Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Juzi nimepita pale kabuni na nikasikitishwa sana na hali tuliyonayo na makundi yaliyo oongezeka pale ..lakini mkitaka kujua nani aliiua mpira wa miguu Tanzania na aliyepeleka kua vilabu kama Pan African basi mchawi wetu si mwinginebali ni Nyerere kupitia swahiba wake Gama Abdel Nasser wa Egypt ambaye alimpa technique ya kutulazimisha kuwa kila kiongozi apitishwe na UMOJA WA VIJANA matokeo yake watu wa ajabu ajabu leo utashangaa kuwaona wanataka kuongoza vyama vya michezo hapa Nyumbani
Last edited by a moderator: