engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyalandu
ametoa wito kwa taasisi za serikali kutumia nyaya za umeme zinazozalishwa na kampuni za ndani na kuacha kungangania zinazozalishwa na kampuni za nje ya nchi.
Vipi kuhusu ubora?
Ili kutekeleza suala hilo Nyarandu alitoa maagizo ya kukamatwa kwa nyaya za umeme zisizokuwa na ubora na wahusika wanaozisambaza wachukuliwe hatua kali
Je hilo litawezekana kwani asilimia kubwa ya Viongozi ndio wanaojiusisha na biashara hizo zisizo na ubora