Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

tatizo watu wanataka spoon feeding. Asipewe kabisa CV bure. Wahenge walisema dont give me fish teach me how to fish.
Mtu wa IT umeshaambiwa tumia google bado unataka msaada?
Chuo kikuu huna jeuri ya kuandika CV?Then lets do business kwa sababu hutaki kujighulisha, Nitakuandalia kila kitu kwa laki 2 nitafute
 
'Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri'
khaa! hapa kazi bado ipo sana.....
mwaka mwisho hujui kuandika CV tena Computer yaani umeshindwa hata kugoogle kwa kutumia tarakilishi ambayo huwa unaitumia, sasa kazi utapaje?
 
Pole sana dogo. Ebu angalia hii (angalia attachment), iko rahis kidogo lakini ina kila kitu muhimu. Ukivutiwa nayo ichukue. Ziko format nyingine ambazo ni ngumu kidogo, kama vile EU format (European format).

View attachment 51049View attachment 51050

Au nenda kama hivi:

CURRICULUM VITAE


NAME: Jamii Forums NATIONALITY: Tanzanian

ADDRESS: P. O. Box 2012, DSM DATE OF BIRTH: 26[SUP]th[/SUP] June, 19xx

Tel: +2557xxxxxxxx MARITAL STATUS: Single/Married/Divorced/Widowed

Email:
jamii@yahoo.co.uk SEX: Male/Female

forums@gmail.com



OBJECTIVES:
To work in a position of Senior System Analyst where I can get more knowledge and increase my experience as a System analyst.

EDUCATION BACKGROUND:

(i). INSTITUTE LEVEL: Dar es Salaam Institute of Technology (DIT), DSM, Tanzania. DATE: from 2002 to 2005. COURSE: BSc. INFORMATICS. AWARD: Degree in Informatics Science. DURATION: Three years. GRADUATION DATE: May 2005

(ii). ADVANCED LEVEL: CCM Secondary School, Dar es Salaam, Tanzania.
DATE: 1998-2000. COMBINATION SUBJECTS: Physics, Chemistry and Biology.
AWARD: Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE).
GRADUATION DATE: May 2000.

(iii). ORDINARY LEVEL: CHADEMA Secondary School, Kilimanjaro, Tanzania. DATE: from 1994 to1997. SUBJECTS TAKEN: Science subjects, AWARD: Secondary Education Examination (CSEE).
GRADUATION DATE: November 1997

WORK EXPERIENCE:
From March 2008 up to present.
I was employed by the Jamiiforums as system analyst.
My duties is to maintain and check that our oracle database is running smoothly.
From May 2005 to October 2007
I was employed by Jamii Commercial Bank as Internal System Analyst.
My duties there were to make sure that the banking systems (ATMs, transactions and new member registration) were working.
I also did…………

From 23[SUP]rd [/SUP] June 2003 to 31[SUP]st[/SUP] August 2004
I was temporally employed by an auditing firm known as Forums Inc. I was employed as Senior System Security Officer.
My duties were to check the sequrity system of firm database.

EXTRA CARRICURUM VITAE:

(a). Best worker in the department of ICT in Jamiiforums for the year 2010.

(b). Participant in the ongoing project of Fiber Optic Installation Project, in dare s salaam region
.
(c). Winner of Third position in Overall Academic Performance in the field of INFORMATICS, Third Year in academic year 2004/2005.

REFEREES:

(a). Mr. Chadema, Principal system analyst, CCM IT Consultants, Tanzania. Tel: +255 7vvvvvvvvvv

(b). Mr. CCM, Chief Internal Auditor, Forums Inc, DSM. Tanzania. Tel: +255 7rrrrrrrrrrr

(c). Dr. CCM CHADEMA, Project Coordinator, Fiber Optic Installation Project.Tel: +2557&&&&&&&&&
Be blessed ...umetutoa tongotongo wengi xn
 
Wadau hivi ni CV aina gani ya CV zinahitajika kwa sababu wengine unakuta wamejaza table (CV ipo katika mfumo wa table) na wengine kawaida. ipi ni nzuri.


Kingine ni Length page ngapi zinashauriwa.


N.B Ni bora kama hujui Ukae kimya Kejeli nitakutoa nishai.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Wadau hivi ni CV aina gani ya CV zinahitajika kwa sababu wengine unakuta wamejaza table (CV ipo katika mfumo wa table) na wengine kawaida. ipi ni nzuri.


Kingine ni Length page ngapi zinashauriwa.


N.B Ni bora kama hujui Ukae kimya Kejeli nitakutoa nishai.
Just do whatever as you wish braza,kinacho matter ni content na arrangement
Note; 4 fresh graduate Cv not more than 2 pages
 
Naitwa salum ally nina miaka 27 naishi dar mbagala nimeoa na nina mtoto mmoja.
Nimeitim stashahada ya manunuzi na ugavi (procurement and logistics management) kutoka taasisi ya uhasibu Tanzania may 2012.
Nina uzoefu wa miaka mitatu katika kazi katika masula ya utuzaji wa bohari (storekeeping) msaidizi wa manunuzi assistant supplies officer pia inventory controller kwa muda wote tangia kuitimu nilikua nikijitolea katika taasisi za umma halmashaur na shirika la umma

Naomba msaada ili nipate kibarua katika taasisi yeyote ambayo ina fanya kazi hizo hapo juu nina cv nzur inayinieleza vizur sana ukiguswa na ili na ukiitaji kuona cv kwa msaada zaidi unaweza kutuma email yako ili niku fowardie nk kwa mawasilioano zaidi 0683715151

Asante
 
Km hajui mumsaidie syo mnatoà makavu huo sio msaada kwan we ulizaliwa unajua vyote??
 
Ninataka kuomba kazi sehemu fulani hivi sasa wananiambia wanahitaji CV mimi nimewaambia kazi naweza wala hawaniamini sasa niambieni naanzaje kuandika CV pls nisaidieni nikipata pesa ntakuja huku huku kuwauliza jinsi ya kutumia.
 
  • Thanks
Reactions: _ID

Similar Discussions

Back
Top Bottom