Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.

Una busara sana. #Barikiwa
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.

Mfano wako wa cv ni mzuri lakini hauko ki professional kabisa kwa upandde wangu
 
Mfano wako wa cv ni mzuri lakini hauko ki professional kabisa kwa upandde wangu

For starters, Entry level 0-3 years experience it is an ideal Resume. It is not for Mid level 4+ years.
The one who started this thread is about to finish college and that format for me is appropriate.
You can post your Resume which you believe its professional so you can help the Need.
 
Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.

Hizo hapo waeza ku download.
 

Attachments

  • Masaki Street.docx
    905.2 KB · Views: 747
  • Dar es Salaam.docx
    12.5 KB · Views: 500
  • kwetu.docx
    12.5 KB · Views: 517
Mpaka umefikia kiwango hicho cha elimu Kuandika CV huwezi? My organization inatoa elimu kwa mpunga mdogo kufundisha uandikaji wa Cv. Tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom