Martchaz chaz mart
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 177
- 92
Kaka nielekeze about application ya #www.tamisemi.go.tz wametoa ajira sa sijawahi wala sijui how to apply online pleasepole bro find me @ my office,i'll help u.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka nielekeze about application ya #www.tamisemi.go.tz wametoa ajira sa sijawahi wala sijui how to apply online pleasepole bro find me @ my office,i'll help u.
DAR! ingia youtube utaona sample mbalimbali 👐🙌🙌Wadau naombeni msaada jinsi CV inavyoandkwa pamoja na format yake.
Unaandika barua moja ila huo mwngne unakuwa ujuz binafsnaomba kuuliza
kama kampuni imetoa ajira, na kwenye hizo ajira kuna nafasi mbili unaweza kuzifanya.!
je, utaandika barua moja kusema unaweza hizo kazi mbili au utaandika barua mbili na kila barua ikisema nafasi husika.?
Ulizauliza
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Bro naomba nielekeze namna ya kuandika/kuandaa izo project.Cv yangu siku zote inakuwaga na page nzima ya PROJECTS hapo huwa naelezea viproject vyangu na jinsi ya kuviimplement kazini thank God nimeitwa kwingi kwenye interview kutokana na hizo projects nnazoandikaga....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello bro project za somo gani ingawa zinaendana katika uandikaji ila nataka nikupe project ambazo nimeziandika na kuitwa interview nadhan niliyotumia kupata ajira
maamuzi ni yako either uandike barua moja ya kazi ambayo unajua uko vzuri zaid au uandike barua za kaz zote mbili kama zinaendana na ulichosomeanaomba kuuliza
kama kampuni imetoa ajira, na kwenye hizo ajira kuna nafasi mbili unaweza kuzifanya.!
je, utaandika barua moja kusema unaweza hizo kazi mbili au utaandika barua mbili na kila barua ikisema nafasi husika.?
Tatizo lako wewe ni mvivu hio haikuwa issue ya kuuliza wana JF hata wanafunzi wenzako karibu nawe wanaweza kuwa msaada kwako... ukiona haitoshi ingia google tafuta sample za CV na ujue vitu gani vya kuandika.Yan hakuna **** yoyote alienisaidia, wote pumba 2
Acheni mboyoyo mingi, najua wengi mmesoma na ku graduate na mpo mlioajiriwa.
Dogo amekiri kweli ni kilaza ndio maana kaja kuomba shavu. Cha msingi mtumieni cv zenu kama templates hata mkiweka majina feki na namba za magari haitadhuru. Walau adese maana ndicho hasa anachokitaka tusijifanye watu wa kuponda sana
Hakika mkuu! Watu wanajitoa akiliBro huwa nakukubali sana so direct,big up