Nyerere alivyoiua timu ya PanAfrican

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Juzi nimepita pale kabuni na nikasikitishwa sana na hali tuliyonayo na makundi yaliyo oongezeka pale ..lakini mkitaka kujua nani aliiua mpira wa miguu Tanzania na aliyepeleka kua vilabu kama Pan African basi mchawi wetu si mwinginebali ni Nyerere kupitia swahiba wake Gama Abdel Nasser wa Egypt ambaye alimpa technique ya kutulazimisha kuwa kila kiongozi apitishwe na UMOJA WA VIJANA matokeo yake watu wa ajabu ajabu leo utashangaa kuwaona wanataka kuongoza vyama vya michezo hapa Nyumbani
 
Last edited by a moderator:
Game Theory,
Mkuu hata mimi sijakuelewa.. unazungumzia club ya mpira ya PanAfrika?..sasa vipi na Nyerere tena! mbona nakumbuka ndio wakati walikuwa mabingwa 1983 kabla Nyerere hajaachia ngazi na kwa miaka minne yote toka 1979 hadi 1983 walikuwa juu kichizi wakiogopwa Afrika nzima..

Hata hivyo nifahamishe zaidi kuna siasa gani zilitumika maanake hata mimi mwenyewe nilikuwa Shabiki wa PanAfrika..
 
Game Theory,
Mkuu hata mimi sijakuelewa.. unazungumzia club ya mpira ya PanAfrika?..sasa vipi na Nyerere tena! mbona nakumbuka ndio wakati walikuwa mabingwa 1983 kabla Nyerere hajaachia ngazi na kwa miaka minne yote toka 1979 hadi 1983 walikuwa juu kichizi wakiogopwa Afrika nzima..

Hata hivyo nifahamishe zaidi kuna siasa gani zilitumika maanake hata mimi mwenyewe nilikuwa Shabiki wa PanAfrika..

Wewe Yanga tu. Ulikwenda Pan kwa sababu Yanga walikuwa vilaza kandamili.
 
Juzi nimepita pale kabuni na nikasikitishwa sana na hali tuliyonayo na makundi yaliyo oongezeka pale ..lakini mkitaka kujua nani aliiua mpira wa miguu Tanzania na aliyepeleka kua vilabu kama Pan African basi mchawi wetu si mwinginebali ni Nyerere kupitia swahiba wake Gama Abdel Nasser wa Egypt ambaye alimpa technique ya kutulazimisha kuwa kila kiongozi apitishwe na UMOJA WA VIJANA matokeo yake watu wa ajabu ajabu leo utashangaa kuwaona wanataka kuongoza vyama vya michezo hapa Nyumbani

Useless post!!
 
GT,
I guess you were in a rush...please come back and say what you wanted to say.
 
GT has a point ambayo labda kuieleza inakuwa shida. Nadhani anachojaribu kueleza ni madhara kwa mpira wa Tanzania yaliyotokana na Serikali kuingilia uongozi wa vilabu miaka ya 70-80.Wadau mnakumbuka jinsi Kambarage alivyowafurumua Tambwe Leya (Yanga) na Nabi Camarra(Simba) kwa PI? kwa nini alifanya hivyo wakati hao walimu walikuwa ni wazuri sana waliotengeneza timu nzuri? Mnaukumbuka mtanange mkali wa Yanga(chini ya Tambwe) vs Kwara United na Simba(chini ya Camarra) vs Hearts of Oak?Hizo ndo zilikuwa Simba na Yanga bwana! Nakubaliana na GT ilikuwepo namna,wataalam wa historia tupeni analysis,hivi vilabu havikuporomoka bure ati!!!!!!!!
 
Game Theory,
Mkuu hata mimi sijakuelewa.. unazungumzia club ya mpira ya PanAfrika?..sasa vipi na Nyerere tena! mbona nakumbuka ndio wakati walikuwa mabingwa 1983 kabla Nyerere hajaachia ngazi na kwa miaka minne yote toka 1979 hadi 1983 walikuwa juu kichizi wakiogopwa Afrika nzima..

Hata hivyo nifahamishe zaidi kuna siasa gani zilitumika maanake hata mimi mwenyewe nilikuwa Shabiki wa PanAfrika..
Pan Africa Walikuwa Mabingwa 1982 sio 1983 Rekebisha Hapo Na kwa Kuongezea Wao ndio mabingwa wa awali wa iliokuwa LIGI KUU YA MUUNGANO, msimu huo wakiitwa mataji mawili Ubingwa wa bara na wa Muungano Wakisaaidiwa saana na uongozi Chini ya Marehemu Alhaji Mangara Tabu Mangara,Shiraz Shariff wacahezaji Mahiri adolph Rishard,Peter Tino(aliewaua Yanga)Abdalah Burhan,Ali Katolila,John Faya,Gordian Mapango,Jaffar Abdulrahman,Salum Carlos mwinyimkuu,Idd Msaka(Ali Yusuph)Ibrahim Kiswabi,Jellah Mtagwa,Leodigar Tenga,Mohammed Yahya Tastao,Doto Ruta Mokilli,Mkweche,Ngulungu nk.
 
Pan Africa Walikuwa Mabingwa 1982 sio 1983 Rekebisha Hapo Na kwa Kuongezea Wao ndio mabingwa wa awali wa iliokuwa LIGI KUU YA MUUNGANO, msimu huo wakiitwa mataji mawili Ubingwa wa bara na wa Muungano Wakisaaidiwa saana na uongozi Chini ya Marehemu Alhaji Mangara Tabu Mangara,Shiraz Shariff wacahezaji Mahiri adolph Rishard,Peter Tino(aliewaua Yanga)Abdalah Burhan,Ali Katolila,John Faya,Gordian Mapango,Jaffar Abdulrahman,Salum Carlos mwinyimkuu,Idd Msaka(Ali Yusuph)Ibrahim Kiswabi,Jellah Mtagwa,Leodigar Tenga,Mohammed Yahya Tastao,Doto Ruta Mokilli,Mkweche,Ngulungu nk.

...bila kumsahau Juma Pondamali "Mensah" golini!
 
Hujaelewa nini hapo....!? Nyerere kwa kiherere chake ndio mwanzo wa kufa kwa michezo nchini Tanzania, hasahasa soka na mfano mzuri ni timu ya Pan Africa! SIMPO, chepi kigumu hapo? watu bana...kaaazi kweli!

Ubovu wenyewe ni kuwa, wakati Pan inatesa, wewe ulikuwa bado hujaingia mujini na ndio maana huelewi..:)
Nyerere alipenda michezo lakini hakupenda kashfa pia.. nakumbuka Taifa Stars ilienda kucheza Sudan halafu vijana wetu walicheza vifua wazi kisa jezi zilisahaulika Dar. Naye alikuwepo pale uwanjani Khartoum (kama sikosei).

Hakutaka aibu tena ya kujishughulisha na michezo ya majukwaani hadi anastaafu... Akajirudia kwenye mchezo wake wa Bao!!!
 
Nyerere alipenda michezo lakini hakupenda kashfa pia.. nakumbuka Taifa Stars ilienda kucheza Sudan halafu vijana wetu walicheza vifua wazi kisa jezi zilisahaulika Dar. Naye alikuwepo pale uwanjani Khartoum (kama sikosei).
View attachment 4076
Pichani Rais Jafar el Nimeiri wa Sudan akisalimiana na Omar Zimbwe huku Mohamed Chuma (kushoto) na nahodha Abdulrahman wakishuhudia. Nyuma yao ni Kitwana Manara 'Popat' na Abdallah King Kibaden Mputa.
hapa staazi walicheza vifua wazi na Sudan baada ya kukosekana jezi. Mwalimu Nyerere aliyehudhuria mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....

...hujakosea, ila hiyo aibu aliitaka mwenyewe kuweka watendaji wasiowafuatiliaji, kwa iliyokuwa serikali yake.
 
GT is exercising his right to be a senile "eldery statesman".

Kuna wajomba wajomba fulani wakubwa na kila mtu katika familia anawajua, waliteeesa sana zamani, lakini wameishia kulosti labda mipombe etc, hawakosi cha kusema.

Sasa wanafikiri kwa kuwa walikuwa relevant siku za nyuma, basi wataendelea kuwa relevant hata kwa kutupa post za kivivu zisizo na kichwa wala mguu.
 
Hamuwezi kumuelewa GT kama hamjui historia ya Yanga na Pan Africa.

Nyerere alikua yanga damu,na aliitumia vyema kujiimarisha na kujitanua kisiasa.

Kupasuka kwa Yanga,kulipelekea kuundwa kwa Pan African Football Club

Hawa wengi walikua watoto wa Mjini Dar,wasomi,wafanya biashara,wakurugenzi na mameneja serikalini na kada fulani ya watu wajanja ambao wanaweza kukufanya uamini kua usiku ni mchana!

Tukio hilo lilizua hofu ya chini kwa chini kua kundi hili laweza kupunguza nguvu ya chama tawala likiachiwa huko mbeleni.

Naam kazi ikaanza,wakapandikizwa usalama wa Taifa huko matokeo yake timu ikawika kwa miaka 10 ya mwanzo tu.

Baadhi ya wajanja na wazito wa Pan Africa walikua:-

1.Al-haj Omar Muhaji(Waziri wa zamani mambo yandani)
2.Sammy Mdee
3.Shiraz Sharrif
4.Kitwana Kalima
5.Mangara Tabu etc etc

Kwa hiyo Nyerere aliona akiwaachia hawa watapanuka nchi nzima na kumwaga upupu
 
Hamuwezi kumuelewa GT kama hamjui historia ya Yanga na Pan Africa.

Nyerere alikua yanga damu,na aliitumia vyema kujiimarisha na kujitanua kisiasa.

Kupasuka kwa Yanga,kulipelekea kuundwa kwa Pan African Football Club

Hawa wengi walikua watoto wa Mjini Dar,wasomi,wafanya biashara,wakurugenzi na mameneja serikalini na kada fulani ya watu wajanja ambao wanaweza kukufanya uamini kua usiku ni mchana!

Tukio hilo lilizua hofu ya chini kwa chini kua kundi hili laweza kupunguza nguvu ya chama tawala likiachiwa huko mbeleni.

Naam kazi ikaanza,wakapandikizwa usalama wa Taifa huko matokeo yake timu ikawika kwa miaka 10 ya mwanzo tu.Baadhi ya wajanja na wazito wa Pan Africa walikua:-

1.Al-haj Omar Muhaji(Waziri wa zamani mambo yandani)
2.Sammy Mdee
3.Shiraz Sharrif
4.Kitwana Kalima
5.Mangara Tabu etc etc

Kwa hiyo Nyerere aliona akiwaachia hawa watapanuka nchi nzima na kumwaga upupu


...Kwa hiyo kwa miaka 10 mizima aliiacha iwike?? Kwa jinsi tunavyomjua Nyerere, Si angeweza hata kuizima baada ya Msimu Mmoja tu na mtu yoyote aifanye fyoko?? Why leave it for Ten Years???
 
Nyerere alipenda michezo lakini hakupenda kashfa pia.. nakumbuka Taifa Stars ilienda kucheza Sudan halafu vijana wetu walicheza vifua wazi kisa jezi zilisahaulika Dar. Naye alikuwepo pale uwanjani Khartoum (kama sikosei).Hakutaka aibu tena ya kujishughulisha na michezo ya majukwaani hadi anastaafu... Akajirudia kwenye mchezo wake wa Bao!!!

...Sahihisho Dogo tu, Mkuu. Hii ilitokea hapa hapa kwenye uwanja wetu wa Taifa (Uhuru!) kati ya mwaka 1970 ama 71 wakati wa sherehe za Uhuru a.k.a 9 Disemba!
 
GT,

..hivi Pani haikufa kutokana na ukata na uhuni wa wafadhili wake kama Dewji?

..ilifika kipindi mpaka Majimaji ya Songea wakaiba wachezaji toka Pani.

..wachezaji ninaowakumbuka kusaidia kutwaa ubingwa wa Tanzania ni hawa hapa:-

..1.Ally Yusufu 2.Mohamed Mkweche 3.John Faya 4.Rashidi Iddi "chama" 5.Jella Mtagwa

6.Salum Mwinyimkuu "Carlos" 7.Abdala Burhani 8.Hussein Ngulungu 9.Ali Katolila

10.Mohamed Yahaya "Tostao" 11.Peter Tino

..Leodgar Tenga "msomi", na Mohamed Rishard "Adolf", walikuwa wameumia wakati huo. miaka hawa jamaa wanacheza ilikuwa ukiumia goti basi ndiyo mwisho wa career yako.

..Juma Pondamali,Jafari Abdulrahmani, na Gordian Mapango, walikuwa wamepoteza nafasi zao ktk kikosi cha kwanza.
 
Hujaelewa nini hapo....!? Nyerere kwa kiherere chake ndio mwanzo wa kufa kwa michezo nchini Tanzania, hasahasa soka na mfano mzuri ni timu ya Pan Africa! SIMPO, chepi kigumu hapo? watu bana...kaaazi kweli!

Ubovu wenyewe ni kuwa, wakati Pan inatesa, wewe ulikuwa bado hujaingia mujini na ndio maana huelewi..:)
This is not JF tunayoifahamu
Unaposema aliua PAN AFRICA unatakiwa kueleza alifanya mambo moja, mbili, tatu then tunajadili.
Wazee mnashusha hadhi ya jamvi.
 
Hamuwezi kumuelewa GT kama hamjui historia ya Yanga na Pan Africa.

Nyerere alikua yanga damu,na aliitumia vyema kujiimarisha na kujitanua kisiasa.

Kupasuka kwa Yanga,kulipelekea kuundwa kwa Pan African Football Club

Hawa wengi walikua watoto wa Mjini Dar,wasomi,wafanya biashara,wakurugenzi na mameneja serikalini na kada fulani ya watu wajanja ambao wanaweza kukufanya uamini kua usiku ni mchana!

Tukio hilo lilizua hofu ya chini kwa chini kua kundi hili laweza kupunguza nguvu ya chama tawala likiachiwa huko mbeleni.

Naam kazi ikaanza,wakapandikizwa usalama wa Taifa huko matokeo yake timu ikawika kwa miaka 10 ya mwanzo tu.

Baadhi ya wajanja na wazito wa Pan Africa walikua:-

1.Al-haj Omar Muhaji(Waziri wa zamani mambo yandani)
2.Sammy Mdee
3.Shiraz Sharrif
4.Kitwana Kalima
5.Mangara Tabu etc etc

Kwa hiyo Nyerere aliona akiwaachia hawa watapanuka nchi nzima na kumwaga upupu
Now you are talking.
 
Back
Top Bottom