Ndugu wana jamii, taarifa nilizoweza kupata kutoka kwenye original source, ni kwamba Rostam Aziz na Yusuph Manji wamemtafuta Kato na mwenzake waliohusika kama chambo kufungua kampuni ya kagoda ili kuwapoza. ikumbukwe kuwa kwa msajili wa makampuni (BRELA,) majina yaliyotumika ni halisi lakini picha ni feki. Hata hivyo, kuna watu waliweza kunasa sauti ya Kato mwenyewe akiongea na watu waliojitambulisha kwake kuwa wametumwa na Rostam Aziz....siwezi kuelezea walifanyaje ili kuinasa sauti yake, but sasa hivi technologia imepanuka sana na lolote linawezekana.
AGOMA TENA KUANDIKISHA MAELEZO
kama ilivyo kuwa imepangwa, msemakweli alifuatwa na gari la wana usalama( intelligence) ili akaandikishe maelezo ijumatatu ya juzi Tarehe 5 SEPT. 2011. Hivyo basi mpaka saa tatu, msemakweli alipokea simu 2 zilizopigwa kumtaarifu kuwa wanamsubiria. kwa bahati nzuri aliweza kufika eneo la tukio na kukuta tume maalum ikimsubiri kumhoji. kwa mara nyingine tena aligoma na kuwaambia hivi, namnukuu " kati ya nyinyi nyote, hakuna mwenye mamlaka ya kisheria ya kunihoji, hivyo basi sheria imetamka wazi kuwa natakiwa nihojiwe na watu waliopewa mamlaka na jamhuri na watu hao ni DPP na DCI, na si vinginevyo" alisema Msemakweli.
Ndugu wana jamii, hiyo ndiyo report
AGOMA TENA KUANDIKISHA MAELEZO
kama ilivyo kuwa imepangwa, msemakweli alifuatwa na gari la wana usalama( intelligence) ili akaandikishe maelezo ijumatatu ya juzi Tarehe 5 SEPT. 2011. Hivyo basi mpaka saa tatu, msemakweli alipokea simu 2 zilizopigwa kumtaarifu kuwa wanamsubiria. kwa bahati nzuri aliweza kufika eneo la tukio na kukuta tume maalum ikimsubiri kumhoji. kwa mara nyingine tena aligoma na kuwaambia hivi, namnukuu " kati ya nyinyi nyote, hakuna mwenye mamlaka ya kisheria ya kunihoji, hivyo basi sheria imetamka wazi kuwa natakiwa nihojiwe na watu waliopewa mamlaka na jamhuri na watu hao ni DPP na DCI, na si vinginevyo" alisema Msemakweli.
Ndugu wana jamii, hiyo ndiyo report