Kuna taarifa kuwa muda huu kuna mapambano kati ya polisi na wachimbaji wadogowadogo wa dhahabu. Jamaa mmoja amekuwa mjanja na kupata licence kwenye eneo lililokuwa linachimbwa na hao small scale minors. Hilo eneo limegundulika kuwa na deposit kubwa ya dhahabu kwa takribani mwezi mmoja kwa sasa; huyo mjanja akakimbia na kupata leseni na kuwafukuza wachimbaji wadogowadogo kitendo ambacho kimepingwa kwa kitendo cha kutaka kuchoma nyumba ya huyu mwekezaji mjanja. Kazi ipo!!