Nyasaland kazi ipo huko

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
kp27052014.jpg
 
Hapana. Mwenyewe Bi Banda kaishanyoosha mikono. Ngoma ni kati ya Peter Mutharika wa DPP (kuna tuhuma tele kwamba aliiba kura) na Lazarus Chakwera wa MCP (Chama tawala cha kwanza kinachojaribu kurejea madarakani).
 
sasa si achie tu hicho kiti kisije kikamlalia juu akaumia zaidi,kipanya naye hakosei hahahaaaaaaaaa lol!
 
Hawataki kukubali matokeo hawa. Ni sawa tu na hawa wa kwetu haeakubali ni kuchakachua tu kama ilivyokuwa 2010. Matokeo yake tumeshapoteza mwelekeo.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom