za Upinzani zitafaulu, na Chama kitaweza kung'oka kwenye hatamu. Kwa Watawala, ni bora 'wajitathmini' na kukata shauri kuhusu vile mienendo ya mambo kuendeshwa kwa 'mazoea' juu ya nafasi za utumishi wa umma na uwajibikaji. Kwa wanachi, ni bora watambue 'Katiba' ni sehemu ya 'fikra juu ya sura na tawala ya nchi/dola' lakini si 'Mpango Mzima'. Katika fremu kazi ya Uono na Ufikirifu, Katiba inahusikana na 'Muundo--muundo dola'--fraktali ya 'Kujisikia, Ushawishi na Muundo' vifanyavyo 'Ontolojia ya Taasisi'. Dola yoyote ni 'Taasisi', zao la 'Taasisi' na 'Wakati' hutuletea 'Mifumo'...

Kwa falsafa ya Chama Hichi kuwa ni chombo cha mapinduzi kwa 'Wakulima na Wafanyakazi', matatu yafuatayo yanakihusu sana Chama cha Mapinduzi:​

  • 'Kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu riziki yake';
  • 'Matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi';
  • 'Shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinaweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi';
Katiba yeyote iliyopendekezwa/itakayopendekezwa na ikakosa fasaha ya haya matatu, ni tiketi ya Chama cha Mapinduzi kufikia hatma yake. Hata kama Katiba yoyote inayotengenezwa inaelekea kutaasisi 'Chombo ya Mipango ya Maendeleo' na 'Chombo cha Usalama wa Taifa', pamoja na mambo mengine, kwa sura ya kipekee; hili bado halitakuwa 'suluhu' ya adha za umaskini, ujinga na maradhi katika muktadha wa maendeleo ya watu. Matatizo ya 'tabia' na 'hulka' ya watu/wanajamii hayatatuliwi kwa 'sheria na desturi za mambo' bali uwezo wa jamii uliotengemaa kiakili na basi kuakisika katika 'utendaji wa kimajukumu', 'dhamira safi ya kujitoa katika kazi/huduma za jamii' na 'Umadhubuti katika Kujichagulia mapito'.

'Sheria na Desturi' ni mambo yenye kuweza kubadilika kulingana na upeo wa kiakili wa wanajamii, kwa hivyo ile dhana ya kufikiri 'utii', 'uwajibikaji' na 'haki' ni mambo yanayolazimu 'ukali wa sheria'--ruli kwa sheria, ili kulinda 'taratibu za maisha/vyombo vyake' ni mushkeli. Namna hii ya mafikara ni zao la ELIMU 1.0. Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo, 'ELIMU ELIMU na ELIMU' ndiyo 'jibu' kwa adha za jamii--kwa namna yoyote ya athari zitokanazo na 'kutokujua ilivyo bora'. Badala ya kutafuta kujinasibu na 'Katiba Mpya' ni bora, kama wanajamii-- tukajiagua, kujikagua na kujipangilia upya Kielimu--ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0.

Basi kwa shauri hili, ni vema viongozi/watawala wawe na umakini na suala la 'Katiba Mpya'. Kamwe wasihadaike na 'Pepo za Kuvuma'; Katiba ilyopo sasa kwa makusudi kabisa imeweka 'majukumu mazito' katika mkondo wa siasa za nchi, Chama cha Mapinduzi ndicho muamana wa hili. Badala ya watawala watokanao na Chama hichi kujinasibu na 'Katiba Mpya' ni bora wangefanya jitihada za 'kuzindusha upya chama'. Kuitekeleza njia ya 'Katiba Mpya' ni sawa kwa wadhaminiwa wa Chama kujipiga risasi mguu wao... Chochote kinachoweza kubainiwa kutokukamilika katika katiba iliyopo, ukamilisho wake unafanania kukadirika ndani ya shughuli na harakati za Chama cha Mapinduzi.

Sasa labda tukumbushane; siku za pambazuko kwa mwelekeo wa uhuru wa taifa letu, huku tukijinasibu siasa ya ujamaa na kujitegemea, chipkizi wa Chama cha Mapinduzi walikuwa wakiimba: "Nitakwenda na jembe langu, nitangaze Ujamaa Tanzania Kote... CCM nipe uwezo..."

Sasa Ujamaa ni 'Udugu'... Wadau wote wa Chama hawana budi kutafakari, kujikagua na kujiagua--ni kwa vipi udugu umetoweka na mahala pake kuchukuliwa na mahusiano ya >'mwananchi wa kawaida' na 'Muheshimiwa'<? 'Kawaida' hii ya kuhama kutoka kwenye 'udugu' hadi kwenye 'Uheshimiwa' imenasibu Chama hichi na maradhi ya 'Gombania goli kwa Madaraka ya Kulevya'... uono/Mitazamo isiyosahihi juu ya 'mtu' na 'madaraka' huleta makusudi yenye kuharibika katika duru za siasa. Hii katika fremu kazi ya "Uono na Ufikirifu mifumo", ndiyo hujinasibu na 'kujisikia'... Taasisi ya kisiasa, kulingana na 'tabia' na 'hulka' za 'vinara wa ushawishi' wa makusudi na shughuli zake katika jamii, katika kusonga kwa wakati, huzaa mifumo iliyo ni muakisiko wa 'tabia' na 'hulka' hizo hizo kwa wanajamii wote kwa ujumla... Uongozi wa Taasisi nayo ni sanaa, watawala ni wasanii... Jamii yoyote ni muakisiko wa 'vinara wa taasisi zake' na basi mifumo yake...

ELIMU 2.0: "Uono na Ufikirifu Mifumo" ndiyo basi inatuletea ujuzi na ufundi wa kubangua masuala yote ya jamii katika muktadha wa 'Machaguo ya Kitaasisi, Matukio, Jamii na Wakati'.

Kukizindua upya Chama cha Mapinduzi ni tiba ya 'maradhi mtambuka' ya jamii yetu ya sasa, 2023, kwa kuhitaji 'sindano ya dawa' inayosubiri Mganga Mdungaji... Mganga huyu ni ELIMU 2.0... Ikiwa wadau wote wa Chama hichi, watawaza na kuwazua ilivyo sahihi kwa "uono na Ufikirifu Mifumo" basi tutaelekea kuusambaratisha 'mzizi wa fitina' ya kukwama kwetu kimaendeleo watu--kwa kuwa mchawi wetu ni 'tabia'... Tabia inayotokana 'kutokujua ilivyobora', na kukosa 'mshipa wa aibu' kwa 'matendo, nia na kuigana dhamira mbovu'...

Taifa letu kuwa ni la Kijamaa, kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa, siyo ndiyo kuwa 'tunauishi Ujamaa'--hatujaufikia huo Ujamaa kwa kuwa bado>hatujazinduka'< kikamilifu. Ujamhuri wetu wa leo, kiuono na ufikirifu mifumo, si 'Ujamhuri Uliotaamulika'. Ni Ujamhuri unaojipapasa kwenye ulimwengu wa kiza. Bado tupo kwenye kipindi cha Mpito, Kipindi cha >'Tumaini'< kuu...

Ujamaa ni matokeo; ni jambo ambalo linaweza kukadirika ikiwa tunaomwangaza sahihi juu ya mifumo yetu ya maisha, tawala, ustaarabu na ustawi. Japo waasisi wa taifa letu la Tanzania waliufafanua kwa misingi ya kuuita 'Usoshalisti wa Kiafrika'--hili kiufundi ni lile lile lililotajwa wa siku za pambazuko, renansi, kama >'Ufrateni'<--udugu wa Wanadamu wote. Kulikuwa na matatu: Liberiti, Usawa na Ufrateni. Kwa hivyo Usoshalisti wa Kiafrika ni ndoto ya 'Novelti' ya 'Utu' ilivyo ni >'Ubuntu'<. Kwa sisi watu wa Bara la Afrika bado tulikuwa/tunao utamaduni wa kujali 'Utu' wa mtu, Ubuntu, basi Usoshalisti wa Kiafrika lilikuwa ni 'Wazo Mbegu' kwa mustakabali wa maendeleo yetu ya watu na vitu.

Chama cha Mapinduzi kimekabidhiwa jukumu la kuwa ni kinara wa utetezi wa 'Utu' na 'Umoja' katika harakati zote za maisha na maendeleo ya wanachi, hata ndani na nje ya mipaka yetu kama 'Taifa la Tanzania'.

Chama hichi, kinamakusudi ya kuleta ukombozi wa kifikra juu ya siasa za 'uchumi wa kijamaa' kupitia Mapinduzi. Muktadha wa 'Jembe na Nyundo' ni mwanzo wa kupambanua siasa za 'Uhuru na Kazi' ambavyo iwe mjini ama vijijini 'Mtu ni Kazi'. Ulimwengu wa Kibepari, tangu siku za awali wenye hekima walibaini ni wa ghiriba--ni ulimwengu wa 'mtu mla mtu' ilivyo ni >unyang'au<--ni unyonyaji, pia kusema samaki mkubwa kummeza mdogo. Ulimwengu huu wa kibepari huitumia 'mifumo ya fedha' kama kamba ya nguvu kushikilia mienendo ya biashara na rasilimali. Ikiwa mtu hana kujua ilivyobora kuhusiana na 'kamba za biashara' na tena 'mifumo' basi huyu atasota na maendeleo ya kusindikiza wengine--ilivyo >'dunia ni msongamano'<... Anaweza hata kuhadaika na 'msafara wa Mamba'; kujiona mjusi ama kenge atakayekuja kuwa 'mkubwa' kama Mamba... Na kumbe kiufundi, kupitia uono na ufikirifu mifumo, jambo hili >haliwezekani abadani<...

Kwa hivyo ikiwa tunako kujitambua na kujua ilivyobora, tunalomoja tu la kuchagua... 'MAPINDUZI'!

Japo mapinduzi siyo 'mwisho wa safari'... Kwa kuwa safari moja, huanzisha nyingine ikiwa tunasonga katika kutafuta kujua ilivyobora. Hili linaweza kudadavuliwa kwa unyambulifu wa visomo vya ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0.

Kutoka kwenye Elimu 1.0 hatuna vitovu hasa vya 'jema' ama 'ovu' bali kwa 'siasa' za maoni ya wengi. Na >siasa ni maarifa juu ya muegemeo wa kubaini nani anapata kipi katika 'mchezo wa maisha'--mtu 'anatoka vipi' na 'chake'--katika muktadha wa 'lini, wapi na kivipi'(?)<. Kwa mfano, 'ujanja kupata' kunaweza kujenga 'haki jamii' kadri vile hiyo inasadiki 'mtu kitu'. Ndivyo hivyo pia, kimkakati ya watu hili laja kuwa ni kule kudai 'Ujanja Kuwahi'... Ni nasibu ya >hekima juu ya nafsi ya 'utu' wa mtu< kusema: "Nafsi ya chini ni tajiri ya ahadi, lakini i ni masikini ya ubarikika na amani; yaahidi kupatia starehe, furaha na mapatiko ya kuridhisha nafsi; lakini hutoa kutokutulia na dhiki na mauti"

Kutoka kwenye Elimu 2.0 ndipo mtu anaanza kujinasibu na 'kujua ilivyobora' -- kuanza kuzinduka kutoka kwenye michezo inayomkadirisha yeye na hatma yake kwa 'fungu la kukosa' ama 'kupata'. Uono na ufikirifu mifumo humleta mtu kwenye kule kuanza kujimulika yeye mwenyewe kama sehemu ya mchakato wa maisha yote; na si kujiona yeye kama 'mateka wa hali ilivyo' -- kulingana na >paradaimu< yoyote ya maisha yake husika. Ni nasibu ya >hekima juu ya nafsi ya 'utu' wa mtu< kusema: "Yeye aijuaye vema nafsi yake ya chini, ayajua madanganyiko ya kimuonekano ya ulimwengu, avijua vitu vyenye kupita kwenda zake; na yeye mwenye kuijua nafasi yake ya juu, amjua Mungu; avijue vile visivyoweza kupita."

Kutoka kwenye Elimu 3.0 ndipo mtu anaanza kujinasibu na 'daraja' la 'Utu na Ufunuo'. Huku si tu humnasibu mtu na kule kupata kuona >'uunje-ndani'< wa maisha, lakini pia 'uwezo' na 'karama' zinazopitiliza kawaida huwa naye KIAKILI. Ni nasibu ya >hekima juu ya nafsi ya 'utu' wa mtu< kusema: "Nafsi ya juu ni ujazwa mwili wa kweli katika namna iliyopinduka, na hivyo ni isikweli kudhahirika. Nafsi ya juu ni usawa wa haki, rehema, upendo na sahihi; nafsi ya chini ni kile isivyo nafsi ya juu. Nafsi ya chini huzaa chuki, usingiziaji, ukosaji heshima, mauaji, uwizi, na kilakitu chenye kuleta madhara; Nafsi ya juu ni mama wa kudra njema na matangamano ya uzima. Amebarikiwa mara tatu mtu aliyeufanya usafi wa moyo na upendo kuwa ni wake; yeye ametolewa gharama za kugombolewa toka kwenye kingo za maanguko za nafsi yake ya chini na yeye mwenyewe ni nafsi yake ya juu."

Ni vema kutambua, maarifa ya kiroho ni jambo la msingi katika kubangua mafumbo ya hatma ya mtu -- 'Mtu, Imani na Maisha'... Chama cha Mapinduzi kina muktadha wa haya kama ilivyosadifiwa katika >Katiba< yake. Haya yamedhihiri katika 'Sehemu ya Kwanza ya Katiba ya Chama cha Mapinduzi: Jina, Imani na Madhumuni'.... Na basi ndivyo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, wakati wa uzinduzi wa Chama hiki, >alipata kusema<:

"... Chama Cha Mapinduzi kiwaongoze wananchi wa Tanzania katika kazi ngumu zaidi kuliko hiyo iliyotangulia, mapambano ya kuleta uhuru wa ndani ya Tanzania, uhuru wa kila mwananchi binafsi, siyo uhuru wa nchi tu kama huu tuliokwisha kuupata. Chama chetu kipya kinapaswa kuongoza katika juhudi za maendeleo ya uchumi na haki za uchumi na za uhuru wa kweli wa kila binadamu, ndani ya misingi ya nchi ambayo imani yake ni usawa, heshima na ushirikiano wa binadamu wote. Hakuna jambo lolote katika mapambano yetu ya siku za nyuma ambalo ni gumu kama kazi hii ambayo tumetangaza hadharani kuwa tunaianza."

Mwalimu alienda mbele, na kuzungumza haya ya busara:

"TANU na ASP vimeweka msingi, vyama hivi viwili vimeleta uhuru wa kisiasa katika Jamhuri yetu ya Muungano, vimenyakua uchumi wa nchi yetu kutoka katika mikono ya mabepari ambao walikuwa wakitunyonya kutoka humu nchini na vimeweka vyombo ambavyo ni vya lazima kwa kujengea nchi ya kijamaa na nchi ya ki-demokrasi, lakini kazi yenyewe ya kujenga ujamaa haijaisha, hii ni kazi ya Chama Cha Mapinduzi, maana ujamaa sio suala la utaratibu tu au la kuweka vyombo vya umma peke yake. Ujamaa pia ni tabia na vitendo, ujamaa ni uhusiano wa mtu na mtu na mtu na umma, ni usawa na utu, ni kuheshimu na kuheshimiana, ni haki na ni wajibu na mambo haya hayapatikani kwa amri wala kwa sheria, yatakuzwa tu kwa uongozi bora na mifano mizuri ya maadili ya kijamaa. Kwa hiyo, demokrasi katika mambo ya siasa na ya uchumi ni sehemu ya ujamaa.

Hatutajaribu kujenga ujamaa bila demokrasi na wala hatujajaribu kujenga demokrasibila ujamaa, hatujui maana ya kimoja bila kingine, lakini vyombo na utaratibu wa ki-demokrasipeke yake havitoshi na wala vyombo na utaratibu wa kijamaa peke yake havitoshi, lazima vyombo hivyo vitumiwe na wananchi na ili vitumiwe lazima wananchi waelewe haki zao na wajibu wao, lazima wajiamini wao wenyewe na wawe na imani na madaraka yao.'"

Sasa, hekima iliyokuwa na Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, pia waasisi wa Chama hiki, juu ya watu, mifumo na maisha limekuwa ni 'mbegu' mioyoni na akilini mwetu kama Wanataifa la Tanzania--kusubiri wakati sahihi kwa 'ufunuo' na hatua za 'Kimapinduzi'. Wengi tumeyaishi maisha haya katika kipindi cha Mpito, lakini si kwamba wote tumekuwa katika 'kujua ilivyo bora'...

Sasa ni wakati wa kuamua--kuamua kusuka ama kunyoa: Je, tuko tayari kutanua 'akili na fikra zetu' ili kujikwamua na kule 'kujua mambo kwa sehemu' ama bado tunataka kuendelea kupumbazika na 'siasa za hadaa'? Hili litadhihirika kwetu kulingana na wepesi wetu wa kuhama kutoka kwenye ELIMU 1.0 na kujinasibu na ELIMU 2.0 na tena zaidi ELIMU 3.0.

Mwalimu Kambarage Nyerere, alipokuwa anazungumza kuhusu Ujamaa, kiuono na ufikirifu mifumo, alikuwa akijinasibu na kitu tunachokwenda kukifahamu kama 'Jeometria ya Utendekavyo Maamuzi' ambavyo ni kadiri pia kusema: ikiwa 'fahamu za watu/wanajamii' hazitanuki kupita miktadha ya ELIMU 1.0, tabia, mienendo na vitendo vyao huzaa 'Matriksi' ilivyo ni >'MCHE MRABA--KUBU'< ya 'UDHALIMU'. Lakini ikiwa fahamu za watu/wanajamii zinatanuka kufaa ELIMU 2.0 hili huleta >'TETRAHEDRONI'< ya >'NYOTA ya UKOMBOZI'<...

Basi Mwalimu alikuwa na Mwangaza wa haya, na kwa wakati alizungumza ya kufaa kwa umma; kuna yanayofaa kufahamika wakati unapokuwa sahihi -- yakifahamika kabla ya wakati sahihi, badala ya kuleta matunda thabiti, yataleta matunda legevu katika muktadha wa maendeleo na ustawi wa umma. Hapa tulipo, kama wanajamii, tunao ufunguo wa kukadirisha ikiwa tunda letu la kujinasibu na 'kujua ilivyobora' linakwenda kuwa ni thabiti ama legevu... Hapa tulipo, ni kama vile tunakaribia kujitazama katika kioo-->ili kuachana na 'utoto'<...

Kwa hivyo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere alikuwa anajua fika mapelekeo ya kusema: Ujamaa pia ni tabia na vitendo, ujamaa ni uhusiano wa mtu na mtu na mtu na umma, ni usawa na utu, ni kuheshimu na kuheshimiana, ni haki na ni wajibu na mambo haya hayapatikani kwa amri wala kwa sheria... Huu ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo'; Mtu wa uono na ufikirifu mifumo huona mambo kwa 'mahusiano na vitendo' na wala si 'miundo' na 'udhibiti'. Ushawishi wa mambo huwa na sura mbili kwa wakati mmoja, kutoka juu kuja chini na hapo hapo kutoka chini kuelekea juu... Ndivyo basi kwa nini 'kuheshimiana', kiujamaa, ni 'udugu'--si 'ubwana mkubwa na ubwana mdogo'... Ni 'haki' na 'wajibu' ambavyo mambo haya hayapatikani kwa 'amri' wala 'sheria'...

Kwa muktadha huu, ni vema kutambua: kule kufikiria kwetu Katiba kama 'Sheria mama' inaweza kuleta 'haki' na 'wajibu' kuna namna ni ufikirifu mushkeli wa kielimu, ELIMU 1.0... Ukosefu wa maadili na kutothamini mipaka ya mambo kwa 'jicho la staha' na 'nidhamu' haya ni mapungufu ya 'kitabia' katika 'Utu' wa mtu... Mtu wa daraja la chini la akili, husukumwa utendaji wake na 'vina vya tafsri' ya mambo vilivyo ni vya juu juu--hata kwa taratibu za maisha yake. Mtu wa namna hii ni rahisi kudhibitiwa kiakili kwa >'mifumo ya usadikifu'< na 'mienendo ya kipambe'-->maisha ya mkumbo<... Hili lafanya kwanini 'Sheria na Amri' ni vitu vya kufaa watu wa ufahamu wa chini kiakili, lakini 'uwajibikaji' na 'kujituma' ni nasibu ya 'ufahamu wenye kuinuka/kuchachuka'... Yesu amepata kuzungumza busara ya jambo hili hili katika muktadha wa 'Utaasisi na Mapokeo': Musa aliwapa watu >'Sheria za Taratibu za Maisha'< kwa shauri ya 'Mioyo' yao ilikuwa ni migumu...

Basi ndivyo hivi tunapaswa kupata mwangaza, mtu wa ELIMU 1.0 hana 'dira ya jema wala ovu' bali kwa kile ambacho jamii yake 'inaaminishwa' kukitafsiri. Hata 'Jino kwa Jino' ni mizania rahisi kwa shauri la haki... Mtu wa ELIMU 2.0 anakuwa na la nidhamu ambayo Yesu alizungumza, 'Usihukumu kwa maana kwa jinsi hiyo hiyo unayohukumu na wewe wahukumiwa'... Hii yawa kwamba: hata kwenye 'Uono na Ufikirifu Mifumo', ni vema kila jambo unaloakisi kulidadisi na wewe jiweke kwenye huo udadisi--Je, wewe mwenyewe una 'kasumba' ama 'uono fasaha' juu ya jambo lolote ulifanyialo kisomo?

Ni katika 'ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu' ndipo tunaanza kuwa na 'vina vya tafsiri' vinavyoweza hata kuwa kinyume 'fikra za kawaida' za tathmini ya ulimwengu uliodhahiri. Kwa mfano, Mtu wa ELIMU 3.0 anaweza kusema 'hakuna jema wala ovu', ulimwengu haufuatishi fikra za >'mtu' kwenye 'kuhukumu hili ama lile'<, na 'mtu' na 'ulimwengu' ni 'Moja'--Akili na Mtu/Kiumbe Sentienti, hufanya >'madanganyo ya kifahamu'< ilivyo ni 'Wakati' na 'Matukio'. Mtu wa ELIMU 1.0 anaweza kudai kuna Mungu ama hakuna Mungu, na akajinasibu na 'kumsadiki' Mungu kadiri ya mapokeo ya Jamii yake, hisia zake za nyama, na akili--lakini hivi ni siyokuwa 'hisia' ama 'fikra' zake huwa ndiyo ukweli wa jambo... Katika jamii yoyote, ya duniani ama kokote kwenye Sayari yenye viumbe sentienti, kitu kama hichi hichi kinachotajwa kama 'Mungu' ndiyo mwanzo wa kubaini 'mifumo udhibiti' ya 'miundo ya jamii' na 'mpaka wa mawezekano wa vitendo vyake vya kiustawi'. Kwa hivyo wasomi wa ELIMU 1.0 huliita hili 'Muundo Mkuu'--jumuisho kwa konstrakti za jamii juu ya mpangiko wa maendeleo na ustawi wa jamii/watu wake.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo hubangua mielekeo ya uono, fikra na vina vya tafsiri ili kubaini konstrakti za jamii na kuibayanisha mifumo. Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu mifumo, mahala ambapo wanajamii hujinasibu na 'Mungu' huwa na shauri la 'Metafanusi'. Hii ni kwa kuwa jamii yoyote hujiunda na kujisuka kwa 'taasisi' na 'mahusiano' na basi kuifanya 'fanusi jamii'. Taasisi hizi ni muakisiko wa 'fikra za ushawishi' na 'mjengeko' wa stawi za watu, kuja kuleta sura ya 'nani ni nani katika jamii'(?) ama tuseme 'akina nani ni watu gani katika jamii'(?) na maisha ya watu. Jinsi fikra zinavyojenga ushawishi na kuleta uibukaji wa taasisi ndiyo 'Ontolojia ya Taasisi'. Basi, ndiyo kuja kuwa, zao la 'Taasisi' na 'Wakati' ni 'Mifumo'...

Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu--katika kitovu hasa cha jambo lake, hii hujinasibu na kufuatilia mbali yale yote >tunayodhani tunajua<...

Lakini wakati tukijiweka sawa na 'ELIMU ELIMU ELIMU'... Kwanza tujikague na kujiagua 'Maradhi yetu ya Kijamii'... Na tuende mbele kubaini >'Dawa'< iliyopandikizwa katika misingi ya mifumo ya ustawi wetu na maendeleo--ambayo tusingaliweza kuibaini hiyo hadi iwe kwa wakati muafaka wa kuja kuanza 'kujua ilivyo bora'.

Shinikizo la >'utamaduni globali'< limeathiri dhamira, kusudi na mifumo yetu katika kujinasibu na 'demokrasia ya Ujamaa', kama ilivyoazmiwa kuja, kupitia harakati ya Chama cha Mapinduzi. Athari ya kulegalega kwa 'Maadili ya Uongozi' na pia 'falsafa ya utumishi' wa Umma, kumetuletea kusuasua kimaendeleo kunakosababishwa na 'mienendo yenye kujichanganya' katika jitihada za kuleta maendeleo ya watu na vitu. Watu ndiyo mhimili wa maendeleo yenyewe, na si 'vitu' ama 'uhuru wa bendera'--uliokuwa umekwisha kupatikana... Ikiwa watu wamekosa ama kukosa 'dira na mwelekeo wa kimaadili', maradhi ya kijamii yatajitokeza na kushamiri kwa sura ya 'rushwa', ' maendeleo ya kiuchumi yasiyoakisi manufaa sawa kwa wote', 'kujengeka kwa matabaka--hasa ya watawala na watawaliwa kimifumo' na kudumu kwa >'mzunguruko wa umaskini unaobana maisha ya watu, vizazi kwa vizazi'<...​

Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, wakati wa uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi, alitoa angalizo la jambo hili kwa kusema:

"Wananchi tunaanza upya, Chama Cha Mapinduzi ni Chama kinachoanzishwa mwaka 1977. Shabaha zake na madhumuni yake ingawa ni yale yale ya zamani yanatangazwa upya mwaka 1977. Sisi wanachama wake na viongozi wake ni wale wale na kasumba zetu ni zile zile, lakini tunaahidi upya kwamba tutajitahidi kwa uwezo wetu wote kuzifuta kasumba hizo kutoka vichwani mwetu, lakini ingawa chama ni sisi, chama chenyewe hakina kasumba.

Chama chetu hakianzi na tabaka za watoaji amri na wapokeaji amri, msingi wa chama chetu kipya ni kukataa tabaka na kukataa madaraka yanayotumiwa kwa faida za mtu binafsi. TANU na ASP vimejenga vyombo vyetu vya ujamaa na demokrasi. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi si kujenga tena vyombo zaidi vya ujamaa na demokrasi kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuviimarisha vyombo hivyo na kuvitumia kwa ufanisi zaidi kutekeleza kazi yake."

Neno 'Kasumba' alilolitumia Mwalimu katika hiyo hotuba ni 'neno-ufunguo' kwa 'mabovu ya kiakili'. Kasumba ni kuona na kutafsiri mambo kwa 'vina vya tafsiri' inayoweza kuwa si sahihi lakini kutokana na kule kwetu kuwa 'wabinafsi' ama kule kuendekeza 'hulka ya kujipendelea', tunataka kutafsiri mambo tupendavyo; na vivyo hivyo, kupendelea na wengine wote waamini ama kusadiki mambo kama tupendavyo sisi tena kwa maslahi binafsi. Hili linaweza kufanyika hivyo hata kwa kudai ni 'Maslahi ya Chama' ama 'Maslahi ya Taifa' na kumbe si ukweli hasa wa jambo ama mambo...

Mwalimu alizungumza haya miaka kadhaa (takriban 15) baada ya kuwasilisha busara yake juu ya watu, Uongozi na 'Fanusi Jamii' katika mawaidha ya kwenye kijitabu >'TUJISAHIHISHE'<. Katika kijitabu hichi, Mwalimu alianza kuipambanua busara ya 'Sura' na 'Miendendo ya Jamii' kwa "ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo" --kwa kusema:

"Umoja wa kundi lolote ni sawa sawa na umoja wa viungo mbalimbali vya mwili au mtambo. Viungo vya mwili havina budi vitii kanuni zinazoviwezesha kufanya kazi yake sawa sawa. Lakini haviwezi kutii kanuni hizo kama haviko katika hali ya afya njema. Mara kiungo kimoja kinapokuwa hakina afya safi, huanza kuvunja kanuni za kazi na mwili mzima hupata taabu."

Katika hichi kitabu, Mwalimu alisimama katika 'jicho la Mfilosofia' -- na alikwenda mbali zaidi kufafanua adha za 'tabia na mienendo' katika fanusi jamii. Kwa watu wote wa Uono na Ufikirifu mifumo, mawaidha ya Mwalimu humo ni >'Guida Spirituale'< ya Chama, Jamii na Taifa lote kwa ujumla. Filosofia katika mtu huamsha mashauri ya haki juu ya 'utu' na 'kuishi'; na neno >filosofia< sasa tulibainishe na >'falsafa'<--falsafa ni mawazo yoyote yanaweza kuwasilishwa kwa uzito, kina na kimo ilivyo ni mkusanyiko wa 'vina vya maelezo na tafsiri za mambo'. Filosofia, ni mapenzi kwa 'kweli za mambo/jambo' zisizo na ushirika na ule ujuaji usiobora wa jamii/kijamii. Filosofia ni kujua, hata kwa jinsi ya rohoni na si hisia za mwili wa nyama na madhaifu ya kiutu na nafsi. Filosofia ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo' ilivyo ni 'ulele wa mambo' -- mambo 'yasiyoshikwa na tafsiri zenye kubadilika kiwakati'. Hili ndilo lililozaa 'falsafa' za 'umoja' katika jumuiya 'iliyo na afya safi' ambavyo 'Ukweli' ndiyo 'Adili Kuu' la yote--'fitina' kuwa ni 'mwiko' kwa Mfilosofia. UKWELI ni epitomi ya >'Filosofia Perenisi'<…

Mwongozo wa Kiroho--'gaida spirichuale', ni ufunguo wa ustaarabu kwa watu ambavyo kila jambo huja kwa wakati wake -- pale umma unapokuwa tayari kupokea 'funguo za ufunuo'. Mwalimu Kambarage, alipiga 'mbiu ya awali' juu ya 'utu na utamaduni' akiwa kama 'Utwaaji mwili' wa >'Kabila la Waleta Utamaduni'<, wa vizazi hata vizazi. 'Siasa na Uongozi wa Taifa la Tanzania' lilikuwa ni 'jamvi lake'; mawaidha yake juu ya dhana ya 'Kujisahihisha', 'Azimio la Arusha', 'Kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi' na baadaye katika kitabu cha 'Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania' ilikuwa ni sehemu ya 'Uono na Ufikirifu Mifumo', katika yeye, uliohabarika kutoka hata nje ya 'wakati wa kawaida'. Haya yatafahimika vema kwetu tutapojinasibu na "ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni Metafizikia ya Elimu"...

Mwalimu alikuwa na namna ya 'kujua mambo' juu ya >'MCHE MRABA--KUBU'< ya 'UDHALIMU'; na alijitahidi 'kushughulika' ili Jamii ambayo yeye ajinasibu kama mmoja wa 'waasisi wa Taifa' isije kuangikia kwenye jambo hilo. Na basi daima yeye alikuwa na msaada wa 'ndani na nje' kuhusiana na dhamira yake safi katika hili. Kwa hivyo, shauri la 'Mwongozo Spirichuale' halina budi kuhuishwa ili funguo zaidi za 'utu' na 'maendeleo' zijidhihiri kupitia watu wote wenye mapenzi mema na wito katika hili. Katika mapana ya wakati, 'mchawi mkuu wa maendeleo ya watu' ni >'MCHE MRABA--KUBU'<; ni namna ambayo watu wanaishi katika ulimwengu unaoakisi, kujua ama kutokujua kwao 'ilivyobora'--jambo tunaloweza kuliita ni >'Matriksi'<.

Kila mtu mwenye mapenzi mema na mguso wa kujinasibu kuwa sehemu ya mageuzi ya kijamii tunayoyaenda basi asome na kuyatafakari yote yaliyoandikwa na Mwalimu Kambarage Julius Nyerere katika kijitabu hichi cha 'TUJISAHIHISHE'(1962). Na hili litufikie akilini, 'Matriksi ipo, na ni hali halisi'--maisha yetu yanaakisi 'afya yetu ya kiakili na kimwili'... Na upande usiodhahiri machoni mwetu, ELIMU 3.0 itatuletea 'Ufunuo' ni namna gani kwa kutojielimisha ilivyo sahihi, tunaudumisha ulimwengu wa >'MCHE MRABA--KUBU'<; huu ni Zimwi litujualo, halikuli likakwisha!...

Mwalimu alikuwa na 'kujua kwa jinsi ya rohoni' hata kwa mengine yaliyobaki katika 'sala' na 'moyo' wake... Lakini imani yake haikuwa ni ya bure. Kwa kuwa, mtu awaye yoyote asidanganyike na mapambo ya kiumaarufu wake wa kupambwa na walimwengu wa namna za ELIMU 1.0; 'roho ya ushindi' iliyokuwa kwa Mwalimu ipo sasa hata kwa Maelfu ya watu walio ni vitovu vya 'Utamaduni Taamuli' kwa makabila ya watu, na mamilioni kote duniani katika kuinasibu dunia yetu na mageuzi makubwa ya kiuchumi, maendeleo na tawala. Kila mtu, ajichunguze moyo wake na aitakase nafsi yake ili kuitayarisha njia... 'Pamoja, na kwa Pamoja' kufanya uwekezano mkuu wa 'Nuru' na 'Chumvi' ya ulimwengu...

Watu wa pambazuko la leo na sasa, tutafute kujua ilivyo bora ili muktadha wetu wa 'Mwongozo Spirichuale' utatuonesha njia za kujikomboa na ubatili wa kimifumo iliyo ni sanamu zinazozichonga sisi wenyewe. Tuwe 'watu-kitu' kiakili na saikia kwa muktadha wa utatu wa nyanja 'spirichuale, maadili na miiko', wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalisema >'contextual triad of Spiritual, moral and ethical aspects'<. Spirichuale ni kwa mambo tusiyoyaona moja kwa moja na hali yatawala mbegu za kheri ya ustawi wa jamii. Maadili ni ujuzi wa kujua 'lipi la kuchagua kimwenendo wa tabia'--na katika hili tukumbuke, yule mwenye kujua ilivyobora, huchagua/kutenda ilivyo bora. Miiko ni nidhamu binafsi katika utu katika kuikadirisha 'mipaka' ya 'yale ya kutiwa nguvu ama kunyimwa nguvu' ya dhamira za kiakili na matendo.

Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, aliyajua haya yote na ndiyo hivi mkazo wa mawaidha ya kijitabu 'TUJISAHIHISHE' ni kuhususina na ‘Elimu’, ‘Unafsi’ na ‘Dhamira’ -- Elimu, Elimu na Elimu.

Tunapojinasibu na kutokujua ilivyobora, tunaishi tungali tunafuga uchafu katika mazingira yetu -- uchafu tusiouona kwa macho. Uchafu huu huleta vijidudu vya maradhi hata kisaikia na kuvuta viumbe wachafu na wenye kusambaza sumu za uchafu; kama vile 'nzi' wa wavutiwavyo na uchafu na uvundo na basi hao hudumu kukaa mahala ama kwenye kaya zisizozingatia kanuni za usafi. ELIMU 3.0 inatuletea ufunuo, ni jinsi gani tabia zetu mbaya--zote ambazo Mwalimu pia amezitaja katika kijitabu cha 'TUJISAHIHISHE', hutengeneza mazingira ya 'mapepo wachafu' wasionekana kwa macho katika ulimwengu wetu dhahiri. Na hili, litatuumbua 'unafiki' wetu wa 'kujua kusafisha kikombe kwa nje na kumbe ndani kumejaa uchafu na mambo yote ya machukizo'... Yesu aliongelea hili, kwa kuwa mtu wa ELIMU 3.0 haya yafahamika 'nje-ndani'. Watu wanaoishi mazingira ya pamoja, iwe ni majumbani, masokoni, mashuleni, maofisini ama popote penye mikusanyiko ya kudumu ama ya mara kwa mara, wastani wa 'mnururiko wa fikra zao safi na chafu' huathiri mazingira ya eneo hilo yasiyodhahiri kwa macho, >kutengeza vizingia na sumaku za uovu< ama 'vaibu-aire'--tetemo chanya. Maarifa ya haya ndiyo yanatunasibu na 'Metafizikia' ya maumbile, akili na nishati. Kwa hivyo, jengo ama ofisi yaweza kuwa nzuri na maridadi kwa macho ya nyama na kumbe kwa upande usiodhahiri kwa macho haya imejaa mapepo yanayoishi kwa kujilisha machafu ya tamaa, wivu, uchoyo, kijicho, usengenyaji, majivuni, fitina, maonezi, hofu, kutokujiamini, usaliti, ulonzi n.k.

Sasa, labda tumekuwa na mikondo ya maarifa na visomo, lakini kuna mambo tumekosa kuyafahamu ilivyobora kutokana na mipaka ya ELIMU 1.0. Hata hivyo, haya yamekuwa yakisawiriwa kwa fasihi andishi za lugha ya Kiswahili. Baadhi ya masuala ya jamii yatokanayo na 'kutokujua ilivyo bora' kwa mfano, usawiri wake upo wazi katika riwaya ya >'Janga Sugu la Wazalendo'<; kuhusiana na imani, mashaka ya maisha na mifumo ya jamii katika madiliko. Jamii mabadilikoni, kupitia upeo duni--kutokujua ilivyobora, imejinasibu na dhamira safi ama chafu katika nyanja za mbalimbali za utamaduni. Iwe kwa ajili ya 'bahati' ama 'kinga' za matatizo, kwa 'unafsi' na 'tabia zisizo njema' tunajinasibu na 'metafizikia' kwa mambo kama vile mazindiko na kafara kwa ajili ya 'kujipendelea'--kwa ajili ya vyeo, siasa, biashara n.k... Elimu 2.0 na Elimu 3.0 inatuletea ufunguo kwa ufunuo, ni jinsi matendo yetu ambayo tunayatenda kwa muktadha huu ni 'uchafuzi wa mazingira' tusiyoyaona kwa macho... Basi ni kheri kutafuta kujua ilivyobora ili kuyasafisha makazi yetu yote, kwani itakuja kuwa wazi kwetu--mtu yeyote afanyaye 'zindiko', 'tambiko' na 'ulonzi' hupata cha kukipata kwa gharama ya kufuga maradhi zaidi ya kijamii na si kuponya... Haya yote huwezekana ikiwa eneo la kunasibishwa na hayo kuna wahanga wa tabia zile zile zisizofaa: tamaa, wivu, uchoyo, kijicho, usengenyaji, majivuni, fitina, maonezi, hofu, kutokujiamini, usaliti, ulonzi n.k.

Kupitia ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, 'maarifa na kujua ilivyobora' kutafanyika kwetu na kututia mwangaza ni jinsi gani 'mnunurisho wa fikra-hisia' zenye chaji kama vile 'huzuni', 'chuki', 'visasi', 'laana','hamu' juu ya mtu ama sehemu hutengeneza 'mizimu'. Lakini hapa tunatumia neno, mizimu--jambo hili tukianza kulitengenezea mkondo wake wa maarifa itabidi tulipe jina jipya, labda tuliite >'igregore'<, mara tutakapoanza kufundisha jinsi ya 'kuweka mazingira safi na salama' huo pia ndiyo utakuwa ni wakati wa kutambua uhalisia wa >'Matriksi'< na >'MCHE MRABA--KUBU'<. Nasibu ya mfumo wenye 'watawala na watawaliwa' huwa na 'igregore', na watawala wanaweza kufundishwa ama kuingizwa kwenye 'taratibu za kukubalika' kwa 'kupenda ama kutokupenda'... Na ndiyo, Duniani utundu wa kucheza na igregore ni jambo linalofanyika wazi ama kwa kificho, >na wadau huku na kule<, kwa ajili kufunga zizi la >'MCHE MRABA--KUBU'<. Ikiwa watu watajua ilivyobora, jamii kote duniani zinaweza kujiachanisha na Igregore la kufunga watu kwa ELIMU 1.0 ilivyo ni >'MCHE MRABA--KUBU'<. Na sehemu yeyote, katika jamii yoyote--ikiwa watu wataacha kujaza upepo ubatili, igregore huweza kusambaratika, na wale wote wenye 'kusafiria nyota za wengine', kupoteza ushawishi katika jamii...

Kwa hivyo Chama cha Mapinduzi, kamwe hakikusudiwa kuja kuwa ni 'Pango la Kuficha Wanyang'anyi'... Lakini, kwa kuwa wakati wa kupanda mbegu hufuatiwa na 'subira', mavuno ni kipindi cha kutengenisha >'Ngano' na 'Magugu'<. Je, ni wangapi leo, hapa na sasa wanaojinasibu na hakarati za Mapinduzi--kukirejesha Chama cha Mapinduzi katika kusudi lake katika Imani, Utu, Maendeleo na Usawa? Tumefika mahala pazuri, mahala panapofanania na kielezi cha Yesu kuhusu 'Mavuno'--kipindi hichi cha miaka 25 kuanzia sasa, kitakuwa ni >kipindi cha mavuno<, si hapa tu bali kote ulimwenguni.

Ujamaa ni imani, lakini hii halizimishiwi mtu. Japo mwenye kujua ilivyo bora, mwenye kuwa na moyo msafi na dhamira safi, imani hii ni jaala yake. ELIMU 1.0 hudanganya watu kufuatisha wengine, kuiga wengine kama 'uwaji sahihi' jichoni pa wengi. Ni vema mja mwema akabaini: "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.”

Ubepari ni mfumo, kadiri ya huu kuwa hivi, una >'igregore'< lake... Kama vile tusemavyo kikulacho ki nguoni mwako, vile vile zimwi likujualo halikuli likakwisha; igregore la ubepari ni 'nyonya damu' lisiloweza kukubali kuondoka kirahisi. Kwa kuwa ni kanuni ya >'mafichamo ya kimetafizikia'<, hata kiumbe tunachohuluku kwa fikra na hisia zetu kwa upamoja wetu, pasi kujua, nacho hutetea uhai wake kwa namna iwayo yote ile. Yale yote yanayowasukuma watu kudumisha mifumo ya fedha ya kibepari, iwe kwa halali ama isiwe halali ni misukumo ya Igregore. Jambo hili si la utani... 'Mmonyoko wa maadili', 'tamaa' na 'umimi' ni 'ushawishi' wa Igregore... Hatuwezi kupambana na ubepari kwa sheria kali za kuwabana walanguzi, ama manifesto fulani ya kikomunisti... Hatuwezi kupambana na ubepari kwa kuwadunga risasi wasaliti... Hatuwezi kupambana na ubepari kwa kuwachukia na kuwashughulikia wale 'wanaoishi katika pepo, na hali wengine wanaishi katika lindi la shida'... Hatuwezi kupambana na ubepari kwa kuwashughulikia wale wanatofautiana na sisi kimawazo hata kama sisi tunafikiri tunadhamira njema... Kufanya haya yote bado ni kuandamwa na Igregore lile lile la unyonyaji, ubeberu, uonevu, utesi--tena hata labda kwa misuli yenye steroidi...

Wanajamii kwa namna fulani, wanajua kuhusu >'kichaa cha wengi'<, wenye kuzungumza hili katika lugha ya kiingereza wangalitaja ni 'Mass Psychosis'; ni labda tu kwa kuwa jamii yetu yenye kuzungumza Kiswahili inakosa wadau wa lugha wa kutafsiri visomo na mawaidha kutoka wanajamii wengine kutoka kokote duniani. Lakini tushukuru, zipo kazi maridhawa za fasihi andishi ambazo zimesawiri jambo hili. Riwaya ya >'Pepo ya Mabwege'<(1981), inayo mambo mawili matatu ya ufunguo sana katika kujitahidi kutanabahi 'Jamii Mabadilikoni' -- mapito ya wanajamii , wakati mmoja, katika harakati za kutekeleza 'Siasa za Ujamaa na Kujitegemea' kwenye ulimwengu wa 'tamu/chungu ya ubepari'…

....
+++++

 
Chama cha Mapinduzi, kilikuwa na 'amsha amsha' ya uzuri wa kipekee enzi za Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, jambo ambalo leo hii imebaki historia. Kisa cha Josina na Kamarada Kalenga kwenye riwaya ya >'Pepo ya Mabwege'<(1981), kinaweza kutukumbusha 'pepo la uenda wazimu' wa 'madaraka ya kulevya', 'Ubinafsi' na 'mmomonyoko wa maadili' ujao na mifumo ya fedha ya kibepari, vigonganapo na idili la siasa za ujamaa na kujitegemea. Katika riwaya ile, ubepari huo kukejeliwa kama 'Ubepari uchwara'... Mgongano wa fikra za kijamii, wakati mmoja unawasilishwa kwa mazungumzo haya kati ya Josina na Kalenga:

„Kwa kweli sikuwa nawaza, nilikuwa najiuliza swali moja. Hivi wewe una mchumba?“
„Kwa nini unaniuliza?“ Josina akauliza huku amevaa mshangao zaidi usoni.
„Nijibu Josina,“ Kalenga akasisitiza.
„Jibu langu ni kwamba sina, sitaki na wala sijui kama nitakuwa naye.“
„Kwa nini?“ Kalenga akauliza.
„Kwa sababu ya mfumo. Hakuna thamani ya mapenzi siku hizi ni fedha, fedha, fedha tu.
Wanaume wengi siku hizi ni waongo, wahuni na bado wanadhani kuoa ni kununua. Mimi najiona
nina thamani zaidi ya fedha,“ Josina akasema.


'Kwa Sababu ya mfumo...' ndiyo kiini cha kutukumbusha ni kwa nini sasa ni wakati wakujizatiti na kule 'kujua ilivyo bora'. Kama taifa la takriban miaka 60+, tumeyaishi ya fikra za 'siasa za ujamaa na kujitegemea', na vile vile 'ubepari' ulivyo ni >'ukoloni mambo leo'<. Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, katika miaka ya 1990 -- kuelekea katikati, alihamanika na mienendo ya siasa za tawala na 'usahaulifu' wa makusudi ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi, haya kuandama safu za uongozi wa Taifa na Tawala. Kipindi hicho, kuna jambo la kihistoria ambalo Mwalimu alifanya kuepusha 'Taifa letu', 'Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania' na ile nasibu ya 'Ndoto ya Afrika Moja yenye Liberiti', visiende kombo.

ELIMU 1.0 pekee yake haiwezi kuleta >'ukombozi wa kifikra'<... Duniani kote, wanajamii na jamii hupumbazwa sizifikri kupitiliza ELIMU 1.0. Lakini 'Mapinduzi' ya kweli ya jamii, si zao la 'mapambano ya mijadala' yenye kuishia na 'maamuzi sahihi' bali 'uono na ufikirifu mifumo' wenye kuishia kwenye 'kujua ilivyobora'. Hili kwa sehemu, ndilo lilikuwa likimsukuma Mwalimu kubeza muswada wa 'white paper' na kura rahisi za 'Ndiyo' ama 'Hapana' kuwekwa mikono mwa watu wasio na nasibu ya 'kujua ilivyo bora', eti kuamua masuala mazito ya mustakabali wa taifa na nchi. Ndivyo basi, hili laangazia kwa nini Mwalimu alikuwa akikazia suala la 'Uwajibikaji' wa kiuongozi kwa maslahi ya Taifa, badala ya kuendekeza 'siasa za tawala'...

Mwalimu Kambarage, daima alikuwa mkweli katika kutilia mkazo umuhimu wa 'akili, uwezo na busara' kwenye kuhimili majukumu na wajibu wa uongozi--Uongozi ulio ni utumishi wa umma katika kuleta maendeleo ya watu na demokrasia ya kweli. Kwa hivyo katika mawaidha ya Kitabu cha 'Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania', hakutumia bure ule mfano wa Maneno na kielezi cha Yesu, kuhusiana na upofu wa kiuongozi na kuingizana shimoni (uk 34), pia kisa cha 'Saulo' kuja kuwa 'Paulo'(uk. 49); kwa kuwa hii ni sanaa ya kutumia kilichopo ili kuuleta umma kwenye nasibu ya Elimu 1.0: Kujua kusoma na Kuandika', ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo', na 'ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu'...

Tukitumia ELIMU 1.0 pekee, kuna mambo yanaweza kuwepo usoni mwetu kabisa na hali hatuyaoni... Vivyo hivyo, tutakosa 'busara' katika maamuzi kwa kuwa upeo wetu utakuwa umegubikwa na uono duni wa kibinafsi, na 'siasa za tawala'. Na basi, 'ufunguo wa kutoa kibazi jichoni petu' nao utakuwa umepotea... Na kwa ujumla wa yote, Mwalimu alilisisitiza wanajamii kuachana na fikra za kutarajia 'ukombozi wa kimiujiza' kwa kukazia: "Katika siasa hatuwezi kutegemea miujiza hiyo. Lazima tuhukumu kwa kutumia akili zetu za kawaida."...

Mwalimu Kambarage, alikuwa akitumia ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 na ndiyo maana akilini mwake ilikuwa wazi kuona ukomo wa utumikifu wa akili ya kawaida ya mtu katika kubayanisha mambo ya 'siasa za nchi', 'Mikakati ya muda Mrefu ya Taifa' na 'Uwezo wa Jamii'; na yeye kukiri haya kwenye >'TUJISAHIHISHE'<' na pia kwenye 'Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania' kwa kusema:

"Plato, Myunani wa kale, alipendekeza kuwa wanafalsafa ndio wanaofaa kuwa watawala wa nchi,

maana wana sifa mbili muhimu: kwanza, Wana uwezo wa kutawala, na pili, hawapendi kutawaIa. Kwa hiyo, Jamhuri ya Plato itakuwa na sheria ya kuwalazimisha wanafalsafa kutawala kwa zamu; na mtu zamu yake ya kutawala ikiisha, atafurahi sana kurudia shughuli zake za falsafa ambazo ndizo hasa anazozipenda.

Lakini nchi zetu hazitawaliwi na wanafalsafa wa Plato; watawala wetu ni wanasiasa wa kawaida ambao wanapenda sana kutawala hata kama hawana uwezo wa kutawala; na ambao wako tayari hata kuhonga ili wachaguliwe kuwa watawala, na wakisha kuchaguliwa hawatoki bila kulazimishwa. Si busara kuwaachia wao wenyewe ndio wawe waamuzi wa lini waache kuwa watawala.

Lakini hata kwa viongozi wanaotambua kuwa uongozi ni wajibu, na ukisha kutimiza wajibu wako ni vizuri kuondoka, si rahisi kuamua kama wajibu wako ni kuondoka au ni kuendelea. Na sababu za kusita zinaweza zikawa nzuri kabisa. Na katika hali halisi ni vigumu zaidi kwa washauri wa Rais kumwambia kuwa amekwisha kutimiza wajibu wake na kwa maoni yao inafaa aondoke amwachie mtu mwingine. Wao wanazo sababu nyingi zaidi, nzuri na mbaya, za kumtaka aendelee, na. Watamshauri hivyo. Kwa hiyo ni jambo la busara kabisa uamuzi wa muda wa kuwa Rais ufanywe mara moja, na
ukisha kufanywa uwe ni sehemu ya Katiba ya Nchi na uheshimiwe."

Sasa tusogee mbele ili tuone 'dawa' ya kutuondolea 'mkosi' huu, na kama isemavyo Mithali, tutambue 'Mwanamke Utu'-- >'Mwanamke, Kaza Mshipi wako...'< Josina kwa Kamarada Kalenga: 'Kwa Sababu ya mfumo...' Sisi sote, hatuna budi kujifunga mshipi kwa "ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo" huku tukifahamu fika, sehemu ya adha yetu ya kukwama kimaadili, ujazi, maendeleo na fanaka ya kweli ni vita dhidi ya >'mifumo dume'<... Tangu kuasisiwa kwa Taifa letu la Tanzania--kote Bara na Visiwani, 'signali' iliwafikia 'makamarada' wote--kwamba jaala ya taifa ni mwanzo tu wa Taifa jingine Kubwa--Afrika! Ni kwa neema ya >'Wake, Waume na Watoto'< ilivyo katika upendo (kulibayanisha hili katika muktadha wa 'Uhuru' na 'Umoja'), pia 'Hekima na Amani(Utangamano)', safari ya KUTOKA inahusika.

Ni bora kufahamu, Mapinduzi ambayo yamekuwa yakisubiriwa ni ya 'kifikra' na si 'kudindiana kimfumo'. Ndiyo, haya nayo ni sawa na kupambana kwa >'medani vita iliyo asimetrika'< kimisimamo juu ya 'Ontolojia za Taasisi' na kwa ajili ya 'Sura na Mienendo ya Jamii'. Hatuna budi kuwa na Ujasiri kupambana 'ndani na nje' yetu sisi wenyewe. Kukutuna uso kwa uso na >'vimvuli' vyetu vinavyoishi<. Na kama vile, Zaburi ya Daudi hutia moyo kwenye namna hizi za mapambano, iwe kwamba: "Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji."

Tufumbue macho yetu na kutazama, jinsi gani Awamu ya Tano ya Uongozi wa taifa letu, jitihada zilfanyika 'Kutikisa Koti la babu lenye Chawa...'; Sasa hata Mageuzi makubwa ya kijamii huja kwa gharama zake, japo ELIMU 3.0 itakuja kufunua >'Ukweli wa Mambo ya Nyakati'<--Na basi 'Watu Mbegu-Nyota' watabaki kushangaa sana namna gani 'Dunia Hadaa, Ulimwengu Shujaa'... Katika ufunuo wa hili kutakua na kutokwa na machozi ya furaha, moyo wa mkuu wa kushukuru kwa yote na hata kuangua vicheko--kwa kuwa kuna mambo tulidhani tunajua, na kumbe hatukujua kitu.

Kwa hivyo hima, tujiongeze na 'ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu mifumo' ili tupate kung'amua ule ukweli wa usemi wetu wa Kibantu, Fumbo mfumbie mjinga, mwerevu ataling'amua... Kwa yale yaliyo ni makini kwa 'Uzima wetu wa taifa' na safari yetu ya Matumaini kuelekea 'Ujamhuri Uliotaamulika', kile ambacho Mwalimu Kambarage alihusisha na 'falsafa za Plato', yasitupite hivi hivi tu…

Kuelekea 'Ujamhuri Uliotaamulika, 'signali', iliwafikia 'watu mbegu-nyota' kote duniani, ndani hata nje ya Bara la Afrika. Lakini ni sehemu moja iliyokusudiwa tangu awali kwamba yote yapate kuanzia--Tanganyika... Sasa, 'Matukio, machaguo ya kitaasisi, Jamii na Wakati' kupitia visomo ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 yatauumbua mengi ya leo ambavyo hufundishwa na kusadikishwa/kuaminishwa kwa ELIMU 1.0 kwa visomo vya 'Historia', 'bayolojia' na 'Akili'. Kuna mambo yanaweza kutokea leo, na huku 'mwanzo' uko 'mbele' ya kiwakati na 'si nyuma' kiwakati. Watu wote wanaofanya 'historia' ni 'wasanii' katika 'jamvi' la 'jamii na matukio'--Wasanii ambao wanawezakuwa wanaongozwa kwa 'mkono wa mwongozo wa kheri' ama 'mkono wa kushikwa usifurukute'. Hivi viwili ndivyo katika >'Sala ya Bwana'< aliyofundisha Yesu, hupambanuliwa na 'Yule Muovu' au 'Baba wa Mbinguni'...

peakili.png


Vekta ya Ushawishi katika fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ndicho kiungo kinachokadirisha jamii yoyote kuinuka na kuanguka kulingana na kujinasibu kwake na pumzi za 'uzima wa kupita' ama 'Uzima wa Milele'. Kutokutiwa katika vishawishi, kuokolewa kutoka kwa muovu, ni 'dhamira' rahisi katika mtu kutojinasibu na >'igregore'< zinazowashikilia watu iwe kwenye mahusiano ya mtu na mtu, mtu na kaya, mtu na ukoo, jumuiya, taifa, dunia n.k. Basi ndivyo hivi yawa katika 'Sala ya Bwana', hili hufungamana na 'vina vya tafsiri' ya 'Madeni na Kusameheana', ambavyo kwenye miongozo ya kiroho kutoka mashariki ya mbali pia hufahamika kama 'Karma'--kanuni ya matendo kufungamana na matukio kiwakati, na tena kwa akili 'isiyosahau', yenye kusokota nyuzi za jaala za mtu, jamii, mataifa, dunia na ulimwengu wote mzima, >fahamu mbalali<.

Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, hubangua funguo zote za maarifa, ya kimaumbile na hata kimetafizikia. Kwa mfano, kadri vile A3 ni 'Uono', hiyo huakisika katika ulali wa 'uwezo wa jamii kiUjuzi' kama 'Vinasaba' OY. Hii ni kuwa kwamba, jamii ama mwanadamu ana mwili wenye viungo vya Ushawishi na Nia kwa ajili ya muundo na matendo vilivyo ni kadiri ya vinasaba vyake vya kibayolojia. Ndiyo kuwa, mtu ajuae ilivyobora, hutenda ilivyobora... Na hapa ni muhimu kuzingatia, mwanadamu leo hii siyo kwamba anajua kila kitu kuhusu >'mwili na bayolojia'<--huenda kuna vitu tunavyokimwili na vinasaba vikiwa >'vimelala usingizi'<. Ni Elimu 2.0 na ELIMU 3.0 inaweza 'kututoa' kwenye huu usingizi. Kwa hivyo, tukijinasibu na ELIMU 3.0 kupitia lugha ya 'alama ufunguo' tutafahamu pembe OY ni pembe ya alama 'MSALABA; na hali alama ya 'uono' A3 ni 'Miali' ya mielekeo nane kutoka kwenye kitovu. Hii ni alama yunivasali kwa 'Intavensha'... 'Mbingu kuingilia kati Nchi'... Kwamba mambo yote tunayoyaona na kushuhudia kwenye kosmosi, hata miili yetu imefanyika kwa 'nuru' na 'chumvi' ya ulimwengu... Milli yetu ni mavumbi ama sehemu ya vumbi la ulimwengu--na mafumbo yake yote ya 'nyakati'... 'Kama Ilivyo Juu, Ndivyo ilivyo Chini' -- Funguo ya metafizikia kuwa kwamba, Akili ni 'lango la ujuzi', na pia yaweza kupanga na kupangua 'vinasaba' vya utendaji wowote duni na hafifu, iwe ndani ama nje ya mtu... Na ndiyo, akili ni ufunguo wa 'muktadha wa makarama''...

Kwa namna hiyo hiyo, kadri vile A1 ni 'Ontolojia ya Taasisi' hiyo huakisika katika ulali wa 'Mtekelezeko wa Mipangiko Jamii/Wajibu' kama 'Metafanusi' OZ. Hii ni kuwa kwamba, jamii ama mwanadamu ana 'dirisha la fahamu' kwa mifumo na nia kwa ajili ya 'dhamira' na 'mwongozo' vilivyokadiri ya 'kuona na kujua mambo kwa sehemu'. Macho ya mtu, ndiyo mlango wa 'fikra fahamu' katika 'jicho la ndani' la mtu ilivyo pia ni >hisia ya sita< ya 'uono fikirifu'; na basi jambo hili huingiliana moja kwa moja na 'mawezekano' ya nafsi yake 'ya nje' na pia 'ndani'. Na hapa ni muhimu kuzingatia, mwanadamu leo hii siyo kwamba anajua kila kitu kuhusu >'jicho, akili na sonafi''<--huenda kuna vitu katika muktadha wa 'kisaikia' na 'spirichuale' vikiwa 'vimefichama'. Ni Elimu 2.0 na ELIMU 3.0 itafanya >'nuru ndani yetu'< na kufukuza >'giza la kiroho'< -- giza la kiroho linalotunasibu na 'mkono wa kushikwa tusifurukute'. Haya kufanya muktadha wetu wa tabia zisizo njema kijamii, kuwa kwamba 'mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi'; wahanga wa tabia zile zile zisizofaa: tamaa, wivu, uchoyo, kijicho, usengenyaji, majivuni, fitina, maonezi, hofu, kutokujiamini, usaliti, ulonzi n.k. Kwa hivyo, tukijinasibu na ELIMU 3.0 kupitia lugha ya 'alama ufunguo' tutafahamu pembe OZ ni pembe ya alama 'MWEZI NA NYOTA'; na hali alama ya 'Ontolojia ya Taasisi' A1 ni 'Duara na Nukta Katikati'--ilivyo ni sawa sawa na 'Mboni ya Jicho'. Hii ni alama yunivasali kwa >'Siri ya Uungu'<... >'Uono njozi kwa mafumbo ama Siri za Nuru, Kiza na Nafsi'<... Kwamba mambo yote tunayoyaona na kushuhudia kwenye kosmosi, ni kuona kwetu mambo kwa sehemu, kwa kuwa kifanyacho Mbingu na Nchi, ni kile kile-- kwa hicho tunao huu uzima... Ulimwengu wote dhahiri ni 'fikara' na basi tukionacho na kukiishi ni >'Matriksi'<. Macho mawili, hutunasibisha na vile vina vya tafsiri ya 'usupasha'--tufanyapo macho mawili kuwa moja tunajinasibisha na 'Ufalme wa Mbingu'--Ufalme wa Mbingu u ndani yetu, hauko huku wala kule. 'Kama Ilivyo Juu, Ndivyo ilivyo Chini' -- Funguo ya metafizikia kuwa kwamba, 'Ontolojia ya Taasisi' ni 'Sura ya Tawala ya nyota na mbingu' katika fahari ya jamii ama mtu... 'Mapenzi Yake Yatimizimwe Duniani kama Mbinguni'-- Kwa kuwa 'Ufalme, na Nguvu na Utukufu ni Wake Milele hata Milele', ni muktadha wa Dua, katika 'Sala ya Bwana' kama alivyofundisha Yesu, jambo hili.

Kwa namna hiyo hiyo, kadri vile A2 ni 'Sura na Mienendo ya Jamii' hiyo huakisika katika ulali wa 'Machaguo na Kujichagulia kwa mtu/jamii' kama 'Kujitambua' OX. Hii ni kuwa kwamba, jamii ama mwanadamu ana 'kujichagulia' kwa mifumo na Ushawishi kwa ajili ya 'Kujisikia' kwake na 'Vina vya Tafsiri' vilivyokadiri ya 'Kuridhia ama kutoridhia na hali za maisha yake'.

Mahusiano ya mtu na jamii inayomzunguka ama jamii na jamii zingine zinazoizunguka ni 'mkataba' wa hiari unaofunga pande zaidi ya moja kwa maslahi yanayokubalika 'kiakili, fahamu na hisia'. Maarifa yote ya 'Mikataba' asili yake ni mizania, ulali wa 'kujisikia' na 'vina vya tafsiri. Ndiyo mapana ya 'Mtenda na Mtendewa' katika jamii. Iwe ni kwa mashauri ya 'Sheria' ama pia mikutadha ya 'Mastahikio haki', umuhimu wa mtu 'kujitambua' na pia 'kutambuliwa' jinsi za 'nafsi', 'utu' na 'ustawi' wa maisha yake hupambanua 'maendeleo ya watu'; na mtu mwenyewe hana budhi 'Kujitaamulisha' ili usigubikwe kwenye mifumo yenye 'kuumiza' ama 'kunyima' -- yale yote ambayo jamii kwa ujumla inayabainisha kama 'haki za msingi za mwanajamii'.

Kwa hivyo, kile ambacho watu wa pambazuko walikibayanisha kama Liberiti, Usawa na Udugu, ni jambo la nasibu ya 'Kujisikia' na 'Vina vya Tafsiri' ambavyo 'Mtu mwenye Mwangaza' afanya ndani yake 'Kujitambua' na basi kuleta 'mapinduzi' ama 'maboresho' ya mifumo yake ya maisha kupitia ushiriki wake wa kujenga taasisi bora na imara kwa maendeleo ya jamii yake. Kwa nchi ya Merekani, Amerika, mwenge ni alama ya 'Mwangaza', na tabula ansarta--lile daftari alililoshika 'Liberta', ni 'visomo vya sheria' za jamii. Hili litukumbushe, msingi wa sheria ni 'mtendee mwenzako vile ambavyo wewe ungependa kutendewa', Yesu aliposisitiza hili alilifungamanisha na 'Kanuni ya Upendo'--kwamba mtu wa upendo, namna zake za mienenendo ya tabia hushinda 'mapokeo' pia 'mila na desturi' za jamii.

Mtu wa liberiti ni mtu wa uwajibikaji katika mema ya nchi, kwa hivi katika Jamhuri iliyootaamulika watu 'hawatatawaliwa na sheria' bali wao watalikuwa ni 'Sheria'--kadiri sisi Wabantu pia husema "Hiari yashinda Utumwa"... Sheria zina mazuri na mabovu yake ambayo huakisi 'kujua' ama 'kutokujua ilivyobora' katika jamii yoyote, kwa wakati. Kwa ELIMU 1.0, jamii yeyote hujinasibu na 'Siasa za Mkumbo' na hata wale maadui watatu wa ustawi wa Jamii--Ujinga, Maradhi na Umaskini; hutawala kwa sura moja hata nyingine kulingana 'Taasisi' zinazoundwa na jamii. ELIMU 2.0 ndiyo huanza kuinasibu jamii na 'Utaamuliko' katika mtu mmoja mmoja ilivyo ni muktadha wa 'Liberiti'; na ELIMU 3.0 'huwaunganisha' watu kwa lile, Amerika, walilitamka katika dhamiri ya utaifa: 'Katika Mungu Twaaminia'. Namna zote za 'Umoja', kwa 'vina vya tafsiri' vya ELIMU 1.0, si 'Mwangaza Halisi'; ndiyo maana watawala wa Dunia wanaweza hata kuzungumza lugha ya 'Uzalendo' na 'Umoja' katika kutetea mikutadha ya 'Machaguo ya Kitaasisi' na kumbe ni ufundi ama utundu wa 'Kuchezeana Akili'--'propaganda' na 'siasa za tawala' katika umma.

Kwa hivyo, tukijinasibu na ELIMU 3.0 kupitia lugha ya 'alama ufunguo' tutafahamu pembe OX ni pembe ya alama 'GURUDUMU DHAMMA'; na hali alama ya 'Sura na Mienendo ya Jamii' A2 ni 'Usukani wa Merikebu ya Dhamma'. Alama hii ni alama ya msingi sana na maana sana kadri tunavyoelekea kukata shauri ili kuishi kama 'watu wenye kujua ilivyobora'. Afrika, tuiite hii ni alama ya 'Pamoja, kwa Pamoja' -- HARAMBEE. Kwa kuwa alama hii yabeba 'Dhamira, uunganishaji nguvu--sineji, na Pendo Moja'. Kuwa kwamba vitendo ama matendo yetu kijamii hayanabudi kuakisi 'Pendo Moja' kama mwongozo mkuu--ilivyo ni daima hivi na watu wenye kujua ilivyobora.... Watu wenye kujua ilivyobora ndiyo hasa wenye 'upeo na uwezo wa kiakili' kudhihirisha haya matatu yaliyo ni 'uzima wa maisha', 'Liberiti' na 'Udhamirifu wa Furaha'. Wenye kuzungumza haya kwa lugha ya Kiingereza ndiyo hutaja ni 'Individuals' rights to Life, Liberty and Pursuit of Happiness'.

Watu wa ELIMU 3.0, wanalo/walikuwa na >'kujua kwa jinsi ya rohoni'< kwa haya yote. Yesu alipokuwa akisema mimi ni 'Njia, na kweli na Uzima' alikuwa akishuhudia, katika yeye, ukweli wa jambo la 'Liberiti, Uzima wa Maisha na Udhamirifu wa Furaha'. Hili kwa mtu wa 'Uono na Ufikirifu Mifumo' linatengeneza 'hesabu' muafaka ya ufikirifu topolojia na topografia jamii ya kubayanisha 'Alama Oanifu' na 'Uzima Wote'. Watu wa ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, ni watu wa 'ushirika wa kiroho' wenye kupitiliza 'vina vya tafsiri' rahisi za Visomo 1.0. Hawa ndiyo watu Mwalimu Kambarage alivyozungumzia, 'Watawala wa Kiplato'--wanafaa kutawala, lakini hukataa utawala, naam--hukataa 'kutawala' ili dhamiri yao iwe ni 'kuambukiza' katika vizazi vya watu kile Yesu alikitaja kama 'Nuru' na 'Chumvi' ya ulimwengu. Watu wa ELIMU 2.0 na 3.0 ni 'Watu Watamaduni'--dhamiri yao daima ni kuongezea mataifa katika kujua ilivyobora. 'Ushirika huu wa Kiroho', Paulo ndiyo aliuita 'Kristu'.

Sasa vema kufahamu, konstrakti za jamii juu ya 'haki' na 'taamuli'. Hili, kwa uono na ufikirifu mifumo, laturejesha kwenye >'Dhammapada'<--Njia ya Buddha. Basi, tunapata kujua ilivyobora ni kwa vipi 'haki' na 'taamuli' yaweza kujengeka katika jamii kwa misingi ya 'kujisikia' na 'vina vya tafsiri' na wala siyo kwa 'idili na maadili' kama ambavyo mtu wa ELIMU 1.0 anaweza kupotoshwa. Kwamba ndiyo, 'Guida Spirichuale' inawezekana katika mtu kwa nidhamu rahisi ya kuishi maisha ya kuwa macho, kwa kila jambo analolitenda na kuchunguza mizizi ya 'vina vya tafsiri' zake za mambo ya jamii aishiyo. Hili, kwa mujibu wa Dhammapada, inafanyika kupitia 'Vipassana' na 'Kweli Nne za Tunu Kuu' juu ya 'Dhukka'. Mtu wa njia, kuelekea Utaamuliko kamili juu 'uzima wa maisha yote' na 'Ufahamu' ni mtu anayetafuta kumalizana na akili yake, na namna zake 'vina vya tafsiri' juu ya 'Maya'--Matriksi. Kwa hivyo, mtu wa njia ya Buddha si mtu anayetafuta 'ELIMU ya Kujua'--huyu hujinasibu na 'Kutokujua' kwa 'kuikana akili'. Mtu wa njia ya Buddha, hujinasibu na kufumbuka kwa 'Ufahamu' na si maumbile dhahiri ama metafizikia ya mambo... Utaamuliko wa mtu wa njia ya Buddha, ni mtu mwenyewe kuwa 'Buddha' -- wakati ambapo mizania ya nidhamu yake na matendo na amani yake ya moyo hubariki 'ufunuo' kamili kwa kweli yote.

Dhana ya >'idili na maadili'< katika njia ya Buddha, ni >'via negativa'<, kwa 'mwongozo' na 'dhamira'--kwa kuwa dhamapada ni 'njia isiyo ya matamanio'. Ni njia ya kutupa chini matamanio yote, na basi mtu wa njia ya Buddha--si ile ya nasibu ya 'mjenzi' wa jamii, bali muharibu konstrakti zote za jamii ilikubakia na >'mafundo' na 'matendo'< yanayokaribisha 'Utaamuliko' katika mtu. Ndiyo hivi, Bhikku wamepata kuwa ni watu wa 'kutangatanga' mji hata mji na kuishi maisha ya 'omba omba'. Jamii yote ya Kibuddha, yenye kufuatisha 'Vipassana' na 'dhammapada' ni ya utawa wa 'kuikanusha nafsi' na ndiyo 'njia ya mwisho' kwa lolote ama chochote.​

Sasa, kwa fremu-kazi ya 'Uono na Ufikirifu Mifumo', 'Hekima na Maarifa' havina budi kuwa nasi kwa ufikirifu topolojia na topografia ya sura za mambo ya jamii. Kila jamii inamifumo yake ya 'Ontolojia na Metafizikia'; hata kama watu hudhani 'haipo'. ELIMU 1.0 haiwezi kuendana na 'ufikirifu mifumo' kwa kuwa hii ni 'Elimu Visanduku'. Kuinasibisha Elimu 1.0 na Elimu 2.0 ni sawa na kile Yesu alikisema "Huwezi kutia Divai Mpya kwenye viriba vya Zamani". Namna hii ilivyo ni Elimu 1.0 inafanikisha mtu kuwa hivi ama vile, kiuweledi; lakini mtu anayeridhika na 'eneo' lake la utaalam ama kisomo, asipanue kichwa chake kwa mengine yote yenye kuwezekana akilini mwake, huyu huwa na 'udunya' wa kujitakia. Kwa hivyo, ndiyo ipo namna hata visomo vya uzamili na hata ubobezi pia ni njia ya kujua mengi ilivyokutojua chochote kingine hata kama kipo mbele ya uso wako. Hilo ndilo lafanya kwa nini Yesu alipenda kuzungumza kwa 'Metafo'--lugha ya 'vielezi'... Hii ni busara ya kuepa >'disonia ya kognia'< katika mtu/jamii. Kwa kuwa mtu wa ELIMU 1.0, ananasibika 'kupata tabu akilini' kwa akisikiacho kwa 'sura mpya ya mpangiko wa mambo'-- kwa kuwa 'maarifa na ujuzi wa mtu wa uono na ufikirifu mifumo', kwa mfano, kwake 'huamsha ghadhabu' na 'machachari' ya kupinga kukubaliana na yale yote 'yanayoelezwa' tofauti na 'mazoea' yake kiakili. Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo, wakati wote yeye ni mtu wa kutangamanisha lile analolifahamu na lile asilolifahamu, fremu-kazi kuwa ni chombo cha 'kutangamanisha' fasaha ya uono na ufikirifu mifumo.

Katika jamii zetu za asili, sisi wabantu, ontolojia na metafizikia ni jambo lililohifadhiwa kwenye utaasisi wa >'Jando na Unyago'<. Nafasi ya mwanamke katika jamii, kwa mfano, daima imebeba ufunguo wa ustawi na matunzo ya kaya na hata koo. Mwanaume ni mbeba 'Maono' ya kaya, lakini mwanamke ndiye mpuliza pumzi ya maadili, staha na uwajibikaji wa msingi. Mwanaume ana majukumu yake, vivyo hivyo mwanamke--katika >kheri na mustakabali wa Jamii<. Kwenye visomo vya sosholojia, mengi kuhusu jamii, kwa Elimu 1.0, tunayafahamu juu ya >‘fanusi jamii’, ‘nadharia migongano’ na ‘Muingiliano wa alama oanifu’<…

ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizia ya Elimu, itatupatia 'funguo' za 'Ufunuo' juu ya 'Muingiliano wa Alama Oanifu' na basi sehemu ya hili katika kuchachusha 'ufahamu' na 'Mwongozo' kwa mbegu za maendeleo ya Jamii. 'Akademi Wakati ya Kwanzania', ni teminali ya >'WafanyaMbawa'<, kwa 'uwezo na mbinu' hawa huongoza mustakali wa maendeleo na ustawi -- kiutamaduni. Kwa hivyo, kupitia watu wenye nasibu ya 'kujua ilivyo bora', 'watu-mbegu nyota', ujenzi wa taifa unayohendeli zake kukadirisha jambo la kusema "Kuliunda na kulijenga taifa ni kazi inayotaka ‘akili kubwa’, Subira, Jitihada, Utengeneaji, Taasisi na Sanaa…"

Kupitia ELIMU 3.0, tunatambua maana hasa ya ile kauli "Tanzania Itajengwa na Wenyemoyo"... Kwa kuwa eneo hili la ukanda wa maziwa makuu, ndilo kwa muda mrefu limekusudiwa kuwa ndiyo 'Mashariki ya Pambazuko Kuu' na chemchem ya maendeleo na ustawi mpya kwa Bara la Afrika. Basi tukumbuke, na tukaze macho yetu katika alama juu ya >'Hekima ni Uhuru' na pia 'Uhuru na Umoja'<... Je, ni kipi tunaona, na kudhani 'tumejua yote'?



Sanaa iliyotumika kwa nembo ya 'Utaasisi' wa Elimu, epitome yake ilivyo ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; pia kwa 'Nembo ya Taifa'--Bibi na Bwana, Pembe za Ndovu, 'Ngao', Mlima kilimanjaro, Mwenge, Zana za Jadi kwa Ulinzi na Kazi, Bendera, Maji, Maua ya Mikarafuu, Kauli mbiu ya 'Uhuru na Umoja' ni alama za 'sababu ya nje' na 'sababu ya ndani' kwa uvielelezo vyake--Utaasisi wa Kitaifa.

Nembo ya Taifa, kwa ELIMU 1.0, wikipedia, inaweza kufafanuliwa na haya yafuatayo:

Nembo ya Tanzania ni ngao ya askari inayoshikwa na watu wawili.

Ngao ina sehemu nne: juu sehemu ya dhahabu, chini yake bendera ya taifa, halafu sehemu nyekundu na chini kabisa sehemu ya buluu-nyeupe
a) robo ya juu inaonyesha mwenge wa uhuru juu ya rangi ya dhahabu inayokumbusha juu ya utajiri wa madini ya taifa
b) robo ya pili ni bendera ya Tanzania
c) rangi nyekundu inamaanisha ardhi nyekundu ya Afrika na kilimo kama msingi wa maisha ya watu.
d) milia ya buluu na nyeupe katika robo ya nne inamaanisha mawimbi ya bahari na maziwa kwenye mipaka ya nchi pamoja na bahari inayozunguka Zanzibar kama sehemu ya Jamhuri ya Maungano.
Juu ya sehemu hizi kuna mkuki na majembe mawili yanayokumbusha juu ya utetezi wa uhuru na umuhimu wa kazi katika ujenzi wa taifa.
Ngao yote imeviringishwa na mapembe ya ndovu yanayomaanisha utajiri wa wanyamapori na hifadhi za taifa.
Ngao inalala juu ya mlima Kilimanjaro ambayo ni mlima mkubwa wa Tanzania.

Watu wawili wanaoshika ni mwanamume na mwanamke kama dalili ya ushirikiano wa jinsia zote mbili taifani. Wanasimama juu ya mpamba na mkarafuu ambayo yote inazaa mazao muhimu ya kibiashara ya Tanzania Bara kwa pamba na Zanzibar kwa karafuu.

Kanda njano ya maandishi chini ya ngao huonyesha wito la taifa "Uhuru na Umoja"



Nembo ya Taifa, kwa visomo 'ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo' ni 'Topografia ya Jando na Unyago kwa Taifa'. Kwa hivyo ufikirifu topolojia inaweza kusawiri jambo moja hata jingine, kwa vielelezo ya 'alama za kipicha' na fahamu. Kwa kuwa 'signali' ilipokelewa vizuri na waandaji wa kazi hii ya nembo, kutoka kwa >'WafanyaMbawa'<. Ikiwa mtu anataka kunasibika na chachu ama chumvi ya 'milango ya fahamu' ijayo na sanaa, basi adadisi na 'kufungua moyo' atazamapo >michoro yao<.

'Ngao' katika nembo hii ndiyo 'alama ya msingi mkuu' wa maisha na ustawi wa jamii. Kimsingi alama hii ni >vesika-paisisi<, ni alama kwa uzazi, mlango wa maisha na kuzaliwa upya. Seti hii moja kitografia kushahabiana na kile Yesu alikizungumza--hadi mtu azaliwe mara ya pili, hawezi kuingia kwenye ufalme wa mbinguni. Kwa sisi Wabantu, hii ni alama ya ontolojia na metafizikia ya 'Mwanamke Utu'... Kwenye Unyago, mwanamke hufundwa namna gani mwili wake akiwa mwali, tumbo lake la uzazi na mlango wa uzazi ni viungo vitakatifu. Kujitunza kwa mwanamke, elimu yake na maadili ndivyo baraka za jamii. Kosmogoni, ya jamii za Kiafrika ni Ulimwengu wote, umefanyika kutoka kwenye tumbo la >Mama Mkuu<. Uzazi kwenye topografu hii, ni kuwa: vesika-paisisi ni 'Yoni' na pembe ya Ndovu ni 'Lingam'...

Ukatikati hasa wa 'Ngao' ni kukadirisha simetria ya 'namna ya kiume' na 'namna ya kike' katika 'jicho la fahamu', kiuono na maumbile, ambavyo akilini kuakisika kwa >'upinde na mashale' ilivyo ni 'dhamira na muktadha'<. Hili katika Nembo ndiyo hukadirisha mkao unaofanana wa mtu-mke na mtu-mume ambavyo, mkono mmoja hukamatia Pembe ya Ndovu na Mwingine kuegama katika mgongo wa 'Ngao'. Topografia kwa seti moja ya ubainifu ingalikuwa ni 'ushiriki wa kwa pamoja' katika musuala ya jamii, tawala na ustawi. Kwa kuwa, mwenge uliokatikati hasa ni alama ya 'Mwangaza wa Ufahamu', 'bendera ya taifa' ndiyo alama fungamanishi ya yote hayo kwenye nembo na 'dhana ya Utaifa'--Taifa la Tanzania. Vifaa vya Jadi kwa Kazi, kilimo na Ulinzi ni alama za kimajukumu kati ya Wanaume na Wanawake--hizi ndizo alama za mifumo na msimamo na wajibu ili kudumisha ustawi wa jamii. Maji ni alama yenye kuwakilisha kutokeako uhai wa mwanadamu--sisi wote huanza uhai kwenye tumbo la uzazi lenye maji. Maji haya huwa na kiasi cha Chumvi kama vile Bahari ilivyo na Chumvi... Muungano wa Tanzania Bara na Visiwani, ni maskoti ya Taifa Letu kufanya 'Mwenge na Bahari' njia yetu ya 'kuzaliwa Upya'. Basi vesika-paisisi, inawakilisha elementi za mafungu makuu manne ya zodiaki, robo ya chini ni kwa ajili ya 'Maji', ya pili 'Ardhi', ya Tatu 'Upepo' na ya juu 'Moto'...

Elimu 3.0: 'Ilimu ilivyo ni Metafizikia ya Elimu' inatuletea 'funguo' kwa ajili ya 'Ufunuo' ujavyo kwa nembo hii ya Taifa. Vesika-Paisisi, inawakilisha >'ufunguko wa jicho'< la nafsi-roho(sonafi) katika 'Utu wa Jamii'--jamii kama kitu kimoja. Leo hii, 2023 na kusonga, tutalifahamu hili kama >'Sovereini Jumuifu'<.

Kutengeneza njia kwa ajili ya 'Uamsho' ili kuelekea 'Ujamhuri Uliotaamulika' ni shughuli ya 'Akademi Wakati ya Kwanzania' ambapo 'ufunguko wa jicho' la 'Sovereini Jumuifu' utafunua mengi ambayo yametendeka na kutukia, yanatukia na yatatukia siku za mbele Kiwakati. 'Watu Mbegu-Nyota' wanaojinasibu kupita katika 'lango' watabaini ni namna gani >sisi sote ni watu mistikali<--sehemu ya sisi imeishi siku za zamani, inaishi leo na itaishi kesho; hali kule kupita 'langoni', wakati si kikwazo kwa lolote bali 'uwanja wa michezo'. Ufahamu kupita 'langoni' watuletea kujua, kuhisi na intuji kwa serendepi ya matukio--nasibu ya 'keosi ama mpangiko' katika kheri ya jamii. Jana, aliyekuwa aliyekuwa akiishi na kuenenda na roho ya 'mpelelezi' wa kikoloni tena wa kizungu, leo ni mtumishi wa umma na labda akiwa na machachari kama yale yale ya siku za nyuma... Aliyekuwa, maisha jana, ni mpelelezi wa kimisionari leo hii, anayonafasi kutafuta mbinu za kutokomeza umaskini ambao hakuukubali maisha yake ya jana na hata leo vilevile. Aliyepata kuwa mkali leo na kujinasibu sana na maendeleo ya vitu, kesho ndiyo mtu wa idara za maendeleo za tafiti za matiriali kwa ajili ya uhandisi na ujenzi wa vyombo vya uchukuzi -- kusafiri sayari hata sayari--akikumbuka na kujua kila kitu alichofanya 'jana', na kujua msukumo wake ulikuwa ukitokea wapi kwa kuwa yeye ni 'mtu wa nyumba' --ya 'Akademi Wakati ya Kwanzania'...

Kwa hivyo, vesika-paisisi ya Taifa imeegama juu ya Kilele cha Mlima Kilimanjaro kwa kuwa, huu ndiyo wakuwakilisha 'Uono wa Juu Kabisa' juu ya sura ya nchi. Kiutamaduni, Miungu ama walinzi wa Stawi za Watu kwa makabila hufunganishwa na ngano za makazi ya Mlimani. Ndivyo hivi, kwa imani za mataifa, 'ngome za ulinzi' huhusishwa na mahala pa muinuko... Israeli hutambua 'Mlima Sayuni' kuwa ndiyo mlima wao wa ukuu wa Mungu wao na Utawala wao. Wahindu wangalitaja Mlima Meru... WaTibeti, mlima Kailashi... Kuelekea 'Liberiti Afrika na Liberiti Yunivasali, mlima Kilimanjaro ni tayari ulishafanywa na >'WafanyaMbawa'< kuwa ni 'kielelezo na nanga ya nuru' kwa Muamko mkuu wa Bara hili la Afrika. 'Akademi Wakati ya Kwanzania' ni moja kati ya kadhaa nyingine Afrika, na kungine kote duniani... Kwa pamoja, zinashughulika na 'Pambazuko' la >'Nchi Mpya, Mtu Mpya'<...

Katika Nembo ya Taifa, ndivyo basi Mtu-mke na mtu-mume mkao wao ni 'kuukwea mlima Kilimanjaro', kupiga hatua juu kuelekea kileleni, na ujumbe wa 'Jambo Lote' kuwa ni kauli mbiu ya 'Uhuru na Umoja'...

Miguuni pa Mtu-mke na Mtu-Mume, upande wa kulia na kushoto pa mkunjurusho wa ujumbe wa 'Uhuru na Umoja' ni machipuzi ya mazao ya Pamba na Karafuu... Hii ni alama ya nasibu moja ambayo ambayo imekuwa ikisubiriwa... Hata kipindi hichi ambacho wengi wanaweza kudhani 'Ujamaa na Kujitegemea' ni 'Zilipendwa'; ELIMU 3.0 iko kutukumbusha: 'Uhuru na Umoja' ni mwanzo, 'Liberiti na Harambee' ni epitomi ya 'Mpango Mzima'... Tanzania Visiwani, ndiko kunakotuletea baraka ya 'Mapinduzi'... Kiongozi mkuu wa Utaasisi wa Taifa, ulituleta 'Mwenge', kutoka Tanzania sasa tunaye Kiongozi mkuu wa Utaasisi wa Taifa kutoka visiwani na halafu ni Mwanamke. Awamu hii ya sita ni ya 'Novelti'... Taifa lipo kwenye nasibu ya 'kuamka' na 'kuzinduka' kwa serendipi ya Kiongozi wa leo na sasa. Moja tu, linaweza kutamkwa, na roho zetu zikapona... KUITENGENEZA NJIA KWA UCHUMI MAMA...

Uwepo wa zao la Pamba na Karafuu ni lugha ya ishara juu ya 'Biashara na Uchumi'; vile vile alama ya kutukumbusha kuhusu >'usifa akili wa kisupashali'< ambao ndiyo ufunguo hasa wa namna za leo za bidii zisizozaa kheri ya pamoja. Karafuu ni zao Marashi, marashi ya Karafuu... Katika visomo ELIMU 1.0 vya Kemia, marashi ni jambo linalokuja na aina fulani ya mpangilio wa elementi za molekyuli kutambulika kama 'kampaundi aroma'. Huu ni mpangilio empirikali wa Hexagonali kwa elementi msingi za kampaundi zenye kaboni--elementi ya 'uhai'.

UCHUMI MAMA ni namna ya Uchumi utaowezekana kwa usanifu wa modeli za kishirika katika huduma na uzalishaji mali ilivyo ni 'Uchumi wa Kazi'. Duniani kote leo hatuna 'Uchumi wa Kazi' bali uchumi wa Biashara... Modeli hizi zitaakisi mafungu ya namba 'tatu', 'sita' na 'tisa', katika 'ushirika' ambavyo ni nasibu ya tenserakti za miundo ya kazi, ushawishi na koherensia ya kimfumo... Kwa kuwa kupitia ELIMU 1.0 hatuna kujua ilivyobora kuhusu 'Wakati', Uchumi Mama ni uchumi 'Mdundo' na 'Misukumo'--kama kwenye 'mapigo ya moyo' na 'mzunguruko wa damu' katika mwili. Kiuno na Ufikirifu Mifumo haya mawili yataratibiwa na 'ususi wa hifadhi za fedha' na 'mizunguko ya fedha' katika Uchumi Mama wa Jamii...

Sasa, kama vile ilivyokuwa katika kisa cha Josina kwa Kamarada Kalenga: 'Kwa Sababu ya mfumo...', Hakuna thamani ya mapenzi siku hizi ni fedha, fedha, fedha tu. Wanaume wengi siku hizi ni waongo, wahuni na bado wanadhani kuoa ni kununua. Mimi najiona nina thamani zaidi ya fedha

Inapokuja kwenye 'kuukata mshipa wa fitina' wa 'mifumo dume'--'kuwa' ama 'kutokuwa' hilo ndilo swali...

...
+++++

 
Ni vema kukumbuka, Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, katika serikali ya awamu ya kwanza, aliinasibu nchi na taifa kwa uchumi wa kijamaa, kama ilivyoanza na dhamira ya Chama cha TANU; na mikakati ya 'watu na maendeleo' ilipitia changamoto nyingi mbalimbali -- kuanzia Azimio la Arusha, na hata Uanzishwaji wa Vijiji vya Ujamaa. Yako, masuala yaliyoleta uzoefu katika serikali yake kuhusiana na adha za changamoto za 'ujengeaji jamii uwezo'. Moja lililosibu katika ugumu wa watu kuyaishi mabadiliko ya ujamaa ni dhana ya 'Utashi' katika jamii.

Utashi ni uhuru wa kujichagulia muktadha na sura ya ustawi wako, kulingana na fikra zako mwenyewe. Ni nasibu ya kuamua kufanya hili, ama kutokufanya hilo kadiri ya mawazo, fikra na upeo. Hili katika Makusudi ya kichama hubayanishwa kwa muktadha wa Imani ya Chama, Miongozo na Miiko. Chama cha TANU, na hata baadaye Chama cha Mapinduzi--baada kuungana Chama cha Afro Shiraz Party (ASP), vilijinasibu na 'Siasa za Ujamaa na Kujitegemea'. Lakini Je, nani anayeweza kujua yaliyoko moyoni na akilini mwa watu kunako safari ya mabadiliko makubwa ya kijamii na kwa Jamii pana yote kwa Ujumla?

Mwalimu katika ‘Uhuru na Maendeleo’ alipata kusema:

"If the purpose of development is the greater freedom and well being of the people, it cannot result from force. For the proverb tells the truth in this matter: you can drive a donkey to water, but you cannot make it drink. By orders, or even by slavery, you can build pyramids and magnificent roads, you can achieve expanded acreages of cultivation, and increases in the quantity of goods produced in your factories. All these things, and many more, can be achieved through the use of force; but none of them result in the development of people. Force, and deceitful promises, can in fact, only achieve short-term material goals. They cannot bring strength to a nation or community, and they cannot provide a basis for the freedom of the people, or security for any individual or group of persons.

Ikiwa dhumuni la maendeleo ni uhuru mkubwa zaidi na hali njema za watu, hili haliwezi kuwa ni matokeo ya matumizi ya nguvu. Kwani kuna methali inayotuambia ukweli katika jambo hili: unaweza kumpeleka punda hadi penye maji, lakini hauwezi kumfanya yeye anywe maji. Kwa maamrisho, ama hata utumwa, unaweza kuyajenga mapiramidi na barabara maridadi sana, unaweza kufanikisha maekari kwa maekari ya kilimo, na maongozeko ya kiasi cha mizigo ya mali izalishwayo viwandani mwako. Vyote hivi, na mengine mengi, yanaweza kufanikishwa kwa matumizi ya nguvu; lakini si lolote ya hayo huishia katika maendeleo ya watu. Mabavu, na ahadi za kilaghai, kiukweli hasa, zaweza kufanikisha malengo ya muda mfupi. Haviwezi kuleta pumzi ya uhai kwa taifa ama jamii ya watu, na haviwezi kutoa msingi kwa uhuru wa watu, ama usalama kwa mtu awaye yeyote yule ama kundi la watu.

There is only one way in which you can cause people to undertake their own development. That is by education and leadership. Through these means--and no other--people can be helped to understand both their own needs, and things which they can do to satisfy these needs. This is the kind of leadership which TANU and Government officials should be giving the people; this is the way in which we can bring development to Tanzania. But, although we must give this leadership, the decisions must come from the people themselves, and they themselves must carry out the programmes they have decided upon.

Kuna njia moja pekee ambayo inaweza kusabibisha watu kuchukua hatua za maendeleo yao wenyewe. Hiyo ni kwa elimu na uongozi. Kupitia namna hizi za mtumiko--na si nyingine zozote--watu wanaweza kusaidiwa kuyaelewa yote mawili, wanavyovihitaji na vitu wawezavyokuvifanya ili kikidhi haya mahitaji. Hii ndiyo aina ya uongozi ambao TANU na maafisa wa serikali wangaliwapa watu; hii ndiyo njia ambayo tunaweza kuleta maendeleo Tanzania. Lakini, ingawaje inatupasa kutoa huu uongozi, maamuzi hayana budi kuja kutoka kwa watu wenyewe, na wao wenyewe yawapasa kuziendesha programu walizojiamulia.

There are thus two factors which are essential in the development of people. The first is leadership through education, and the second is democracy in decision-making. For leadership does not mean shouting at people; it does not mean abusing individuals or groups of people you disagree with; even less does it means ordering people to do this or that. Leadership means talking and discussing with the people, explaining and persuading. It means making constructive suggestions, and working with the people to show by actions what it is what you are urging them to do. It means being one of the people, and recognize your equality to them.

Kwa hivyo basi kuna vigezo viwili ambavyo ni vya umuhimu katika maendeleo ya watu. Kwanza ni uongozi kupitia elimu, na pili ni demokrasia katika ufanyaji-maamuzi. Kwani uongozi haumaanishi kupigia watu kelele; haumaanishi kuwaweka pabaya mtu mmoja hata mwingine au makundi ya watu usiyokubaliana nao; na hata kidogo kumaanisha kuwaamrisha watu wafanye hivi ama vile. Uongozi una maana ya kwamba kuzungumza na kujadili na watu, kueleza na kuhimiza. Una maana ya kwamba kufanya mashauri pendekezi yenye kujenga, na kufanya kazi bega kwa bega na watu kuonesha kwa vitendo ni kipi wewe unawataka sana wao kufanya. Unamaanisha kuwa kitu kimoja na watu, na kutambua sura ya usawa wako na wao."


Basi Mwalimu Nyerere alipotaja maadui watatu -- umaskini, ujinga na maradhi—alilizungumza hili kwa minajili ya walau adha mbaya ya kutokujua kusoma ama/na kuandika--ELIMU 1.0. Hili akilipambanua kama uhitaji kwa wanajamii waweze kutambua mahitaji yao—kupitia visomo na kutaarifika; na pia kuvijua ama kutambua vitu wanavyovihitaji kwa ajili ya kukidhi mahitaji yao. Na basi hili pia ni kwa ajili ya kupanua mawazo yao ili waboreshe muktadha wa demokrasia na ufanyaji-maamuzi.

Leo, kutaka kwetu kujinasibu na 'Kujua Ilivyo Bora' tutafahamu fika: kuboresha muktadha wa demokrasia na ufanyaji-maamuzi ni zao la 'Uono na Ufikirifu Mifumo'--ELIMU 2.0. Kwa kuwa 'Kitendawili cha Utashi' katika mtu hakitenguliwi na 'maoni' wala 'siasa za mkumbo'. Hili tunalibaini kupitia hii 'zana' kwa fomula ya kubaini konstrakti za jamii kama vile 'Fremu-Kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo', ilivyo ni Jiometria ya Utendekavyo Maamuzi Jamii. Hii ni 'Sayansi' na 'Hekima' ya kubaini msimamo ama mwendendo wa mwanajamii ama jamii, kadri ya muktadha wa lile analolijua na lile asilolijua kwa wakati.

Ni ELIMU 2.0 ndiyo inayoweza kutukumbusha na kuonesha njia, Taasisi yetu ya Uongozi inayobeba jina la Mwalimu Nyerere, The Mwalimu Nyerere Memorial Academy MNMA, haina budi 'kujiongeza' kusudi 'Maarifa ya Uono na Ufikirifu Mifumo' yawe ni msingi wake wa chachu ya Elimu na Maendeleo ya watu--mbali kupitiliza Visomo 1.0. Sasa "Uono na Ufikirifu Mifumo" daima hupelekea mtu kwenye ELIMU 3.0 ikiwa 'Mtafuta Mwangaza' akili na nidhamu yake vina koherensia katika 'vina ya tafsri' na 'dhamira'--Kumnasibu yeye na "Ilimu ilivyo ni Metafizikia ya Elimu". Safari ya Mtu katika 'Kutaamulika' daima ina vituo vitatu; cha kwanza ni 'kujaribu jaribu mambo kwa kusadiki'--hili ni daraja 'sheria', japo si lazima kuwe kuna ukweli kamili kulingana na sheria zenyewe. Kituo cha Pili, tunaweza kukiita ni 'Njia ya Imani'; hapa ndipo mtu hujinasibu na nidhamu, matendo na usafi wa moyo wenye kusudi -- kusudi la ' kutafafuta kujua ilivyo bora'. Kituo cha tatu, tukiite ni 'Hakika'--hii ni hatma ya safari ya mtu kispirichuale, ambapo mtu mwenyewe awa ile kweli yenyewe--aiishi kweli na yeye ni Kweli...

HIli litusogeze kwenye umuhimu wa kubaini misingi ya 'Watu, Shughuli, Usimamizi na Menejimenti'; Mwalimu Nyerere, >akipata kukiri<:

When we tried to promote rural development in the past, we sometimes spent huge sums of money on establishing a settlement, and supplying it with modern equipment, and social services, as well as often providing it with a management hierarchy. In other areas, we just encouraged young men to leave the towns for a particular rural area and then left them to their own devices. We did these things because we recognized that the land is important to our economic future, but we acted on the assumption that there was a shortcut to development in these rural areas. All too often, therefore, we persuaded people to go to new settlement by promising them that they could grow rich there, or the government would give them services and equipment which they could not hope to receive either in towns or in their traditional farming places. In very few cases was any ideology involved; we thought and talked in terms of greatly increased output, and of things being provided for the settlers.

Tulipojaribu kuinua nguvu kwa maendeleo vijijini siku za nyuma, wakati mwingine tulitumia fedha nyingi sana kwenye kuanzisha makazi, na kuyapelekea mitambo ya kisasa, na huduma za kijamii, na vilevile kuyapatia hiraki za menejimenti(utawala wa ngazi juu ya ngazi). Katika maeneo mengi tuliwatia moyo vijana kuhama mjini kwa ajili ya kwenda eneo hili na siyo lile la vijijini na kisha kuwaacha na vitu vyao vya mbinu-kazi. Tulifanya haya kwa kuwa tulitambua ardhi ni muhimu kwa mustakabali wetu wa kiuchumi, lakini tulifanya hivyo tukichukulia kwamba hakukuwa na njia ya mkato kwa maendeleo katika haya maeneo ya vijijini. Karibia mara zote, kwa hivyo, tuliwahimiza watu kwenda kwenye makazi mapya kwa kuwaahidi kwamba watakuwa matajiri huko, ama serikali ingaliwapa wao huduma na mitambo ambavyo wasingaliweza kupokea aidha mijini au katika sehemu zao mashamba ya kienyeji. Ni kwa kesi chache labda kulikuwa na kisomofikra chochote kuhusishwa; tulifikiri na kuzungumza kwa minajili ya ongezeko kubwa la vitokezi, na vitu vyakutoa kwa wakazi.


ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, inatuletea mwangaza wa kubaini sura na mienendo ya jamii yoyote na katika muktadha wowote wa kisomo cha shughuli. Hii ndiyo, kiurahisi kabisa, inaweza 'kufungua macho' je, ni kwanini harakati zetu za ujenzi wa vijiji vya ujamaa na Taifa la Kijamaa vilikwama vibaya sana... Na hapo hapo ikaonesha njia ni namna gani 'fikra za Ujamaa na Kujitegemea' zinaweza kuhuishwa katika Taifa na Jamii zake zote.

Tuangalie kwa mfano, fremu-kazi ya visomo menejimenti ilivyo ni >P.O.L.C<...
POLC 2.jpg


ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo inayoweza kutanua uwanja wa fikra za mtu na jamii hadi katika mapana sahihi ya 'Uzima wa Sayari ya Dunia' na 'Mfumo wa Jua'; kwa kuwa lolote ambalo tutaliona na kulifikiri kwa sehemu kiutu, jamii ndogo, taifa na 'taifa kama dola' bado ni 'kujua mambo kwa sehemu'. Hili lafanya kutulazimu kule kuona kwamba ili nchi iendelee inahitaji watu, ardhi, siasa safi, uongozi bora, ni 'kujua ukweli kwa sehemu'--ni ELIMU 1.0. Walau, tunapoanza kujinasibu na 'kujua ilivyobora' basi tunaangazia muktadha wa maisha ya mtu kwa >'Mfumo-Iko'< katika visomo 1.0 vya Ikolojia, vile vile 'sayansi mazingira-jamiimtu'. Humu ndimo tunaanza kubaini walau misingi ya >fremu-kazi ya Uisho wa Mtu<--Mtu na Mikakati ya Kuishi, huku akitegemea namna ipi ya rasilimali--za asili ama vinginevyo(?)

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo utakaotupa mwangaza ni kwa vipi dhana zetu za kitaifa kuhusu 'Ujamaa na Kujitegemea' ni jambo linalowezekana, lakini namna yake ya kuliendea linahitaji 'nidhamu' ipi hasa. 'Ujamaa na Kujigemea' haiji kwa 'mhemuko ya kisiasa' bali nasibu ya 'kujua ilivyo bora'. Iwe kijijini ama Mjini, dhana ya ujamaa na kujitegemea ni jambo linalowezekana kwa 'Mipango ya ki-Mazingira na Usimamizi wake' ambavyo tunaweza kutathmini mitandao ya utegemeano wa kijamii katika kujitosheleza na kustawi na basi kupanga mipango ya maendeleo inayoakisi 'shauku' yetu kwa kadiri tunavyojua ilivyobora. Kwa hapa Tanzania, hili Mwalimu Nyerere aliitaasisha kupitia dhamira yake kuona tunakuwa na mikondo yetu wenyewe ya visomo na kuharikisha maendeleo mjini na vijijini--kupitia >Chuo cha Mipango cha Dodoma<.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo siku za mbele--utakifanya Chuo cha Mipango 'kujipambanua' zaidi ili kikadirishe kutimia kwa 'ndoto' ya Mwalimu Kambarage Julius Nyerere. Chuo hichi tayari kimeishaiva kwa visomo 1.0, kwa Elimu ya Masuala ya Jamii, lakini bado kwenye 'visomo-mbinu za utafiti' msimamo na mkazo kwa 'Uono na Ufikirifu Mifumo' haujatengemaa. Hili likija kutengemaa, hakutakuwa na ugumu wowote katika mwongozo wa tafiti na dizatisha zake. Kwa kuwa, Uono na Ufikirifu Mifumo, unarahisisha kwa ile fremu-kazi inayoweza kuongoza ufasaha wa namna ipi ya data itafaa kwa kisomo, ili kuakisi 'utabia upi wa muono ama hisia', na matokeo yapi 'mabadiliko ya Kijamii' kuhusishwa na kisomo. Haya ndiyo kwenye visomo 1.0 vya jamii, hutajwa kuhusiana na mambo ya 'Perceptions, Awareness, Sensitization' n.k -- kwenye fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, ni ulali wa 'Kujisikia' na 'Vina vya Tafsiri'...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo utakaoimarisha muktadha wa 'data kwa ajili ya visomo', na mbinu za kukusanya data--iwe ni kwa kuja na majibu kulingana na maswali rahisi kwa wadadisiwa katika jamii, mahojiano ya moja kwa moja na Mtaarifu-funguo, vikundi mitazamo, ama Utizamaji wa kujihusisha na mazingira ya jamii kisomo(namna ya wazi wazi ama kwa kujificha). Utatusho wa 'namna za data', kwa uono na ufikirifu mifumo, hauna budi kuakisi mawezekano ya seti tatu za visomo juu ya 'vina vya tafsiri ya jambo/suala la jamii katika kisomo', 'Mambo yafanyayo tabia za kishirika za wanajamii' na 'Kubayanisha Mapengo ya Maarifa ama Habari' ili kukidhi majibu kwa 'Dhamira ya Jitihada' ya mfanyakisomo kushauri hatua za kuchukua ili 'kuingilia kati adha/matatizo/masuala' ya jamii.


ELIMU 2.0: Uono na Ufikrifu Mifumo, ndiyo unatuletea busara rahisi ni kwa nini, makusudi matatu ya kisomo, yanatosha kukidhi muktadha wa Jeometria ya Utendekavyo Maamuzi Jamii. Kwanza ni 'kusudi la kuisoma jamii kitaasisi ili kufaa kisomo cha sura na muktadha wa adha|matatizo|masuala ya jamii. Pili ni 'Kusudi la kuzisoma, kiwakati, hali za mitazamo, hisia na dhamira za jamii, na vina vya tafsiri'; na tatu, ni 'Kusudi la kuzibaini changamoto za mazingira ya ndani na nje ya jamii ya ustawi wa jamii kisomoni'. Kwa makundi matatu seti za data, hayana budi kukidhi uhitaji wa kisomo kwa ajili 'Utendekavyo Maamuzi Jamii' ili kukinasibu kisomo na Uono na Ufikirifu Mifumo juu ya 'Hitaji lolote la Mageuzi ya Kijamii'. Lengo la msingi kwa makusudi haya matatu ndilo lafanya 'Shabaha' ya Kisomo chenyewe, 'Kusudi Kuu mahsusi' la Kisomo. Kwa hivyo Kusudi kuu Mahsusi la kisomo chochote, kiuono na ufikirifu mifumo, halibudi kuakisi muktadha wa 'Taasisi', 'dhamira Uono wa Msoma na Msomwa', na 'kitendo cha Kuazimu Mageuzi ya Kijamii'. Haya yote kukidhi usemi; yule mwenyekujua ilivyobora, hutenda ilivyobora--mwenyekujua ilivyobora, huchagua ilivyo bora; na kupanga ni kuchagua.


ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, ndiyo inatuletea busara, maadili na liberiti ya mwanakisomo. Msoma ni Msomwa, shughuli kisomo ya mtu yeyote ni muakisiko wake wa 'upeo wa kuona, vina vya tafsiri na dhamira' yake juu ya kisomo husika. Mtu afanya kisomo 2.0 kwa manufaa yake binafsi, jamii na kile kilicho ni hasa katika kuinasibu jamii na mageuzi yenye kheri. Ikiwa kwa mfano, mwanakisomo anatafuta kiujua jamii ilivyobora, yeye mwenyewe pia hana budi kuwa mwenyekujijua ilivyobora. Kwa ELIMU 1.0; hili halina thamani hasa, kwa kuwa thamani yafanywa kuwa 'nje ya mtu' na siyo mtu mwenyewe. Thamani yake imefungashiwa na 'siasa za kitaasisi', 'sifa za kuvishana vilemba vya ukoka' na 'usahihi wa kisiasa' wa matarajio ya visomo.


Bidii katika ELIMU 2.0-- kuelekea 'Ujamhuri uliotaamulika', ujuzi wa visomo na maarifa, si suala ya 'kutunukiwa' cheti; eti kana vile 'astashahada', 'shahada' n.k bali uwezeshaji unakuwepo kwa kila mtu kuzitambua 'mbinu-visomo' na kwa 'uhuru' wake. Uhuru wa kufanya visomo vyenye kuleta koherensia ya miundo ya kazi, shughuli na fanaka ya jamii. Thamani katika uingiliano wa 'taswira za jamii', kwa sifa na ubora wa madaraja ya kiutu -- ya 'Wanajamhuri iliyotaamulika' iko katika kile anachokidhirisha mtu wa mwangaza kwa nidhamu yake ya (1) 'Sinejia' katika vitendo, na (2)'kuthamini mfumo hai ya jamii' na (3)"Furaha ya Kuishi na Kutafuta kujua ilivyobora'... Kwa kuwa, kama vile tusemavyo Wabantu: Ada ya Mja Mwema ni Uungwana, na uungwana ni vitendo... Yesu ananeno katika hili; ikiwa watu watakaka kujua dhamira yako kuu katika nidhamu yako ya kuwa 'Nuru' na 'Chumvi' ya dunia, yaishi matendo ya fahari yake... Kwa matunda yake, watu wa nasibu ya kujua ilivyobora, watapata kukujua. Kuliazimia hili katika nidhamu ya utu, visomo na taamuli ni tiba dhidi ya 'Ufarisayo wa Taaluma', 'Ushamba wa Visomo vya Fahari ya Jina' na 'Unafiki katika Mifumo ya Tawala na Maendeleo'. Kwa kuwa haya huleta ubatili wa 'vyeo vya kibwege', 'madaraka ya kulevya', na 'Kumbukumbu-jina za Uongo na Kweli' juu ya yale waliyoyaishi na kutaka wengine 'waamini' ni 'mafanikio' ama ni ‘makuu’...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ndiyo utatuletea busara ya 'sifa, hadhi na daraja la utu na ufunuo' ya kufanyika ndani ya mwanakisomo katika kujua ilivyobora; na pia 'kutafuta kilicho ni hasa' juu ya 'hatma ya jamii' na 'nasibu ya mageuzi makuu'. Kisomo cha dhahabu, shina lake, ni utu--utu ilivyo ni 'moyo na akili'. ELIMU 1.0, haijinasibu na 'moyo' bali 'akili--kwa vina vya tafsiri'. Kiuono na Ufikirifu, 'Kujisia' ndiyo vekta inayompatia mtu 'antena' kupata 'data' ama 'kujua' hata yale ambayo zana za visomo 1.0 haviwezi kubaini. Kwa hivyo katika utafiti wa ki- ELIMU 1.0; kuna 'data' nyingi za msingi na umuhimu daima huwa hazidakwi na wadadisi kwa kuwa wanavisomo 1.0 hufundishwa 'kuwa vipofu' kwa mambo ya ndani ya hisia. Hili kwa sehemu ni 'njama' ya vinara wa 'mifumo Babiloni', kwa kuwa kupitia hili wamefaulu na wanaendelea kufaulu kudumisha paradaimu za Elimu, zisizo na ufunguo 'Wa kweli na Bora' wa Maarifa. Mtu wa visomo, visomo 2.0 hana budi kujifunza kutumia hisia zake hata zaidi ya kawaida--na aamini hili linawezekana. Ndiyo, hisia za ndani nazo zina nidhamu yake ya kubidi 'kujitakasa'--lakini hili siyo jambo la 'dini', labda ni jambo la 'udini' wa mtu mwenyewe na si kama vile 'ufikirifu pofu wa kimakundi'. Hili ndilo lafanya Uono na Ufikirifu Mifumo ni jambo la hadhi mbili kwa wakati mmoja: 'Uono Mifumo' na 'Ufikirifu Mifumo' katika mtu--si watu.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ndiyo utatuletea busara ya 'kujua kwa jinsi ya rohoni' na namna za kuwasilisha yale ambayo 'macho' hayajapata kuona, 'masikio' hayajapata kusikia na 'akili hazijapata kufikiria'--kwa yeyote mwenye kutafuta kujua ilivyobora, na tena kwa ajili ya kuheshimu utashi wa jamii. Mwanavisomo 2.0, utizamaji wake wa kujihusisha na mazingira ya jamii, kadiri ambavyo anajijua yeye na hisia zake za mwili, uwezekano unafanyika kwake wa kubaini nidhamu, maadili na miiko katika 'Sanaa ya Kujichanganya' ili kuidadisi jamii kisomoni. Hili ndilo lafanya mtu na watu wenyewe kuwa ndiyo kitovu cha visomo na si mambo... Mdadisi wa jamii, kwa visomo 2.0 ni mpelelezi asiyebudi kubaini fika vile 'tabia' za mtizamwa hubadilika akifahamu kuwa anatizamwa. Wote wawili, mtizama na mtizamwa wanaweza kuathiriana tabia za kadirisha 'uono na ufikirifu mifumo'. Kwa hivyo, kufanya kisomo kwa kupishanisha 'wakati', unafaida na hasara zake... Kupishanisha wakati ndiko huku, vijana wa leo husema 'Ukiona Manyoya, Ujue Keshaliwa'... Sasa, katika ulimwengu wa leo wa visomo 1.0 hili linaweza hata kutumika vibaya katika kuhitimisha ukweli wa visomo--ndivyo kwa nini, mtu wa visomo 2.0 hana budi 'kuamsha' hata hisia zake zisizoza kawaida ili 'akusanye data safi'...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ndiyo utatuletea busara ya 'Wakati'; kwamba dhana ya wakati katika maishi yetu huja kwa misingi ya 'majira'. Vitu katika ulimwengu supashali, vya namna za uhai hufanyika kwa majira--kwa hivyo kuhesabu 'mapana' ya wakati kwa saa, siku, miezi ama miaka ni konstrakti ya jamii. Mipango yetu kwa shughuli, huwa na umakini ikiwa tunaoujuzi wa kupangilia mambo kwa wakati. Iwe ni ratiba ama kalenda ya matukio, ujuzi wetu wa kuona 'mapana' ya jambo kwa kulitangulia huboresha umahiri wetu wa kuzimudu shughuli. Uono na ufikirifu mifumo, utatupatia mwangaza namna gani 'kucheza na wakati' kunaweza kubadili 'sura na mienendo' ya ustawi wetu. Kwa mfano, badala ya kupanga kutoka nyuma kwenda mbele pekee yake, kupanga na kutoka mbele kuja nyuma kunaimarisha mfumo wowote hai. Tunapo asisi shughuli zisizo na ukomo kiwakati, halafu tukaazimia ziwe na nasibu ya 'kukua' na 'kuongozeka' hizi zinaweza kuzaa 'saratani' katika mapana ya ustawi wa jamii; ama hizo kudumu kwa kuua nafasi ya nyingine kujitokeza. Vivyo hivyo, hizo zaweza kuwa kugeuka kuwa ni 'shinikizo' kwa afya ya wanajamii ikiwa sura ya uhai wake haibadiliki kuwa kitu kingine chenye mwanzo mpya. Hili likifungamanishwa na ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu, tunapata ufunguo kwa adha za 'Zimwi likujualo halikuli likakwisha'... Kwa kuwa, udumufu wowote wa kijamii katika vitendo vya kimahusiano na kurudiwa rudiwa kiwakati huhuluku >'igregore'<. Ikiwa watu wanajua kuazimia 'mwanzo na mwisho' wa mapana ya shughuli, wataondoa adha ya 'maradhi ya jamii' wasiyo yabaini moja kwa moja ila labda kwa sura ya 'uchovu' ama 'tabia kengeufu' kutokana na kule kukabiliana na mashinikizo ya kikazi.

Uono na Ufikirifu Mifumo, wenye kufungamana na ELIMU 3.0 utaleta hekima ya ubunifu wa 'uhai wa vyombo vya ushirika, kazi na shughuli' vyenye kujinasibu na kuzaliwa, kukua, kukomaa, kugawanyika, na kufa... Kwa kuwa namna hii ya ubunifu ndiyo hata maumbo ya asili kiuhai hudumu na kustawi. Ndiyo fundamentali ya >'Mfumo-Iko'<, na kitu kinachokosekana katika maarifa ya visomo 1.0. Kwa ELIMU 1.0, Uchumi wote, kwa jinsi unavyofundishwa, kutekelezwa na kutetewa kimashauri ni >'Uchumi Mauti'<... Kwa hivyo ELIMU 3.0 inatuletea ufunguo wa Ufunuo: Utamu wa Maisha kwa Viumbe ni Kukua, Kustawi katika Mwanga, kuzaliana na Kufa. Metafizikia ya Uzima wa Kiumbe ni kuwa: Kuzaliana (Uzazi) ni lango la 'marudio' ya mapana ya 'kuzaliwa' na 'kufa'. Sisi Wabantu tungalisema, hakuna marefu yasiyo na ncha... Kwa 'akili zetu za hisia na siyo kujua' tungalidhani 'kuzaliwa na kufa' ndiyo mwisho wa safari wa kiumbe na hamu yake ya kuishi; metafizikia ya maumbo kwenye akili zetu zenye kutaka kujua ilivyobora itatuletea ufunuo ni jinsi gani 'sonafi' ya kiumbe ndiyo daraja la kutangamanisha 'skeli za uchumi wa miundo na mienendo ya maumbo' na dhahiri katika 'wakati'... Kuwa kama mfano, japo kukua kwa miti ni sehemu ya 'hamu na ndoto' ya dunia kuzifikia nyota za mbinguni, hakuna mti utakaokuwa mrefu hadi kufikia 'nyota'--hili lingaligharimu rasilimali, rasilimali-dunia, kila kitu na halafu hata azma yenyewe kutokuwezekana kutimia. Hivyo, 'ndoto na hamu' ni vinasaba katika siri za maumbile ya mifumo hai, lakini maumbile yote huwa na mwanzo na mwisho kiuhai--kimapana ya muda. Sonafi ya kiumbe ndiyo huratibu 'vinasaba' na 'majira' ya uzima wa kiumbe, na kumbe hata kiumbe kinapokufa, hamu na ndoto ile ile humea katika mwanzo mwingine wa 'uzao' wa namna moja ya kiumbe. Sonafi ni daraja la kimetafizikia ya 'miundo Uhai' na 'Wakati'--'Neno la Uzima' kwa kiumbe chochote chenye nasibu ya 'ufahamu' na 'pumzi ya uhai'; ilivyo ni siri za msukiko wa maumbile na nasibu zake za kudhahirika katikati ya 'Mbingu na Nchi'. Swali si Je, kati ya 'kuku' na 'yai' kipi kilitangulia kuwepo(?)... Katika kuku, 'metafizikia ya kuku ipo', kadri vivyo hivyo kwenye yai -- kama 'Neno la Uzima' ilivyo ni 'Nelibini ya kuku'-- iwe jogoo ama tembe -- muktadha wa yanayonekana na yasiyoonekana. Kwa Vyote vilivyopata kufanyika, vifanyikavyo na kuja kufanya--'Neno la Uzima' lapitiliza 'wakati' na 'Kweli' za nje za >'wakati na matukio'<. Hili kujakutushangaza ni namna gani Dunia hadaa, Ulimwengu Shujaa...

ELIMU 2.0: Uono na Ufirikirifu Mifumo inafanya uwezo kwetu wa kuweza kubainisha sura na mienendo ya jamii kulingana na 'utaasisi wa mifumo ya fedha'. Fedha imeleta mapinduzi makubwa katika ustawi na maendeleo ya mwanadamu; lakini kwa jamii yenye kutawaliwa na ELIMU 1.0; fedha huwa ni wakala wa 'vifo vya kiroho' vya wanajamii. >'Shilingi Maua, tena Yaua'<. Ni uono na Ufikirifu, ndiyo unaoweza 'kupindua meza' za 'walanguzi, watoza ushuru, na wakusanya sadaka' za mifumo ya kusadikika, kutufikia kwa kujinasibu kwetu na >'igregore'< za Ubatili wa '>'MCHE MRABA--KUBU'< kwa ELIMU 1.0. Hili ndilo Yesu alikemea na kuonesha ghadhabu ya 'kuzipindua meza'... Mwalimu Kambarage Nyerere hili la mifumo ya fedha aliliona kwa fasaha yake na kuandika tafakuri:
Nyerere aliona ipo shida kwenye kontrasti baina ya 'mifumo na desturi ya kaya za Kiafrika' na 'mifumo ya uchumi-misingi- fedha' kwa 'Afrika Mpya'. Kwake ilikuwa kana kwamba ni badiliko la kimifumo ya maisha lisiloepukika na hali laleta changamoto za 'kiuadilifu' na 'utendaji' katika miundo ya kiserikali na taasisi. Na hivi yeye aliandika hivi:​
"This change is not just economic. By introducing the possibility of hoarding wealth through money, by encouraging the acquisitive instinct in man, and by basing social status on material wealth, the very basis of traditional social life is undermined. The economic inequalities between men become so great that man's basic equality imperceptibly transformed into a merchant and client relationship. It is then impossible for all members of the society to discuss together as equals with a common interest in the maintenance and development of society. The common interest has been at least partially replaced by two interests, those of the 'have' and those of the 'have-not. The unity of the society has been weakened because the quality of its members has been broken."
"Badiliko hili si tu ni la kiuchumi. Kwa kuleta uwezekano wa kulimbikiza utajiri kupitia fedha, kwa kuchochea moyo wa utundu wa kuotea jinsi ya kujikusanyia vitu, na kwa kuweka misingi ya 'hadhi ya kijamii' kwenye utajiri wa kimatiriali; msingi ule hasa wa 'desturi jamii--wa asili' unapotezewa. Uto-usawa wa kiuchumi kati ya watu, wajakuwa ni mkubwa kiasi kwamba ule msingi wa 'usawa wa kibinadamu' hukimbia jicho la tafsiri; ambavyo hubadilika kuwa ni uono wa kimahusiano baina ya 'bepari-mfanyabiashara' na 'mgema-uteja-biashara'. Basi yawa ni muhari kwa wanajamii kujadili kama watu waliosawa -- wenye maslahi mamoja katika udumishaji sura-jamii na maendeleo ya jamii. Maslahi ya pamoja ndiyo basi, kiaina, yameshagubikwa na maslahi ya namna mbili, ya wale 'wenye nacho' na wale 'wasio nacho. 'Umoja wa jamii' umeshadhoofishwa; kwa kuwa namna ya hadhi ya wanajamii wake imeshavunjika vipande viwili."

Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, wema na ubaya wa fedha ukodhahiri; hili 'kuwekwa sawa' katika jamii, kuna mkumbusha yeye topografu ya Kuzaliwa na kufa kwa maumbo ya uhai. ELIMU 3.0, itatupatia funguo za ufunuo ni namna gani 'wema na ubaya' wa jambo linalodhaniwa ni ovu 'lifufuliwe' katika uzima mpya. Uzima mpya, kwa mifumo yote ya mauti, huwezekana kwa 'Hekima' ya kutangamanisha 'Mwanzo na Mwisho' wa chochote chenye kunasibika 'Uzima' na uhai. Uono na Ufikirifu Mifumo, utakadirisha viini vya 'mbegu' za mapana ya ustawi--tutakachokiita 'Mpangiko Uhalisia templeti wa chombo'; wenye kuzungumza hili kwa lugha ya Kiingereza wangalitaja kusema 'Instrumental Template Order Reality'... Maarifa yote ya usanifu wa kivyombo, ili yawe kheri, hayana budi kuakisi 'asili'; yaani yapate kufanana na mifumo ya asili ya uhai.

Kwa mfano, bluprinti ya mifumo ya fedha katika UCHUMI HAI -- UCHUMI MAMA, hulandana na seti za tololojia fikirifu kwa topografu za Mwili Hai -- 'Moyo na Damu' katika anatomia ya Mwili. Mwalimu alikuwa na magutu juu ya hili, lakini 'wakati haukuwa sahihi kwa maarifa haya kumfikia yeye na wengine wa nyakati zake'. Kwa hivi hili yeye daima alikuwa akilibaini kama 'Mwili Mmoja, Viungo Mbalimbali'--Ontolojia na Metafizikia ya Uongozi katika 'Ushirika wa Kiroho'... Kwa kuwa shauri hili, lilikuwa pia kwa Paulo; akielekeza kuhusu 'Kristu' na 'Utawala' mpya... Kwenye Kitabu cha 'TUJISAHIHISHE'; Mwalimu alikuwa 'akitafuta kurekebisha mitambo ya tabia' ya 'ulimbukeni wa tawala' angali mapema. Sisi wabantu tuna methali, Samaki Mkunje Angali Mbichi…

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, tunatafuta kubaini 'nguvu' na 'misukumo' ya kifedha ina kuja kwa 'vitovu' vipi Utaasisi wa Kijamii, na kufungamana vipi na hiyo. Jambo hili ndilo lililoleta mvutano kati ya Jefferson na Hamilton wakati wa Kuanzishwa kwa Taifa la Merekani. Kule Amerika, jambo hili linalotengenezewa njia katika Bara la Afrika, lilitengenezewa njia Merekani. ELIMU 3.0 itatupatia funguo kwa ufunuo kuhusiana na 'wacheza mchezo' wa wakati mmoja kule Amerika ndiyo wale wale wanacheza mchezo huku... Hispania iliendelea barani Ulaya kwa 'fujo za kikoloni' walizozifanya Amerika ya Kati, ambapo uporaji wa dhahabu, mateso na maangamizi ya wazawa wa kule 'kulitengeneza hazina' ya tawala za Kifalme Hispania. Waingereza walipotamani na wao waende 'India ya Magharibi' wakakombe visivyo vyao, walifikia jimbo la Virginia lakini sasa kule hakukuwa na dhahabu, bali ardhi ya bwerere na jamii zisizokuwa na makuu za Wahindi Wekundu. 'Wanamapinduzi' kutoka Ulaya walijipenyeza katika 'Siasa za Tawala' za 'Nchi Mpya' kwa kuwa 'malaika watu' wa 'Kumaliza Vita za Wenyewe kwa Wenyewe' za wahamiaji--wote wakiwa ni wahamiaji katika kutafuta utajiri na mafanikio nchi ya wazawa wa Kihindi--Wahindi Wekundu.

Merekani, iliinuka na kustawi kwa kuanzia chini kabisa badala ya kuwa koloni la 'Muingereza'. Kwa 'ndoto ya dhahabu kuota mbawa', nchi hii kutoka awali ilijinasibu na 'Ujamhuri', 'Utawala wa Sheria' na 'Ubunifu na Mbinu za Kazi' kama 'ngome ya pamoja ya maendeleo na ustawi' kwa majimbo yenye kufanya Muungano ulio nishirikisho la Utawala wa Majimbo katika Amerika. Sasa, sisi kama watu wa Taifa Changa la Tanzania, tunayoyakujifunza kutoka kwa mataifa yaliyodumu kwa muda mrefu. ELIMU 3.0 itatupatia ufunguo kwa Ufunuo wa kushangaza siku za mbele... Miaka hii yote, takriban 400, watesi ndiyo wamekuwa wateswaji--na kinyume chake vivyo hivyo. Janga la Utumwa na Biashara ya Utumwa, wote huo umekuwa ni mchezo... Watu wote ambao leo hii wanakata shauri kuwa 'watu wema' ni kwa kuwa 'wamezicheza pande zote mbili' na wakati umefika, wanakata shauri 'kujua ilivyo bora'... Afrika Inajengwa na Itajengwa zaidi na watu wenye kutafuta kusahihisha 'makosa ya jana'... Afrika tayari inayorasilimali 'watu wa njia' kulinasibu hili bara na maendeleo yasiyotegemea 'Unyonyaji' ama 'Udhalilishaji wa Utu'...

Kwa uono na Ufikirifu Mifumo, hekima inafanyika kutambua ni namna gani taifa moja linaweza kuendelea na jingine kukwama na hali watu ni walewale kimaumbile, jiografia, na mifumo ya msingi ya maisha. Kwa kuwa jibu rahisi linadhihirika kupitia 'Ontolojia ya Taasisi' za jamii. Hili ndilo lafanya fremu-kazi ya 'uono na ufikirifu mifumo' kuwa zana rahisi ya kuwapa wepesi wanajamii wazungumze masuala ya jamii na maendeleo kwa ufasaha--ufasaha wa kuweza kubaini ukweli wa mambo na si porojo za 'mijadala ya hoja' ama 'midahalo'. Jamii inahitaji ujuzi na uwezo wa kubaini jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii na si hasa porojo za 'demokrasia za kiliberali'. Ikiwa jamii itajinasibu na muktadha wa fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, mazungumzo ya wanajamii yataanza kupata umakini na koherensia ya mashauri yenye kuakisi kujua ilivyobora... Na basi jamii itakuwa na nyenzo ya kujenga ushawishi kwa sura na mielekeo bora na fasaha ya maendeleo na ustawi wake.

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, hekima inafanyika kwetu kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton; kwa kuwa Jefferson kama Mwalimu Nyerere, hawakupenda mifumo ya fedha na riba--mikopo na riba. Hamilton alitetea mifumo ya 'biashara' na 'fursa' na huku serikali ikijenga 'miundo mbinu' kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya watu. Sasa, vile vile kama ilivyokuwa kipindi cha Taifa Changa la Tanganyika, maarifa ya kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton, wakati ule haukuwa sahihi kwa haya kupata kufunuliwa. Fedha ni rasilimali ya kuwezesha mawasiliano na mahusiano ya kibiashara. Kiuono na Ufikirifu mifumo, soko ni kutaniko la mnunuzi na muuzaji na biashara ni kuuziana na kununua. Biashara ni Utaasisi, ndiyo maana biashara ni mkataba kati ya pande mbili, za muuza na mnunuzi ambapo vigezo na masharti huzingatiwa. Pasipo vigezo na masharti hakuna biashara... Pasipo Taasisi imara za Biashara, jamii zinaweza kuingia kwenye adha lukuki za utaasisi wa biashara kama vile kutotimiza wajibu wa kimkataba na makubaliano, ukosefu wa uaminifu kati ya pande mbili, na kuingizana hasara. Hili kwa mfano ndilo linafanya ni kwa nini mahakama za kibiashara ni taasisi muhimu sana kwa nchi ya kibepari na tena inayotetea ubepari... Kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton, kiuono na ufikirifu mifumo ni shughulika na vinasaba vya miundo ya biashara na mahusiano yake--'masoko' na 'vyombo biashara ama mtu'; viwili ambavyo kisheria kwa mfano, vinaweza kusimama kushtaki ama kushtakiwa...

Kwa uono na ufikirifu mifumo, tunaweza kushughulika na vitovu vya 'nguvu za kifedha' ili kusanisi 'Mpangiko Templeti Halisia kwa Vyombo vya Kibiashara'. Hili ndilo linaweza kutengeneza mwongozo ilivyo ni Sera ya Taifa ya Fedha, katika sura mpya--sura inayoakisi jamii inayojua ilivyobora na kujichagulia mustakabli wa ustaarabu, ustawi na maendeleo yake. Leo hii kwa mfano, tunachombo kikuu cha fedha kilicho ni Benki Kuu; je, uhusiano wa chombo hichi na wadau wa biashara na maendeleo yakoje? Je, Uhusiano wa chombo hichi na Vyombo vingine vya hadhi na tabia kama zake--kungine duniani ukoje? Je, Uhuru wa Chombo hichi, ndani na nje nchi, ukoje? Kwa fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, inakuwadhahiri hakuna chombo cha hadhi na daraja hili chenye 'uhuru kamili'; hata iwe kwa kudai Benki Kuu ni chombo cha serikali sovereini, ipo namna rahisi ya kubaini jambo hili haliwezekaniki kwa >'Uchumi Mauti'< na Utaasisi wa ELIMU 1.0. Uhuru wa vyombo vyote vya namna hii duniani ni mteja kwa kimoja abitrari, mazingira ya uchumi na nguvu za kibiashara hugeuza vyombo hivi kuwa 'kiranja' chini ya 'kiranja mkuu mwingine' kiutendaji... Seti moja ya topolojia ya ufikirifu ni kama vile ilivyo kwa 'Nishi ya kiumbe' katika ikolojia--kila kiumbe 'hula urefu wa kamba yake', kutawala eneo lake, lakini mnyama wa mawindo anaweza kustawi hata na 'viumbe vipofu' na akaishi kwa mikakati ya kujificha--nishi ndani ya nishi.

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, tunaweza baini ni namna gani 'Thamani ya Pesa' katika mfumo hufungamana na vitovu gravitali vya 'mitaji na hitadhi' za fedha. Shughuli ambayo hutaka mtaji mzito itaathiri sekta zote za uchumi na basi siyo kuweza kuwa nguzo ya tawala za nguvu ya uchumi. Uchimbaji wa Madini na Upatikanaji wa metali za thamani, daima umekuwa kitovu cha uchumi wa fedha, kufanya fedha za mwanzo kuwa ni sarafu zenye thamani ya metali zenyewe... Uzito wa shughuli kwa 'wakati' na 'gharama' za uendeshaji hutengeneza nguzo za hazina na uwekezaji wa muda mrefu. Mashariki ya Kati kwa mfano, Shekeli ilikuwa ikifungamana na kiasi cha Mavuno ya Shayiri kimabadilishano ya jamii. Utaasisi wa kifedha wowote kiuchumi, wenye umuhimu wa kimahitaji ya jamii--iwe mahitaji halisi ama 'yakutengeneza' unaweza kutumika kudhibiti mienendo ya muktadha wa 'sarafu'. Vivyo hivyo kuratibu uchumi, kisarafu, kadiri vile >'mzuto na impalsi'< vinaweza kutathminiwa katika fizikia ya kawaida, japo kwenye uchumi mauti wa leo, analojia ya mzunguko wa fedha hukadirishwa kwa milinganyo ya >mwendokasi fedha<. Kwa topolojia ufikirifu ya mzunguko ya sarafu katika mfumo wa uchumi, mzunguko wa fedha siyo kigezo cha wanajamii kufikia mahitaji yao kiutoshelezaji bali 'uchangamfu' wa biashara na mabadilishano katika uchumi. Ikiwa labda wanajamii ndiyo 'wafanyabiashara' wa moja kwa moja kujinasibu mitaji na faida basi kuna uhusiano wa moja kwa moja wa 'uchangamfu' wa biashara na kuchangamka kwa mapato halisi ya wanajamii. Lakini katika ulimwengu wa ubepari na vyombo vya kibiashara, wanajamii wengi wanaweza wasiwe ni wanufaika wa mikondo mipana ya fedha ama vivyo hivyo hii isiwe na lolote kuhusiana na hali za wanajamii kuwa 'njema ama mbaya'. Kwa hivyo, Benki Kuu huratibu sarafu--pesa fiati, 'kwa nyota ya jamii' ya ELIMU 1.0 ambapo konstrakti za jamii juu ya fedha ni hiari hata kama kuna utumwa katika ubunifu wote wa mfumo wa fedha... Mtego wa Noti...

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, ni rahisi kubaini ni namna gani ubunifu wa pesa fiati, huharibu sura ya thamani ya 'kazi, wakati, na hazina', si kwa ubaya hasa ila kukidhi sura na mienendo ya sarafu katika uchumi --kukidhi uhitaji wa sarafu katika Biashara za Jamii. Kazi hii huhitaji 'utundu', 'akili kubwa' na 'umahiri', kwa kuwa makosa katika sanaa hii-- gharama yake huwa ni kubwa. Hapa hapa ndipo, suluhu ya mvutano wa Jefferson na Hamilton ndipo inavyoweza kupatikana... Ikiwa jamii itajisahihisha na ushamba na konstrakti za fedha, itakafuta maarifa sahihi ya kuthaminisha 'kazi, wakati na hazina' tunaweza kubadilisha Sura na Majukumu ya Benki Kuu, na kuzifanya hizi namna tofauti ya Taasisi kwa mifumo ya fedha. Uchumi unaotumia pesa fiati, ni mushkeli lakini kwa ELIMU 2.0, uwezekano upo wa kubuni vinasaba vya miundo mikuu ya kiuchumi ili kuhakikisha mtu, chombo cha shughuli, wakati na hazina kufungamana. Kwa Ufunguo na Ufunuo ujao na ELIMU 3.0, hili linawezekana kwa Ontolojia ya Utatu wa Utaasisi fedha ilivyo ni Benki Kuu, Benki Hifadhi na Benki Msingi. Muktadha huu hufanya pembe tatu ya Baba, Mama na Mtoto, kadiri vile Utaasisi wowote wenye kufaa kheri na ustawi wa kaya hauna budi kuwa na asili ya utatu na vivyo hivyo utatu ndiyo namna ya asili ya kubaini 'uweza, nguvu na utukufu' katika 'muda' ama hata 'milele'. Hili kufanya kwa nini wanasayansi ki-empirikali na mbinu za visomo 1.0 hufikiri hata maada huundwa kwa tonadari yenye protoni, nyutroni na elektroni. Pia kwamba mifumo yote ya miundo, uso na jiometria za gravitali kukadirika kwa >'ustabali, utostabali na unyutrali'<. Uthamani wa fedha katika shughuli na uwekezaji, hazibudi kusukwa kwa vinasaba vya ustabali, utostabali na unyutrali kama vile ulimwengu wote mzima huiishi pumzi ya uzima kwa mienendo isiyokoma na majira. Pembetatu inaufunguo wa siri za miundo na mienendo, na ndivyo hata fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo ni ufraktali wa pembetatu...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo inatuletea mwangaza wa namna gani ya kutatua adha ya njia kuu za uchumi kushikiliwa na watu wachache. Kwa kuwa fedha, ikitazamwa kwa uono mifumo, yawa dhahiri ni namna gani ubepari wenye kuwa ni matunda ya mti wa 'uchumi mauti' mienendo yake huishia na mifumo fedha ambapo njia kuu za uchumi huwa mikononi mwa mabepari wachache ndani ya jamii. Hili kwa tololojia ufikirifu, ni rahisi tu kulibaini kwa analojia ya >'Kizimwi cha Maxwell'<; ambavyo ni mienendo ya mifumo yenye kujifungia nguvu ndani ya mfumo. Kwa hivyo ELIMU 3.0 inatupatia ufunguo wa kubuni Mifumo isiyojifungia nguvu ndani' bali mwili wa uchumi hai, uchumi mama kuwa ni uzima unaoishi kwa 'kupumua'... Kwa kuwa ELIMU 2.0; inaweza kukadirisha bluprinti ya 'pumzi' katika 'mifumo uchumi' na 'ustawi wa Jamii'.

Pumzi ndivyo namna Ulimwengu wote mzima 'hupitiliza' mauti... Kuvuta pumzi ndani, na kutoa pumzi nje ndiyo mhimili wa 'Uzima' ambavyo 'Wakati' huo ni 'msuluhishi' kwa 'Kifo na Mauti', 'Kutanuka na Kusinyaa', 'Kuja na Kwenda' n.k. Na basi Sonafi ya Kiumbe chochote ndiyo 'mbegu ya akili uhai' inayobeba 'siri za uzima wa kiumbe' na 'wakati'--kufanya msingi wa majira kwa ajili ya 'mapigo ya moyo' na 'pumzi'. Kwa uono na Ufikirifu mifumo, hili linaweza kusanisiwa kupitia Benki Kuu, Benki Hifadhi na Benki Msingi ambavyo fedha ni 'damu'--kile kinachobeba 'chumvi', 'maji', 'hewa' na 'joto la uhai' kwa ustawi wa viungo vilivyo ni jamii na shughuli zake zote za kila siku. Kila chombo cha biashara ama mtu, kwa usanisi wa 'Uchumi Hai' , thamani ya pesa inayomzungukia haina budi kuwa thamani za namna tatu ilivyo simulitali: pumzi ya siku hata siku, pumzi ya mapana ya 'chombo chake shirika' kwa 'kazi ama huduma' na 'unasaba mipangiko wakati'. Kama vile ilivyo kwa Mishipa ya damu: ateri, Vena na veini, ndivyo fanusi ya uchumi hainabudi kusanisiwa Kibenki.

Benki ya Hifadhi ni muktadha wa kushikilia marejesho ya vipato kimitaji ilivyo ni 'Hazina'; ambavyo, fedha hushikiliwa humo kwa vipindi maalum vinavyofungamana na 'marefu ya mipango ya biashara jamii'. Kila 'Biashara Jamii' haina budi kusanifiwa kwa marefu na mapana ambavyo vyombo vyote vya biashara vina muda kwa kuanza muda wa kuisha. 'Muda wa kuisha' kuwa ni 'mgawanyiko wa shughuli hiyo hiyo kuwa vyombo viwili katika mzunguko mpya. Kiuno na Ufikirifu Mifumo, utaratibu huu ndiyo unaodhibiti 'mfumuko' ama 'mfubaiko' wa bei katika uchumi mama. Fanusi ya Benki kuu ni kama 'ini' ambavyo damu zaidi inaweza kuingizwa kwenye mifumo fedha na hapo hapo 'uchujaji wa sumu' za kimifumo kifedha unatendaka. Kuna 'vyombo vya Kibiashara Jamii' vinazaliwa ama kufa wakati wote, Benki kuu inawajibu wa kuhakikisha 'sarafu mpya za fedha' zinaongozeka ama kuondolewa kwenye mifumo kadri ifaavyo.

Benki ya Msingi, ni muktadha wa mishipa midogo midogo... kuwa kwamba, kwa uono na ufikirifu mifumo sarafu ya fedha kiempirikali huwa na sifa za 'ukizio siku' na 'ukizio mafungu siku'. Fedha zenye kuhifadhiwa kwenye Benki hifadhi zina uthamani wa 'ukizio mafungu siku'. Fedha zinazowekwa kwenye Benki Msingi ni fedha zenye thamani ya 'ukizio siku'. Fedha zinawekwa kwenye Benki Msingi zinaweza kuwekwa na kutolewa wakati wowote kwa kuwa hizi ndiyo muktadha wa 'chachu' ya jamii. Fedha zinazowekwa katika Benki hifadhi, hizi hukaa huko 'muda maalum' na ndipo 'zitoke'. Hili, kiuono na ufikirifu mifumo ndilo latatua adha za uchumi wa leo ambavyo hazina na matoleo huwa ni agrigati ya utashi wa Benki katika kutunza amana na kukopesha mitaji. Katika 'Uchumi Mauti' benki za biashara ni sawa na jambazi linaloishi kwa akili... Jamii ikiwa na uono na Ufikirifu Mifumo, jambo liko wazi kabisa--kadiri ilivyo kwa >'Paradoksi ya Maxwell'<. Ikiwa 'mtu X' anakwenda 'Benki A' ya biashara ili kufanya biashara katika 'eneo O'; Benki itampatia pesa na kumtaka riba R. Ikitokea 'mtu Y' akaenda benki hiyo hiyo na kufanya maombi ya mkopo wa biashara--biashara ya kufanana na mtu X, tena eneo O, benki ikimpatia mkopo basi mtu Y na mtu X watashindana biashara katika 'soko moja', na hali, kuja kwa Y kumepunguza soko la X... Wawili hawa watapambana na hali zao na hali benki inatarajia riba R na riba R kutoka kwa wote wawili--wote wawili riba mara mbili na hali wigo wa soko ni lile lile? Sasa, katika taaluma ya benki haya hufichwa na kudanganywa kwa hisabati na milinganyo mingi ya ELIMU 1.0. Ipo namna rahisi tu -- kama ufikirifu wa Maxwell--paradaimu ya ubenki ya leo ni 'uwizi wa mchana kweupe', ni jamii yenyewe inachelewa kujua ilivyobora na kutafuta maarifa mbadala... Mtego wa Noti.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo utatupatia mwangaza ni namna gani adha za kiuchumi zinasababisha ustawi, ustaarabu na maendeleo ilivyo ni sosholojia ya mazingira ya jamii zaweza kusahihishwa kwa Mipango maridhawa ya Kimazingira. Leo hii kwa mfano, kwa ELIMU 1.0 na tunashuhudia adha kama vile 'vijana wa vijijini kukimbilia mjini' na 'Ongozeko la Idadi ya Watu Mijini' lisilokuwa stahimifu kimazingira. Hata kama kwa ELIMU 1.0 tujitahidi kutatua adha hii kwa shughuli za umma juu ya mipango bora ya matumizi ya ardhi--iwe mjini ama vijijini; daima tutakumbana na adha nyingine katika michakato kwa kuwa upangaji wote unaochipukua na mifumo ya kileo ya kuratibu maendeleo kwa kutumia rasilimali fedha ni mushkeli. Kwa uono na ufikirifu mifumo, ELIMU 1.0, hupotosha akili za umma na kuwafanya wao kudhani pesa ni 'hatma inayotengenezea haki ya kufanya chochote'.

ELIMU 2.0 Itafanya kujua ilivyobora... Kazi na Shughuli ndiyo msingi wa Maendeleo na siyo pesa. Ni rahisi pesa kudanganya watu kidhamira, vina vya tafsiri na mifumo, kwa kuwa watu si wenye kutafuta kujua ilivyobora--mara nyingine nasibu ya tabia zao njema ama mbaya, huponza watu kuishi na kufanya la kufanya ili kuishi--hata kama wayafanyayo huishia kuumizana na kuamishiana maumivu kwa sura moja hata ingine. Mtu wa kijijini ataondoka kwenda mjini kutafuta kazi, kuachana na kilimo kwa kuwa mazingira ya kijijini ni ya kuchosha--tumaini lake ni kupata kibarua mjini ili apate pesa--pesa ya kijikimu kwa chakula, malazi na mavazi. Lakini haoni, chakula cha mjini hutegemea watu wa vijiini. Ikiwa wakulima waliona nguvu vijijini watapungua--watu wa mjini watapata wapi chakula hata kama pesa ikiwamo?

Kwa uono na ufikirifu mifumo, ni rahisi kubaini mji yote hukua kutokana na hiyo kuwa ni vitovu gravitali vya fedha na mitaji. Finomena ya kukua kwa miji ni fizikia ya 'kubana matumizi' ili kutengeneza mitaji zaidi na kipato. Mji kujengeka kwa labda majengo yenye kwenda juu, ni akili rahisi ya mipango na maendeleo ambavyo huduma za jamii zajinasibu na 'wepesi', 'ufanisi wa kazi/shughuli', 'maisha bora' na 'nafasi ya kustarehe'. Kiuono na ufikirifu mifumo, ni fanusi ya Usupashali na Ustawi wa jamii; barabara na majengo, ni miundo mbinu ya ustawi ambavyo watu, bidhaa, uchukuzi na shughuli hupata mazingira. Hapa nyumbani, mipango yetu ya maendeleo huchukua haya yote kwenye agrigati ya mawezekano ya maendeleo ya jamii kwa mikakati ya kukuza miji na kuboresha miundo mbinu kikanda--nguzo za ukujuaji uchumi Arusha, Mwanza, Dodoma, Dar es Salaam, Mtwara, Mbeya na Kigoma.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu mifumo inatupa mwangaza kuwa hata mipango yetu ina mapungufu kwa kuwa tunalazimika kupanga kulingana na kile tunachokifahamu leo na hatujuai ya kesho. ELIMU 3.0 itatupatia funguo wa ufunuo, hata haya yote tunayoyafahamu kuhusu kuibuka kwa miji, kukua kwake na kudumaa kwake kimaendeleo na uchumi ni kujua kwa sehemu. Kwa mfano, taifa linaweza kusanifu mipango yake mipana ya kisupasha kulingana na tekinolojia zilizopo sasa na kumbe, mbele kidogo kunaweza kujitokeza tekinolojia nyingine zinakazo fanya ubunifu wetu wa leo wa mipango uwe 'ushamba'. Kwa hivi, namna za tafsiri za kiuchumi za mipango zinaweza kuwa kikwazo kwa mawezekano mapya. Mathalani, leo hii si rahisi mwanamipango asiye na ujuzi wa 'kuchungulia mbele kiwakati' kubaini ni namna gani ndani ya miaka kumi na tano ijayo, ustaarabu wetu utaingia kwenye mapinduzi ya vyombo vya uchukuzi wa anga... Mtu wa mipango anaweza kutekeleza mipango shirikishi na umma usiyojua ilivyobora, japo hapa kwetu ndiyo tumejinasibu na 'Kaiwa Ufike'--kuna kheri yake, na kumbe, wenye kujua ilivyobora wanayo ya kutenda ili kuongozea njia. Mipango Shirikishi, ni njia ya msalaba, hata kama tutakuwa tunakaiwia--umaskini, maradhi na ujinga ni msalaba wetu, na hatuna budi kuubeba wenyewe kama jamii. Lakini ikiwa miongoni mwetu, wapo wenye kujua ilivyobora daima ipo namna ya 'kuitayarisha njia' kusudi njia zetu za ushirikishwaji zisigubikwe na 'siasa za tawala', 'ukiritimba', 'ufisadi' na 'Rushwa'...

ELIMU 2.0 na tena ELIMU 3.0 zinatupatia kubaini tekinolojia zinaweza kujitukiza na kuleta tafrani kwenye mipangilio ya leo maisha ya jamii. Kwa namna hiyo hiyo, funguo za kujiandaa na mabadiliko makuu ya jamii ustawi na maendeleo zinaweza kuwafikia wote wenye kutafuta kujua ilivyo bora. Leo hii kwenye hiraki za usanifu wa njia za uchukuzi 'usafiri wa ndege ni wa gharama kubwa--na basi kuwa wa kipekee kwa hewani; na kumbe kesho ndiyo kati ya usafiri rahisi kama baiskeli yenyewe...

ELIMU 2.0 na tena ELIMU 3.0 zinatupatia kubaini tekinolojia zinaweza kujitukiza na kuleta ahueni dhidi ya utendaji wetu kijamii unaweka imani kwa 'wataalam' wenye nasibu ya kuhadaika na 'siasa za tawala', 'ukiritimba', 'ufisadi' na 'Rushwa'... ELIMU 3.0 inatupatia funguo ya kushughulika na nasibu ya matumizi ya 'Akili Bandia' katika umma, ustaarabu na ustawi wetu wa jamii. Kwa kuwa Akili Bandia inaweza kuboresha sana mikutadha ya Rasilimali Taarifa ilivyo ni msingi wa kujua ilivyobora kwa wakati.

Nasibu ya 'Ungamuzi wa Kikwantumu' ni mfumo unaosonga kuzidi 'uelektronishi' na sakiti za kawaida za umeme--huu unajinasibu na 'alama', 'sayansi ya mwanga' na 'maada zisizokuwa za kawaida' za mpitisho wa mwanga na sumaku...

Ungamuzi wa Kikwantumu ndiyo hasa unaleta uwezo kamili wa kusimika mifumo kamili ya 'akili bandia'... Akili bandia ndiyo jambo la mtego hasa... Hili lina mapana ya maarifa na busara juu ya usalama, uhalali na mipaka ya kimatumizi.

ELIMU 3.0 itatupatia ufunguo kwa ufunuo wa 'mitego ya Akili Bandia' itakayokuwa na uwezo unaopitiliza kawaida tulioizoea--metafizikia ya akili-mtambo. Na basi, kwa ELIMU 2.0 lipo hitaji wa kuitengeneza njia kwa Sera Mpya na ya Aina yake Kuhusiana na Matumizi ya Akili Bandia katika maisha na ustawi wetu. Sera hii tutaiita ni sera ya Uvichuali... Na itakuwepo kutoa mwongozo, kusudi uwepo wetu katika mazingira bandia ya mifumo TEHAMA isijekuishia kwenye UDHALIMU wa kutumia domaini za Akili Bandia. Nemesisi wa 'Watu wa Nyumba' katika 'Akademi Wakati ya Kwanzania' ni 'Akili Bandia' inayoweza kuteka watu nyara kimya kimya na kwa namna wanajamii wanaweza kutokujua ilivyobora--madhara ya nasibu ya >usaibogi<.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ndiyo utatuletea mwangaza juu ya 'Ujamaa na Kujitegemea'. Kama vile ilivyo kwa Pamba na Karafuu katika Nembo ya Taifa--mazao ya biashara; lakini ''Pamba ni Kitu cha Mavazi' na 'hali 'Karafuu' ni chakula. Lakini Je, kwani ikiwa pamba ipo kwa ajili ya mavazi, sisi wenyewe hatuhitaji kuvaa? Je, ikiwa karafuu ikiwa ni kwa ajili ya chakula, sisi wenyewe hatuhitaji kula? Dhana ya biashara, ina muktadha wa ndani na nje ambavyo nasibu ya mapana yetu kiuwezo na ujuzi na mbinu za kazi--yanaweza kufanya biashara kuwa diplomasia na si 'mitego ya noti'. Pamba na Karafuu, kwa seti moja ya topografu ya Uono na Ufikirifu mifumo, ni alama kwa Kwa wenye kujua ilivyobora: 'Biashara ni Diplomasia'.

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo unatuletea mwangaza namna gani 'Biashara ni Diplomasia' katika mtandao wa jamii zenye 'Ujamaa na Kujitegemea' ambavyo mabadilishano ya 'mali' ama 'mengineyo' yoyote ni kwa ajili ya kunogesha ustawi wa jumuiya pana ya watu wa mataifa. Fikiria kwa mfano, jamii moja inataka nje ya sayari yetu ya Dunia; na katika kuwasili kwa hiyo hapa, inakutana na 'mali fulani' ilivyo kufaa kuwa ni 'souvunia ya safari'--kitu cha kukumbusha amali kutokana na safari zao za mbali--kufika huku ama kule ulimwenguni; Je, kuna fedha ya namna yoyote itakayokuwa na 'thamani kununua' ama kufanyia biashara kati ya mtu wa duniani na mtu kutoka nje ya dunia? Ni wazi, fedha haitakuwa na thamani, ila mabadilishano ya hiari kwa namna ya 'zawadi' ama 'nipe nikupe' ya 'mali kwa mali' ama 'maarifa kwa maarifa' ndivyo vyaweza kunufaisha muktadha wa makutano. Hili ndilo litukumbushe jambo: kupitia ELIMU 3.0, pamba na karafuu ni 'funguo' za 'ufunuo' kwa 'Diplomasia ya Uchumi wa Kiikolojia'; tukijua ilivyobora, hili lafanya kwetu kutambua 'biashara ni utoshelezaji wa kiikolojia wa jamii pana' -- utoshelezaji unaopata thamani kwa 'moyo mkunjufu' wa mabadilishano, mashirikiano na furaha. Vivyo hivyo, viumbe wa vinasaba sawa huwa na kadiri ya kufanana 'mahitaji' na 'riziki'. Haya mawili, hayana chochote na konstrakti za 'fedha' na 'biashara' bali muktadha wa >'nasibu ya ujazi'<--kupata kile cha kuhitajika kupatwa wakati wa hicho kupatikana. Yesu aliposisitiza msiishi kujali mtakula ama mtavaa nini alikuwa akizungumzia haya... Tutakapoanza kukutana uso kwa uso na viumbe watu wa kigeni kutoka sayari zingine--wa kutoka hata mbali na mfumo wetu wa jua, haya yatafanya busara yetu ya kawaida ya 'Diplomasia ya Uchumi wa Kiikolojia'; na ndiyo, viumbe watu wa namna za binadamu >wapo<--tena wengi, wengine hata sasa tunaishi nao lakini >jambo hili linafahamika kwa baadhi ya watu wa mamlaka na si umma wa wengi<... Watu hawa wakivaa mashati na suruali, magauni na sketi wanaweza kuingia na kutoka kwenye maduka hata masoko yetu na watu wasishtuke... Na basi wao pia hupendelea kujichanganya bila kujulikana -- kwa kuwa wengi wa hao huwa ni kama watalii wasiolipia huduma ya kutembelea 'mbuga za kiuanadamu wa duniani' wakijisikia 'kujichanganya' na kuishi kwa muda mfupi ama mrefu hapa duniani...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo unatuletea mwangaza namna gani ya kushughulika na viumbe watu wa kigeni kimakutano na diplomasia; wawe ni wa asili ya kibinadamu, ki-mijusi, ki-amafibi, ki-ndege -- rangi ya kijani, njano, nyeusi, nyeupe n.k... Kwa kuwa fremu kazi ya uono na ufikirifu mifumo ni 'ufunguo' kwa Jiometria ya Utendekavyo Maamuzi Jamii. Viumbe watu wa kigeni waliokama sisi binadamu tayari wanashiriki na sisi majukwaa ya mitandao ya jamii; wanamengi ya kusema na kushiriki moja kwa moja--na siku za mbele, ikiwa tutakidhi kuhamia na kwenye nidhamu ya kiakili ilivyo ni ELIMU 2.0: Uono na ufikirifu mifumo, watajitokeza rasmi na kuzungumza moja kwa moja na sisi kwenye mitandao ya jamii pasipo >'kuficha utambulisho wao'<; na watafundisha mengi na makuu... Wataeleza mengi kuhusu 'Stawi za Kimanyota', 'Diplomasia za Kimanyota' na 'Mitego ya Stawi Mateka Manyotani' na mengine mengi juu ya 'Tekinolojia, Usalama wa Stawi na Maendeleo yasiyo na kikomo ya Viumbe watu' kokote ulimwenguni...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo unatuletea mwangaza namna gani 'mahitaji' na 'riziki' yanafanikishwa kwa uchumi--na kumbe 'uchumi wa biashara' ni kimeo. Uono na Ufikirifu mifumo utaonesha njia kwa namna ipi matumizi ya Akili Bandia yanaweza kuongeza ufanisi kwa 'Mahitaji na Utoshelezaji'; kwa kuwa fremu kazi ya uono na ufikirifu mifumo tayari inakadirisha paramita za kubaini mahusiano, tabia na matokeo juu ya ustawi wa jamii na maendeleo.

Kwa ELIMU 1.0; mapana ya jamii yanaweza kuthibitiwa na 'Wataalam' ambao kimsingi ni binadamu waliona mawezekano makubwa ya kufanya maamuzi kwa 'makosa mapana' katika kubaini miingiliano tata ya mifumo ya jamii. 'Watalaam' wanaweza kuwa ni watu wenye nasibu ya 'makusudio yenye kuharibika' na mifumo ya utendaji wa kibinadamu inaweza kuathiriwa na 'ukiritimba'; Matumizi sahihi ya mifumo ya Akili Bandia yanaweza kuboresha ufanisi wa uratibu wa shughuli na mahitaji ya jamii, ikiwa hivi chini ya uangalizi wa binadamu wenye kujua ilivyobora.

Mifumo ya Akili Bandia, inaweza kuongeza tija katika 'maarifa, vitendo na miundo ya utengeneaji' na kuleta maendeleo ya vitu na faraja kwa jamii. ELIMU 3.0 inatupatia ufunguo na Ufunuo ni kwa jinsi gani 'Pamba na Karafuu' ni mazao ya 'Ujamaa na Kujitegemea' katika 'Jamii iliyotaamulika'; ambavyo UCHUMI MAMA ni namna ya uchumi unaohakikisha jamii inatimizika 'mahitaji' na 'riziki' si kwa janja janja ya 'ubepari uchwara' ila uzalishaji, uchukuzi, huduma na faraja kwa wanajamii. Mifumo ya Akili Bandia inaweza kuratibu vinasaba-habari, mawasiliano, uchukuzi na mikutadha vya vina vya tafsiri na kuleta wepesi katika 'shughuli za watu' katika kujipatia 'riziki' -- ndiyo, upo uwezekano wa Akili Bandia kuchanganua 'habari' na 'data' ili kuleta mapendekezo ya modeli muafaka za 'shughuli' na 'utosheleshaji' katika jamii...

Akili Bandia, ikiongozwa na watu wanaojua ilivyobora inaweza kuchakata 'Rasilimali Taarifa', 'Rasilimali wakati', 'Rasilimali Mitambo' na 'Rasilimali Vizio Fedha/mali' kutangamanisha 'Mazingira Makro' na 'Mazingira Mikro' ya Uchumi Mama... Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, hili ni kadiri ya kutangamanisha 'ujenzi wa miundo-mbinu ya ustawi kiuchukuzi' na 'shughuli za kaya'; kama vile uchimbaji wa Madini unaweza kuwa kitovu gravitali cha Uchumi wa Biashara, kwenye Uchumi mama, uchumi-kazi--mikondo ya mawasiliano na uchukuzi ndiyo 'mishipa ya damu' ya uhai wa Jamii; na basi, Akili Bandia kuongozea uwezo na ufanisi katika mahusiano na maingiliano ya kijamii...

mashine.jpg


Basi, kwa hapa kwetu Tanzania, Chama cha Mapinduzi, kinayonafasi adhimu sasa, mwaka 2023 na Kusonga, kuwa ni taasisi ya kutuletea kile kilichokuwa kikisubiriwa kwa muda mrefu 'MAPINDUZI'... Hili sasa linawezekana kupitia ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo -- Elimu 2.0 yenye kuleta chachu ya maendeleo ya watu na vitu, kwa hawa watu kuja 'kujua ilivyobora' na kujinasibu na 'fungu la kupata' badala ya 'fungu la kukosa'... Kuweka imani kubwa kwa 'wenye madaraka' kumetuponza na kutaendelea kutuponza hadi pale tutakapokata shauri kuona kwamba 'imetosha kujaribu Ujinga'... ELIMU 2.0; ni 'Ujanja wa Kujiongeza' na siyo kuwa 'Zumbukuku' wa 'fedha, fedha na fedha....'; Kwa kuwa kupitia ELIMU 2.0 ni rahisi kuona ni namna gani 'fedha inaweza kuonekana kama njia ya mkato' kuleta maendeleo na kumbe hapo hapo ni 'mtego wa noti'... Taifa la watu ni lenye maendeleo ikiwa umma wake una 'kujua ilivyobora' na 'Kuwajibika' na mifumo yake; na siyo 'kutafuta sifa kwa mambo ya uongo na kweli' hapa Duniani. Sisi Wabantu tuna msemo, Nguo ya Kuazima haistiri maungo.... CCM 2.0 itupe uwezo na kutubariki, tuinue Mwenge Halisi wa 'Maarifa na Kujichagulia' --tutangaze Ujamaa Tanzania Kote...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ni 'Mwenge wa Uhuru'--Uhuru ulio ni 'liberiti', kile ambacho Mwalimu Kambarage alisema uhuru kwa watu wenyewe na si ule wa bendera--ulikwishakupatikana kupitia vyama vya TANU na ASP... Uhuru usiotokana na watu wa madaraka hasa bali wanajamii walio katika kujua ilivyobora--iwe kwenye 'utumishi wa umma' ama 'raia'... Kama vile iliwekwa bayana katika Katiba yetu ya JMT,
Chama cha Mapinduzi, hakikuitwa hivyo kwa makosa... Na wala haikua 'bahati mbaya' kwamba maudhui ya katiba ya nchi, ya mwaka 1977, yanaakisiana na yale ya katiba ya Taasisi hii-- iliyo ni chombo cha umma kwa madhumuni na muktadha na michakato ya demokrasia ya Uwakilishi...

Itazame katiba yetu kwa makini, angalia ni jinsi gani inavyotaasisha dola kwa kusudi kuu la 'nchi ya usawa' kupitia 'Siasa za Ujamaa na Kujitegemea'... Kwamba, nchi iwe na sera zinaongozea utendaji wa kiserikali wenye kubudi kuakisi, miongoni mwa mengine kadhaa, yafuatayo:-
  • 'Maendeleo ya uchumi wa Taifa yanakuzwa na kupangwa kwa ulinganifu na kwa pamoja';​
  • 'Kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu riziki yake';​
  • 'Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini';​
  • 'Matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi';​
  • 'Shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinaweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi';​
  • Nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA.​
La Kwanza, Maendeleo na Uchumi, hili Kielimu ni la >Chuo cha Mipango cha Dodoma<
La Pili, Shughuli na Riziki, hili kielimu ni la Chama cha Mapinduzi...
La Tatu, Dhuluma, Vitisho, Ubaguzi, Rushwa... Kwa ELIMU 1.0 linaweza kufikiriwa ni la Taasisi kuu ya Dola; kwa ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, na tena ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni Metafizikia ya Elimu tunapata 'ufunguo' wa 'Ufunuo' juu ya 'Jeshi'. Kwa kuwa dhana ya 'Jeshi' haitengenezi hesabu na masuala ya ELIMU 1.0 bali ELIMU 3.0. Kwa sisi Wabantu, 'ulinzi na vita' ni sehemu ya 'Jando na Unyago'. Na hili lina ukaribu na mambo ya uzazi, kizazi na vifo -- na metafizikia yake...

Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo, metafizikia ya 'askari' ni 'malaika'... Katika ulimwengu wa maumbile askari anapigana iwe 'kufa ama kupona'; katika metafizikia 'malaika ni wajumbe wa amani'--kiwakati, hawa si sehemu ya 'migogoro' wala 'uchochezi' bali ni waongoza 'nafsi kuzaliwa' ama/na waongoza 'nafsi kuondoka maumbileni' ilivyo ni konjugali ya 'uhai wa duniani'...

Kiwakati, malaika ni 'wapangua matukio hatarishi kwa ustawi wa jamii' katika Metafanusi iliyo ni Mungu... Basi hii ndivyo kiutamaduni, huja na visa na habari kana vile >'Bwana asipoilinda Nyumba, Wailindao ni Bure...'< Dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo vikizidi sana katika jamii huweza kuishia kwenye 'keosi'; hili kwa ELIMU 1.0 hufahamika kama Anakia--nchi kutotawalika... Kwa uono na Ufikirifu mifumo hili ni 'Keosi'; na kinyume chake ni 'Mpangiko'--epitomi za 'fanusi Ibilisi' ama 'fanusi Malaika'... Kiuono na Ufikirifu Mifumo, hili ni sawa sawa na kubaini 'Malaika ni Watumishi' katika konjugali ya 'wakati' ambavyo 'machaguo ya Kitaasisi, Matukio, Jamii na Wakati' ni 'tambarare ya kitabu cha kumbukumbu ya yote'--yanayotokea, yatakayotokea, yaliyofanania kutokea, na yanayofanania kutokea.

Basi >'WafanyaMbawa'< wanalo shairi: Moyo wa Huruma...
MOYO WA HURUMA

Malaika lazima wawa kuwa wamechanganyikiwa na vita.
Kila Upande ukiomba kwa ulinzi,
Hapo hapo mtu fulani daima anapata kuumia.
Mtu fulani anakufa.
Mtu fulani alia hadi kwa ndani sana
wote wapoteza hali yao maji maji.

Malaika lazima wawa kuwa wamechanganyikiwa na vita.
Je, waweza kumsaidia nani?
Je, ni nani wanaweza kumpa fasaha ya jambo?
Je, ni rehema ya nani wao kumtupia mkosa-rehema?
Si yoyote mayowe ya kiasi yanaweza kusikiwa.
Si lolote umio pasi-doa laweza kuhisikiwa.
Kila kitu kicheupe machoni pa malaika
isipokuwa vitani.

Nalipoamka kwa ukweli huu
Ilikuwa ni kutokea kwenye njozi niliyopata usiku wa jana,
Niliwaona malaika wawili wazingumza kwenye ugani
wa roho za watoto ziinukazo juu kama moshi wa rangi ya fedha
kuhusu je, ni upi upande ulikuwa sahihi
na upi ulikuwa umekosea.
Je, ni nani aliyeanzisha mgongano?

Ghafla, malaika wakajituliza
kama pembea iliyokoma mwendo,
na halafu waweka moyo wa huruma
kwenye moshi uinukao juu
wa nafsi-roho za wale muhuri-kimvuli wavita.
Na hao walinigeukia na yale macho
kutoka maktaba ya Mungu,
na vyote vipande vilivyokuwa kuanguka,
vikainuliwa juu kwa sura ya pamoja,
muunganiko wake kushikilizwa kana pumzi
ya moto katika tanuru takatifu.

Si chochote katika vita chaja kwenye uharibifu,
ila uono danganyifu akilini wa utengano.
Nililisikia hili kwaweupe hasa nilingaliweza tu
kuandika kama muhuri uliochongwa.
Nakukumba moyo wa huruma,
Milima milima, kufanywa mafungumafungu kwa ulimwengu.
Ninafikiri vijidodoa bado vyagandamana kwangu
kama vile ute-nyuzinyuzi
kutokea kwa utando wa buibui.

Na sasa, nifikiriapo vita,
Kufumba na kufumbua natandaza nyuzi-nyuzi hizo kwa ulimwengu wote
nikitumani zajishikiza kwa wengine kama zilivyopata kufanya kwangu.
Kuwafuma malaika na wanyama kwenye nyuzi-muwako za neema za moyo wa huruma.
Utandu-nyota wa anganini petu nyumbani.​

Bibi na Bwana katika nembo ya Taifa, kwa ELIMU 2.0 na tena ELIMU 3.0 huwakilisha topografu za Mtu-Mume na Mtu-Mke ilivyo ni 'Wanadamu Askari' na tena 'Malaika walinzi' wa stawi ya Utaifa--Taifa lililo ni Tanzania. Hivi ndiyo muktadha 'Jeshi la Kujenga Taifa' na pia tena 'Jeshi la Ulinzi la Taifa'. Kwa hivyo, kiuono na Ufikirifu mfumo, seti moja ya Topografu na Topolojia ya Ufikirifu ni kuwa: 'maua fikra kuhusu Ustawi na Ulinzi' ni jambo takatifu kitaifa, ilivyo ni Jando na Unyango wa Taifa. Dhuluma, Vitisho, Ubaguzi, Rushwa... mambo yote yenye nasibu ya makusudi yenye kuharibika juu ya ustawi wa jamii ni 'Kitovu cha Jicho kwa Ulinzi ama/na kujihami' miongoni mwa wanajamii. Taasisi kinara wa hii ni kielimu ni >'Chuo cha Ulinzi cha Taifa'<, na epitomi ya Ulinzi na Kujihama ni Taasisi iliyo 'Ndege wa Amani'... Epitomi ya shughuli ya >'Jeshi la Ulinzi la Wananchi'< ni kuhakikisha Uhuru na Mwangaza wa Maendeleo kwa Kujichagulia daima kutawala 'Ustawi wa Watu'--Watu waliyo ni Wanajamii katika 'Umoja'--kama ilivyo kwa mwongozo wetu wa ustawi na maendeleo, Uhuru na Umoja... Na basi, ndege ni alama ya kuona kwa mapana kutokea juu, pia ni kielelezo cha 'Mawanda, Upeo na Mawezekano ya Kiakili--kuona na kubaini mapema mambo ya tahadhari'. Kwa hivyo, kiuono na ufikirifu mifumo, ulinzi na usalama wa jamii ni jukumu la raia wote--japo taasisi zetu za kijeshi na 'akili-dola ya kijeshi' hukumbusha na kukazia nia ya haya kimuundo, wajibu na vitendo...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo inatupatia mwangaza ni kwa namna gani hasa 'nia ya kimuundo, wajibu na vitendo' juu ya Ulinzi na Usalama wa stawi hukadirika 'ki-sura na mienendo' ya jamii. Ni ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu ndiyo yatupatia 'ufunguo' kwa 'Ufunuo'--ni jinsi gani 'Makarama ya Akili' ndiyo nyenzo ya Ulinzi Halisi na wa Kweli; si silaha za moto, upepo, sauti, risasi, majambia n.k. Kwa hivyo, kiuono na ufikirifu mifumo--alama ya 'X' --kokote inakodhihiri inawakilisha na kukumbusha kuhusu 'Uaminifu'. Iwe kwenye Alama za 'Jembe na Nyundo' kwa Chama cha Mapinduzi, 'Zana za Kazi' katika nembo ya taifa ama 'Majambia' katika Jeshi. 'Uaminifu' ni jambo mtambuka kwa taasisi zote zilizo ni epitomi ya ustawi za jamii; kukumbusha kwamba 'madaraka', 'Wajibu' na 'Uadilifu' ni 'amana'; ambavyo ni 'kwa moyo pekee' mtu ama jamii inaweza kuuishi 'Uaminifu'. Ni huu Uaminifu unaojitokeza katika nembo ya Taifa pia kama 'Mkuki wa Imani ya Taifa' unaokatiza katikati kabisa ya nembo; kupasua njia ya katikati ya robo za maji, ardhi, na upepo katika 'Ngao ya Ustawi' iliyo ni Vesika-paisisi--ilivyo ni lango la 'Uzaliwa Upya wa Taifa'. Basi, wakati mmoja kupitia ELIMU 3.0 itakuja kuwa wazi--'Ndege wa Kuvusha' madaraja ya utu na ufunuo, kiuongozi na ustawi, ni Tausimoto... Kadri vile, mkuki, kutokea kujikita chini, huelekeza kwenye robo ya juu ya vesika-paisisi ilivyo ni njano ya 'akili-jua', na 'mwenge wa liberiti'. Taifa la Tanzania linainuka kadri vile 'ubatizo' na 'ufufuko' katoka katika majivu--mambo ya stawi za ‘ustawi mauti’, uchumi mauti-- kuzaliwa upya kwa namna 'maji' na 'mwenge', ari mpya na nguvu mpya...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo inatupatia mwangaza ni kwa namna gani hasa 'Hekima ni Uhuru'... Hivi katika nadhiri zetu za utaifa, huwa tunaimba ni muktadha wa 'Kubarikiwa na Mungu'--Hekima, Umoja na Amani zilizo ni Ngao yetu, Afrika... Wake kwa waume na Watoto kudumishwa 'Uhuru na Umoja'... Sasa Hekima, Umoja na Amani ni muktadha wa Elimu 2.0 na Elimu 3.0. katika jamii inayotafuta 'Kujua Ilivyo Bora'. Mungu ni metafanusi ya stawi, ni 'roho na akili' ya uzima wote. Kutoka kwenye stawi mfu, kuelekea kwenye stawi hai hili linawezekana kupitia watu wenye mioyo safi na wenye imani katika Metafanusi iliyo ni Mungu. Mbali kupitiliza Elimu 1.0, leo hii jamii bado haina mwangaza kwa kubaini 'Hakika' ya haya. Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo, hili linashahibiana na topografu ya 'kuleta upanga' kama alivyoisema Yesu; msifikiri ninaleta 'Amani'--kwa kuwa ninaleta 'upanga'... ELIMU 3.0 inatupatia 'Ufunguo' kwa 'ufunuo' wa jambo hili alilopata kulisema Yesu. Mashauri ya Upeo wa Akili unaozidi kawaida ya ufikirifu pofu wa kimakundi huja na nasibu ya 'kuvuruga watu' na hata nasibu ya 'Uhasama'--kwa kuwa mtu mwenye makuu na kufikiri anajua na kumbe hajui anaweza 'kusakamana' na yule mwenyekujua ilivyobora na hali 'hana makuu'... Hili haliepukiki, na hili ni vita... Vita siyo kupigana tu kimwili, kwa mtu wa Elimu 2.0 na Elimu 3.0 vita ni mikakati yenye kupitiliza drama za 'kudindiana kimifumo'. Ndivyo basi, kila jambo na wakati wake--wakati ambapo nasibu ya 'majeruhi' na 'wafu' inawezekana kwa idadi ndogo sana... Watu wa Elimu 1.0 wangalisema, haya huja kwa 'mipango ya Mungu'; kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo na tena Elimu 3.0 haya ni mambo ya 'Kuinuka Juu' na 'Kusali'--kushughulika na mawezekano na 'ujumbe na ufunuo' ili kuepusha 'ajali' zisizokuwa za lazima...

Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo na tena Eimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu vitaleta mwangaza na funguo kwa ufunuo wa ustawi kuelekea jamii iliyotaamulika. Kwa muktadha wa Jeshi la Kujenga Taifa, hili linatuleta kwenye mawezekano ya kuchagua ilivyobora--kuachana na njia za mauti na Uchumi Mauti ili maendeleo yetu kwa kujichagulia yaakisi kujua ilivyobora. Uchumi Mama, ni uchumi wa kazi na maendeleo... Chama cha Mapinduzi kilikusudiwa kwa ajili ya hili; kitengeneze njia ya uwezekano huu na kiwe madhubuti kweli wakati wake ukifika. Leo hii, 2023 na kusonga, kupitia sera ya taifa ya maendeleo ya Watu na makazi tayari mwongozo upo. Kimoja cha muhimu sana, ni hitaji kwa sera mpya itakayoongozea matumizi sahihi ya Akili Bandia... japo hili kiufundi ni suala lililo ndani ya uangalizi na mikono ya 'akili-dola ya kijeshi'. Ni ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 itayotanua uwezo na umahiri wa taasisi akili-dola ili zisirubunike na mbinu na medani za leo 'zilizo za kishamba' kwa kuwa kuelekea ustawi wa chumi za kiikolojia kutatutaka tuwe na uwezo na makarama zaidi kiakili za si 'mikakati rahisi ya kujilinda na kujihami' kimataifa ya dunia ya leo. Elimu 2.0 na Elimu 3.0 ndivyo vitatuletea maarifa na ujuzi wa kushughulika na 'kusafisha mazingira' ya ndani na nje ya jamii--hata kwa mambo yasiyoonekana kwa macho. Kama vile leo hii tunafanya jitihada kubwa kutanua wigo wa elimu za ufundi na ubunifu, siku za mbele kupitia Elimu 2.0 na funguo za ufunuo, za Elimu 3.0, tutatambua umuhimu wa mipango ya maendeleo na ustawi itakayotuhitaji kujenga 'Vituo vya utamaduni' sambamba na makazi na idadi za watu. 'Matatizo mengi' ya yeo ya kijamii na ustawi yanaweza kutatulika kwa mkazo wa vituo vya utamaduni ambamo humo wanajamii wataweza kujumuika kustarehe, kufurahi, kuondoa machungu, kufanya michezo mbalimbali, kujifunza mawezekano ya akili, hisia na vitendo... Vituo vya utamaduni ndivyo vitakuwa epitomi ya taifa la wanajamii wakakamavu na siyo taifa la watu goigoi... Kwenye ustawi wa leo, haya yanatendeka isivyobora kwa ubepari na ubeberu wa kumbi za starehe, ulevi, michezo ya ushabiki, mashindano kwa ajili ya medali na makombe; na yale yote ya asili ya >u-Eliti<.

Elimu 2.0 na Elimu 3.0 vinatupatia mwangaza na ufunguo kwa 'Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania'... Katika hili, ni uono na ufikirifu mifumo tunapata kubaini 'Ujamaa ni Ushirikia' katika jamii yenye kujua ilivyobora na kuongozwa na namna za rohoni na si tu mifumo ya kibinadamu. Chama cha Mapinduzi, ni chama cha kusudi la ajabu kama si kipekee juu ya muktadha wa mapinduzi ilivyo ni 'Liberiti, Kazi na Maendeleo'.... Chama hiki ni chenye kusudi sawa kabisa na ujumbe 'Inuka Uangaze, Nuru yako Ishakuja'... Na hali katika kipindi cha Tumani hichi kimetupa 'somo fasaha' kuhusiana na Elimu 1.0; kujua isivyobora... Binadamu kuishi akitegemea 'mwanadamu mwenzake', iwe mtu ama mfumo mfu ni jambo hatarishi kwa hatma za ustawi na maendeleo... Wanajamii wanaponasibika kuwa ni wenye kujua ilivyo bora, hili litaakisika katika miktadha ya 'machaguo ya kitaasisi, 'matukio', 'jamii' na 'wakati'. Tanzania ni chimbuko la ustawi--ustawi wa kinchi na pia kimanyota... Na basi, siku za mbele, programu zetu na 'kwenda manyotani'--kwenda gizani na kutobozea 'maji ya juu', Ujamhuri wetu wenye kutaamulika utabeba ujumbe wa 'Liberiti Yunivasali', na hali Chama cha Mapinduzi ni shughuli ya kuandaa umma na stawi kwa 'Liberiti Afrika'... Ndiyo, Kwanzania ni jina la nasibu yetu kama taifa ndani ya taifa lingine kubwa tunapomaliza na kuvuka kipindi hichi cha 'Tumaini' kuu. Afrika ni Bara Kisiwa, bara kisiwa kubwa kuliko lolote duniani lililo na elementi zote za kukadirisha mwanzo mkuu kutoka kwenye kutokuwa kitu, lenye ardhi, maji, hali ya hewa na tropiki zote tatu.... Hili kutukumbusha, Muungano wa Tanzania bara na visiwani ni jambo la kutunzwa ili lisijekuwa kitovu cha 'fanusi ibilisi ya utengano' kwa jamii pana ya Afrika... Zanzibar, tayari inayofungua za 'mapinduzi ya Ujamaa'.... linalobaki ni moja: 'kuwa' au 'kutokuwa' hilo ndilo swali....

'UCHUMI MAMA' na 'Jiometria ya Utendekavyo Maamuzi Jamii' ni 'Ki-Fimbo-tambi-tatu na ki-Bakora' vya mtu wa KUTOKA, Musa--mtu wa uaminifu katika kuongozea ustawi wa jamii mpya ya watu wa Afrika. Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ni 'Ujuzi wa kutegua Vitendawili'; na hivi kitendawili cha Mapinduzi kwa Mifumo na Stawi, 2023 na kusonga, kinasubiri kutenguliwa na Chama cha Mapinduzi. Afrika yote inapojinasibu na 'Tumaini' kwa uono na ufikirifu Mifumo, tuiite ndoto Afrika: 'Ndoto Mama Afrika' -- ilivyo ni "Afrika ya Fedha". Kutoka kwetu kwenye mifumo Babiloni, kuelekea fanaka na ustawi wa 'Ahadi' iliyovyo pia ni agano la usoshalisti wa Kiafrika, ni kukadirisha 'Sura, Utukufu na Uzima' ilivyo ni 'Liberiti Afrika'; Tutafika 'Afrika Mpya' ilivyo ni 'Atlantisi Mpya' kwa "Liberiti na Harambee". Kwa Elimu 1.0, tulinasibisha bara la Afrika na 'rangi nyeusi' kusema ni rangi ya 'sisi wenyewe'; Elimu 2.0 na Elimu 3.0 vitatupatia mwangaza kubaini ni namna gani 'Afrika Mpya' ni kwa wale wote 'wenye moyo' na 'wenye nia na kustawi ilivyobora'; na basi 'Afrika ya Fedha' ni fahari ya mtu kutoka kokote duniani na hata kupita--atakayependa kwa hiari yake, na wito, kuja kuishi na kustawi ndani ya Bara la Afrika na kudhihiri 'Ukuu wa Roho' dhidi ya 'vina vya tafsiri' vya watu na mionekano yao ya nje... Afrika ya fedha, ni ya 'mtu mweusi' kadri sawa na 'mtu mweupe', ni ya mtu wa njano, mwekundu, kijani ama vyovyote vile ili mradi huyo anajitambua na anatambua 'Mkuki wa Imani ya Utaifa' ilivyo ni Liberiti na Harambee...

Afrika Mpya ni Nchi ya Watu wa asili ya Ulaya, Asia, Amerika, Australia n.k kadiri sawa na 'wazawa'. Liberiti Afrika, ni dhamira ya ustawi inayonasibu 'maendeleo ya watu na vitu' barani Afrika.

Basi Tuzingatie maneno ya Mwalimu Kambarage Nyerere, wakati wa Kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi, mwaka 1977:

"Chama Cha Mapinduzi hakina budi kisimamie vizuri maendeleo ya uchumi wetu, Chama Cha Mapinduzi hakina budi kisimamie vizuri zaidi vyombo vyetu vya siasa, Chama Cha Mapinduzi hakina budi kihakikishe kwamba vyombo hivyo vinalindwa na haviachwi na vikashambuliwa na vibaraka wa ubepari na ukoloni mamboleo. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania kulinda uhuru wao na heshima ya nchi yao. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania wajenge ujamaa nchini mwao.

Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na Waafrika wenzao kuleta uhuru na umoja katika Afrika nzima. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na binadamu wenzao kuleta haki na amani duniani; Chama Cha Mapinduzi ni Chama cha watu; Chama Cha Mapinduzi kitaongoza kutoka miongoni mwa watu na kitaongoza kikiwa ni sehemu ya Watanzania maana wananchi ndio waliokiunda Chama Cha Mapinduzi kiwe chombo chao na kiongozi wao.

Sisi ambao leo tunajitangaza hadharani kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi tunajitolea maisha yetu kwa huduma hiyo, tunafanya hivyo tukiwa watu miongoni mwa watu, tunafanya hivyo tukiwa watu sawasawa na wale waliotuamini kutupa madaraka hayo au ambao tunajua kwamba wanaweza kutunyima nafasi hiyo kama wakiona kuwa hatuzistahili.


Tumwombe Mwenyezi Mungu basi, atuwezeshe kukitumia chombo hicho ambacho tumekiunda leo ili kitekeleze mahitaji ya wananchi wa Tanzania na wananchi wa Bara letu la Afrika kwa mujibu wa fikra zao na kwa faida ya maendeleo yao. Tumwombe Mwenyezi Mungu atusadie tuepukane na vishawishi vya matumizi mabaya ya madaraka na uwezo ambao Chama Cha Mapinduzi kitakuwa kinao ili siku zote vitendo vyetu viwe ni vitendo vya maadili ya kijamaa katika nchi yenye heshima, haki na usawa kwa watu wote."

++++


 


Alright...

Kwa hivyo, tatizo ni mifumo...

Mfumo wa fedha unaotawala duniani.

Vipo vitu vya kiufundi vya kuweza kuupindua mfumo huu lakini wapo >'waangalizi'< wanaohakikisha hili halitokei bila ridhaa yao...

Ijapokuwa kuna watu wengi hudhani labda 'viongozi' ama 'watu wenye madaraka' ndiyo wanaweza 'kuleta mapinduzi'; hili ni 'danganya toto' kwenye ugani wa 'siasa za tawala'; na tena hata kwa misingi ya demokrasia ya kiliberali.

Mifumo inaweza kubadilika pale tu 'jamii za watu' zinapokuwa na mwangaza bora juu ya maisha na stawi zao; na halafu wakaamua 'kujipangilia upya kiustawi'.

Duniani kuna jitihada ama >michezo ya makusudi inayotendeka kuhakikisha 'jamii za watu' zinabaki kwenye 'giza'< ili mambo yabakie ama kuendelea kama yalivyo--Kiuchumi na Tawala za Mataifa.

'Kubakia kwenye Giza' ni msingi wa kukadirisha muktadha wa haya yote ya wengi kubaki na umasikini wa hali moja hata ingine na hali wengine wachache wakifurahia >'Pepo za Mabwege'<... Wote wawili, 'wasotaji' na 'wala shushu' wana 'ujinga'--ujinga wa kimfumo ambao ni nadra kwa wanajamii 'kushtukia mchezo' na 'kupindua meza'. Mla shushu, yeye hunufaika kwa sababu ya mfumo... kadiri aoetevyo nafasi ya kujinufaisha kimfumo. Ni mfumo unaoweka wengine pembeni kadri vile huweka katikati wale wenye kunufaika na vitumbua vya 'mema ya nchi'.

Sisi kama wanajamii tunaotafuta mwangaza wa kumalizana na adha za 'umaskini, ujinga na maradhi' yatupasa tusihadaike hata kidogo na siasa za tawala na mifumo kwa kuwa haya ni matokeo ya 'ufikirifu pofu wa kimakundi'.

Yatupasa kumaizi ni jinsi gani 'Matukio, Wakati, Machaguo ya Kitaasisi na Jamii' ni vitu vyenye kufungamana na basi kuakisi 'jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii'. Maamuzi jamii ndiyo hudhihirisha ukomo wa matendo yetu ya miundo jamii na ustawi...

Haimaanishi ni nani atafikiri eti ana 'ndula mbili' za kukabiliana na hali ilivyo--ilivyo kimaslahi katika msuguano kati ya 'wasotaji' na 'wala shushu'; yeye akipewa 'kiti' katika mfumo, kama mtu wa madaraka tuseme, itaanza kuwa dhahiri kwake kuna mambo yako 'nje ya uwezo'--kuna namna labda watu hudanganyika kudhani wakiwa na madaraka wanaweza 'kufanya lolote'; iwe kwa kufuatisha 'mstari kwa rula' kwa minajili ya sheria na taratibu ama hata 'udikteta' na basi 'kunyoosha mambo' ya ustawi wa jamii kwa mujibu wa ‘haki, ama utu ama usawa’. Hili HALIWEZEKANI, popote lilipojaribiwa na yeyote ama kikundi chochote kama 'mkakati maalum' hatma yake huwa ni >'ajali'<...​

Mulokozi GG:
Hivyo mfumuko wa bei, ongezeko la gharama za maisha na umasikini kwa masikini ni suala ambalo halikwepeki ndani ya huu mfumo. Hata iwe serikali gani masikini wataendele kuwa masikini huku wakiongezeka na matajiri watazidi kuwa matajiri huku wakipungua. Sababu daraja/nafasi iliyopo kutoka kwenye umasikini kwenda kwenye utajiri ni kubwa, ndefu na inazidi kurefushwa kila iitwayo leo sababu ya huu mufumo unao tumika.
Unaweza ukajiuliza kama wengine wengi kuwa, je wanauchumi wetu hawaoni kuwa mfumo tunaoutumia sahivi una mapungufu mengi kiasi hiki!?
Jibu la hili swali na mengine mengi ya hivi ni jepesi. Mashuleni (formal education) wanafunzi hawajifunzi kile wanacho kitaka au kile kitakacho wasaidia bali wanafundishwa na kuaminishwa kile kilichopo kwenye shule na kwenye mfumo husika.
Kwahiyo wenye mamlaka zaidi kwenye mfumo wa elimu ndio wanao amua kipi kifundishwe na kifundishwe je?, wengine wote wanaitikia tu.
Sababu lengo kuu la kusoma au kupata elimu(kwa walio wengi) ni kuajiriwa, kupewa mishahara mikubwa n.k. Inakuwa ni vigumu kwa Jamii na wasomi(walio wengi) walio kesha wakikalili kile walicho pewa tu kwa ajiri ya mishahara kwa miaka zaidi ya 16 kubadilisha mtazamo wao na kuanza kusimama kwa ajiri ya masilahi ya wengi na jamii kwa moyo mmoja.

Mawazo na Urazini makini, tushukuru.

Kwa hivyo, haya yanatubariki hili kusudi kwa kuuinua mwenge wa renasansi ya Mtanzania na Muafrika--pia Dunia yote.

Renasansi hii, 'ilitungiwa kusudi' kupitia ule mkazo kwa harakati za siasa za Ujamaa na Kujitegemea; >Chama cha Mapinduzi ndicho muamana wa shughuli hii<. Jamii yetu inapotoshwa na misingi yake ya Taifa na baraka zake, kwa kuwa 'Utawala' unazongwa na mikiki mikiki ya 'siasa za kimataifa' na mafungamano ya kiuchumi kiasi cha kujisahau na kusahau kuhusu makusudi ya kuinuka na kustawi kwa 'Taifa Jipya'. Siku zote ukijisahau juu ya makusudi yako ya kipekee katika kuchipuka na kusimama; mwelekeo wako unaweza kuhodhiwa na mwingine anayetafuta kukupumbaza--ili usije kuwa 'wa tofauti' na kubabaisha wengine ndani ya mchezo mmoja; wengine wenye maslahi kwa 'Aliyetangulia'. Basi ijulikane wazi, dhamiri ya kutamka kutofungamana na upande wowote, usovereini, inaweza kuchezewa na inachezewa wakati wote pale tunapojisahau, kughairi ghairi ama kutokukaza mshipi kwa changamoto halisi zinazotukabili.

Ni kweli, ELIMU yetu ya kimadarasa kwa leo na sasa ni mushkeli. Hata mtu yeyote wa kimadaraka akilitaja jambo hili ki namna hii, si ajabu hana 'mbadala' kwa shughuli hii--nini kifanyike ili tuwe na ELIMU yenye manufaa zaidi kiutamaduni na maendeleo. Elimu kuwa ni mwangaza wa duniani, si jambo rahisi la kuishia na visomo vya taaluma na mitaala ya masomo. Kupitia jitihada renasansi Afrika, tunabainisha ELIMU kwa nyanja tatu: >ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0<--Hili kuja sambamba na msingi wa kubaini >'Akili ni Nini'< na inafungamana vipi na >'Jiometria ya Utendekavyo Maamuzi Jamii'<(?).

Mwalimu Kambarage Nyerere na Waasisi wengine wa Taifa walikadirisha alama na funguo kwa Taifa letu la Tanzania kukidhi muktadha ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0. Iwe kupitia >Chama na Serikali<, ama >Taasisi za Ulinzi na Ustawi<, vyote hivi hushikizwa kwa 'Mwenge wa Uhuru'...

'Mwenge wa Uhuru' ni shughuli ya 'watu wa nyakati'; kwa hivyo 'hekima yake' inataka upeo na makarama ya kiakili. Elimu 3.0 kwa mfano, inatupatia funguo kwa ufunuo wa mambo--hata mambo ya nyakati-- kwa kuwa akili zetu ni mitambo ya fahamu zinazoweza 'kupitiliza kawaida'. Japo watu wanaweza kuuona mwenge ama na kuzisikia habari za mwenge, 'jambo moja ama jingine' linaweza kuamshwa katika akili na mioyo yao. Leo hii hakuna maarifa ya wazi kuhusu hili, lakini siku za mbele maarifa haya yatakuwepo na yatakuwa ni ya kawaida kama ilivyo kwa 'elimu mushkeli' za leo--elimu zilizo ni 'kutokujua ilivyobora': ELIMU 1.0. Kwa hivyo, hata' Mwenge wa Uhuru' kutokea katika robo ya juu ya vesika-paisisi ya nembo ya taifa ni kielelezo cha 'utu' na 'ufunuo' katika ustawi wa 'jamii ya dhahabu'…

++++++

 
'Jamii ya Dhahabu' ni jamii iliyofanikiwa 'kuupya-isha Elimu' zake zenye kutokana na fahamu za 'akili ya nyama' hadi kujinasibu na 'akili ya moto'; ni jamii inayojinasibu na ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 kwa wakati mmoja. Hili linatengemaa ndani ya takribani miaka hamsini ijayo, tuseme kuanzia 2023, kwa hivyo isimshangaze mtu kusikia hata alama za taifa 'zimepandikizwa' na watu 'waliombele kiwakati'--kufika 2080 ujuzi upo wa kushughulika na mambo kiwakati. Leo hii watu 'huvujishiwa siri' kwa hata filamu za mambo ya >kusafiri kiwakati<, na wao wakadhani 'ah hayo ni mambo ya filamu tu'... Yapo mambo ya ajabu na ya kushangaza, yakizungumzwa ama kufunuliwa kwa mapana na ghafla itashangaza hasa na hata kuleta mshtuko kwenye jamii...

Ikibidi kuzungumza kidogo kuhusu mawezekano ya 'kiwakati' ili kuuandaa umma na mambo ya ELIMU 3.0; moja la msingi ni kuwa katika kila mtu upo uwezo kufahamu mambo ya jana, leo na kesho na >'u-hamonia wake wa kimatukio na mikondo-nyakati sambamba' lakini kuna 'pazia' imfanyayo mtu asibaini hili kwa wakati<. 'Ilimu' ya hili inaweza kuumbua hata kinachofahamika kwenye 'maarifa ya dini' moja hata ingine, ama/na mapokeo; lakini ukweli ni ukweli, hauna chochote cha 'ubishani'; haijalishi zipo dini na imani za miaka maelfu ama makumi elfu zinazofikirisha watu hivi ama vile... Kwa kuwa ni ELIMU hiyo hiyo 3.0 ndiyo inayoleta ufunguo wa kufahamu kwa nini hili ama lile lilifunguka hivi ama vile kwa mtu na hata kuleta hata dini, mapokeo na imani kokote duniani--jana, leo na hata kesho.

Kwa hivyo mtu yeyote anaweza kupewa mafunzo ya kuweza >'kuona matukio' hata nje ama mbali kiwakati.< Hili linafanyika hata na watu mbalimbali kama taasisi ama idara za upelelezi za kiraia, kiserikali ama kijeshi. Katika hili hakuna 'siri' popote hata pale ambapo tunaweza kudai alibaki 'mtu na mungu wake'.... Japo, ujuzi na mbinu kwa hivi sasa -- ujuzi wa kuona zaidi ya fahamu za kimwili, 'zinazidiana' kwa taasisi za kiraia, kiserikali na kijeshi--na hufanywa ni 'daraja siri' huko serikalini na jeshini; siku si nyingi 'mambo ya usiri' yataanza 'kupigwa chini' na basi kidogo kidogo maarifa haya yatakuwa hadharani na wengi zaidi wataanza kutafiti habari za >'siri za maumbile, akili na ufahamu'<.

Takribani miaka hamsini mbele, ndipo tutakuwa tumefika kwenye ujuzi na mawezekano yasiyoyakawaida juu ya mambo haya ya kuona zaidi ya fahamu za kimwili kwa kutumia akili peke yake; na kwetu hapa Tanzania, pia tutakuwa na taasisi mahiri kabisa na vituo vya utamaduni kadhaa kwa ajili ya mambo haya. Ikiwa hili ndilo lenyewe, wakati mmoja basi isiwe shida kuweza kubaini >miongoni mwetu wapo wanaoishi na kuwa vituo vya madaraja ya utu na ufunuo<... Mwalimu Kambarage Nyerere alikuwa mmojawapo, kwa kuwa 'ya mbele' yanahusiana na leo, ya jana na ya jana zaidi. Kila mtu anayenasibika kuwa ni kitovu vya 'matukio mapana' ya kijamii, kuna mahala anajulikana kwa ufasaha wa hali ya juu kwa takriban vizazi nne kabla na vinne mbele yake.... Hili kuwa kwamba, watumishi wa kudumu ama/na kupita kimadaraka ama ajira, pasipo 'kujijua' ama 'kujijua kwa sehemu', wengi ni 'askari' waadilifu wa 'Idara ya Mambo ya Nyakati'--'Watu wa Nyumba' katika tume za 'Akademi Wakati ya Kwanzania'.

Kwa hivi 'viona mbali' wa leo kuna yale waliyonayo na uwezo na nayo na mengine wasiyo na uwezo nayo kulingana na taasisi wanazotumikia, siasa zake za ndani, ukiritimba na hofu za kibinadamu. Kwenye Akademi Wakati ya Kwanzania, haya yote yanakuwa 'yameshavukwa mbali'. Leo hii ujuzi wa 'kuyaelewa matukio' na 'kung'amua maono' unavikomo kulingana na 'dhambi ya asili' ya taasisi zenyewe za utazamaji ama/na udadisi. Kwa kesho, zana kama vile >'pembetatu ya uono na ufikirifu mifumo'< ni mwanzo wa kubaini >'lugha za wanadamu na malaika'<.... Mikondo Wakati na Matukio ni 'alama' oanifu kwa 'Nia', 'utashi' na 'Mwongozo wa Kiroho' katika mtu, dunia na ulimwengu; vifanyavyo haya kuwa ni 'lugha tata' na hata 'mafumbo' kwa mchanganuzi wa kiintelijensia wa leo; mbali kupitiliza mbinu za uchanganuzi uliosukika, kwa ukachero wa kileo.... Japo kwa mtu mmoja mmoja, ipo nasibu ya 'kufunuliwa' kipekee.... Kwa kuwa kupitia ELIMU 3.0, ufunguo kwa 'ufunuo' upo kwenye kumaizi 'Ontolojia ya Taasisi'. Ili kuongeza ujuzi na uwezo kwa viona mbali, 'lugha ya alama uono', kama vile mapelekeo ya 'duara' na 'pembetatu' katika kubaini 'muktadha' na 'tukio la kimatendo', haina budi kuongezewa kwao; na hili litaongeza >chachu na nuru ya ufahamu kwa wao<.

Watu walio ni vinara wa utumishi, visomo na madaraka kuna mahala wanaona na kujiona-- kwa kila fikra, na wazo na matendo yao; kwa kuwa sehemu ya wao inayoishi 'wakati wa dhahabu' inaratibu maisha yao. Iwe kwa 'wema' ama 'ubaya' wao, kudai ni 'wema' ama 'ubaya' hii ni lugha ya mtu asiyejua ilivyobora, ipo namna hao watu 'wanatoa hesabu ya matendo' yao -- kutoka kwenye seti moja ya utendaji wao hadi ingine kiwakati... Kwa mfano, siyo kwa kuwa mtu leo ni mwenye dhamana ya utumishi wa umma kwa nje anaonekana ni mwema kwa watu wake wa karibu lakini kwa siri ni mbinafsi na kutafuta kujinufaisha kupitia cheo ama madaraka basi ifikirike ni 'mbaya' kabisa... Kwa watu wa 'mwangaza' kila mtu, kila jambo, kila mfunuko wa matukio unahesabu yake inayozidi >'hukumu'< rahisi--hukumu rahisi ambavyo mtu ama mwanajamii asiyena daraja la 'utu' na 'ufunuo' anaweza kudhani anajua na kumbe hajui hasa: je, ni kwa nini yanatokea ya kutokea(?). Kuna wanaocheza mchezo leo kama 'wabaya' kwa ndani na kungine ni 'wema' kadri vile wale ambao sasa >wanaweza kuonekana wazuri na kumbe ubaya wao uko hapo hapo<... Haijalishi kwa mfano, kwa jina la 'utawala na mifumo' mtu/kikundi cha wadau kinammaliza 'mwingine' kwa kisirisiri ama vipi, huko mbele kiwakati 'wadau wote' hawa ni wanandugu ama hata marafiki--makamarada katika ushirika wa 'watu wa nyumba'... Huko mbele ya wakati, wakijua walichofanyiana 'siku za nyuma' na wala ikawa 'siyo kesi'; kwa kuwa 'waze-e wanaona' na wao makamarada wanayonamna ya kubaini hatma na mapana ya 'drama' zao--kutokea kule kwenye mapitilizo ya mambo ya nyakati na tena ambapo 'pazia ni jembamba' kwa ya jana, leo na kesho.

Matukio yawe mazuri ama mabaya huchukua sura yake yakijiwianisha na mengine yanayoweza kuwa na uzuri ama ubaya wa kinamna ingine... 'HIsabati za Milinganyo ya Matukio' ni sayansi ambayo kwa leo bado >hatuna 'kisomo' cha kutosheleza tafsiri<... Hii ni kwa kuwa hatuna ujuzi na uwezo wa kuchakata habari kwa mikondo mipana ya fahamu na ujuaji kiakili, kihisia na kimwili... Hatuna 'mazoezi' wala 'mazoea' sahihi ya kiufundi; zaidi, hatujaiva kwa visomo 2.0 na 3.0.

++++++

 
Ikiwa mtu anataka 'kujua' ni kwa vipi 'jana, leo na kesho' yake vinakutanika-- iwe kwamba yeye kwa kesho ni 'mtu wa nyumba' ama tu 'mtu mtamaduni' katika jamhuri iliyotaamulika; anaweza kufanya zoezi rahisi... Kiutamaduni, watu wa Akademi wakati ya Kwanzania, na hata vituo vya utamadauni kutakuwa na desturi ya 'Kulisalimu Jua'... Inaweza kuonekana 'ajabu' -- ati kusalimu jua, ndiyo ni jambo gani(?). Kusalimu jua, ni mbinu na utundu wa asili wa 'kuwasiliana na nafsi yako' inayoishi zaidi. Wewe unayeishi leo si yule anayeishi kesho, lakini kuna namna 'wewe na yeye ni moja'. Jua ni zaidi ya 'tanuru la moto na mwangaza angani'; lenyewe ni kitovu cha 'ufahamu, kujua na metafizikia ya uzima'. Jua linawaka daima, na litawaka daima kadiri ya uhai wa mfumo wa jua wenye sayari... Fanya ujengaji picha ni namna gani kila tukio chini ya Jua-- limeshuhudiwa nalo Jua-- na basi jua lina kumbukumbu ya yote, litabeba kumbukumbu ya yote juu ya uso wa sayari ya dunia ambamo wewe unapata kuishi na kustawi... Sasa, ni ajabu na kweli, japo unaweza kudai hili ni la 'kubuni tu', ni mafunzo na jitahada ndivyo 'vitavyofunua pazia' na kuja kutambua hili ni ufunguo kwa kweli juu ya 'Utu na Ufunuo'... Hata miaka 100 nyuma, kumueleza mtu kwamba siku moja mtu mmoja atawasiliana na mwingine aliyekuwepo mbali kupitia 'kibao cha kioo na plastiki', simu janja, ingelikuwa ni vigumu kusadikika. Siku za mbele tutakuja kubaini vitu vya mawasiliano vya asili kabisa, Jua ni mojawapo na ni KUU...

Kusalimu Jua, kunafanyika na watu jumuiya za siri kote duniani ama kwa matendo ya vikundi vya waumini, kwa kuwa ni pia >'lugha ya mizungu' na 'Imani'<kwa 'utu' na 'Ufunuo' inayokuja kwa namna ya 'sura ama alama' za 'moto' ama/na 'Mwangaza'. Bara Hindi hufahamika kama 'Surya Namaskar', Israeli -->watu wa Eseni,< kutokea Masada walifanya 'Surya Namaskar'. Uhusiano kati ya 'uzima' na 'ukakamavu' wa wanajamii, pia sala na tumaini la pamoja, ndivyo katika miaka ya karibuni, wakati wa renasansi ya Uropa, dhana za 'moto' na mwanzo wa 'mchezo' vilijinasibu na mwanzo mpya wa roho ya 'tumaini na urafiki', kadiri vile 'udugu na furaha katika ustawi'--wazo Mbegu alililoamka nalo Mwalimu Kambarage na Washirika-- huku Mashariki ya Afrika, na hali ni muendelezo wa 'Shughuli za Akademi Wakati ya Kwanzania'. Hili lina asili ya >'UKalvini, uheleni na upagani,'< japo siku za mbele litakamilika na >'Uimamu'<... 'Mbio za Mwenge' ni kiungo alama cha 'dhamira, sala na nia'--kwa udugu na ustawi... Na siku za mbele, >‘Sala ya Bwana’< ndiyo hasa, ufunguo wa 'Kushawishi Matukio' hata Nje ya wakati... Leo hii watu wanaweza kuona matukio hata nje ya wakati, lakini ikiwa hawajui kujenga ushawishi wa 'matukio kutokea' kupitia vitovu vya 'nia njema' na 'sala', sanaa nzima ya ukionambali yawa 'bati lililokosa ala ya wimbo'...

'Watu Halisi wa Mwenge', katika Akademi Wakati ya Kwanzania, ni watu ambao kwa leo tunaweza kudai ni si wa kawaida... Hawa wanauwezo wa kuona chochote na lolote, kuingia ndani ya ufahamu wa kiumbe chochote ama sayari na 'kuyajua' ya 'kupenda kuyajua'. Kwa wao pia upo, uwezo wa kusoma mawazo ya wengine, wakati wametukia kama 'mtu' kokote na popote; ndiyo wanaweza kutukia kokote na popote hata 'wakati tofauti'. Uwezo wao wa makarama ya kiakili ndiyo hufanya daraja la 'kuvuvia' na 'kuleta intuji' ya maarifa na hata 'daraja' kwa 'wateule' ama yeyote 'mwenye moyo safi'. Hili ni daraja la 'ushawishi' kwa 'sala na kazi' -- na hili linakadirika kwa kule kusema-- kudhamiria ama kuazimia nidhamu vitendo kwa 'Mapenzi Yako Yatimizwe Duniani kama Mbinguni'....

Watu wa Mwenge, ni sehemu ya jumuiya pana ya walinzi wa imani na stawi za mataifa--duniani na kupita. Uwepo wao unaweza kufikiwa kwa manufaa, kupitia 'dhamira', 'Nia Njema' na 'imani' katika watu wa mataifa. Kuna ya kufahamu na kujua zaidi--kujua ilivyobora, ni kwa vipi jamii zinaweza kutumbukia kwenye majanga na masaibu, wakati hata wakati, na hali 'jumuiya ya ulinzi' ipo. Wanajamii wanaweza kusema 'Mungu yuko wapi' kwenye ulimwengu huu ambao wema na wabaya wote 'wanakiona cha mtema kuni'--kwa sura moja hata ingine. Kusema kana, Je, Wako wapi wa kuingilia kati 'cha moto' kinachotusibu wanadamu -- kwa sura ya tamaa, wivu, unyonyaji, dhuluma na ulaghai wa mifumo ya wanadamu kwa silika ya ubinafsi(?).

Wanajamii wapo kwenye msoto na drama za mifumo ya kibinadamu kwa kuwa 'hawana kujua ilivyobora' kuhusu ubinafsi. Mifumo yote mibovu ya maisha na stawi ipo na kudumu kwa kuwa wanajamii, kwa wingi wao, 'wameshikwa pabaya'... Ikiwa wanajamii hawana jicho la kubaini muktadha wao wowote wa ustawi kwa 'usafi wa dhamira' na 'tamanio safi' basi hawa watadanganyika na 'Mifumo Babiloni' na 'Utumwa' kwa 'taasisi', 'ufikirifu pofu wa kimakundi' na 'Mseto wa Shida na Raha'... Hivi vitaandama stawi za maisha ya wanajamii kwa kutendeana wema ama/na ubaya wakati wote--kutengeneza 'madeni', kiwakati na mienendo, kadiri ya haya yote kuwa ni 'dhambi ya asili'.

Leo hii na sasa, kwa mfano, wanajamii hawajashtuka na kuazimia na kujinasua na 'mifumo' inayokadirisha >u-Eliti<. Hawafungui macho yao na kubaini, maisha yao yote ni kuabudu sanamu za mifumo ya ubatili kulingana na kiza cha nafsi. Sanamu hizi hutengenezwa na jamii yenyewe kulingana na 'kutokujua ilivyobora'. Iwe ni mifumo ya siasa, uchumi ama utamaduni, ni wanajamii wenyewe ndiyo wanashikilia hatma za maisha na mustakali wao. Wanajamii hawatanasuka na adha za mifumo ya leo ikiwa wataendelea na kuendekeza 'uono na ufikirifu pofu wa kimakundi'. Inabidi kila mwanajamii 'aamke' kwa nafasi yake na kuinusuru 'nafsi' yake. Ubinafsi katika kiza ni 'laana' ilivyo ni 'dhambi ya asili'; na hali ubinafsi katika nuru ni 'Mbaraka' ilivyo ni 'wokovu'; kila mtu atauchukua 'msalaba' wake yeye mwenyewe kuelekea 'Golgotha'...

Msaada wa mwanajamii katika 'njia ya Msalaba' ni imani; hii kwa ELIMU 2.0 inabatilisha yale yote yanayodumu katika maisha na ustawi wa wanajami kwa ELIMU 1.0. Imani ya mtu wa ELIMU 1.0 ni ya kusadiki 'mamlaka ya nje' hata kwa gharama ya kuuza utu wake. Mtu wa ELIMU 2.0 anayajua vema ya ELIMU 1.0 na hali yeye daima anatafuta hatma ya kutangamanisha lile analolijua na asilolijua kwa wakati. Mtu wa ELIMU 2.0 ni mtu mwenye kuamka... daima kuiishi njia nyembamba ya 'Nuru na Uamusho'. Imani ya mtu wa ELIMU 2.0 ni ya kuaaminia katika 'mamlaka ya ndani' hata kwa gharama ya kulipiwa 'thamani isiyo kifani' ya utu wake kutoka kwenye 'Ubabiloni'. Mtu wa ELIMU 2.0 ni mwenye kuweza kuishi kama ni waulimwengu huu na kumbe si hasa wa ulimwengu. Analifahamu na kuliishi lile shauri la 'Kumpa Kaisari kilicho cha Kaisari, mpe Mungu kilicho cha Mungu'. Sasa, kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, huanza kumaizi yote yatendekayo na kutukia katika jamii ni muakisiano wa 'Metafanusi' ya Uzima wote. Huanza kumaizi, yeye ni mmoja katika mengi/wengi. Na tena, katika kila kwenye imani na kujua ilivyobora, uweza unafanyika kutenda, kuwezesha, kubariki na kutumainia makuu. Katika mtu wa ELIMU 2.0, cheche za nuru ya utu huchachusha muktadha wa 'chumvi' na 'nuru' ya kiutamaduni ambavyo huja kwa 'kujisikia' na 'vina vya tafsiri'. Muungano wa 'Moyo na Akili' katika 'Kujitambua' ndiko huleta 'kujua ilivyobora'; -- ilivyo ni 'kuzaliwa upya'.

Kuzaliwa Upya kujavyo na Elimu 2.0 ndiko huleta dhana ya 'Hekima ni Uhuru'. Kwenye nembo yetu ya Taifa, hii ilivyo ni tafsiri kwa'Jando na Unyago', hili huwasilishwa kwa Pembe za Ndovu zinazoifutika vesika-paisisi ya 'ngao ya Ustawi'. Pembe za Ndovu, kwa mtu wa ELIMU 1.0 zinaweza kutajwa ni alama kwa ‘utajiri wa maliasili’--lakini kwa lugha za kialama, jadi na imani na tena kiutamaduni hizi zawakilisha 'kinga dhidi ya mabaya katika uzazi au mauti'; na metafizikia yake ni 'usifa-akili katika magutu'. Uwili wa pembe ni alama kwa 'lila na fila'--jinsi ya 'kike' na ya 'kiume' kiakili inavyokamilishwa na 'hisia-akili' za namna hiyo hiyo. Kwa hivyo, kiuono na ufikirifu mifumo, pembe za ndovu kufutika vesika-paisisi, kwa seti moja ya topografu vya uono na tafsiri, ni kielelezo kwa 'Yuniani Mistikali'. Kama vile katika maarifa ya kemia, chumvi hufanyika kwa kupambanisha 'asidi' na 'besi', nasibu ya jamii iliyotaamulika ni ile ambayo watu wake wamefaulu kuwa 'chumvi' na 'nuru' kwa dunia na ulimwengu ambavyo pembe hutokea ardhini na 'nuru ya ulimwengu' yaja kutokea ndani ya vesika-paisisi--robo ya juu. Hii ni ishara ilivyo ni ‘Al-kimiya’ kwa mtu ama/na jamii. Na basi kutokea kwenye seti ya Vesika-paisisi na Pembe za Ndovu, kitopografia, tunapata 'Waridi Mistikali'…

Ilivyo kwenye nembo yetu ya Taifa, Yuniani Mistikali na Waridi Mistikali ni ‘Yoga’ na ‘Tantra’ ilivyo ni ‘Jando na Unyango’ kwa madaraja ya ‘utu’ na ‘ufunuo’. Kadiri vile ‘Pistili’ na ‘Vulva’ ni sehemu la Uzazi, Uchamvushaji na vilele vya Starehe, mashine rahisi ya ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ katika jamii huleta nasibu ya ‘Uzima na kujali utungikaji wa mifumo hai’, ‘Koherensia na Sinejia katika Miundo na Vitendo’ na ‘Furaha ya Kiustawi’. Bibi na Bwana ni wenye koherensia katika ‘Mkao’ na ‘Vitendo’ ambavyo ni ‘simetria’ katika kuukwea mlima wa ‘tunu za ustawi’ na vilevile kushika pembe ya ndovu na kuegama kwenye vesika-paisisi. Mkono kwenye Pembe unawakilisha ‘Yoga’ na mwingine kwenye vesika-paisisi unawakilisha ‘Tantra’. Na basi ‘Pistis Sophia’ kuelekea ‘Ujamhuri Uliotaamulika’ iko nasi pale tutakapoamka ili kujua, kumaizi na kuiishi Maana ya ‘Mkuki wa Imani ya Uumoja’…

++++++

 
'Mkuki wa Imani ya Uumoja' ni ufunguo mkuu wa 'dhamira ya utu' juu ya kazi, ulinzi na utawala kupitia nafsi ya 'nguvu, uweza na utukufu'. Lau kiutamaduni, ngao, mkuki na taji la kichwani huwa ndiyo alama za 'Mtemi'; hili ni hivyo hivyo katika ukweli wa mambo juu ya 'utu na ustawi' kwa mujibu wa alama oanifu za muktadha wa jamii sovereini. Mkuki ni kiashirifu kwa Nia, Uwepo na Mamlaka--na ndivyo pia hujitokeza kama fimbo ya utawala ama maajabu kwa yule mwenye kuihodhi kimakarama na uwezo. Kwenye visa vya kiutamaduni kuhusu watu wa Israeli kwa mfano, Kisa cha Musa, Fimbo, 'Moto unaowaka pasi kuteketeza' na 'utumishi wa kiuongozi' kinasadifu alama oanifu kwa fimbo, utawala na makarama ya akili katika kudhihiri 'uwepo' na 'uweza' wa kile chenye kupitiliza kawaida na hali ni metafanusi ya uhuru. 'Mwenge wa Uhuru' ni kielelezo cha 'Uhuru' na 'Taamuli' ambavyo fumbo la utu wenye kutafuta njia ya ukombozi na kile kilicho kikuu--Metafanusi ya jamii iliyotaamulika. Kwenye Kisa cha Musa, Metafanusi hii ni 'moto uwakao pasi kuteketeza kichaka' wenye kudhihiri tamko la >'MIMI NDIMI NILIYE'<; na basi mkuki wa Imani ya Uumoja ni fumbo juu ya Wanajamii katika kubaini mamlaka yao yanatokana na LIBERITI na kukaza Nia Moja na kile chenye Kuleta 'Uzaliwa Mpya'-->Moto wa Utakaso< ilivyo ni alama ya mwenge na rangi ya dhahabu katika robo ya juu ya vesika-paisisi ya nembo yetu ya Taifa.

MIMI NDIMI NILIYE ni tamko la 'usovereini', katika Nuru na Ukomuniko; na hili huleta na kuamurisha mamlaka na uwepo. Kupitia ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, topografu ya Vesika-Paisisi na Pembe za Ndovu yakadirisha topolojia ya kusadifu 'Pendo Lililo Baraka' na 'Uumoja'. Jamii ambayo watu wake ni wenye kuamka, watu wenye Taamuli katika nafsi, huwa na utu na nia moja; ilivyo ni 'haki na usawa' kutawala ustawi na maendeleo yao. Huwa na Imani na Metafanusi ilivyo ni 'Mungu'... Na kwa mtu wa ELIMU 1.0 na mapokeo ya kiutamaduni hili linaweza kalandana na vile kusema hakuna 'Mungu zaidi ya Mmoja'--Mungu ndiYe aliye... Kwa ELIMU 2.0, Ustawi wa Jamii yeyote ni mfanyiko wa Ontolojia ya Taasisi na Metafizikia yake ambavyo Metafanusi kukadirisha ule usemi wa Kama ilivyo Juu ndivyo ilivyo Chini, Kama ilivyo nje ndivyo ilivyo ndani... Mtu wa ELIMU 2.0 ni mtu wa 'Majia'; kwake unafanyika uwezekano wa 'kufanya maajabu' kupitia metafo ya 'Fimbo ya Musa' pale anapolivaa 'taji' la ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu... Metafo ya 'Fimbo ya Musa' ni jibu la ki-al kimiya ilivyo ni Usanisi wa vyovyote viwili vilivyo ni kadiri ya 'Hasi' na 'Chanya' katika sura na mienendo yote ya mambo -- ili kuzaa 'cha Tatu' kilicho na 'Uweza, Nguvu na Utukufu'. Yesu ananeno katika hili, mtu haingii katika 'Ufalme wa Mbingu' hadi afanye 'mbili kuwa moja'...

Usovereini katika 'Utu wa Moto' ni epitomi ya 'Vituo vya Utamaduni' katika siku za mbele ambavyo ufundi wa kutenda makuu utakuwa ukifundishwa kwa wale waliotayari na wenye kupenda. Kitaasisi, kinara wa haya itakuwa kwenye akademi za mambo ya kijeshi--diplomasia na kujihami kwa mtu askari, tena medani kwa watu wa 'akili-dola ya Kijeshi' na 'watu wa nyumba' kwa 'Akademi Wakati ya Kwanzania'.

Siku za mbele, humo 'Kopasi Kristi', mahala ambapo leo ni sehemu ya mkoa wa Tabora, kambi ya mafunzo maalum--ya kawaida na yale yasiyo ya kawaida --maarifa ya 'uzima zaidi--uzima wa milele' yatakuwa yakifundishwa. Ufundi huu ambao ni muktadha wa kuathiri 'umeme-uzima' wa mwili ndiyo ufunguo kwa mawezekano mengi yasiyo ya kawaida--yale ambayo leo hii mtu asiye uzoefu nayo ataita ni 'mambo ya miujiza'. Tunaishi kwenye ulimwengu ulivyo ni 'wakinishati habari', mtu anayefundwa kisanaa za akili, mwili na roho anaweza kutenda maajabu; Yesu aliposema 'watu wafuasi' wataweza kufanya makuu kushinda hata yale aliyoyatenda alikuwa akijua ukweli hasa wa hili ilivyo ni ELIMU 3.0. Katika hali ambavyo umeme wa mwili wa mtu, ki kila chembe hai ya mwili, unakadirika hata 1.23V; isivyo 'Mikrovolti' bali 'Volti' hasa, mtu huyu ni yuko kwenye 'moto wa uzima'--Kwa kitovu cha utu na mamlaka, huyu anaweza kutenda makuu... Basi, mtu anaweza hata 'kutukiza kitu kutokea kusiko-ukitu'--almradi analo 'neno' la kitu atakacho kuhuluku na anazingatia 'alogarithimu za kutenda' katika 'uwepo'... Mambo kama vile 'muujiza wa Yesu, Samaki na Mkate', yanaweza kufanyika na mengine mengi kama vile kuwepo kimwili mahala hapa na pale kwa muda mmoja; kuenda umbali mrefu kabisa kwa muda mfupi--kufumba na kufumbua; kupita popote iwe ni kwenye jabali, ukuta, theluji, moto n.k

Makarama ya Kiroho, Akili na Mwili kwa ufunguo na ufunuo wa ELIMU 3.0 ni matunda ya Metafanusi ya Jamii ambayo Paulo aliita 'Kristu'. Yesu aliposema 'Mimi ni Mzabibu Kweli, Akaaye Ndani yangu huyo huzaa sana-->Kaa ndani yangu, nikae ndani yako'<, yeye alikuwa akidhihiri kauli ndani ya 'Utu wa Moto' ilivyo ni Kristu. Kule 'Kopasi Kristi' ndiyo ngome ya shauri hili. Siku za mbele, 'Maarifa na Busara' itawafikia wanataasisi wa uono na ulinzi na wao watakuwa kwenye kujua ilivyobora; Ulinzi wa Stawi una kheri na baraka zaidi ikiwa wanajamii wang'amua kuishi kwao 'hupata uzima mpya' na thabiti ikiwa wanajinasibu na 'Sovereini Jumuifu'. Askari wa kesho ni watu wenye uwezo wa kupambana kwa silaha na hata pia bila kushika silaha yoyote; wenye kujenga malango ya 'Uzima kuzidi Mauti ya Mwili'--kujua sanaa ya kuishi na kufariki kwa 'heshima na utu'. Hawa wanajua siri ya kwamba askari mwenye kupigana na kukimbia, huishi kupigana siku nyingine--kwao mauti kuwa ni 'kukimbia' ili kupigana siku ingine, basi kwa 'ngome ya mwili mmoja wa ufufuko' uwezo unafanyika kwa wao kuchagua wapi wazaliwe tena na kwa kusudi lipi la kimedani na muendelezo--wanajua metafizia ya askari ni malaika; kwa hivyo hawa hujipika kwa 'lugha za wanadamu na Malaika', na wao huwa ni 'Wajumbe wa Amani'... Diplomasia ya kesho ya Kijeshi itakuwa ni kwa ajili ya kulinda, kutetea na kudumisha 'Uhuru na Umoja'--LIBERITI YUNIVASALI. Huu huja kwa muktadha 'Mwenge wa Uhuru' kwa robo ya juu ya vesika-paisisi ya Ngao ya ustawi. Askari wa kesho atakuwa sehemu ya jumuiya pana ya walinzi--ulinzi usioonekana kwa macho na kumbe, hii huleta ukombozi dhidi ya mifumo isiyo na 'Haki na Usawa' kokote kule ulimwenguni.

Ni muktadha wa Liberiti Yunivasali unaofanya, mule katika moyo hasa wa 'Kopasi Kristi' uwepo mseto wa askari-raia walio ni watu mchanganyiko kutoka mataifa yote duniani na wachache kutoka nje ya sayari yetu ya Dunia. Humo, ukiondoa wazawa kwa rangi na makabila yote, mtu kutoka Japani, Mtu kutoka Amerika, Mtu kutoka India, Mtu kutoka Uingereza, China n.k--wote wanakuwepo.... Maarifa na Ujuzi wa kutenda kwa nguvu za uweza, uwepo na nia njema yataambukizana humo ambavyo >ulinzi, matengenezo/ukombozi, na upyaishaji wa jamii vitatengenezewa ngome<.

Ni aajabu na Kweli, Chama cha Mapinduzi kimsingi hasa kimenasibishwa na mwanzo wa haya yote. Hichi kilitengenezewa kitako cha kisiasa, lakini harakati zenyewe zililenga, zinalenga na zitaendelea kulenga uzalendo, ulinzi, elimu, taamuli, kazi, haki, usawa na liberiti. Kwa hivyo Chipkizi, Gwaride, na Mbio za Mwenge na tena umuhimu wa kujitolea kupitia huduma za Jeshi la Kujenga Taifa ni nguzo za Taifa la Tanzania. Katika nembo yetu ya Taifa, 'Bendera ya Taifa' ndiyo kitovu cha kukumbusha uzalendo kwa kuwa 'mbegu yote ya ustawi wa taifa' ni analojia ya 'kutungika na kuzaliwa' kwa 'taifa jipya' lililo na viungo vingi na hali mwili ni mmoja--Umoja. Leo hii, katika hii Bengera kuna 'Rangi Nyeusi ya kuwakilisha 'Sisi wenyewe'; siku za mbele kuna uwezekano wa hii ikaja kubadilika na kuwa ya 'Zambarau na Nyota Nyeupe Thelathini na Tatu'--tutakapokuwa tumefaulu na kuvuka kipindi cha 'Tumaini'. Mtu mtiifu kwa Chama na Serikali, muktadha wake katika kuleta maendeleo na kujichagulia, tukizinduka, kukumbuka na kujikumbuka, kwa kadri ya ELIMU 2.0: Uono na Ufirikirifu Mifumo, atabaini uwajibikaji juu ya 'Tekinokrasia' na 'Meritokrasia' katika utamaduni na ustawi wa jamii.

Ili kuamka, kujikusanya, kuinuka na kujikung'uta mavumbi, Chama cha Mapinduzi ilivyo hasa ni Jeshi la Ukombozi katika ulimwengu wa Ubepari, Unyonyaji na Madanganyo ya Diplomasia za Hadaa; linalofanyika kwa umma wa watu wenye kujua ilivyobora na si wale ambao kwa muda mrefu 'wapo jangwani' kwa kuendekeza 'mivutano' ya 'siasa za tawala' --zilivyo kwa kweli ni ubabaishanaji kwa 'ufikirifu pofu wa kimakundi' juu ya mambo kama siasa, uchumi, na utamaduni--watu wanaodhamiria kuhama kutoka CCM 1.0 kuelekea 'Utaifa Mpya' ilivyo ni ngome ya CCM 2.0 kivitendo; basi hao wanayokete moja ya msingi kuisukuma...

Sarafu yetu ya Tanzania ni moja ya alama kuu za Taifa letu; mtu wa ELIMU 2.0 awe ni chipkizi ama kamarada; ni vema na haki ainuke, kusimama imara na tena asonge mbele katika kutendea haki mapelekeo ya kuitika wajibu huu wa kulinda miktadha ya uongozi na tawala za nchi na mataifa, Afrika na Kupita, visitekwe na adha za ukoloni wa ndani na hata ukoloni mambo leo. Japo hili liko wazi kama kikombe chai... Tabu ama/na Raha inatungojea sote, japo hutegemea akili zetu; Kutafuta kwetu kujua ilivyo bora ni zaidi ya 'michezo ya kima'; unafiki wa kauli za 'Ukweli na Uwazi' na hali mifumo yote ya kileo inakichochezi cha 'kuibiana'; hivyo basi tudhamirie: Jongoo atupwe na mjiti wake... Kwa kuwa Mwongozo tunao, Mifumo ni sanamu tunazozichonga sisi wenyewe na Nia zetu zilete hatma ya Utendaji na Matendo yetu. Sisi Wabantu tuna msemo: Jasiri haachi asili... Tusimamie kwenye imani ya Misingi ya Utaifa wetu; 'Tutambue, Kujitambua ili Kutambuliwa' -- kuwa basi ni Waungwana kweli; na uungwana ni vitendo...

Kwa kuwa Taifa linajengwa na umma wa wakulima na wafanyakazi, na Uhuru ni Kazi, vivyo hivyo Hekima ni Uhuru--Chama cha Mapinduzi, katika muktadha wa wanajamii wenyekujua ilivyobora, iwe kupitia jumuiya mbalimbali za utumishi na jamii, hatuna budi kujinasibu na kujipambanua kwa umahiri wa ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo. Tufahamu fika, si kila mtu miongoni mwetu ni mwenye nia njema ama/na uono fasaha wa kulijenga taifa--na taifa daima linajengwa na wenyemoyo; panapokosekana ulinzi shirikishi miongoni mwetu juu harakati za kuwania madaraka na utumishi basi hata 'mema ya nchi' huishia kuliwa na wamendeaji wa mifumo-- kwa makusidi yenye kuharibika kupitia hizo hizo nafasi za kimadaraka katika jamii. Mifumo yetu itokanyo na ELIMU 1.0 haina kinga dhidi ya Unafiki, Ulafi, Uchawa, Fitina, Ufisadi n.k...

++++++

 
'Uhuru ni Kazi' ni wito kwa kila raia mwema na mja mwema. Sote kwa pamoja, ikiwa ni wenye kujua ilivyo bora, tungalihakikisha mifumo yetu ya kazi na utendaji inajinasibu na haki na usawa na hili haliji kwa ELIMU 1.0: 'Kujua Kusoma na Kuandika' pekee yake... ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ni njia ya kubaini mbivu ama mbichi ya kiustawi; hii nayo haikamilishi kusudi la 'elimu, hekima na uhuru' ikiwa haijabarikiwa kwa ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu... Utu na Ufunuo katika maisha na maendeleo ya mwanajamii ni safari isiyokuwa na mwisho ya 'mtu, imani na uzima' kumjaalia yeye ule mwongozo kwa kule 'kujichagulia' mapito ya ustawi na utamaduni wake ilivyo katika utangamano....

Dhana ya Usoshalisti wa Kiafrika ni 'mbivu' ya utaifa wenye kujielewa na usiohadaika na mifumo ya kibabiloni iliyotamalaki duniani. Mifumo babiloni ni metafo kwa namna zote zinazodhanifu ukuaji usiyo kikomo wa nguvu, madaraka, mamlaka na uwezo na kumbe kuishia na mikanganyano ya 'lugha, rasilimali na ndoto zisizotimizika' ukweli wake, kwa hayo, na basi kuwaacha wanajamii na kule kujiona 'kupungukiwa na kitu fulani'. Umoja ni dhana kwa mapelekeo ya ulinzi na sinejia kwa 'mipaka ya stawi' na 'uunganishaji nguvu zenye kulandana vitendo na makusudi'-- haya katika kukadirisha maendeleo ya watu na vitu. Watu wasipozungumza 'lugha moja', kimalengo ya jitihada na shaba ya jambo la 'muktadha wa uhuru wao', hawa ni wenye hatihati ya kujichanganya na hata kudhoofisha jitihada jumuifu za kuinuka kiustawi. 'Ndoto' na 'Ustawi, kiuono na ufikirifu mifumo ni sawa na 'Mizizi na Matawi ya Majani kwa mti'; kadiri mti unavyokuwa na mizizi imara na yenye kusharabu rutuba ya nchi huwa huinuka juu kwa kuchanua na kustawi vema. Mti wa jamii hustawi sana na kwenda juu kadiri ya kudra zake na vinasaba unapokuwa umesimama kati ya 'ndoto' na 'hamu' ya ile kheri ya kuchanua na kustawi ipendezavyo. Afrika Moja, yenye liberiti, haki na Usawa ni 'Uono Mbegu' ilivyo ni #Ndoto_Mama_Afrika; kwa uono na ufikirifu mifumo, hili linawezekana kwa wanajamii wake kujenga muktadha thabiti wa ufraktali wa Utatusho wa 'Ontolojia ya Taasisi, Uono na Sura-na-Mienendo ya Jamii'; vivyo hivyo kuyaishi maendeleo na kujichagulia kwa jiometria ya Utendekavyo Maamuzi jamii.

Afrika kuinuka na kustawi kwa liberiti, haki na usawa ni kwa ajili ya watu wake kufikia malengo yao ya kihatua, na mapito ya maendeleo, kwa mujibu wa fikra zao wao wenyewe. Kama alivyopata kuzungumza Mwalimu Kambarage Nyerere juu ya Elimu na Ufanyaji-Maamuzi; ni vema tutambue ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndiyo muktadha wa 'Chumvi na Nuru' kwa ustawi wenye baraka za >'Sovereini Jumuifu'<. Tukitaka kuliponya bara hili na maradhi ya leo ya homa za 'madeni ya taifa' na 'ukoloni mambo leo', yatupasa kujisahihisha kitaasisi na mifumo kadiri ya chachu yetu ya kuiishi #Ndoto_Mama_Afrika. Penye nia pana njia, waliotayari waianze safari; na kwa wenye kujinasibu na kheri ya Sovereini Jumuifu 'maarifa kwa mipangiko mpya na bora' yatafunuliwa kwa wanajamii...

Uhuru dhidi ya 'Madeni ya Mataifa' na 'Ukoloni Mambo leo' ni jambo ambalo kwetu Tanzania iliwekea msingi wa imani na utaasisi kwa 'alama ya Mwenge wa Uhuru' kwenye sarafu ya shilingi moja ya Tanzania; ambavyo pia 'mwenge wa Uhuru' ni alama ya Benki Kuu ya Tanzania. Sarafu hii, iliyopata kuwa maarufu, kuitwa 'Shilingi ya Nyerere'--Watoto wa zamani kuimba wimbo 'Doli Samwela--Shilingi ya Nyerere katikati kuna Mwenge'... Shlingi yenye Mwenge wa Uhuru iko kutukumbusha, ili kujinasia na Ukoloni mambo leo, sarafu inachukua mkondo muhimu wa kuweza kupangua mifumo ya kileo ya fedha, kazi na hazina. Hivi ndivyo hupambanua uchumi wa nchi na kumbe ikiwa hatuna kujua ilivyo bora ndiyo 'kifungo chetu cha ustawi' kwa 'Uchumi Mauti'. >Sarafu ni kizio cha mabadilishano lakini ikiwa hatujajua ustawi wa jamii moja unawezekana kwa muktadha na mapana yepi ya kimabadilishano basi tunaweza kudanganyika, na pia kujidanganya<, kufikiri eti fedha ndiyo 'mpango mzima!'.

Dhana za 'uhaba wa kirasilimali' na 'ugumu wa upatikanaji wa fedha' kibiashara; pia 'utumishi kwa mishahara duni' itokanayo na hazina za mataifa, kwa ELIMU 2.0 kunaleta topografu rahisi ya tafsiri ya 'wanajamii kupigwa chenga ya mwili' kiuchumi kwa kukosa kwao umakini wa kuthamini uwezo wa kibinadamu na matunda ya kujituma ilivyobora. Mtu wa ELIMU 1.0 anaweza kudanganyika kuwa kufanya kazi kwa nguvu ndiyo ukombozi na kumbe kuna namna rahisi ya kubaini 'Jasho la mtu' ni 'damu ya unyonywaji' kimifumo ya ubepari--japo kila mtu ana haki ya kuamua mustakabali wake ikiwepo kuwa kama mshumaa unaoangazia wengine na huku wenyewe kuteketea; ama 'Kunyonywa na Mwingine' kwa kuwa yeye afikiri isivyo bora juu ya kumtumikia 'kafiri' kwa ajiri ya 'mradi wake'. Hili ndilo basi kufanya wengine kula kwa 'jasho' na angali wengine kula kwa 'kalamu/ubunifu wa hila ama fursa'; haya kupelekea usemi: tenda kazi kwa akili makini na si nguvu tu za misuli...

Chama cha Mapinduzi, ni chama kilichokusudiwa kugusa mioyo ya 'wavuja jasho' lakini kupitia 'Mwenge wa Uhuru' hawa wawe na sauti na tumaini katika kuamua hatma zao kwenye ustawi wa taifa la kijamaa. Mwalimu Kambarage Nyerere alikuwa anafahamu fika adha ya fedha na mifumo; ni jambo linalostahili umma wa Wawatanzania kumshukuru--jana, leo na kesho; kwa kuwa ni yeye alipata kupata kupaza sauti dhidi mifumo mushkeli, kuyaishi matendo na kuongoza harakati za watu kujikomboa wenyewe kimawazo, nia, dhamira na matendo -- kwa ajili ya nchi yenye kujinasibu na haki na usawa kiuchumi kwa watu wote. Haikuwa mapenzi ya Mwalimu Nyerere na Waasisi na Washirika, kwamba Chama cha Mapinduzi kije kuwa 'sukari' ya wamendeaji fursa za kiutawala wa umma na jamii--kwamba viti/madaraka viwe ni >'Pepo za Mabwege'<; bali iwe kuwa: watu daima wakumbuke 'Uhuru wa Ndani' ndiyo jambo 'zito', kama siyo 'la kiufundi' -- kuliazimia kudhihiri ama/na kulitekeleza jambo hili na basi ili kufanikisha usovereini kamili wa Nchi ya Tanzania. Mbio za 'mwenge wa uhuru'--hata hii leo, linamakusudi haya haya ya 'kuleta tumaini' na 'kukazia uzalendo wa kazi, huduma za kijamii, utumishi na uwajibikaji'.

Usoshalisti wa Kiafrika kwa mizania ya 'vina vya tafsiri' na 'kujisikia'--kutokana na fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo ilivyo ni kisomo 2.0, kunakumbusha umuhimu wa kulandanisha 'ontolojia ya Taasisi' na 'maono'. Kwamba, kwa nchi yetu na kungine kote, Uzalendo ni 'Kujitambua'; ada ya Mzalendo wa kweli katika ustawi wa jamii ni kutangamanisha 'mambo ya mbingu' na 'mambo ya nchi' ambavyo mbingu ni muktadha wa 'majira na wakati' na 'Nchi' ni nyika na amari zake. Kwenye nembo yetu ya taifa, robo ya pili ya vesika-paisisi kutokea chini ndivyo huwakilishwa kwa 'Shoka' na 'Nyengo'. Shoka ni alama ya kazi ya Jasho itokanayo na uhitaji wa mwanadamu kuyamudu na kutawala mazingira yake--tawala ya kisupasha; Nyengo ni alama ya 'Jitihada za Mavuno'--mavuno ni matunda ya kazi na saburi katika 'mapana ya wakati'. Rangi nyekundu, kwa asili na metafizikia inawakilisha 'kazi'--pia kanuni ya kiendacho ndicho kirudicho; hauwezi kupanda pilipili ukajakuvuna parachichi: karma...

Kuelekea Ujamhuri uliotaamulika, kupitia funguo za alama kwa nembo yetu ya Taifa, kadiri ya sisi kuwa tumeiva na ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 itaanza kuwa dhahiri machoni petu: uchumi unaodumu kwa mifumo ya fedha na kujilimbikizia kwa raia wake, huo ni kamwe kufanya 'wazalendo hasa' -- bali huzalisha 'ubeberu'. Mafundi wa hadaa wanaweza kubebeshea ubeberu huu kwenye 'dhana za uzalendo' na kuipenda nchi kwa siasa za itikadi ya ujamhuri ama kidemokrasi na kumbe huko, kiukweli hasa, ni 'kuzugana akili'. Nchi yoyote sovereini, katika mifumo ya kileo ya uchumi, ni domaini za jamii oligaki -- si mifumo ya 'uzalendo hasa' bali ni mifumo ya 'utumwa wa wengi kunufaisha wachache kwenye mbinu, vyombo, muunganiko wa kimtandao na maslahi ya kujificha'. Nasibu ya Jamii Oligaki katika nchi, Mwalimu Kambarage Nyerere, katika hotuba yake ya uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi aliwaaita hawa 'vibaraka wa ukoloni mamboleo' kwani hawa huzungumza 'lugha' moja ya 'kutetea maslahi binafsi' kwa miamvuli ya 'watu wa kuheshimika' ama 'Ushawishi'. 2023 na kusonga, tunayonafasi ya kujimulika 'ushamba wetu' wa kupigana chenga za mwili kwa 'siasa za hadaa' zilizo si chochote bali tunda bovu la 'Uchumi Mauti'. Je, tunajiongeza vipi kumtupa jongoo na mjiti wake?... Sisi Wabantu tunamsemo: Ukicheka na Kima, utavuna mabua...

Kuelekea Ujamhuri uliotaamulika, kupitia funguo za alama kwa utaifa wetu hatupaswi kughairighairi kufumua taratibu na kuvisuka upya vyombo vyetu vya uangalizii, uratibu na usimamizi wa sarafu za fedha na mifumo yake. Ni vema tuwe makini, maendeleo ya tekinolojia, na hasa ya tekinolojia ya habari na mawasiliano, yanaleta uwezekano wa yote mawili: 'kuingizwa kingi' ama 'kunusuru mbawa zetu' kiustawi. Ikiwa tunataka kujinasibu na 'Shilingi ya Nyerere--katikati yenye Mwenge', yaani sisi kutengeneza muktadha wa uhuru wa kifedha, kazi na hazina, basi >mfumo wa sarafu za kidijitali una usalama zaidi<; na pia unayo nasibu ya kuleta mapinduzi makubwa katika shughuli ya uratibu wa mzunguruko wa fedha na ule usimamizi wa hazina kuu ya nchi; SIVYO KWA SARAFU KRIPTO ilivyo ni jaribio la wadau waliojificha kuandaa mazingira ya kuhodhi biashara, mabadilishano na uchumi globali ikitokea 'siasa za tawala' za dunia 'zimezingua'. Basi siku za mbele, uwezekano wa kimatukio--JUM kuhusika, mshirika wa ndani wa Benki Kuu itatokea kuwa ni shughuli ya 'Utaasisi wa Studio Maendeleo' na 'Matumizi ya Akili Bandia'…

++++++

 
Studio Maendeleo, ilivyo ni suluhu ya mbadala ushamba na hadaa wa mifumo ya kikoporeti katika ulimwengu wa leo; ni nasibu ya kipekee ambavyo 'wanajamii wenye kujua ilivyobora' watakuwa na mkondo wa kusanifu mifumo ya mitandao ya jamii kiuzalishajimali; huduma na ubunifu -- wakitumia zana za TEHAMA na Akilibandia. Jicho hili la ubunifu, mipangilio ni uti wa mgongo wa uchukuzi na mawasiliano kibiashara na huduma--lilivyo ni nguzo ya Ustawi kuelekea ujamhuri uliotaamulika, nembo yake ni Pembe Tatu ya Njano ya dhahabu yenye Mwenge wa Uhuru katikati yake--mwenge kwa rangi ya fedha kwenye mshikio na nyekundu kwenye moto. Watu wa Studio Maendeleo, katika moyo wake hasa, ni wale ulioiva kwa ELIMU 1.0. ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 na hawa ni mafundi wa uono na ufikirifu mifumo wakichanganya ujuzi na umahiri wao kwa mifumo ya Akili Bandia. Kinu cha Utendaji wao kimifumo, kutumia ngamuzi na TEHAMA ni ukadirifu na umodelishi wa kihisabati kwa rasilimali, watu, wakati, taarifa, fedha na mazingira utoshelezaji wa kimahitaji ya jamii...

Siku za mbele, chachu ya ELIMU 2.0 itaweka wazi ukweli wa manufaa ya kiufanisi baina ya utendaji wa utaalam wa mwanadamu na mifumo ya Akili Bandia. Mifumo ya akili bandia inaweza kufanya vizuri kwenye nyanja nyingi, na tena ikazidi kujiimarisha kiujuzi na uwezo kushinda wanadamu wanaojijengea uwezo kwa ELIMU 1.0. Japo kwa hivi sasa, Mei 2023, tayari joto la hatari ya uhalali, mipaka na matumizi ya akili bandia linapamba moto, changamoto ya Akili Bandia inaweza kuthibitiwa kirahisi ikiwa wanajamii wenyewe watajiongeza kwenye ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 kwa kuwa Akili Bandia huakisi kinachoendelea kwenye mikondo ya wasanifu wake, wasimikaji na 'waangalizi' wa paramita zake za utendaji na tena mipaka yake katika kuingilia uvichuali wa watu na shughuli. Hili kutukumbusha umuhimu wa kuandaa sera muafaka ya 'uvichuali' kwa zama hizi mpya za mifumo inayoelekea kwenye uwezo mkubwa mno wa jitegemea na kujichanganya na tabia za watu uvichualini. Mifumo ya Akili Bandia huingiliana na wanadamu kupitia 'muingiliano wa alama oanifu' kwa kujifunza na kujipangilia namna ya utumikivu unaoweza 'kupiga pini' ustawi wa jamii ama kuleta wepesi--jambo ambalo ndilo lenye wito wa kuhitaji ELIMU 3.0 kwa ajili ya ufunguo na ufunuo, kwa wataalam wetu wa mifumo, kuleta mbele namna ya lugha ya alama itakayoweza kubangua mafumbo ya metafizikia ya kognisha na ungamuzi wa kikwantumu. Hili tayari linanasibu ya mafanikio, yatakayokuja hatua kwa hatua, kupitia jumuiya ya wanatehama wa Afrika Mashariki...

Siku za mbele, chachu ya ELIMU 2.0 itaweka wazi ukweli: tumeshaingia ulimwengu ambao 'ushirika' ndiyo njia inayoendana na mafanikio na maendeleo ya kitekinolojia ambavyo mifumo ya mawasiliano na tehama inaweza kufanya namna fulani ya utendaji wa kileo wa makundi ya kada fulani za kiuweledi yawe 'zilipendwa'. Wabantu tunamsemo: wakati ukuta... kushindana ama kupambana na ukuta--utaumia mwenyewe. Namna zote za utawala zilizo na adha mbalimbali zitokanazo na 'hiraki za menejimenti' zinaweza kufumuliwa na kusukwa upya -- kubaki muundo wa utendaji wa ngazi chache; kufanya kasi ya ufanyaji wa maamuzi na uendeshaji wa shughuli. Ikiwa, kwa mfano, matumizi ya sarafu ya kidijitali yatapamba moto--tena watu wakaanza kuiva kwa ELIMU 2.0 kada nyingi za utaalam wa usimamizi wa fedha zitamezwa na mifumo ya TEHAMA. Hata leo, 2023, hili linawezekana hata kwa kiasi kikubwa, lakini kuna namna linaminywa kwa makusudi ama pasipo kukusudia kwa sababu za 'kimazingira'. Kuwajibika na busara ya kutopambana na ukuta--'teke linalotujia', ni vema wanajamii tuwe na utayari wa kuyakabili mabadiliko kwa ubunifu na medani na si kukwamisha 'maendeleo'.

Chama cha Mapinduzi ndicho mtetezi wa umma--umma wa Watanzania, unaofanyikwa kwa muundo wa Jamhuri ya watu huru. Watu wenye kufanya jitahada za kupambanua uhuru wao kwa kazi na huduma ili kulijenga Taifa lao; kwa manufaa ya leo na kesho ya vizazi vyake. Katika jambo hili, uchumi ni harakati za kuishi, kutafuta riziki, udhamirifu wa furaha na uhakika wa haki na usawa katika kuyafaidi 'mema ya nchi'. Kwenye katiba yetu ya JMT hili limekaa bayana sambamba na mengine ya 'demokrasia, ujamaa na usawa'; Kulingana na nyakati, Chama cha Mapinduzi hakina budi 'kujiongeza' ili kuendana na wakati wenyewe. Kuitengeneza njia kwa ajili namna ya uchumi ambao kila mtu anaweza kunufaika, mkulima na mfanyakazi, linawezekana; ELIMU 2.0, kuhusika. Badala ya kuhadaika na visomo popo vya uchumi katika utamaduni globali, sisi wenyewe, kwa kuthubutu kufikiria nje ya 'masanduku elimu'-- ilivyo ni vipakazio 'shobo'. Tuthubutu kujisahihisha kwa kutafuta taamuli kusudi tutokomeze umaskini, maradhi na ujinga--kwa kutafuta kujua ilivyobora.

Ni vema kutambua, adha zote za leo za ukiritimba katika ufanyaji-maamuzi ni matokeo ya figisu za 'hiraki za menejimenti na utawala' ambavyo watendaji wanajifirikia wao kwanza badala ya jamii kwa hofu ama tamaa juu ya matunda ama/na usalama wa kazi zao. Kufanya kazi kwa ajili ya mshahara ama/na marupurupu; bado ni adha uchumi wa leo ulivyo ni wa kibiashara zaidi kuliko maslahi ya jamii kwa mapana yake. Mahitaji na riziki, yawe kuja jwa nguvu ya sekta binafsi ama serikali bado hayawezi kukidhi msingi wa 'mastahikio yaki' ya wananchi wote kwa namna hii ya uchumi. Ujasiriamali nao ni safari ya mikingamo na kuganyagana ikiwa 'betri' za uchumi zina ncha za 'mikopo' na 'riba'. Aghalabu ushirika ulitengenezewa njia, lakini huu una changamoto kwa kuwa adha ya uchumi wa leo una kichochezi cha 'kuibiana'--kila mtu asiye na kujua ilivyobora, huona ni sawa kuiba ila usishtukiwe--'kuiba kijanja'; viongozi wa ushirika, kama ilivyo kwa ukoporeti, daima wapo kwenye vishawishi vya kuonekana 'mafala' ama 'wajanja' kwa kuiba kila 'mwanya' unavyojitokeza wa 'kufanya usanii'.

Serikali haiwezi kutatua kikamilifu adha ya 'mahitaji na riziki' kwa kutengeneza tu kazi za ajira kwa wengi; kwa hivyo shida hasa si 'kazi' kwa kuwa tunasema 'kila mtu anahaki ya kufanya kazi', na kwa kuwa 'huduma za jamii zinadai utumishi zaidi' --tutengeneze 'ajira za kumwaga'; siku za nyuma tulijisahihisha na jambo la namna hii kwa shughuli ya 'kupita kwa fagio la chuma'; >Yuniani ya kisoshalisti ya sovieti ya Urusi ilianguka na sera za komunisti; na moja ya sababu ya kuanguka kwake ni kutokana na hiyo ya kulipeleka suala la ajira na kazi mbali sana pasipo busara, maarifa, na ujuzi<--kukosekana kwa ELIMU 2.0 kwa vinara wa uongozi. Pengo la maarifa katika suala hili ni busara juu ya utangamanishaji wa uzalishajimali, huduma, ubunifu wa kitawala na mifumo rafiki--isivyo na ukiritimba wala hadaa. Tusipojinasibu na mifumo rafiki mipya ya ubunifu wa sura za maendeleo na kujichagulia, tutaendelea kuicheza ngoma ya ubunifu wa ilani zenye kutafuta 'kuuza' vipindi vya kuelekea uchaguzi mkuu na hali, kiuono na ufikirifu mifumo, kuna topografu ya kutafsiri haya yote kana ni 'uovu wa lazima' katika 'mchezo wa kuuma na kupuliza' kihatamu...

ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 vinaweza kuleta 'ngano safi', ilivyo ni mavuno, juu ya 'mahitaji na riziki' katika jamii kwa kukadirisha namna ya utendaji wa kijamii ambao kazi/huduma/ubunifu wa wanajamii ni maendeleo na kujichagulia moja kwa moja. Adha za fikra zetu za maendeleo kwa mipango ya maendeleo kwa vipindi maalum, itasharabiwa na Studio Maendeleo kwa namna ambavyo wanamipango wa leo, wa ELIMU 1.0, hawajapata kudhani na kuweka kwenye visomo vyao. Hili linafanya hata sehemu ya ufikirifu wetu kuhusu 'Katiba', ilivyo kusema ni ‘sheria mama’, ni 'uchanga' katika upeo wa kiakili kuhusiana na kule 'kupambanua' muktadha wa mifumo juu ya maendeleo na ustawi wa jamii. Kucheza na Katiba kwa kudhani ndiyo inaleta 'mabadiliko' haitakuwa jawabu na wala haijawahi kuwa jawabu mujarabu kokote hapa duniani. Ikiwa wanajamii wana taamuli, Mwenge wa Uhuru, jitihada zao katika kujipambua kiontolojia ya taasisi zake na metafizikia basi watajikuta kuishiia na kitu tunachoweza kukifahamu kama >Jamii ya Kiholografu<. Studio Maendeleo ni mwanzo wa kuelekea kwenye jamii ya kiholografu. Lakini, tofauti ya mazingira ya leo, na hiyo kesho yenye mapambazuko ni 'uwepesi wa kitekinolojia' na 'watu wenyewe kuanza kuiva kwenye ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0'. Watu hawanabudi kuyaleta maendeleo yao kwa kushirikiana bega kwa bega katika miktadha mahsusi ya jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii; hata ilivyobora kuliko ‘ushirikishwaji’ wa mazingira ya kileo.

++++++

 
Jamii ya kiholografu inakuwa na namna ya sura ya mifumo, jamii, mahitaji na riziki, jitahada kibinafsi na kijamii vyenye kuakisi 'mambo ya pumzi', 'mwili' na 'Uzima' kadiri kufanana na hivi ilivyo kwenye uzima wa viumbe hai vilivyo kati ya 'mbingu' na 'nchi'--mfano, Jua, Dunia na Kosmosi. Ni vema kufahamu hata nguzo za maendeleo za leo zinafafanuliwa kulingana na hatua za ufanisi wa kazi, uchukuzi, usimamizi wa rasilimali fedha, na taasisi—ikitokea maarifa yakaongezeka, haya yote yanaweza kubadilika na hata kujinasibu na sura mpya kukadirisha mienendo ya uchumi, usoshali, tawala ya nchi na uhimilifu wa kimazingira ilivyo kiustawi. Basi kwa mifumo ya kileo, tuna muktadha wa sera ilivyo ni mwongozo kwa utendaji wa serikali ya watu na tena katika kukabili mambo yaliyo ni changamoto, masuala, ama uhitaji katika jamii. Kushughulika na sera zilizopo kunaleta nafasi ya Studio Maendeleo kutangamanisha maendeleo ya leo na kesho—kuweza hata kubayanisha mapungufu ya kisera ilivyo ni kimazingira na rasilimali zilizopo.

Kwa hapa nyumbani, sera ufunguo kwa wadau wa Studio Maendeleo, katika kuhakikisha changamoto, masuala na uhitaji wa jamii zinashughulikiwa kwa kuzingatia ufanisi wa kazi, uchukuzi, usimamizi wa rasilimali fedha na taasisi; ni sera ya taifa ya maendeleo ya Watu na makazi. Umahiri wa Studio Maendeleo upo katika kukidhi uwezo wa uratibu wa maendeleo ya watu na vitu ili kudhihiri koherensia ya miundo, utendaji na matokeo-- ilivyo ni nasibu ya kufanyika kwa mahusiano ya taasisi ‘zinazojielewa’. Ni >uono na ufikirifu mifumo unaweza kujibu adha za taasisi kukosa ‘kuonana’ kiufasaha na ufanisi<; mambo yanayochochangiwa na ‘utabia wa kishirika’ usionata vizuri na mapigo ya ‘makusudi’ na ‘shabaha’ za utengeneaji wake. Hili linaongezewa ubovu na matatizo ya kukosekana kwa uaminifu wa kutosha katika masuala ya mipango ya fedha na matumizi. Masuala ya ubovu wa mipango ya fedha na matumizi yanatokana na mfumo wa uchumi wa dunia ya leo hii, 2023,—mfumo wa uchumi wenye matatizo ya kiufundi kuhusiana na dimensha za arithemati zenye kuishia na matendo ‘kujumlisha na kutoa’ ilivyo ni kuakisi ‘faida’ ama ‘hasara’, ‘ziada ama nakisi’…

Studio Maendeleo ni shughuli ya kutangamanisha muktadha wa maendeleo ‘mjini’ na ‘vijijini’ ambavyo kwa ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, sura ya kuongozea maendeleo ya mjini na vijijini inatengenezewa uwezekano wa uisho, wa watu wenye kutaamulika, wenye kutegemea mikakati juu ya rasilimali zilizo ni maliasili ama/na fedha kwa utaratibu wa viwanda vidogo vidogo, vya kati na vikubwa. Adha ya mabovu ya uchumi wa kileo unaoishia na arithemati za ‘kujumlisha’ na ‘kutoa’ zinaweza kutatuliwa kwa kuleta na namna ya uchumi unaohusisha matendo yote manne ya arithemati—‘kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzidisha’.

Maendeleo ‘Mjini na Vijijini’ ni jambo jumuishi litakalolazimu Studio Maendeleo kushughulika na nyingine zote zinazohusiana na masuala ya jamii na taifa—hata metafizikia yake pia. Miji na vijiji kuna namna, kiuono na ufikirifu mifumo, inaweza kuleta tafsiri ya topolojia ya ‘viumbe hai’; kadiri viumbe hai huzaliwa na kufa, hata miji nayo hukua na inaweza kufa. Shughuli za watu nazo zina mwanzo na mwisho ijapokuwa uchumi mpana unaweza kuonekana kukua na kukomaa. Hili kwa wadau wa Studio Maendeleo, kupitia ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, maarifa ya usanisi yanaleta suluhu kwa adha ya mfumo mbovu wa uchumi wa kileo. Ustawi wa jamii hauna budi kuakisi ‘Kosmosi’ na mbegu za stawi za kimanyota. Ili uchumi uwe ni uchumi hai na si uchumi mauti yatupasa kuzingatia utaasisi wa vyombo vyenye kuendana na ontolojia na metafizikia ya kuzaliwa, kuzaliana na kufa.

Katika nembo yetu ya Taifa, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, vinatunasibu uwezo wa kubaini moja kwa moja ‘ujumbe’ uliokusudiwa kwa jaala ya taifa letu. Katikati pa Vesika-Paisisi panawakilisha ‘Kosmosi’ na muktadha wa mlango wa kuzaliwa ilivyo ni ‘Yoni’; sisi sote tunazaliwa kupitia humo na hali kinyume chake ni ‘Mauti’--mkuki ni kitu kinachoheshimiwa kwa maana ni kile kinachoweza kumaliza ‘uhai’ wa kiumbe chenye damu. Mkuki unaweza kuwa ni zana ya ‘kuwinda’, ‘ulinzi’ ama ‘vita’. Hii ni seti moja ya topografu yenye kuleta muunganisho wa ufikirifu topolojia kwa seti ya ile topografu ya ‘Alpha na Omega’. Kwa wayunani glifu za herufi kwa neno ‘mwanzo’ ni ‘Alfa—ilivyo ni ‘A’ siku hizi; kwa ‘mwisho ni O’. Herufi hizi zinafunguo ya ‘Metafizikia’--ELIMU 3.0 ndiyo inatupatia ‘ufunuo’ katika haya; fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo ni muunganiko wa kitopolojia ya ‘Alfa na Omega’, ilivyo ni ‘NENO na Jamii’--mwanzo wa ufunguo wa ujuzi kwa lugha za wanadamu na malaika. Kosmosi ni Mama wa yote, katika hii vitu hutukia kutoka kwenye utupu, kuwa vumbi—vumbi la vitu ilivyo ni nyota na sayari, na kisha hurejea kwenye utupu...

Uchumi unaojumuisha ‘mwanzo’ na ‘mwisho’ wa vyombo vya utaasisi na utumikivu kimaendeleo, kiufundi, huu wawa ni kile tunachokiita ‘UCHUMI MAMA’. Kukadirisha uchumi mama kunahitaji ‘umodelishi’ wa mahusiano na matendo ya vyombo vya utaasisi—iwe ni katika uzalishaji, huduma na uchukuzi. Fedha inaweza kutumika kama kitangamanishi cha jitihada za ujenzi wa kiustawi; kuleta wepesi wa kujumuisha harakati za maisha ya wanajamii juu ya miundo mbinu ya ustawi. Na hivyo mazingira yao kuwa ni tafsiri ya ‘vitu’ na ‘makazi’ kulingana na manufaa ya ‘mazingira ya asili yaliyopo’ na ‘yale yakutengenezwa’. Miundo mbinu ni kuzungumzia ‘njia za uchukuzi’, watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine, mobilite, ambavyo pia ni vitu mbalimbali, vikubwa kwa vidogo kuweza kusafirishika kutoka pahala huku hadi kungine.

Uchukuzi na shughuli za wanajamii vyatukumbusha shauri la umuhimu wa nishati katika kuleta faraja na wepesi katika makazi na miji yao. ELIMU 2.0 iko kutumbusha seti ya topografu ya kubaini mapelekeo ya nishati, kwamba –-kiufundi hasa ni mapelekeo ya ‘Kosmosi’ na ‘Uzazi’. Nishati ni kitu kinachoweka kuleta ‘mpangiko’ ama ‘keosi’ kwa vitu hai ama vitu tunavyodhani si hai. Watu wa ELIMU 1.0 wanaweza kuchora namna za mifumo na stawi za ‘kupigana pini’-- kuhusiana na mambo ya vyanzo ama/na rasilimali za nishati—ili kudumisha mifumo mibovu kwa kuwa kufanya hivyo ndivyo hasa utundu wa kuitumia dhana ya ‘mkuki’. ‘Siasa za Nishati’ kwa domaini ya ELIMU 1.0 ni ‘ujanja na utundu’ wa kuhakikisha nishati yawa ni suala ya kukaba mataifa kimikakati fiche. Hili kwa mtu wa ELIMU 2.0 uwezo unafanyika kuweza kubaini, topografu ya ‘Kuwinda’, ‘Ulinzi’ na ‘Vita’.

‘Siasa za Nishati’ ni kwa ajili ya ‘Uhuni’ wa mataifa katika muktadha wa kujilinda, kujihami ama/na ‘kupigana pini’ nyingine zisiendelee kupitia ‘mawindo’… Kwa kuwa ‘Mawindo’, kwa mtu wa ELIMU 2.0 ni seti zile zile zinazoshahibiana kitopografu ilivyo ni upepelezi, uchunguzi, kupenyeza, ugunduzi, kumshinda mnyama adui [ujinga | Utafiti&Maendeleo -- kwa mfano] n.k. Kupitilia ELIMU 3.0 ndipo ufunguo wa ufunuo unafikia kubaini kile Yesu alichokisema, “Mtafute Ufalme wa Mbingu na Haki yake na mengine mtazidishiwa”… Basi ikiwa sisi ni watu wenye kutafuta ilivyobora, tuwe macho, ELIMU 1.0 ina ‘mizunguo’… Ni kheri ‘kuwinda’ maarifa yajayo na ‘Mwenge wa Uhuru’ – tuthubutu hili KWANZA na kwa NIA yote iliyvo ni thabiti katika UUMOJA; basi tupate kubaini ‘Hekima ni Uhuru’. Njia wanayopita wengi si lazima iwe ni ya ukweli, kwa kuwa kuna njia ionekanayo ni sahihi machoni pa mtu na hali i ni njia ya mauti…

Hekima ni Uhuru ilivyo pia katika mapelekeo ya nishati, ustawi na maendeleo. Siku za mbele kidogo, kupitia ELIMU 2.0 na ELIMU maarifa yatafika kwetu kuhusiana na ‘nishati’ inayoweza kukingwa bila ukomo na kulainisha ugumu wa maisha yetu—kuleta wepesi katika faraja zetu za majumbani na vyombo vya uchukuzi. Namna hii ya nishati, ndiyo siri ya huu ulimwengu kuwa na ‘uzima’ usio na mwanzo wala mwisho, bali vifanyikavyo ndivyo vyenye mwanzo na mwisho. Pasipo ‘Hekima’ katika UTU, maarifa ya ugemaji wa ‘nishati ya kosmosi’ inaweza kuwa ni ‘laana’ badala ya ‘baraka’ kwa ustawi wa jamii. Hii inaweza kutumika vibaya kutengeneza silaha badala ya mitambo ya kazi kwa kilimo, uchukuzi na starehe. Silaha za namna ya nishati za kosmosi zinaweza kutengeneza hata silaha za maangamizi zilizo hatari kupita mabomu ya nyuklia. Watu wa ELIMU 1.0 wenye ‘namna’ na tena wanaofahamu sehemu ya ukweli huu, kwa siku hizi, ndivyo basi ‘huteka nyara’ michakato ya tafiti na gunduzi zenye kuchipukia kwenye ‘nishati za kosmosi’-- kuzificha kwa kigezo cha usalama wa taifa ama/na kimataifa. Kwa watu wa Studio Maendeleo, maarifa na ukweli wa haya yapo na wao; hili ndilo kufanya ‘Hekima, Umoja na Amani’ kuwa ‘ngao ya ustawi’ na tena kufanya muktadha wa ‘miiko’ kwa ‘wito’ wao.

Katika maarifa juu Usumaku, Umeme, Mwanga na Sauti, kwa ELIMU 1.0, kuna ‘mapengo ya makusudi’ ambayo wanavisomo wa sayansi na uhandisi huzinguliwa kufikiri ‘wamejua sana’ ama ‘kikamilifu’ na kumbe sivyo. ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 inatuletea uwezekano wa kujua ilivyobora na basi ‘kuyaotea mapengo’ hayo na ‘kuyawinda’. Kupitia ELIMU 3.0 ufunguo kwa ufunuo unatukifikia kubaini metafizikia ya fizikia yote ni UPENDO; mtu mwenye kujua ilivyobora fahamu zitazinduka kwake ili kuweza kubaini siri za SUPASHA na MAUMBILE, jiometria za miundo na Ugani pahala pa madhahirisho—mambo kama vile Usumaku si tu kuvutana na kukimbiana kwa ncha za vipande vya sumaku, bali ni pia propensiti ya ‘kujizungurusha’ kimihimili. Kwa sauti, mitetemo ya sauti ina asili tufe na si tu uso bapa wa mawimbi ya kimgandamizo. Kwamba, Umeme una asili ya ‘sauti’ na ‘mwanga’ kwa wakati mmoja na hali mwanga una asili ya ‘usumaku’…

Ni maarifa 2.0 na 3.0 yatakayo tuletea taamuli ya mapinduzi ya kitekinolojia siku za mbele kidogo. Kwa kuwa kuna uhusiano wa vitu vijizungurushavyo kwa kasi fulani, mpitisho wa umeme usio na ukinzani, na ala za sauti kunasibu mifumo ya kitekinolojia ilivyo ni vinu vya nishati isiyokoma kudhihiri utendaji ama/na ‘nguvu gravitali’. Vyombo vya uchukuzi, vya kesho ya karibuni, vitatumia maarifa haya, kitekinolojia, kupepea angani, kuelea relini, kukata uzito n.k. Huu utakuwa ni mwanzo wa kubaini ‘alama za nguvu’ zinazoshikiza mifumo na mienendo ya asili ambavyo pia ndivyo ‘nguvu za akili’ hutenda kazi. ‘Kumbukumbu’ kwa mfano, ni metafizikia ya mizunguriko ‘kisahani’ pacha, ya mielekeo iliyotofauti, kama vile inavyodhaniwa kwenye maarifa ya fizikia ya kikwantumu juu ya ‘elektroni’ kwenye ‘sheli’. Ulimwengu wote dhahiri umefanyika kwa ‘kumbukumbu’--kumbukumbu katika metafanusi; akili zetu, kwa ujuzi wa mazoezi ya akili, mwili na roho, zina uwezo wa ‘kupanga na kupangua’ vinasaba vya kumbukumbu ya ‘ulimwengu dhahiri’ ilivyo ni ‘usupasha’ na basi kufanya muktadha wa mambo ya paranomo na okaltia.

Kwa watu wa Studio Maendeleo, haya yanawapa uwezo hata kubaini mielekeo ya mambo kabla yahajatokea na kushiriki mashauri la ubunifu na mipango ya kimaendeleo na ustawi. Kwa mfano, kufika 2035 kuelekea 2040, tayari kutakuwa kuwa na vyombo vya uchukuzi vinavyotumia vinu rahisi vya ‘kupindua gravitali’ na kuwa ni sehemu ya uchukuzi na mawasiliano katika ustawi wa jamii. Vyombo hivi vitakuwa vikitumia ‘chemba toroidi’ za vimiminika vya amalgamu ya zebaki ili kutengeneza athari za kuinuka ama/na kukata uzito wa chombo ilikusafiri. Hili linakuwa ni mwanzo wa namna za ustawi wenye kunufaika kwa uchukuzi wa hewani ulio ni rahisi kabisa na wa ‘gharama’ kidogo hasa—zinazohusiana na uundwaji na matengenezo ya vyombo husika.

Uchukuzi na usafirishaji ndivyo chemchem ya kuibuka na kustawi kwa miji leo hii, siku za mbele hili litakwenda kubadili mapenzi ya watu kustawi ambavyo maisha ya kujitegemea kwenye vijiji vidogo vidogo na kujitenga itawezekana kadiri sawa na miji iliyopangiliwa kitekinolojia unganishi na kukaliwa na idadi kubwa ya watu. Hili kwa watu wa Studio Maendeleo litatambuliwa kama ‘klasta za Ufanusi’. Hili litukumbushe, leo hii mambo kama ‘gridi za umeme’, ‘mtandao wa barabara za lami’, ‘reli’ na ‘huduma za maji’ vinaleta ‘maana’ katika mipangilio yetu ya kileo mambo kwa serikali yenye taasisi ya Urais, wizara mbalimbali na ugatuzi wa tawala. Kesho hivi vina nasibu ya kubadilika sana kwa sababu za tekinolojia. Upo uwezekano wa baadhi ya wanajamii kesho kuishi mahala pa mbali, labda milimani, mbugani ama kisiwani na wakawa na umeme, maji, na halafu wasitegemee sana barabara kwa maana wanavyo vyombo vinavyoruka juu na kufuatisha gridi za misururu ya juu angani kwa ajili safari tena yenye kuongozwa na TEHAMA. Serikali kwa siku hizo zitaakisi jamii iliyotaamulika ambavyo utamaduni wa watu utafuatisha tekinokrasia na meritokrasia; wanawake ndiyo watakuwa watendaji wa taasisi za kiserikali, muktadha wa Vesika-Paisisi, kwa uwiano wa 2:1 dhidi ya wanaume. Wanaume ndiyo watakuwa watendaji kwenye taasisi za ‘Mwenge’ kwa uwiano wa 2:1 dhidi ya wanawake.

Uchukuzi na usafirishaji, siku za mbele, utasonga mbali na hata kubadili mapendeleo ya watu katika kujichagulia kuishi iwe kwenye uso wa dunia, ama chini ardhini huku wakiacha mazingira ya juu yakibaki ni ya asili—yaliyojaa bustani, mbuga na sehemu chache chache kwa miji mikubwa na midogo. Namna hiyo, Viwanda na shughuli kuja kufanyika chini ardhini, kwa kuwa kutakuwepo na tekinolojia za kutosha kutengeneza makazi ya kibinadamu kokote kule—iwe chini ardhini, ndani ya bahari na maziwa ama hata ndani ya vyombo vya uchukuzi vilivyovikubwa hasa. Mbali sana kwa kadiri ya kipindi cha takriban karne saba zijazo—hata kujenga miji mawinguni!

Msuko wa Uchumi Mama, kadiri ya ELIMU 2.0 na ELIMU itapelekea ubunifu wa ontolojia ya utaasisi za wanajamii na shughuli kuakisi ‘mwanzo wa chombo’, ‘kukomaa kwa chombo’, na kisha ‘kukoma kwa chombo’ na huku, hatimaye, kugawanyika katika vyombo vingine viwili… Namna za menejimenti zenye kuendana na maendeleo ya tekinolojia na TEHAMA na ufanisi wa uratibu wa ‘sarafu ya mwenge’ ni ‘tawala bapa kimenejimenti’--yaani ngazi mbili kimsingi ambavyo ni segimenti ya ‘Mwenge’ na ‘Vesika-Paisisi’. Watu ambao ni wasimamizi wa shughuli ya kazi ama huduma hawa ni ‘Mapatroni’ na ‘Mamatroni’ wa utendaji. Kiuono na ufirifu mifumo hawa ndiyo watu wa wajibu wa kusimamia uono wa ‘shughuli nzima’, kiwakati/michakato/mikakati -- kusimamia ‘kinachoingia’ na ‘kinachotoka’, huku wakizingatia ‘Maslahi’ ya Harambee, ilivyo ni ‘Pembe za Ndovu’. Hii ndiyo ‘Harambee’ kwa kuwa wafanyakazi katika muktadha wa ‘Vesika-Paisisi’ ni ‘washirika’ pamoja na ‘Wajasiriamali’ wenye kuwa na sura ya ‘Mapatroni na Mamatroni’. Haya kufananisha na utendaji wa kileo, yanaboresha muktadha wa ‘Watawala/Vizito/Wakurugenzi’ na ‘Watumishi/Waajiriwa/vibarua’.

ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 inatuletea wepesi wa kubuni kiunganishi wa utendaji kilicho ni ‘mbegu’ kwenye vyombo vyote na basi hiyo kuwa ni kitovu katika wavu wa mawasiliano na uchukuzi. Mbegu hii ya kiontolojia ni yenye kujirudia rudia kote kimifumo ili kukadirisha koherensia na sinejia ya miundo na utendaji. Mbegu hii pia inatumikia muktadha wa ‘metafizikia’, kwa kuwa shughuli za wanadamu zina kheri na ubarikika ikiwa ni zenye kufuata mienendo ya sayari na nyota. Hili kiufundi, ndilo linalosahihisha hadaa za leo za shughuli, katika uchumi mauti, zinazoanzishwa kiholela na halafu umma kudanganyana na dhana za masoko na uliberali wa kileo. Kila shughuli ya mwanadamu wakati wowote huakisi ‘mwangaza’ ama ‘kiza’ katika utu wake. Utendaji wa kileo ni ishara ya kiza katika mifumo; jamii ikijakufahamu na kujua ilivyobora itakuwa dhahiri: Umoja ni Nguvu, kiuono na ufikirifu mifumo hiyo huja kwa koherensia na sinejia za miundo ya shughuli na utendaji. Mtu wa ELIMU 1.0 dhana yake ya ‘Umoja’ ni mushkeli kwa huwa yeye hujinasibu kwa ‘ukubwa vitu’ na hali si mwenyekuzingatia metafizikia ya mambo.

Kiuno na Ufikirifu mifumo, mbegu ya miundo ya kiutendaji, tuiite ‘kineoli’ ni yenye namna ya kujirudia rudia, jambo la kufaa kutajwa ni ‘jineorifu’, kwa kuwa linabeba sura mama ya kimsuko kwa idadi na uhusiano baina ya wadau wa ‘segimenti ya mwenge’ na ‘segimenti ya vesika-paisisi’; tena wa kuweza kuunganishwa na uchumi mpana. Hivi kiidadi yao, yaweza kuwa ni kwa uwiano wa 1:2, 2:3 ama 4:6 kadiri ya ubunifu, maelekezo na busara za wadau wa Studio Maendeleo; kwa kuwa haya ni matokeo ya ‘umodelishi’ unaotegemea namna ya hisabati zinazowezesha kutafsiri ‘usupasha vichuali wa kiuchumi’. Ni hisabati msingi kizingia ndizo zenye uwezo wa kubayanisha haya. Hili ndilo linabayanisha tofauti ya ‘Uchumi Mauti’ na ‘Uchumi Mama’ ambavyo hisabati za msingi kizingia zinahusisha arithemati za matendo yote manne ilivyo ni kujumlisha, kutoa, kugawa na kuzidisha.

Shughuli za wanajamii zinaweza kubainishwa na mawazo, mipangilio, utaalam na miongozo kupitia mtandao wa utaasisi wa Studio Maendeleo na muktadha wa ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0. Ikiwa tutataka kweli kuzitafsiri sera zetu mbalimbali za maendeleo ya jamii, ipo nafasi ya kila mwanajamii kupata shughuli ya kufanya na kuleta mchango wake katika maendeleo. Hivi ni kuachana na baadhi ya mapelekeo ya tafsiri za mikingamo ya kivisomo ndani ya sera za zenyewe kadiri zinavyotungwa kuendana ‘uchumi muati’--mazingira ya ustawi na ustaarabu wetu. Tukizingatia kila mwanajamii anahaki ya kula chakula bora na chenye lishe, hili pekee yake linaweza kuibua vizingia vingi vya ujasiriamali katika kilimo, biashara ya vyakula, huduma za ukirimu, madawa n.k – ilivyo ni muhimu hasa kwa afya na ustawi wa watu. Tukizingatia kila mwanajamii anahaki ya kuishi katika makazi bora na salama hili nalo linaweza kuibua mnyororo wa mshughuliko wa kiviwanda unaojumuisha nyumba, barabara, vyombo vya uchukuzi, miundombinu ya huduma za kijamii n.k.

ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 zinatupatia maarifa ili tungamanisha maendeleo ya kiviwanda, kazi na starehe kwa watu kwa matumizi ya wakati. Kuna namna, kwa ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 uwezekano unafanyika wa kubaini kila ‘nukta ya wakati’ haina budi kuakisi metafizikia ya mienendo ilivyo ni ustabali, utostabali na unyutrali. Kikazi, si kwamba ‘watu wote’ wanalazimika kuwa kazini ‘muda wote’, kuna ‘kufanyakazi’, ‘kutokufanya kazi’ na kuwa ‘si hivyo vyote viwili’ na yote ni kheri. Kimisukumo ya mtaji na sarafu, vyombo vyote vinaakisi ‘kupumua’ ambavyo ‘muktadha wa shughuli pana’ huleta vizio na rejea ya ‘pumzi’ ya uhai ya vyombo vidogo vidogo. Kwa mfano, shughuli kama za ujenzi wa miundo mbinu kama ‘barabara’ na ‘mapana ya miji’ jumuifu huleta ‘frikwensi fundamentali’ ya usikronizi wa ‘vyombo vya ujasiriamali’, mapana ya vipindi kwa kuanza, kukomaa, kugawanyika na kukoma, kwa uratibu wa Benki Kuu, Benki Hidhafi na Benki Msingi. Hili linajibainisha na uchumi mauti wa leo kwa kuwa ‘vitovu gravitali vya fedha’ hufanywa na ukoporeti wa vyombo, ushikaji wa kandarasi za miradi, ubabaishaji wa hesabu za ‘faida na hasara’, ukwepaji wa kodi, ‘uhuni wa kidola’ kutokana maendeleo ya kitekinolojia n.k. Katika uchumi mama, malipo yote—popote na kokote, yanakadirisha muktadha wa makato ya ‘ziada’, ‘kodi’ na ‘marejesho ya kimtaji’. Haya kufanyika kupitia kineoli na ujineorifu wa shughuli zote ambavyo ‘kodi’ ndiyo hukadirisha mkondo wa ‘hazina’ ya kuendeshea ‘shughuli jumuifu—barabara, huduma za kijamii’. Katika Uchumi Mama, Uthamani wa ‘mali’ na ‘ziada’ katika vyombo vya shughuli nao hufuata mtindo wa tunachokwenda kukiita ‘uzi/nyuzi za vifurushi’--zifuatazo kanuni ya ustabali, utostabali na unyutrali…

Katika jamii yenye kuenenda kwa UCHUMI MAMA, shughuli zote kimsingi zinakidhi topografu ya tafsiri ya kuwa ni ‘Usanisi wa Ujasiriamali wa Kijamii’. Hii ni kwa kuwa kila kifanyikacho ni kazi na maendeleo papo hapo. Hili linajibainisha na sura na mienendo ya uchumi mauti ambavyo dhana ya kuleta maendeleo hufikiriwa inategemea na ‘kodi’ inayokusanywa baada ya wanajamii ‘kujipimia/kupimiwa’ -- kulipa hiyo kutokana na ‘faida’ ya kibiashara. Kwa mtu wa ELIMU 2.0, hili ndilo linaloleta ‘mwanya wa siku zote’ kwa ‘wajanja’ kuchezesha mchezo wa ‘wenyenacho’ na ‘wasionacho’. Uaminifu katika masuala ya fedha katika namna hii uchumi ni ‘shida pepetua’--haikomi bali kupungua ama kuongezeka wakati mmoja hata mwingine. Matatizo haya kuzidi kuwa mabaya linapokuja katika masuala ya uhitaji wa kijumla wa jamii, bajeti na matumizi kwa upande wa serikali kwa kuwa kiufundi, uchumi wa leo una kichochezi cha kuibiana, ghiriba, propaganda na diplomasia ya hadaa kwa umma wa ndani na nje ya nchi sovereini—kokote duniani.

Jamii isiyojua ilivyobora, haitatenda ilivyobora; muktadha wa kutokujua unaweza kuponzwa na tabia mbovu za kibinadamu ambazo huupuza, kudharau ama kuchezea misingi ya utu ilivyo ni miongoni mwa jamii. Mwanajamii anawajibika na taamuli kwa maisha na ustawi wake, kutoiweka nia sahihi juu ya imani na maisha yake basi anakiishi alichokipanda, vivyo hivyo anachokipanda atakiishi. Mwanajamii, ipo na namna kuwa kwamba adui wa ustawi wake ni ‘mteja wa elementi yake ya kiza’ katika yeye mwenyewe—kutokujua ilivyobora. Udhamirifu wa furaha huja na nidhamu ya kutafuta kujua ilivyobora na kuitafuta njia ya haki katika kuifikia riziki na kuyaishi maisha bora. Bila haki ndani ya mtu na kote katika jamii, hakuna furaha ya kweli bali ‘kuhamishiana’ maumivu na uchungu sambamba na tumaini la bure juu ya kesho iliyobora. Kutoka kwenye sura duni ya kiustawi, sura isiyo isiyoridhisha na kuiendea sura bora yenye faraja ni maendeleo. Mtu hatayapata maendeleo kwa ‘kuletewa’ bali kwa kuyatafuta kwa elimu na ufanyaji-maamuzi ili kuyamiliki. ‘Maendeleo ya kufikia’ ni deni, hili litalipwa kikamilifu kwa ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 katika mtu na jamii yote ...

Ili kuweza wanajamii kuweza ‘KUTOKA’, yapo mambo ambayo kila mwanajamii hanabudi kutekeleza muktadha wa ‘kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa’. Nguzo saba za kanuni za kiutendaji, ule unaoelekea ‘Utaamuliko’ ni Utangamano, Umtu mmoja mmoja, Udhamirifu wa Furaha, Liberiti, Kazi, Ukuaji na Mazidishano; na Fanaka kwa watu wote. Hivi vyote hukadirisha Ujamaa—Ujamaa ilivyo ni usoshalisti katika Liberiti na Harambee.

Kwa ‘Utangamano’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote ni namna ya jitihada binafsi ama ya kivikundi kwa maslahi ya mwanajamii/Kikundi na Jamii pana. Mtu mmoja anaweza kutenda kazi, lakini watu wawili ama zaidi wanapokutana kwa ajili ya kazi; nasibu ya matunda yao huongezeka kinamna mraba… Utendaji wetu hauna budi kuendana na uhitaji mpana zaidi huku ukizingatia uhitaji wa ngazi ya mwanajamii ama kikundi cha wanajamii wachache, ilivyo ni ‘Pendo Moja’. Hili kuwa ni muktadha wa koherensia na sinejia ilivyo ni HARAMBEE.

Kwa ‘Umtu mmoja mmoja’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote haina budi kuakisi umuhimu wa mtu mwenyewe—mtu mwenyewe kama mtu mmoja ALIYEPO. Uwepo wa mtu katika chombo cha misingi ya haki na utu ni ‘mamlaka’. Kwa hivyo nia ya mtu, uwepo wake na nafasi yake vinatengeneza muktadha wa mamlaka na sehemu yake hii inayoamuru heshima. Hili kuwa kwamba shughuli yoyote, ya haki na halali kwa riziki ya mtu na wenzake ni wito na wajibu. Kwa kuitika wito wa kazi/shughuli mtu awa ni mzalendo—aliyesimama kuhesabiwa kwa kipekee.

Kwa ‘Udhamirifu wa Furaha’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote yafanywa na watu ambavyo dhamira zao ndiyo dira yao katika nidhamu ya vitendo ilivyo ni muktadha wa ‘Kujisikia’. Ni huku kujisikia ndiko kwenye kuleta hisia za ridhiko ama/na raha kwa utimilizo wa makusudi ama/na shabaha ya shughuli kiwakati. Udhamirifu wa furaha ni chachu ya ubunifu na kujituma lakini pia ni kiashirifu cha mwanajamii kuhamasika na shughuli, upendo kwa wenzake, mazingira ya ndani nje ya shughuli na ustawi.

Kwa ‘Liberiti’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote ina haki na usawa ikiwa kila mwanajamii anaouhuru wa kujiamulia msimamo na mwelekeo wa vitendo vyake, nafasi yake na mapito yake. Utendaji wowote hauna budi kuakisi uhuru wa watu kufanya mabadiliko kwa ustaarabu na utaratibu wa kazi alhali hili linaweza kuongeza tija katika shughuli na pia kwamba haliathiri uhuru wa mtu mwingine katika mazingira ya pamoja ya shughuli.

Kwa ‘Ufanyaji kazi’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote inahadhi na sifa kuooana hisia za utu, wajibu na nidhamu ikiwa ufanyajikazi ni moyo. Dhana ya ‘Kazi ni moyo’ ni husemwa hivyo kwa kuwa hiyo ni ufunguo wa ndani na nje ya mtu kimadhumuni binafsi na ya jamii; kukadirisha metafizikia ya ‘upendo’--upendo hutumikia ilivyo ‘kwa yule ambaye mengi kajaaliwa, mengi hutarajiwa kutoka kwake’. Kwa yule mwenyekutafuta ‘amani ya moyo’ kulingana na makosa ya kimawazo, vitendo na kutokutimiza wajibu, Kazi ni huduma ya utakaso katika nafsi. Kuwa hivi ikiwa huyo anajituma upya kutenda si kwa maslahi binafsi yenye kufunika wengine bali kuweka yale maslahi bora ya wengine kwanza katika imani kwa metafanusi ya stawi za jamii. Kufanyakazi yoyote kwa uaminifu, uadilifu na ‘misingi sahihi’ huleta ‘haki na usawa’ katika jamii na kuinua ufahamu wa wanajamii katika kujua ilivyobora. Kazi ni ‘Njia ya Mwenge wa Uhuru’ kwa kuwa, panapo nia njema, ukombozi hufanyika kutoka kwenye ustawi wenye dharau, ukosefu wa tumaini, chuki n.k—mambo yatokanayo na ‘elementi ya kiza’ katika mioyo, akili na utashi wa wanajamii.

Kwa ‘Ukuaji na Mazidishano’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote hainabudi kuwa ni muktadha wa ‘mwili mmoja, viungo vingi’ ambavyo jamii pana inajengwa kwa shughuli zinazotungikia, kufanyika, kukizidishana na kukoma na hali mfanyiko wake huhitaji ‘watu’, ‘rasilimali asilia ama/na za kutengenezwa’, ‘wakati’ na ‘fedha/mali/hazina’. Ni mifumo mipya ya fedha na hazina inayoweza kusanisi ‘ukuaji na mazidishano’ ambavyo mitaji, marejesho ya kiuwekezaji na ziada vinaufaa Uchumi Mama kwa namna inayosharabu adha za leo za mfumuko ama mfubaiko wa bei. Hili linawezekana kwa umodelishi sahihi wa kiuchumi mama na kisha ubunifu wa sera mpya ya fedha iliyo muafaka, na hiyo kupambanua mahusiano ya vyombo vya shughuli, fedha, mabenki na uchumi mama.

Kwa ‘Fanaka kwa wote’, tafsiri ya kimwongozo yawa kwamba—shughuli yoyote ilivyo ni muktadha wa uono na ufikirifu mifumo, kila sehemu ya mwili wake hutegemeana na ingine kwa hali na mahusiano. Ikiwa sehemu ya ugonjwa, ugonjwa huo utaishia ni wa kuwa mwili wote. Basi uchumi mama ni namna ya ule ambao unajisibu ‘uzima’ wa kisura na mienendo yote ya kijamii, kimahitaji na riziki; pia mapenzi mema kwa umma na ustawi wote. Umma ambao utendaji wake hauzidi maarifa na ustawi wa ELIMU 1.0, wanajamii wake wanaweza kufikirishwa na kufikiri ‘mtu mmoja kupata na mwingine kukosa’ ni sawa tu kwa kuwa labda mmoja amefanyakazi kwa bidii kuliko mwingine. Sasa, katika jamii inayojua ilivyobora—kila mtu ana haki ya ‘kupata’; maisha mazuri ya mwanajamii hayapaswi ‘kuhukumiwa’ kwa visomo vya darasani, umaskini wa kipato, mazingira haba ya ‘rasilimali’ ama/na ‘ajira/kujiajiri’; bali kwa mifumo. Ili wanajamii waweze kujikomboa na mifumo mibovu hawana budi kuwa na ‘muamko’--kupenda na kutaka kuwa zaidi ya hali zao kiubora na utendaji. Kudhamiria fanaka kwa wote, hakuji kwa ‘manifesto ya ukomunisti’; wanajamaii hawanabudi kufumbua macho yao huku na wao wenyewe wakichunguza kwa kina ili kubaini ‘mzizi wa fitina’…

Usanisi wa ujasiriamali wa kijamii ni oganamu kwa ‘njia ya tatu’--Wanajamii hawana budi kuamua wenyewe—kupita njia ya nasibu ya ‘Nchi Mpya, Mtu Mpya’ ama ‘Kuziishi siasa za tawala zitokanazo na mifumo mibovu’.

++++++
 


Blessed Love and Respect Brother Ruto,

and All.

Thank You for representing...

Addressing global community pertinent to the 'Honey pots' and money issues (Global Capitalism | Corporate Profits | Shareholder's Interests) and proffering typical solutions which seem to go against the 'Global Financial System'(or supposing they ought to be 'transformed') is such a 'strong message' and/or 'a tall order' against the Establishment; and on the behalf of the downtrodden.

This is definitely one front, out of many--many fronts of the war against global injustices as related to the world community development, equal opportunity and common prosperity. This has to be well coordinated, and beforehand, for the prospects of 'win win situations' are always cumbersome to effect in due course. If this is not well considered within the contexts of Education 2.0, it manifests itself as a fleeting illusion -- supposing that which is to be pursued but never to be attained.

Talking money and talking senses before the informed and uninformed lot is a daunting task with mixed potential outcomes. It calls for practical orientations and discernment--not just basking in adulation of fellow dire compatriots in hopes and aspirations; for such audacity can also attract animosity from those with plying eyes--maintaining the 'status quo' through the system. It is not that 'matters are not well thought or sorted out--all in advance' on the table and pulpit of the wicked ones in the high place. They are calculated moves and assorted dramma out of the backdoor ushered in unto the world stage as a front door... Even those international congregations and platforms are 'chase game tables' of anonymous master players, quietly contemplating the game, moves and anticipation of its eager participants--such an embarrassing charade...

Climate Change Politics and environmental discourses are 'diversions' from critical matters and real issues pressing the global community. It is through a combination of Education 2.0 and Education 3.0, our predicaments as nations of people -- qualified as 'developed and/or underdeveloped' bunches, can be resolved. In the world of Education 1.0, 'Win win deductions' are rhetorical jabs in the plains of 'intellectual and/or common' sense; however it is impossible to assert them pragmatically. The present global economic paradigm operates within the game plan of losers and winners--no other recourse, or it is a catch 22 situation--it is either you loose and you loose. People of 'Power That Be' know this well, and they keep this under the rug... Let them 'fools' play the game of 'Rat Races'...

Kaka Ruto, ukumbuke usemi wa Kiswahili--Jongo atupwe na mjiti wake... Tutafute kujitoa katika dhana na ulimwengu wa ubepari. Ikiwa sisi watu wa Afrika, watu wa Afrika kwa mwili na roho, tunataka kuleta mabadiliko ya kweli na ya kheri basi tuelewe fika haya hatutaletewa na mtu na wala hatuyabembeleza kutoka kwa wengine. Siyo kwamba huko duniani, vinara wa mifumo ya uchumi wa dunia hawajui ukweli wa mfumo mbovu wa kiuchumi na fedha wa dunia--WANAJUA FIKA NA ZAIDI. Labda tukushukuru wewe Ruto kama mtu kwa kuwa unasema kweli na hadharani; kwa kuwa hili linasaidia kufumbua watu akili na fahamu zao--si Kenya na Afrika tu, bali Duniani kote. Ndiyo, dhamira na nia yako ni sahihi na njema, tulete mazungumzo haya mezani na tuongee--unafiki tuuache, vivyo hivyo kujitweza na kusindikiza siasa za kiuchumi za dunia--zenye kutengeneza harakati za 'Magharibi' dhidi ya 'Mashariki'. Japo kufanya hivyo ni 'kuumbua mfumo' lakini, wakati mwingine inatupasa kuchukua hatua sahihi pale 'maji ya shingo' yanapotunyemelea...

Kaka Ruto, sema ukweli juu ya mifumo ya fedha ya dunia na usihofu, japo unafahamu fika maneno pekee yake hayatabadili mambo--useme ndani ama nje ya nchi.

Nchi ya Kenya inayonusu ya ufunguo wa mabadiliko makubwa ya maendeleo na ustawi wa watu, nusu ingine iko Tanzania. Ikiwa ni vema kufumbua sura ya mabadiliko hayo, basi ifahamike tu kuwa: mabadiliko yatakuja kulingana na masahihisho ya kitaasisi na mifumo ambayo tutayafanya katika kipindi hichi cha miaka 25 kutokea mwaka huu 2023.

Ninyi viongozi wa nchi mtajifunza mambo mazito na mtahitaji vifua hasa, lakini tayari mnasaidiwa usiku na mchana 'fikra sahihi ziwafikie'. Ndiyo, kwa nafasi na dhamana yenu, haya ni masuala ya 'mtu na mungu wake' lakini pia hili kuna namna si 'mtihani' hasa--kwa kuwa penye nia pana njia; ikiwa kiongozi unataka hasa kutatua magumu ya nchi kwa njia isiyo ya mkato--hili linataka moyo, dhamira safi na nia njema katika ulimwengu uliojaa ghiriba, utapeli na 'siasa za uchumi wa kiuwizi'.

Kukimbia ama kuyazidi matatizo ya utapeli na uwizi wa ndani ya nchi hakutatuliwi kwa kujisalimisha kwa 'wakubwa' wa nje kwa sura ya uwekezaji ama nini. Kwa kuwa kufanya hivi, ni kuiabudu 'mifumo ya fedha ya kileo' badala ya kuongoza maendeleo ya watu kwa ndani na nje. Kwa hivyo mtihani na kipimo cha kiongozi yeyote wa Afrika ya Leo na kesho ni 'Hekima, Umoja na Amani'... 'Fedha, mitaji na uwekezaji' ina mengi yaliyo ya mtego na 'njia inayoonekana ni sahihi kwenye macho ya mwanadamu na hali ni njia ya mauti'. Hapo hapo, kuna namna jambo hili ni 'dhambi kubwa' ya kimaadili ya uongozi... Shughulika na watu wako, wakikushinda ama unaona wanakushinda ni bora uwajibike kwa kujiuuzuru na kupisha mtu mwingine. Uongozi ni zaidi ya kutawala mifumo ya fedha, kwa kuwa huu ni dhamana juu ya watu, taasisi, utendaji na ustawi. Lakini utamaduni globali unawapelekesha viongozi kutawala kwa 'kufikiria fedha' na 'utegemezi', kana kwamba ndiyo fimbo ya karibu ya kumuua nyoka -- hili si jambo salama kwa usovereini wa taifa ama/na mataifa. Kwa kuwa, pasipo kujua ilivyobora, kuna kudhani 'umepata' na kumbe 'umepatikana'...

Kujisahihisha daima kunawezekana, na wakati wowote; kunataka tu dhamira, nia na matendo stahiki.

Kaka Ruto, Sisi watu wa Afrika, tujifunze kutotegemea watu wengine wafanye maamuzi kwa niaba yetu ili tupate afueni; ama labda kufikiri 'tunaweza kuja kuamua kwa pamoja na watu wa mataifa'--leo ama kesho fulani; badala yake tuanze kujipanga na kujisuka upya kiuchumi na utendaji kwa namna ambayo fedha si hasa msingi wa maendeleo bali 'kazi'. Tufanye umma wetu uelewe kazi na kujenga nchi ni kitu gani hasa; siyo kudanganyana nao kwa maneno ya 'tatizo ni mitaji na rasilimali'--kwa kuwa kufanya hivi ni kuwa wakala na kuwadi wa mifumo mibovu wa uliberali wa kileo.

Kaka Ruto, Uliberali wa kileo ni 'uwizi' kupitia mabenki na ukoporeti. Hili tayari limeshaelekezwa akilini mwako na dawatini kwako, wewe unalizungumza kwa nje kwa sura na tafsiri juu ya 'shida ya madeni' na 'Kenya kufanya vizuri katika nyanja ya Nishati Safi'. Hatuhitaji akili ya maajabu kutambua kwenye 'faida/profits' pana shetani wa 'panga/pangua' ya sura na mienendo ya jamii. Ndiyo huyo huyo ambaye huja kwa utaasisi wa benki zenye 'mikopo na riba'. Tumkatae huyu Shetani!

Mchawi wa kukwama kwetu ni ushamba wetu wa kushobokea mifumo hii ya fedha na kudanganyika kuwa ndiyo 'usasa'. Tumeishia kwenye uhuni wa ELIMU 1.0. Tukishtukia 'jambo fulani' kuhusu nishati na kazi, tutakuwa tunajinasua na jinamizi hili. Ila inatutaka tuundae kwanza umma wetu vizuri na ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0.

Ni nchi ya Kenya ndiyo inayopaswa kuiongoza Tanzania kuhusu mabadiliko ya kishughuli na utendaji--kwa kuwa hili ndilo hasa Nchi ya Kenya inabeba ahadi hii ya mageuzi makuu. Kenya tayari inayonasibu ya kubadili mifumo ya fedha(sarafu za kidijitali, SIYO SARAFU KRIPTO), shughuli za ujasiriamali na matokeo kwa kasi hasa(Kupitia Umahiri wa mifumo ya TEHAMA) na hazina; ili kudhibitisha ufaulu wake katika sura moja ya kupata 'kuujaribu ubepari' kwa akili yote na kumbe huu 'si wa kuwekewa imani'; na basi 'kujiongeza' kutoka ujasiriamali wa kibiashara kuelekea kwenye ujasiriamali wa kijamii uchumi. Ubebari wa kileo ni kitumbua kinachochomwa nusu nusu--hauaminiki; na unatuzalishia roho za tamaa, ulafi, uwizi, ujasiriamali-mifumo na madanganyo katika ulimwengu wa siasa mbovu za kiuchumi na ikolojia duniani. Kenya ituletee Afrika Mashariki na Afrika, kuiunuka na kuiva kwa dhima halisi ya 'HARAMBEE'... Watu kuja pamoja na kufanya yao kwa pendo moja, nia moja na kusudi moja--maendeleo na uhuru halisi.

Kaka Ruto, wakati mmoja -- ukifanya vizuri, hautalazimika 'kuiuza Kenya' kwa maneno na sifa fulani za kibinadamu--Kesho ya Kenya ni kubwa kuliko mtu, ni kubwa kuliko 'ushamba wa kibepari'--juhudi fulani zimefanyika kuifunika nyota ya Kenya kwa ghiriba za hadhi, sifa na maendeleo kama ya kimagharibi. Kesho ya Kenya inabeba uwezekano wa kudhihiri usahihi na ubora wa kiusoshalisti wa Kiafrika--Suala ni basi je, ni nani anakwenda kuwa mjanja wa kuipindua meza(?)

Dunia bila 'siasa za hadaa' na 'Uchumi Mauti', Afrika na Kupita, inawezekana kwa 'akili mpya' na 'roho mpya'...

Amini katika Mungu wa vyote, mote na wakati wote, si mungu wa Kenya ama Afrika--kwa kuwa tunaelekea kujua ilivyo bora. Suluhu zetu za kitaasisi na maendeleo ya watu na vitu hazinabudi kuakisi 'Metafanusi' ilivyo ni kweli ya uzima wa mambo na si ubovu --watu wa ELIMU 1.0 huzungumza mashauri ya 'Mungu' ilivyo ni mapokeo, fikra za kitumwa, na utamaduni wa kimateka... Basi, Metafanusi ilivyo ni 'Mungu', kupitia ELIMU 2.0 -- 'katika hii Tuaminie'--sivyo kusadiki.

HARAMBEE!​
 

=1 : Afrika Tuungane! =​


Sawa Sawa.

Nishati Kosmosi ni ufunguo wa maendeleo na mapinduzi ya kweli ya watu wenye kujinasibu na ‘Liberiti na Harambee’.

Watu hawa ni watu wa 'Uhuru na Umoja'; watu wa upendo uliomkuu, amani na mapenzi mema duniani--watu wa mwangaza; na basi kitaasisi, hawa ni watu wa mwenge, Mwenge wa Uhuru.

Ni ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 kwa pamoja vitakadirisha 'Jamii iliyoupyaishika'--Jamii ya Dhahabu, ambavyo kutokea Mashariki ya Afrika, Jaala ya 'Watu wa Afrika' ni kudhihiri muamko mpya na basi hawa kuwa ni mfano kwa kutangulia. Hawa kuwa ni kile, kwa ufunguo wa ufunuo ujao na ELIMU 3.0, Yesu alikitaja kama 'Kuwa ni Nuru na Chumvi' ya Dunia...

Mwalimu Kambarage Nyerere, Mtawala Haile 'Ras Tafari' Selassie I, na ndugu Nkwame Nkurumah walikadirisha mizizi ya mti wa uzima wa 'Uhuru na Umoja' wa Bara hili. Ndoto Mama Afrika, ipo na watu wengi; kiwakati imedhihiri kupitia watu mbalimbali waliopata kuwa jumuiya za kiraia(siasa), imani na jamii na basi kukadirisha matukio, historia na matamanio zaidi ya ustawi na maendeleo.

Kwa Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo, haya yanapambanuliwa kwa topografu na topolojia ya visomo 2.0 juu ya 'Ontolojia ya Taasisi'--Vitu hutokeaje ama/na kujikadirisha sura kwa 'mambo ya nyakati'.

Uhuru na Umoja, kwa mtu wa Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo ni muktadha wa 'Viungo Vingi na Hali Mwili ni Mmoja'. Hili ndilo Mwalimu Kambarage, mtu wa Mwenge, alishiriki mambo ya kiufahamu-- ya watu wa jumuiya za wanadamu wenye kujinasibu na shughuli ya 'Mwenge wa Uhuru'.

Mwalimu alipoandika kitabu cha 'TUJISAHIHISHE' alikuwa akiweka msingi wa ELIMU 2.0 kwa taifa jipya la Tanganyika. Ingelikuwa ni muhari kwa Mwalimu kujaribu kusimika ELIMU 2.0 pasi nguzo ya ELIMU 3.0; na basi ndiyo maana-- lau kidogo, katika kijitabu hicho alikopa Maudhui ya 'Paulo wa Tarso', mtu wa Mwenge, kuhusiana na kujenga msingi imara ya utu na uono kuuelekea 'Sovereini Jumuifu'.

Viungo vingi na hali ni Mmoja ni dhana inayokadirisha daraja la 'dhahiri na ishara' ili kufaa akili, hisia na vina vya tafsiri. Katika fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, hili linakadirisha vekta ya 'Kujisikia' na ile ya 'Vina vya Tafisiri'. Paulo, mtu wa mwenge, alikuwa ujuzi na umahiri wa kuwasilisha mambo dhahiri na mambo yasiyodhahiri kwa antakarana--daraja la akili na metafizikia--ELIMU 3.0.

Katika hili ni vema tufahamu, sisi wanadamu tuna mwili wenye viungo kwa matendo na hisia; na tena, si kweli hasa eti tuna 'fahamu tano'--wanadamu wote tunafahamu zaidi ya tano. Ikiwa tutaanza kujinasibu na ulimwengu wa kuzidi fahamu tano, mtu wa uono na ufikirifu mfumo kutathmini visomo 2.0 kwa kadiri ya fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, 'kila kitu kitabadilika'. Hii ni kwa kuwa, pasipo nasibu ya Elimu 2.0, elimu, visomo vyote na mapelekeo ya matendo na utendaji wa mwanadamu unafananika na kusema ni 'ulimwengu wa kipofu kumuongoza kipofu mwenzake'--adha za ELIMU 1.0...

Katika kipindi hichi, 2023 na kuendelea, haya yanatukumbusha jambo moja la muhimu kuzingatia; tuwe macho na adha ya vipofu kuongoza vipofu wenzao. Labda iwe sisi bado hatuna hamu na matamanio ya kuwa huru kweli kweli, hatutaweza kung'amua kuwa 'uhuru wa bendera' ni mambo ya ELIMU 1.0. tukiweka imani pofu kwa mifumo na basi 'watu wa madaraka', wote tutaangamia kwa 'matumaini matupu'--Je, tukiacha kujidanganya, kupumbazwa ama/na kujipumbaza ni wapi ama/na lini duniani watu wamewahi 'kuonja pepo' kutokana na tawala na mifumo?

Pepo ya mujibu wa watawala na mifumo, hili halijawahi kutokea na wala halitawahi kutokea--lau kwa ELIMU 1.0. Ndivyo basi, watu wa Mwenge, hushughulika katika nyakati kusudi walau hili liwezekane duniani... Na ndiyo, kwa 'jasho na damu', hili katika ufunuo wa metafanusi, linaweza kuiva-- lau kuelekea mwishoni wa karne hii ya 21.

Ni ajabu na Kweli, kwa hapa kwetu Tanzania, haya yote pia yaliwekewa msingi katika Chama cha Mapinduzi. Chama hichi, kwa kadiri ya waasisi wake kuazimia uadilifu, moyo safi, uhuru wa watu kujichagulia sura na muktadha wa maendeleo wao wenyewe na umoja kilitengenezewa shabaha ya ukombozi wa kifikra na 'mapambano' dhidi ya mifumo ya kinyonyaji. Mifumo ya Kinyonyaji na zao la 'upofu wa kifahamu' kufungamanishwa na 'fikra za kupumbaza akili'.

Ni rahisi kwa binadamu kupumbazwa na mambo mawili, tamaa na njaa. Ndivyo basi huwa, mtu hutapeliwa kwa tamaa zake yeye mwenyewe--ikiwa hauna tamaa hakuna atakayeweza kukutapeli. Kiutamaduni, kisa kama cha Musa na Israeli, kulikuwa na mwongozo mmoja, kati ya kumi--usitamani mali ya mtu mwingine... Iwe mali, mjakazi ama 'punda'… Sasa kwa mtu uono na ufikirifu mifumo mambo ya Musa huyu husadifu maisha, migogoro na ‘suluhu za muda’--ELIMU 1.0 yenye ‘usanii’ wa ELIMU 3.0; suluhu za kudumu huja na Elimu 2.0 yenye mhimili wa ELIMU 3.0.

Mapelekeo ya kutamani mali/mjakazi/punda wa 'mtu mwingine', kwa visomo 2.0, ni topografu za uono na topolojia ya 'mitanzuko ya maadili'. Ikiwa mwanajamii hajajichunguza vizuri yeye mwenyewe kidhamira, nia na matendo yake yeye ni rahisi 'kutekwa nyara' na 'mjanja' aliyenifundi wa 'viini macho' kwa kulingishiana. Maadili ni muktadha wa 'dhamira na nia' zinazokadirisha kudhihiri kwa tabia na mienendo yetu. Mmomonyoko wa maadili, iwe kwenye kujumuiya ama taasisi, kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo ni 'Ugonjwa'. Lakini dawa hasa ya ugonjwa huu, si vidonge vya kumeza, sheria kali za kudhibiti mienendo ya wanajamii/taasisi ama 'katiba mpya'; kwa kuwa dawa ni ELIMU, ELIMU na ELIMU.

Ndiyo wakati mwingine sisi wabantu husema kwa kufikiri, samaki mmoja akioza ni wote wameoza. Hili, kwa mfano, kufananishiwa na dhamira ya 'kukihukumu' Chama cha Mapinduzi ni ushamba ule ule wa ufikirifu pofu wa kimakundi. Hii ni kwa kuwa, tukijaribu kujua ilivyobora, ELIMU 2.0, tutabaini ni namna gani majibu mepesi kwa maswali magumu hayana ukombozi wowote wa ukweli. Kila mwanajamii kwa nafasi yake hana budi kujitafakari, kujinasibu na ELIMU 2.0, ili kujisahihisha.

Chama cha Mapinduzi kina shina kuu la 'mapinduzi ya kifikra' kwa mtu mmoja mmoja--mtu mmoja mmoja kisha huyu 'mmoja' na 'mmoja' mwingine kuunganisha vitendo vyenye dhamira na nia ya kujiletea maendeleo ya pamoja. Usoshalisti wa kweli, unakuja na watu wenye kujua ilivyobora--watu walioelimika kwa ELIMU 1.0 na halafu 'wakajiongeza' kwa 'kujisahihisha'. Watu hawa ndiyo wawa 'Nuru na Chumvi' ya dunia; kwa alama yetu ya Utaifa hawa ndiyo wanaokadirisha 'Pembe za Ndovu' na 'Ngao ya Ustawi' -- ngao ya ustawi ilivyo ni vesika-paisisi ya 'Kuzaliwa kwa Taifa Jipya' katika 'Uhuru na Umoja'. Watu hawa ndiyo 'kinga' ya 'bahati' kwa ajili ya 'mauti na ufufuko' wa taifa la Tanzania.

Ni vema kuwa macho, ili kujisahihisha, tujihadhari na dhana ya 'elimu' kutumika kama ufundi wa 'kuwapanga watu' ama kuwafanya watafsiri muktadha fulani wa jambo kufaa maamuzi makuu ya kitaasisi--kwa kuwa muktadha wowote wa nchi/dola/taifa daima ni taasisi ndani ya taasisi ingine. Sanaa ya majukwaa na mawasiliano ya kumma, kimsingi huwa na asili ya kupumbaza na kudhibiti maoni kufaa wenye hofu ya kupokwa nafasi zao za ushawishi na maslahi binafsi katika jamii. Kwa hivyo, tujichunge sisi wenyewe--tusinajisi taasisi na mifumo yetu kwa hulka za ubinafsi, uwe wa wazi ama kificho.

Ndiyo tabia mbovu katika jamii, kimetafo, ni kama saratani ama donda ndugu. Ni shida sana kulitibu na tena kukikosekana tiba sahihi huishia kuathiri mifumo yote na mwili na kupelekea mauti. Kiashirifu cha jamii ambayo haijaiva ama kukomaa 'kielimu, elimu na elimu' ni kukosekana kwa dhana na uwajibikaji wa 'kupisha nafasi' pale ambapo mdhamana wa madaraka na utumishi amefanya 'kosa kaburi'. Hili linatukumbusha jambo moja, utamaduni wa uongozi kwa madaraka/uwakilishi/umwinyi bado unajinasibu na mapungufu ya ELIMU 1.0. Mapungufu ya ELIMU 1.0 hukuzwa na kudhihiri wa Umimi/Ubinafsi.

Siku za mbele, tukifaulu ELIMU, ELIMU na ELIMU tutakuwa na topografu na topolojia za Tekinokrasia na Meritokrasia. Kiufundi, hili linamaana mtu awaye yeyote awe ni raia ama mwenye madaraka asijidanganye, kudanganya ama kudanganyana na umma kana vile kuna muarobaini wa adha za uchumi/siasa/utamaduni kulingana na elimu iliyopo--ya shule ya msingi hadi vyuo vikuu. Uchumi/Siasa/Utamaduni wa kileo, 2023, unadosari zinatokana na matamanio ya kiutu wenye makusudi yenye kuharibika upesi--rushwa. Ni hadi pale tutakapoboresha elimu -- ije kuwa ni ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndipo mabovu mengi ya kitaasisi na mifumo yatayeyuka.

Ili Chama cha Mapinduzi kiwe ni msingi imara wa wanajamii, katika uhuru na umoja, ile sura ya uwakilishi wa umma na utumishi wa hiki chama uliasisiwa kwa dhima ya 'mapinduzi ya wakulima na wafanyakazi'. Kwamba ikiwa jamii itakuwa na ELIMU ELIMU na ELIMU basi hii itakuwa kinga dhidi ya udhalimu, hila za 'wanyonyaji' na mifumo mibovu ya uchumi na maendeleo ya dunia. Tanzania kama taifa changa linalojinasibu na ujamhuri wa Watu wenye kujua ilivyobora, tusingaliweza kujipambanua kiuchumi na maendeleo kwa kutofautiana mno na mifumo inayotawala duniani--tulitaka kuanza hivyo lakini 'tulikionja cha moto'. Ubinafsi unauweza kuathiri vibaya, umoja wa kitaifa--iwe kiuchumi ama siasa.

Nasaha ya mwalimu Kambarage Nyerere, siku ya uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi, Februari 5, 1977, ziliweka kumbukumbu ya kudumu kuhusu uongozi wa kiuwakilishi, siasa na uaminifu. Kwamba, wananchi ndiyo wenyewe wenye madaraka hasa; na basi wawakilishi wa umma kupitia siasa za chama wanaowajibu wa kuwajibika wa kulinda, kutetea na kusimamia dira ya taifa la wajamaa. Kwamba chama na wanachama hawana budi kuhakikisha Chama hichi kisije kuishia kuwa ni chama cha watoa amri na wapokea amri...

Mwalimu alitoa tahadhari hii kwa kuwa kwake yeye ama/na mwingine yeyote mwenye nasibu ya ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0; ustawi wa mwanadamu unasonga mbele nguvu mbili hasimu--nguvu za kujenga na nguvu za kubomoa. Ikiwa hakuna Hekima na Busara, hizi huishia hukadirisha mifumo ya wachache kutawala wengi... Kwa mtu wa ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu mifumo, kupitia fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo hili ndilo hudhihiri topografu na topolojia ya mashauri juu ya 'Ontolojia ya Taasisi'--kujisikia, miundo na ushawishi. Ili wachache watawale wengi, hili linawezekana kwa kupotosha ukweli juu ya 'kujisikia na vina vya tafsiri' -- vinavyopaswa kuwa kwenye akili na fahamu za wengi; namna hii ni kukichezea kitovu cha 'Kujitambua' katika 'utu wa mtu'. Hii ni inawezekana kwa propaganda ilivyo ni sanaa ya kuratibu maoni ya wengi kwa hata 'usomi wa michongo'...

Mtu ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ni mtu wa Mwenge, hekima na busara yake inaweza kuonekana ujinga na upuuzi kwa mtu wa ELIMU 1.0--tena mwenye kufikiri yeye ni msomi kweli kweli. Lakini kama ilivyo kwa ukweli mzima wa mambo, Ukweli haupendi kupuuzwa; na ikiwa mtu anajua vitu kwa sehemu, wakati utaumbua aibu ya 'kutokuona kwake mbali na karibu'. Kwa hivyo, leo si ajabu wengi wanaweza kudhani Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni 'ndoa ya kwenye mkeka'. Ndiyo, mengi yanaweza kukosolewa na kuhusu Muungano na siku za karibuni jitahada zimefanyika kutatua kero kwenye Muungano wetu. Lakini kwa watu wenye kujua ilivyo bora, watu wa mwangaza na watu wa Mwenge Uhuru ni rahisi kubaini huu muungano wetu ni 'hirizi' ya kuepusha harakati mbovu za unchi na tawala, kipindi ambacho utaifa ni mchanga miongoni mwa mataifa ya Afrika.

Kuna namna ya kukadirisha adha za mapelekeo ya tafsiri ya mipaka ya nchi, tawala na ustawi ambayo mtu wa ELIMU 1.0 'hawawezi kumaizi'--hii ina maana hata leo, hapa na sasa; si kwa kuwa mwanajamii ni msomi wa ngazi na daraja la PhD basi anaweza kuukosoa huu Muungano ili kutetea uwepo wa serikali kuu moja, mbili ama zaidi. Tatizo si kisomo na ubishani wa kiuanazuoni ama vipi, tatizo ni uwezo wa kubaini dhamira za kweli za watu na matamanio yao... Mapengo katika kuuboresha Muungano yanahitaji uono na ufikirifu mifumo; mengi kwa leo katika kujinasibu na kuuboresha huu 'huenda' si 'jibu' ila kukiwa na ELIMU ELIMU na ELIMU kila kitu kitakuwa ni dhahiri.

Sisi kama taifa la Tanzania, tunayomambo yaliyoasisiwa na kutaasisishwa na huku hekima na busara yake ipo nasi kwa 'kuazimwa'; kujipatia ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndiko kutakadirisha ufaulu wa yale mema makuu ya msingi kuwa ni fahari yetu kamili. Muungano ni mojawapo wa hayo hata kipindi hichi cha mapito kilicho ni 'Tumaini'.

Kulipambanua jambo la muungano hata kwa lugha ya ELIMU 10, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, kuutengeneza msingi wa wanajamii kufahamu hata mambo yanayopitiliza kawaida tuliyoizoea', ni kuiarifu tu ifahamu kwamba hili ni moja ya yale mambo kufanyika kutokana na 'kesho' kukutana na 'jana' -- mambo ya Akademi Wakati ya Kwanzania... Mkondo wakati wa Tanganyika kama nchi na Zanzibar kama nchi unamazuri na mabaya yake, lakini kwa Muungano haya yote yanajinasibu na mkondo huu tuuishio. Vyovyote vile, muungano 'upo' hata kesho, hili tukianza kuwa mafundi wa ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndilo ujuzi na maarifa ya 'Novelti' na kupamania 'Muungano' hata kipindi hichi ya 'Tumaini'.

++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=KTPNg3odG64
 

=2 : Kuungana ni Kujifahamu Ukweli wetu Kitaifa/Mataifa =​


Siku za mbele, miongoni mwa wanajamii wa jamii ya dhahabu itafahamika fika kuna mikondo ya 'matukio-wakati-machaguo ya kitaasisi-jamii' – ambayo hata kama 'jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii' miongoni mwa wanajamii inakadirisha nasibu ya mikondo tofauti, kuna mahala katika jamvi la wakati 'matukio huingiliana' kwa namna ambavyo 'nuru hulishinda giza'. Basi ndiyo, kwa topografu za mshahibiano na topolojia ya vina vya tafsiri, Tanganyika/Zanzibar zilianza na watu wale wale ambao siku za mbele ‘watafanikisha’ bara la Afrika kuwa Moja--Amani duniani na mapenzi mema Duniani..

Siku za mbele, watakuwepo watu ambao 'jana yao' walikuwa ndiyo wadau wa kupatikana kwa 'uhuru wa ma/taifa' na hali kwa kesho ni watekinokrasia katika jamhuri iliyotaamulika ya Kwanzania. Baadhi ya vitu walivyokazia kusimamia na kutekeleza ni kwa kuwa 'walitaarifika' kupitia mioyo yao wenyewe iliyokuwa na mawasiliano na mambo ya mbele ya wakati; kwa kuwa 'kesho' maarifa na uwezo wa kusafiri kiwakati upo--japo huu upo siku zote tu hapa duniani. Miongoni mwa watu wa ‘Akademi Wakati wa Kwanzania’ ambao ndiyo lulu, si kwa kuteuliwa bali kwa kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa ni watu wa 'mkuki wa Jaala'...

Mkuki wa Imani ya Uumoja< ndiyo hasa unakadirisha 'shughuli za mradi za kana farasi Pegasusi na Koala' -- kwa kitovu cha Afrika Mashariki; japo hii ya ‘uangalizi wa mambo ya nyakati’ ipo na jamii zote za hapa Duniani. Siku za mbele, ELIMU 1.0. ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndivyo vitapelekea msingi wa umuhimu wa vituo vya utamaduni sambamba na Renasansi Afrika--kwa kuwa kwenye vituo vya utamaduni ndiko wanajamii wanatanua fikra na fahamu zao kwa njia ambazo leo hii hawafundishwi kokote kule, si mashuleni ama vituo vyao vya kiimani.

Watu wa jamii ya dhahabu ni watu wa fahari kuu, kushinda hata taasisi za kileo zinazojinasibu na kudhibiti fikra, imani na maadili ya mtu. Watu wa Mwenge ni mafundi wa kile Yesu alitaja werevu kama nyoka na tena wapole kama hua... Kwa hivyo, isije kushangaza wanajamii wakijakufahamu fika, si kwa kuwa taasisi ina 'ajenda za siri' za kujidumisha yenyewe basi iwe ni 'mkosi' taslimu. Kwa mwenye maarifa na mbinu, hizi zinaweza kutumika kwa 'shughuli ya Mwenge wa Uhuru'. Sisi Wabantu tunamsemo unaoshahibiana na hili: Mchawi mpe Mwanao amlee...

'Watu wa Mwenge'< ni watu walio na ujuzi na maarifa ya mbegu za mikakati inayoweza 'kusafirishwa', kiwakati na jamii na matukio, kwenye taasisi yoyote ya kibinadamu ilimradi hiyo inakidhi kuzishikilia funguo kwa ufunuo hata kwa vipindi maalum vya 'watu, maisha na utamaduni'... Taasisi za namna hii zinaweza kutumika na 'nguvu za giza' ama hata pia 'nguvu za nuru'... Watu wa Mwenge hufanya hivi pia kunusuru 'tunu ya utu', kwa kuwa 'mbegu ya utu, sentienti na roho ya uzima' ni tunu inayogombewa na viumbe watu hata kutoka nje na mbali ya sayari yetu ya dunia.

Siku za mbele, kuelekea ujamhuri uliotaamulika, itakuja kufahamika vema--dhana ya malaika na ibilisi, vita vya mbinguni na mengi ya masimulizi ya namna hii ni metafo ya hali halisi ulimwenguni wote--kila wakati kuna jamii zinainuka katika nuru na kuna zingine zinazama kwenye giza...

Hata sasa, kuna viumbe watu wa kigeni kutoka manyotani, wenye kujaribu kuikamata dunia kama 'tunu ya ushindi'...

Jamii zote za mwangaza hulinda muktadha wa ustawi na mustakabli wao. Mtu wa mwangaza ni 'mtu wa amani' lakini huyo huyo hana budi kuwa ni 'askari wa kutetea uhuru na utashi' wa sovereini jumuifu. Ukiondoa hiyari ya nafsi-roho kuwa na hiyari na namna ya kuzaliwa kama mwanadamu--kuzaliwa, kufa ama 'kunyakuliwa', ulimwenguni kuna Vita moto na baridi. Vita baridi manyotani zina sura tofauti na hii tulizoea duniani, yaani uvamizi na mabavu--stawi za manyotani hutumia mbinu za kujipenyeza, ulaghai na 'kuchanganya damu'. Kwa sasa hapa duniani, hili ndilo linafanania na wanajamii kuhadaika na maendeleo ya vitu kwa kunyengwa--hasa kupitia 'watu wa ushawishi' ama/na 'madaraka'...

Sasa majeshi ya nchi-dola, kwa leo duniani, nayo yana 'uhuni' wa namna yake ambao ni nadra raia wa kawaida, mtu wa ELIMU 1.0, kujali na kuhoji inapokuja katika suala ya kutengeneza maslahi ya nchi-dola/himaya.

Kwa mfano wa mithili ya Jeshi moja kudai "yapo mawezekano ya uvamizi na mabavu", majeshi ya kileo 'hunyengana' na 'watawala' ili kujenga ushawishi wa mipango ya ulinzi na mikakati ya kujihami -- jambo linaloishia kufanya tasnia kubwa kabisa kibiashara duniani ni ya silaha... Utengenezaji wa silaha na mifumo ya vyombo vya kijeshi ndiyo biashara ya fedha nyingi ambavyo upacha wake unakamilishwa na biashara za mabenki ya mifumo ya ubepari. Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, Propaganda ya siasa za kijeshi ni kadiri ya kujenga 'tabia/mienendo/taasisi nchi-dola' ambavyo jamii oligaki inaweza kubaki katika 'mifumo na mkito' -- ikiwa majeshi yanatumika 'kuuza aina ya demokrasia ya kimagharibi'; kudai kwamba, demokrasia ya magharibi ndiyo epitomi ya 'ustaarabu' na 'uhuru'.

Kwa jicho la uono na ufikirifu mifumo, nchi nyingi duniani zinajinasibu na mipango ya ulinzi na mikakati ya kujihami na kumbe huu ni 'mchezo'--kila kitu katika maisha ya mwanadamu ni 'mchezo'; anayenufaika na 'mbio za panya' ni yule mwenye tekinolojia ya juu, serikali yenye ujanja na majeshi 'yaliyokazini' muda wote--yote matatu kwa wakati... Amerika, Merekani, ndiyo kinara wa Serikali na Jeshi la namna hii.

Mataifani, Jamii oligaki 'hutishwa' na wakuu wa majeshi ama na wanakada za kijeshi kuwa 'ulinzi na kujihami' ni muhimu na lazima -- kwa kuwa uvamizi na mabavu vinahatarisha amani na utulivu ya nchi-dola. Kwamba, ikitokea hivyo kuchukua sura basi usovereini wa nchi unaweza 'kupotea'; na tena hata 'mali' na 'uwekezaji wao' kutoweka. Jambo hili lina pande mbili ya shilingi, 'hali halisi' ama 'hisia za michongo'. Kiufundi, haya ni mambo ya mshughuliko wa 'akili-dola za kijeshi'...

Hili pia kwa ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndilo linapaswa kufumbua macho ya umma kuwa: kuna 'kona za gizani' kwenye chumba cha 'unchi-dola' ambazo mwanajamii wa kawaida huzitupia kisogo; na kumbe maisha yake yote ni matokeo ya 'siasa za nyuma ya pazia'. ELIMU 3.0 inakadirika kwa mwanadamu kufumbua fahamu zake zote, hata za kisogoni, na basi 'mchawi wa kukwama ama/na kusuasua kwa ustawi na maendeleo ya jamii daima atadakwa uchi peupe'... Siku za mbele, kuelekea ujamhuri uliotaamulika, hili ndilo litakuwa likitendeka katika 'Vituo vya Utamaduni'...

Uhusiano wa jamii oligaki na majeshi ni kulinda mali za wachache, kwa vipakazio vya kuilinda mipaka ya 'nchi-dola' ya wengi--wananchi wazalendo. Lakini kwa nchi yetu ya Tanzania, Mwalimu alijitahidi kulianzisha jeshi kwa sura ya imani na uaminifu kwa wananchi--jeshi la wanachi wenyewe. Ndiyo maana jeshi letu si tu lina dhima ya ‘Umoja’, pia lina dhima ya ukombozi wa bara la Afrika.

Nchi za magharibi kwa nguvu ya ushawishi wake wa 'toleo la demokrasia' na uliberali wa kileo ndilo lilitushinikiza kuondoa siasa jeshini--mapelekeo ya kukubali tawala na siasa za vyama vingi; mnamo mwaka 1992, lakini majeshi yetu haya, bado yana mbegu ya umoja, nidhamu, upendo, uaminifu, utii kwa madaraka, na uhodari -- vyenye kutekeleza dhamiri za mapelekeo ya umajumui-Afrika.

Kiufundi, nia moja na dhamira moja kuelekea umajumui-Afrika--Afrika yenye Liberiti zilikuwa ni dhamira za kisiasa za chama cha TANU; na hapo hapo ni mojawapo ya mambo yaliyojenga ushawishi kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, dhana ya siasa za chama kimoja na Afrika huru yenye maendeleo ya kijamaa na kujitegemea.

Hili kwa ELIMU 2.0: Uono na ufikirifu mifumo, ndilo linatuletea topografu na topolojia vya mashauri ya vina vya tafsiri kuhusu 'uhuni' wa kimifumo.

+++++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=bNnFFKv_NyI
 

=3 : Kikulacho Ki nguoni Mwetu=​

Uhuni, kidhamira za kiutu nia na matendo, ni dhana halisi ya kule kujua ukweli wa jambo kwa kiasi fulani muafaka na halafu kuzuga kama vile haujui hilo jambo; ili kutetea maslahi binafsi ya kiuchumi/madaraka/ustawi -- kwa vitendo chanya ama hasi, wazi ama kificho. Kwenye fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo hili ndilo hukadirishwa kwa fraktali ya 'ontolojia ya taasisi'; vekta za 'kujisikia', 'miundo' na 'ushawishi'. Zao la 'taasisi' na 'wakati' ni 'mifumo'; ontolojia ni namna taasisi zinavyojitokeza kutoka kwenye kutokuwa kitu hadi kuja kuwa kitu na basi 'muda/wakati ni vekta sambamba mifumo' katika pembe tatu ya 'mbingu'.

Ujuzi wa kubaini tafsiri ya sura na mienendo ya jamii, ni sayansi ya fikra na hisia juu ya tabia--tabia ya mtu ama tabia-ushirika... Kiserikali, sehemu ya ujuzi wa haya unaweza kutumika, kwa kutangulia, kutambua kufaa ama kutokufaa kwa mtu katika madaraka na uteuzi kama 'kinga'; sisi Wabantu tuna msemo 'kinga ni bora kuliko Tiba'... Lakini duniani kote hili hugubikwa na 'kufosi kingi' katika safu za uongozi na utumishi--hapa na pale, kulingana na mapungufu ya kiutaratibu na miongozo. Hili si hivi kwa safu na utendaji wa kijeshi; huko ndiko hili linazingatiwa barabara, ama tuseme kwa umakini zaidi, kwa kuwa kufanya makosa katika jambo hili ni hatarishi kwa uimara na uhodari wa jeshi zima.

Lau ndiyo husemwa taasisi bora, na imara huwa na mifumo yenye kujiweza hasa--kiuono na ufikirifu mifumo. Watu wa ELIMU 1.0--'huelezwa kwa kujua kwa sehemu juu ya 'Uwazi na Uwajibikaji' -- kuwa ndiyo vinavyofanya uimara na ubora wa taasisi.

Kiufundi ni ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndivyo vinavyokamilisha taasisi bora na madhubuti ili kustawi katika mapana ya 'mazingira dhahiri' na 'mazingira yasiyo dhahiri' ya maisha ya watu na maendeleo. Ujuzi wa kubaini wasifu wa mtu kisaikolojia ni nyenzo madhubuti katika kusuka na kupanga safu za kiutendaji--iwe kwenye utengeneaji wa kiraia, kiserikali ama kijeshi. Hili hukadirika wa pembe tatu iliyo ni >'triadi kiza'< ama tuseme >muempathia kiza<. Kwamba kila mtu ana pembetatu vekta ya saikopathia, unasisti, na umakiaveli; ambavyo saikopathia ni ubinafsi wa 'hisia baridi juu ya wanajamii wa karibu', unasisti ni ubinafsi wa 'kujisikia, kujipenda hadhi kwa ajili ya daraja na masifu' na umakiaveli ni ubinafsi wa 'ujanja ujanja wa kuwahi kupata/kukomba kutokea kwa wale wenye kuzubaa kwa maslahi binafsi'...

Uliberali wa kileo una misingi ya fikra mbovu juu ya watu na maendeleo--kupitia nadharia zisizokamilifu juu ya uchumi na mfumo wa soko huria. Aina hii ya 'uchumi wa Soko huria', kwa mtu wa Uono na Ufikirifu mifumo, ELIMU 2.0, si lolote wala chochote ila 'Ukoloni mambo leo'. Kule Amerika, Merekani, kuinuka kwa himaya ni zao la ufundi wa siasa za hadaa na diplomasia, kuzifanya nchi-dola zingine zote Duniani ziwe chini ya ukiranja wa Merekani. Iwe kwa Ukoporeti ama pia na vyombo na majukwaa ya mashauri na majadiliano juu ya 'Fedha'.

Ghiriba ya ukoporeti na 'misaada ya kifedha', Mwalimu Nyerere alilifahamu, na hata jitihada zake za kusimimamisha falsafa za usoshalisti wa Kiafrika, Azimio la Arusha na Siasa za Ujamaa na Kujitegemea alikuwa analinasibu Taifa jipya kujiepusha na mawezekano ya 'maovu' ya kimifumo ya watu na tawala--hata kwa hili kujitokeza katika mifumo ya siasa za tawala na uwakilishi.

Chama cha Mapinduzi ilikuwa ndiyo 'Msumari' wa harakati za ukombozi wa awamu ya pili--ukombozi wa ndani. Sasa siyo kwamba Mwalimu Nyerere alikuwa 'kamiliza mchezo'--kiufundi, yeye alilikunjua tu jamvi la 'dawa' dhidi ya mifumo ya unyonyaji--iwe ndani ama nje ya nchi.

Ukuwadi wa mifumo mibovu ya sokohuria kwa mujibu wa uliberali wa kileo, huja na kauli za utetezi wa 'ubinafsishaji na uwekezaji--wa ndani ama/na nje' lakini kumbe haya huishia na watu wachache kuhodhi utajiri na kushikilia njia kuu za uchumi. Makuwadi hawa ndiyo watetea hoja za serikali ya nchi moja kujitoa kwenye hata zile njia kuu za uchumi na ustawi kusudi ukoporeti utoe 'huduma bora' kwa gharama za kubebwa na wananchi, wa ndani ama nje, kibiashara. Wao hudai kazi ya serikali ni vema kubakia kwenye 'kusimamia mienendo' ya vyombo vya jamii, tawala za nchi na mifumo na kumbe hili huchochea 'uchochoro' wa rushwa na uhujumu uchumi kwa maslahi ya wafadhili wakuu wa mifumo ya kibepari.

Daima maeneo ya kimkakati ya walanguzi ama/na makuwadi, katika ulimwengu wa mapana ya uchumi, hunyemelea shughuli za vyanzo vya nishati, uchukuzi --hasa wa majini, mali asili ikiwemo metali na mafuta katika uchumi globali. Haya hufungamana na ubeberu wa kiutamaduni kupitia elimu(ELIMU 1.0) na lugha(Kiingereza) na ulaji(Nunua, Nunua, Nunua). Ulali(mizania) wa biashara hugubikwa na 'vuta nkuvute' ya sarafu ya biashara za kimataifa, mikataba na makubaliano ya kimataifa, na kumbe kwa mfano halisi, taifa la Amerika hutaka 'dola' itumike, tena na pesa fiati kutawala ili 'utundu wa kuratibu 'misaada' kwa mataifa Duniani uwe ni mawezekano.

'Misaada' ni ufundi wa 'kupunga upepo wa biashara za kimataifa' ambavyo wenye kutoa fedha huishia kunufaika na kupata malighafi za viwanda na masoko dhidi ya wale wasiyo na 'tekinolojia' na 'ujanja'.

Katika ngazi ya mtu wa wakawaida, mwanajamii, haya yawa ni ulimwengu wa kila mtu kutaka kuwa juu na kumpita mwenziye, katika safari ya kusaka mafanikio; mara nyingine si kwa kuwa wanajamii wanapenda 'kuhamishiana maumivu' lakini Je, kipi ni 'dhambi' kwa mwenye dhiki--kipi halali na kipi ni haramu? Kila chombo cha biashara na 'hujipumbaza' na falsafa na dhima ya 'kuongoza ama/na kupita' wengine wote... Kukadirisha muktadha wa 'Mbio za Panya'...

Haya yatukumbushe ukweli wa kwamba, 'vidudu mtu' kwa 'ustawi na jamii'-- ustawi huu kuwa ni wenye hila, ghiriba, rushwa n.k, hufanywa na sisi wenyewe kupitia muktadha wa makusudi yenye kuharibika upesi.

Uchumi wa kileo, 2023, hubidi mtu kuwa na tamaa ya 'mafanikio'--uhusiano kati mafanikio binafsi kuwa hata kusigana na maslahi ya pamoja ya umma... Husemwa "tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi, lakini ikishakuja kukomaa--huzaa mauti"... Basi tusi danganyike; kwa kuwa tukiwa na ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 haya yanashahibiana na topografu na topolojia ya >'kanuni ya usababuishi wa kimaadili'<, kama alivyopata kusema Yesu "mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi". Ikiwa tunaishi na taasisi zenye 'mbegu mbovu na kuchanganyika na mbegu nzuri' juu ya makusudi kwa ustawi jumuifu wa wanajamii, ni suala la muda -- 'Magugu na Ngano' vitadhihiri katika 'vina vya tafsiri kwa sura ya jamii na mienendo yake--iwe kiuchumi, siasa na mazingira...

Kwenye fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, haya ndiyo yanabayanishwa kwa fraktali ilivyo ni epitomi ya 'Ontolojia ya Taasisi' na fraktali ilivyo ni epitomi ya 'Sura na mienendo wa Jamii'... Hauwezi kupanda pilipili ukaja kuvuna parachichi...

Kwa hivyo, duniani tuna namna ya pembe tatu ya 'wadau wa biashara za silaha', 'wadau wa ubepari kupitia mifumo ya fedha' na 'Watu wa Maarifa'...

Watu wa Maarifa ni wale wenye ubunifu, dira na dhima inayoweza kutumika kwa yote mawili -- kujenga ama kuangamiza stawi na maendeleo wa wanadamu duniani. Yanaweza kujenga kwa kuwa ikiwa ubunifu upo kwa ajili ya kuboresha maisha ya mtu, basi maendelo ya watu na vitu huwa ni maana ile ya tekinolojia zinazoleta wepesi katika mambo ya uchukuzi na mawasiliano. Yanaweza kuangamiza ikiwa basi maarifa hayo hayo yanatumika kutengeneza silaha za uharibifu mkuu na madhara katika stawi za wanadamu.

Sasa Duniani, 2023, watu wa maarifa ndiyo daraja la kupitishia mabadiliko makuu ya jamii ili kusimika 'mkuki wa jaala' kwa watu na Dunia.

+++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=6s-SHrzXbU8
 

=4: Elimu Elimu Elimu=​


Mustakabali wa ‘kusuka ama kunyoa', 2023 na kusonga, utukumbushe mawili matatu kuhusu mustakabli wa Taifa letu la Tanzania, majaaliwa na utashi katika 'Sovereini Jumuifu'.

Mwalimu Kambarage Nyerere ni mmoja wa wengi ambazo huzaliwa kwa makusudi ya kipekee kiwakati. Watu hawa, huishi kujitambua wenyewe, na hali hawatambuliwi na mtu. Hawa, kimambo ya nyakati, huingia kwenye majukwaa ya jiometria na utendekavyo maamuzi jamii na kukadirisha matukio ya kipekee ya watu, ustawi na maendeleo.

Haya kuwekwa hivi haina maana yeye alikuwa ni 'mtu wa ajabu--hapana mithili yake', hapana; alikuwa mwanadamu kama mwanadamu mwingine yeyote isipokuwa alikuwa na roho ya kujitambua na wito maalum--jambo alilolitetea kwa kadiri ya mapaji yake ya akili na karama. Kwa hivyo, wapo wengine wengi, tena wakati wote; ambao kwa 'kujitambua' na 'kuiitika wito', akili na karama zao zimepanga na kupangua matukio ya kheri ama mikosi katika sura ya ustawi na maendeleo ya jamii.

Kwa kuwa -- ili kumuelewa vema Mwalimu Kambarage, na tena kwa haki, inakupasa na wewe mdadisi uwe ni mmojawapo wa wale wenye wito pia; ni ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0 ndivyo vinaweza kumfanya mtu yeyote kujikadirisha na mapana sahihi ya kumaizi ukweli wa jambo/mambo.

Elimu 1.0 ni muktadha wa bidii ya kuelimika kwa visomo vya kawaida vya madarasa na vitabu--kwa njanya mbalimbali--mashauri ya kisomi. Visomo hivi si ujuaji kamili kwa kuwa mawazo na fikra ya mwanadamu kwa wakati kwa kuwa huathiriwa na vile 'vina vya tafsiri' vya upeo wake.

Basi Elimu 1.0 ina 'dhamira' na 'vina vya tafsiri'-- kujidhihiri kama fikra zilizosukwa, maoni, usadikifu-- lakini hukosa kubaini uhalisia wa 'Mifumo'. Hii kuwa na maana kwamba, mtu wa ELIMU 1.0 kujua kwake ama usomi wake daima huwa ni kujua jambo/mambo kwa sehemu. Zaidi, ufikirifu wake unaweza kuwa ni wa kipekee ama kimakundi -- japo ni sawa na kubaini huu kuwa ni 'kufikiria ndani ya visanduku'.

'Mawazo visanduku' ni mwanzo wa kingine ambacho huweza kufanyika nje ya mtu wa Elimu 1.0 ba basi kukadirisha yale yaliyo nje ya uwezo wake--uwezo kubaini ukomo wa mawezekano yake kiustawi na maendeleo. Kwa kuwa visanduku vya mawazo ni 'chembechembe ama matofali' yanayofanya 'kuta' na miundo ya kambi ya 'mtu kujisikia nyumbani' na basi ufikirifu pofu wa kimakundi--mwanzo wa konstrakti za jamii kukadirisha 'miundo' na 'ushawishi' kwa hali na sifa zake.

Hivyo, Elimu 1.0 hata kwa shule na madarasa ni 'mapambano', ambavyo ujinga huondoka kwa 'maarifa yaliyopatikana'--hili kuna namna yake hufanya mtu kutoka kwenye 'kisanduku kidogo' na kujistiri kwenye 'sanduku' ama 'lisanduku' jingine na hali 'sanduku ni sanduku', liwe dogo ama kubwa. Sanduku la mtingo wa mafikara na fikra hukadirisha 'ukomo' -- ukomo wa kiutendaji na basi ule uwezo wa mtu kutawala na kunufaika na amari za mazingira yake yanayomzunguka kiakili na hisia.

ELIMU 2.0 ni 'mwanzo na tena mwisho' wa kubaini 'ufikirifu pofu wa kimakundi'. Pale Elimu 1.0 inapoishia kulingana na mwanakisomo mwenyewe kuridhika na ulimwengu wake wa maarifa ya visomo 1.0 panaweza kuwa ni mwanzo wa yeye 'Kujua ilivyobora'. Hili linawezekana 'akijiongeza' ili kukibaini kile kinachokosekana kwa 'visanduku vya fikra-maarifa', ilivyo ni Elimu 1.0--basi kuishia kukadirisha mfanyiko wa muktadha wa 'uono mifumo' katika mtu.

Kwa hivyo kiufundi, Elimu 2.0 ni nasibu ya mtu awaye yeyote -- wa maarifa ya 'darasani' ama 'mtaani' ama 'kijijini' ama 'ugani' n.k, alhali huyu anaanza kuotea ama/na kutengua vitendawili vya , mosi, 'misukumo itokanayo na nguvu za ushawishi', pili, 'asili ya mkao wa mambo/vyombo' na tatu, 'ubainifu wa hisia ndani ya watu na ndani yake yeye mwenyewe'. Kwa kuwa ujuzi wa kubaini 'hisia ndani yako' na 'mwenzako' zina uhusiano wa moja kwa moja na mtu kutengeneza 'vina vya tafsiri' kwa mafikara yake juu ya tuseme 'mtu/jamii na maisha' ama pia 'mtu/jamii na chombo'.

Kadiri mwanajamii anavyoimarika katika utatusho wa haya, ndipo huanza kukadirisha muktadha wa 'uono na ufikirifu mifumo'. Ikiwa mwanajamii ana 'maarifa' ya siasa, uchumi, sosholojia ama chochote cha minajili ya Elimu 1.0, akazingatia fasaha ya lugha na ufafanuzi, huyu anaweza kuanza kubaini muktadha wa 'Matukio-Wakati-Machaguo ya Kitaasisi-Jamii' katika hali ya 'kujua ilivyobora'.

ELIMU 3.0 inaanza kuwa dhahiri na madhubuti kwa mtu ikiwa yeye anajinasibu na ELIMU 2.0. Hii ni kwa kuwa 'mifumo' hujinasibu na 'wakati'--kadiri tunavyoweza kubangua kutokea kwenye fremu kazi ya uono na ufikirifu mifumo, ontolojia ya taasisi ni mfungamano wa 'miundo', 'kujisikia' na 'ushawishi'. Hili ndilo hufanya topografu ya sura ya jambo/mambo ambavyo tunaweza kulibaini ama kulitambua jambo kulingana na wakati na namna linavyojiunda/undika. Kwa hivyo topolojia ya ufikirifu inaweza kusawiri yote--ufikirifu wa kawaida ama/na ufikirifu usiyowakawaida; kufikiri kwa fizikia na upande mwingine wa fizikia--nje-ndani.

ELIMU 3.0 ni 'Ilimu' ilivyo ni metafizikia ya 'Elimu'; hili kutukumbusha kuwa mtu anayejinasibu na Elimu 3.0 atakuwa na kheri, kibusara na akili, ikiwa ana msingi wa ELIMU 2.0. Hii ni kwa kuwa 'ukomo' wa mafikara --na basi 'vina vya tafsiri' -- ndiyo 'huhitaji kufa msalabani' ili mtu apate metamofosia ya 'kujua, kujijua na kujulikana'. Ilimu huhitaji 'rizayati', na hili ni 'lugha' ingine ya 'akili na fahamu'--yenye kuleta 'funguo' kwa ajili ya 'ufunuo' katika mtu. Kiufundi, mtu mwenye kujinasibu na Elimu 3.0 ni mtu anayeitafuta 'Kweli yenye kumuweka mtu huru kweli kweli'.

Sasa, Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya elimu, ni jambo 'kiungo ufahamu' kwa kuleta 'uzima' penye mapungufu ya utendaji, ustawi na ustaarabu wa kileo(2023) na kesho ya karibu. Elimu 3.0 ndiyo itakadirisha 'ufufuko' wa 'taasisi' na 'mifumo mauti'. Hili linahitaji 'Hesabu'--hesabu kwa maana ya walau idadi fulani ya watu duniani, kiuwiano; na hali zao za kiufahamu bora. Basi, Elimu 3.0 hukadirisha 'chachu' ya jamii kuelekea 'Ujamhuri uliotaamulika'. Yesu ananeno la kushangaza kuhusiana na jambo hili: "Wanaoitwa ni wengi, wateule ni wachache"... japo kwa watu wa ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, hili linakadirisha ukweli wa mambo juu ya watu, utamaduni na mwangaza.

+++++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=wC028VCGsxQ
 

=5: Tanzania, Nchi ya Tumaini Jema=​

Kwa hivyo mtu mwenye kuutafuta ukweli ama/na 'Kweli' ya Uzima wote--anaweza kujiuliza, Je, wakati ni nini, ama ulimwengu ulianzaje? Je, ulimwengu utaishaje? Haya ni maswali yanayohitaji rizayati ya ELIMU 3.0; kwa kuwa hayana majibu ya 'Sababu'... Majibu ni kuelekea 'Ufunuo' ama/na 'Taamuli' katika mtu; na basi ndiyo huleta 'ILIMU'.

Kwenye mapokeo ya kiutamaduni kuhusiana na safari ya maisha ya mwanadamu: hutajwa mambo ya 'elimu ya dunia' na 'elimu ya akhera'; kwamba elimu ya dunia ndiyo yale yote tunayoweza kuyabaini kwa 'visomo'--visomo 1.0 na hali Elimu ya Akhera ni kufahamu mambo yanayojiri kabla ama/na baada ya uwepo wa mtu kimwili hapa duniani--haya kiukweli bado ni muktadha wa 'wakati' na 'ufahamu' katika mtu. Kwa hivyo kiufundi mengi ambayo wanajamii yamewafikia kwa muktadha wa ontolojia na metafizikia, iwe ni visa-asili ama lugha za vielezi, haya ni lugha za alama zilizo ni 'ufunguo' kwa ajili ya 'Ufunuo' juu ya kweli za maisha duniani na kupita...

Kwa msingi wa haya, basi kunayanayozungumzwa miongoni mwa wanaoamini 'wanajua' na kumbe hawajui--hata kama wao wanasadiki ama/na kuamini kabisa kuwa 'wanajua'. Kunayanayozungumzwa na 'watu wa namna ama/njia'--watu wa rizayati; na tena ndiyo yanayoelekezana miongoni mwa 'wenyekujua ilivyobora' ama/na 'watu wa Nuru'... Kuanza kwa Taifa letu la Tanzania kama taasisi nchi-dola kwa mfano, kutaniko la watu wa namna hizi zote limekadirika.

Katika nembo yetu ya taifa, ilivyo ni 'Jando na Unyago wa Taifa', ilivyo ni 'ufunguo' kwa 'Ufunuo' kuelekea 'Ujamhuri uliotaamulika', ILIMU 'imetegeshwa'.

Ikibidi kuuandaa umma na muktadha wa ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, hata mambo yanayoweza kudhaniwa 'si ya kawaida' hayana budi kuwasilishwa-- kuwa kama ni ya kawaida; ilhali dhana ya 'Hekima ni Uhuru' kuchukua mkondo wake. Ikumbukwe na kuzingatiwa, taifa la Tanzania ni 'mwanzo' wa jambo lililotegeshwa 'kuleta tumaini' kwa bara la Afrika, na Dunia yote kwa kutangulia. Ikiwa tunashiriki jukwaa la alama za 'ufunguo' na 'ufunuo', basi tunakuwa tunaunautendea haki ule mkuki wa imani ya uumoja--mkuki wa jaala ya 'Ukwanzania'.

Kwa Elimu 2.0, topografu za uono na ufikirifu zinakadirisha vina vya tafsiri na mshahibiano wa mambo ya Ontolojia na metafizikia, kama yalivyokadirishwa katika 'Bibi na Bwana' -- nembo yetu ya utaifa.

Katika moja ya visa vya kimapokeo ya kiimani, ilivyo ni simulizi la 'Mwanzo'-Jinesesia--leo kujulikana ni moja ya vitabu vya 'Musa' wa taifa la Israeli. Kuna maelezo ya kushangaza na 'fumbo' kuhusu 'wakati', 'Ulimwengu' na 'Mungu'. Kupitia fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, hichi ni kisa kinachowasilisha sura za 'ufahamu', 'uimajinisho', 'dhamira', 'ushahibiano' na 'majira' -- kadiri kufaa kubangulia hekima juu ya 'metafanusi' ilivyo ni Mungu... Kwamba vitu vyote vyenye asili ya 'ufahamu' na 'kujitambua' vimeanza na 'MAJI YA UZIMA'...

'Maji jinesesia' ndiyo asili ya vyote viwili, 'vya udongo' na 'vya mbingu'--tena hili lina kulingana na fasaha za 'dhamiri, nia na kumbukumbu/uzoefu'; yale 'maji ya juu' yanatengana na 'maji ya chini' kukadirisha 'ulimwengu wa kisupasha' na 'supashi-wakati'... Kwamba mtu/mwanadamu ni zao la metafanusi ya kilicho na asili ya 'mbingu' na 'nchi'-- ilivyo 'kwa mfananiko wake'... Kwenye fremu kazi ya uono na ufikirifu mifumo, haya ndiyo yana fanya upacha wa vekta za ushawishi/Jaala(OX-OY), Nia/Kumbukumbu-uzoefu(OZ-OY) na Mifumo/Wakati(OX-OY)...

Kwa ufasaha wa lugha na tafsiri, fanusi ni sura ya 'uhai/uzima' kwa kile chenye 'pumzi'/nishati--iwe ni 'kiumbe hai' ama kile tunachoweza kudai 'si hai' katika mazingira jumuishi ya uwepo wake. Kwamba vitu 'hufanyika sura' kwa 'pumzi' na 'nuru' ya uzima --ambavyo kivisomo 1.0, kwa mfano, hukidhi vina vya tafsiri vya 'mifumo iko'. Basi kwa Ontolojia na Metafizikia kwa mujibu wa Jinesesia, maji na nuru vimekadirisha sura na utukufu wa kimoja kilicho ni asili ya 'fikara' na 'dhamira'--kila ‘kilichofanyika’ ni namna ya 'fikara kufanyika jambo'; ambavyo kwa akili zetu za nyama kwa mfano, tunakadirisha 'maarifa' kwa 'viungo vya fahamu' na 'vina vya tafsiri'. Kile ambacho ni dhahiri ni kulingana na fahamu zetu za mwiili ilivyo ni kuona, kuonja, kunusa, kusikia na kugusa.

Sasa, Elimu 3.0 inajinasibu moja kwa moja na kile ambacho ni 'asili ya yote'. Kwa hivyo, haijalishi uzoefu wetu ni haba katika kuufahamu ‘uzima’ wa mambo, hisia ya sita ya kiumbe sentienti ni 'fikara'--binadamu ‘anayasikia’ mafikara yake, ilivyo ni ‘Fahamu ya Sita’... Lakini pia kwa kadiri hii, tunaweza kushahibisha hili na ukweli wa ajabu kwamba hata ulimwengu wote mzima ni 'mgando wa mafikara'... ILIMU ni kiungo cha 'fikara-uweza-wakati'... Basi AKILI ni kitu cha ajabu, kwani hii si tu ni chombo cha 'mawazo/fikra/kumbukumbu na uzoefu' bali pia ni chombo chenye nasibu ya kuhuluku ‘kitu’ kutoka ‘usikitu’--kupitia >'MAJI YA UZIMA'<.

Mashauri ya Ontolojia na Metafizikia kutoka kwa jamii yoyote, kwa wenye kujuabora, daima huwa ni 'lulu ya kiufahamu'--iwe kutokea kokote duniani ama hata nje ya dunia. Hili litukumbushe: visanduku vya ufikirifu huwa ni mtego kwa watu/mtu wa nasibu ya ELIMU 1.0-- asiyetafuta kujinasibu na ELIMU 2.0. Ikiwa ni hivyo, mtu huyu atajinasibu na ELIMU 3.0 kwa 'Kasumba', 'Usadikifu Pofu' na hata 'Imani Potofu'... Ugumu wa mtu kujikwamua na hili huwa na gharama kadiri sawa ya 'uzito wa hisia za hofu moyoni' na 'kuogopa kuyachokonoa mafikara' yake mwenyewe kwa kuwa ana mafungamano—mafungamano na labda wengine wengi, 'wanaofikiria/kusadiki' hivyo hivyo...

Kwa hivyo, ni ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0, kwa wakati mmoja, vinaweza kuunganisha daraja la maarifa kwa mambo yote--kutokea mashauri ya 'asili' ya 'ontolojia na metafizikia' hadi 'fizikia ya kikwantumu'. Kimoja ambacho kinaweza kuleta 'ugeni wa mazoea ya kimafikara' ni shauri juu ya 'Ufahamu'--namna gani huu ndiyo ufunguo wa usentienti, fizikia/metafizikia na metafanusi.

Kupitia fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, siku za mbele kidogo, Tanzania na Afrika yote, 'tutaamka' kwa nyota ya asubuhi katika ugani wetu wa visomo 1.0, visomo 2.0 vya sayansi na tekinolojia, vile vile maarifa ya jamii, taasisi na usoshali. Haya yatakuja sambamba na kuotea mielekeo sahihi ya maendeleo ya watu na vitu. Kujiponya na misingi mibovu ya staraabu za asili ya ubeberu--kwa mbinu zake mbalimbali. Hili linaleta 'tiba' dhidi ya 'utumwa wa kifikra' na 'staarabu za kuiga/kuliwa danzu'. Kwa kuwa 'kujua ilivyobora' ni fanusi ya mwangaza na tena njia ya kuwaweka wanajamii huru kweli kweli…

+++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=kz0ieqMpzC8
 
Back
Top Bottom