Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

.
IMG_20190714_131515_421.jpg
 
naomba kuuliza

kama kampuni imetoa ajira, na kwenye hizo ajira kuna nafasi mbili unaweza kuzifanya.!

je, utaandika barua moja kusema unaweza hizo kazi mbili au utaandika barua mbili na kila barua ikisema nafasi husika.?
 
Mimi nafikiri CV haimaanishi kukutaka uwe na ukimo wa maelezo hapana bali unaandika maelezo yoyote ktj utendaji ambayo ulisha wahi kufanya ktk utendaji wako sehemu tofauti tofauti maeneo yake na uzoefu wako ktk vipindi tofauti na barua bila shaka huwa inasimamia ktk imbi zaidi na lengo la barua nikutaka kujua mwombaji uwezo wake hasa kiufahamu ndii maana barua nyingi zina pendekezwa kuandikwa kwa mkono.

morgnsety@gmail.com
 
Acheni mboyoyo mingi, najua wengi mmesoma na ku graduate na mpo mlioajiriwa.
Dogo amekiri kweli ni kilaza ndio maana kaja kuomba shavu. Cha msingi mtumieni cv zenu kama templates hata mkiweka majina feki na namba za magari haitadhuru. Walau adese maana ndicho hasa anachokitaka tusijifanye watu wa kuponda sana
 
naomba kuuliza

kama kampuni imetoa ajira, na kwenye hizo ajira kuna nafasi mbili unaweza kuzifanya.!

je, utaandika barua moja kusema unaweza hizo kazi mbili au utaandika barua mbili na kila barua ikisema nafasi husika.?
maamuzi ni yako either uandike barua moja ya kazi ambayo unajua uko vzuri zaid au uandike barua za kaz zote mbili kama zinaendana na ulichosomea

Sent using Jamii Forums for iPad.
 
Wakuu, ni kwa jinsi gani ntaweza kuandika barua mzuri kwa ajili ya ajira ya kujitolea?
 
Habary jaman samahani sana kama nitakuwa nje kidogo ya mada

Mm ni kijana Ni fundi umeme wa majumbani na viwandani


Nina uzoefu wa miaka miwili na nunu kiwandan na pia miaka mitatu kwa umeme wa majumbani nipo vizuri na napatikana kibaha

Nafanya kazi popote pale itakapo patikana
Napatikana kwa mawasiliano na 0674866209
 
Yan hakuna **** yoyote alienisaidia, wote pumba 2
Tatizo lako wewe ni mvivu hio haikuwa issue ya kuuliza wana JF hata wanafunzi wenzako karibu nawe wanaweza kuwa msaada kwako... ukiona haitoshi ingia google tafuta sample za CV na ujue vitu gani vya kuandika.
 
Acheni mboyoyo mingi, najua wengi mmesoma na ku graduate na mpo mlioajiriwa.
Dogo amekiri kweli ni kilaza ndio maana kaja kuomba shavu. Cha msingi mtumieni cv zenu kama templates hata mkiweka majina feki na namba za magari haitadhuru. Walau adese maana ndicho hasa anachokitaka tusijifanye watu wa kuponda sana

Bro huwa nakukubali sana so direct,big up
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom