Nimesoma makala mbili za Nyaronyo Kicheere kwenye mwanahalisi zilinivutia sana, Badala ya kulalamika amewataka waislam kutumia fursa zilizopo kujiendeleza na amewataka Waislamu kuwa kama wenzao waislam wahindi, wamachame na same ambao huwezi kuwaona wakilalamika kama wa Dar, Pwani, Kigoma naTabora kwa kufuata reli ya kati walipokaa waarabu tu.