HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 304
- 107
Na AGE pia hapo kwenye personal particulars
Habari.
Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.
Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.
Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.
Asante sana mkuu. Ubarikiwe nawe pia.
Samahani nitumie application ipi ili niweze kuzifungua?
Salaam.
Natumai ni mzima.
Hiyo ni microsoft office word 2014. hata word 2010 unaeza kufungua.
Ahsante.
Habari ya wewe?Salaam.
Natumai ni mzima.
Hiyo ni microsoft office word 2014. hata word 2010 unaeza kufungua.
Ahsante.
Habari.
Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.
Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.
Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.
Mfano wako wa cv ni mzuri lakini hauko ki professional kabisa kwa upandde wangu
Habari.
Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.
Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.
Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.
Habari ya wewe?
Samahani naomba unitumie na mimi.