Vijijini Lawama
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 298
- 73
Nyehunge Sengerema mkoani Mwanza wametia fora kwa kumchagua mwenyekiti wa kijiji kwa kusimama mstari nyuma ya mgombea ili kuogopa kura zao kuchakachuliwa, Walipoambiwa na msimamizi wa uchaguzi kutuumia utaratibu wa ballot waligoma na kumwambia hawako tayari kuona kura zao zinaibiwa na kama hataki utaratibu wanaotaka wenyewe basi hawako tayari kupiga kura. Alishinda mgombea wa CDM.