Nyerere aliwagomea TANU kususia uchaguzi ila Mbowe kawashawishi CHADEMA kususia!! Hili laweza kuwa kaburi la CHADEMA

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za Serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya TANU walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.

Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.

Sasa CHADEMA wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
Watu mnajua mambo mengiii!
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
Umemtag mtakatifu ngoja malaika wanyanyasa roho wakushukie
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
Kafanye sherehe sasa maana cdm ikifa ndiyo ccm itatawala bila bughuza
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
Kwanini usishangilie kwamba unabaki na cccm yako bila bughudha
 
usiwatonye waache wasusie 2025, 2030, 2035, mpaka 2100...huko mwenyekiti atakuwa kitukuu wangu...atupele mapugiro...
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!

..mazingira ya sasa ni tofauti ni mwaka 1958.

..Wakati huo Tanu walikuwa hawajawahi kushiriki uchaguzi hata mmoja.

..Kwa msingi huo walikuwa hawajajiridhisha kwamba chaguzi zinafanyika kwa hila na dhuluma au la.

..Kwa upande wa Chadema na Mbowe wao wamewahi kushiriki chaguzi kadhaa na wamewasilisha malalamiko mengi ambayo serikali imekataa kuyashughulikia.

..Kwa msingi huo Chadema wana haki ya kususia kwasababu wamewahi kushiriki na dhuluma walizopitia na kuziibua hazijapata kushughulikiwa.
 
Kuna simulizi alikuwa anatoa mzee mmoja mstaafu, kwamba kwenye moja ya uchaguzi sikumbuki ni wa mwaka gani uliofanyika enzi za serikali ya kikoloni, wajumbe wa halmashauri ya tanu walikuwa wamekubaliana kwamba wasusie uchaguzi kutokana na kutokubaliana na utaratibu mbovu wa kura tatu, ambao ulikuwa unawabeba wakoloni.
Lakini Nyerere hakukubaliana nao kabisa akajenga hoja kwamba tukiwaachia wachaguliwe wenyewe tutapoteza kila kitu ni heri tushiriki ila tudai haki baada ya hapo.
Sasa chadema wataendelea kususia uchaguzi Hadi lini!? Kususia huku kutawafanya wafuasi wao wawkatie tamaa na kuchagua vyama vingine!!!
Eti hapa gamba ndiyo limetumia 100% ya akili yake.
 
Zote ni mbinu
Kama ACT wanashiriki
Chadema hawashiriki lakini wote wapinzani.
 
..mazingira ya sasa ni tofauti ni mwaka 1958.

..Wakati huo Tanu walikuwa hawajawahi kushiriki uchaguzi hata mmoja.

..Kwa msingi huo walikuwa hawajajiridhisha kwamba chaguzi zinafanyika kwa hila na dhuluma au la.

..Kwa upande wa Chadema na Mbowe wao wamewahi kushiriki chaguzi kadhaa na wamewasilisha malalamiko mengi ambayo serikali imekataa kuyashughulikia.

..Kwa msingi huo Chadema wana haki ya kususia kwasababu wamewahi kushiriki na dhuluma walizopitia na kuziibua hazijapata kushughulikiwa.
Kutoshiriki uchaguzi kwa chama cha siasa ni pigo kubwa sana. Namkumbuka maalim seif alipojifanya kususia kule zanzibar jambo lile halikukisaidia chochote chama chake zaidi ya kukididimiza na sidhani kama angekuwepo eti umshauri asusie uchaguzi kama angekuelewa!! Sababu za wapiga kura kuchagua mtu A na sio B sio lazima iwe mapenzi kwa chama zipo sababu nyingi tofautitofauti lakini pia hujuma za uchaguzi hazipo kila jimbo, kwa hiyo kuwaondoa wagombea wa chama kunawaongezea hasira na kuwakatisha tamaa waliokusudia kupiga kura za hasira dhidi ya mgombea aliyesimamishwa na chama hata kama hakubaliki na wengi
 
Eti hapa gamba ndiyo limetumia 100% ya akili yake.
Kwa nini kila anayetoa maoni tofauti na msimamo wa chama anaeonekana adui wa chama au ccm!? Jamani tukubali kufikiri nje ya box, hivi hata wasusie miaka mia unatazamia wataathiri nini!?
 
Kwani Nyerere ndio Mungu ??Nyerere alikua anataka Urais !,ccm mnawashwa na nini wakati nchi mmeachiwa?why kila mada CHADEMA lazima wawe sehemu ya hoja?
Ni kweli Nyerere sio Mungu lakini hoja alizojenga bado Zina nguvu haya mambo ya kususia uchaguzi hayana tija yoyote labda kama una hidden ajenda kwa maana ya huna hela ya kuendesha uchaguzi huna wagombea wanaouzika au una uhakika hautoboi ndio unaweza ukaja na huu mkakati ili kutufanyia ghiriba sie wafuasi
 
Back
Top Bottom