Who Told you EFD inakusanya Kodi au Inatoza Kodi Aim ya kutumia EFD ni Kukusanya Taarifa za Mauzo na Siyo Kukusanya Kodi kama Unavyofikiria.TRA wamejaa mambumbumbu. Sasa wanadai kodi hadi kwa watu wanauza exempt supplies kama wenye mabucha?
All non added value foods (unpack aged goods) are exempt supplies that means they are not taxed. Only some levies are paid onto such kind of goods.
That is a lie behind the story...Who Told you EFD inakusanya Kodi au Inatoza Kodi Aim ya kutumia EFD ni Kukusanya Taarifa za Mauzo na Siyo Kukusanya Kodi kama Unavyofikiria.
Kwann hizo mashine wasiziuze hata kwa elfu hamsini au wazigawe bure,, eti laki nane, uho msingi katika bucha ni wa laki naneWho Told you EFD inakusanya Kodi au Inatoza Kodi Aim ya kutumia EFD ni Kukusanya Taarifa za Mauzo na Siyo Kukusanya Kodi kama Unavyofikiria.
Wewe unafikiri watu wote ni mbumbumbu sio? Kwani lazima utetee kila kitu ndugu? Mengine pita kimya kimya tu unless una mkataba wa kutoa maoni kwenye kila thread.Who Told you EFD inakusanya Kodi au Inatoza Kodi Aim ya kutumia EFD ni Kukusanya Taarifa za Mauzo na Siyo Kukusanya Kodi kama Unavyofikiria.
Mama Acha Kusoma Kodi kijujuu tuu hebu Soma Notes katika Second Schedule ya Exempt Supplies.That is a lie behind the story...
Baada ya kukusanya taarifa za mauzo then what next ?Who Told you EFD inakusanya Kodi au Inatoza Kodi Aim ya kutumia EFD ni Kukusanya Taarifa za Mauzo na Siyo Kukusanya Kodi kama Unavyofikiria.
Ehee! Good, mimi nahusika na hiyo namba moja. Nimehoji uhalali wa mabucha kulipishwa kodi.Mama Acha Kusoma Kodi kijujuu tuu hebu Soma Notes katika Second Schedule ya Exempt Supplies.
- For the purposes of this item goods shall be regarded as unprocessed if they have undergone only simple processes of preparation or preservation such as freezing, chilling, drying, salting, smoking, stripping or polishing.
- None of the above can be exempted when they are supplied in the course of catering by a restaurant, cafeteria, canteen or like establishment.
Tracking. Wewe leo umekula nyama, ukaumwa kwa kuwa nyama siyo nzuri. Mwenye bucha akikataa kuwa siyo yeye aliye kuuzia, then what?Baada ya kukusanya taarifa za mauzo then what next ?
Nenda hata TRA ukaulize why EFD , jibu ni kufahamu unapata sh ngapi ili ulipe kodi inayostahili baaaasi ! Hakuna kingine chochote tena , fuatilia hata majukumu ya TRA , si hayo uliyoandika hapo .Tracking. Wewe leo umekula nyama, ukaumwa kwa kuwa nyama siyo nzuri. Mwenye bucha akikataa kuwa siyo yeye aliye kuuzia, then what?
Risiti ni muhimu sana, kwa kila biashara, iwe inalipa kodi au laa. Umeshasikia msemo unaosema Information is the key? The more information tutazoweza kukusanya the more precise the decisions we can make.
Yaani kadri utakavyopata information (correct information) ndo uwezo wa wewe kuweza kufanya maamuzi mazuri zaidi.
Ila tatizo hizo EFD ni expensive sana. Serikali/TRA wangetafuta more affordable way or devices kwa ajili la risiti na record. Kwa biashara kama ya butcher, kupata laki ngapi hizo kwa EFD na kwamba biashara inafungwa mpaka ununue ni tatizo.
You are missing 2 important pointsNenda hata TRA ukaulize why EFD , jibu ni kufahamu unapata sh ngapi ili ulipe kodi inayostahili baaaasi ! Hakuna kingine chochote tena , fuatilia hata majukumu ya TRA , si hayo uliyoandika hapo .
Mbona mabucha ya dsmHali ya Uduma za Kijamii Nyarugusu si Shwari,TRA Wamefungia Maduka,Hotel,Mabucha,Bar na uduma nyingine wakiwataka wafanya Biashara watumie Mashine za Electronic.
Hali sio nzuri toka jana mji umetulia sana.
Well saidMbona abood na najimunisa hawatumii efd? Mafuso na kirikuu hazina efd, bodaboda na najaj wao hapana? Kwahiyo kodi ziko madukani tu? Naona kuna mtu uwezo wake wa kufikiri umefika ukomo