Shija Erick
New Member
- Jul 18, 2015
- 2
- 0
Mmh aisee nzuri hyo cv
mkuu HMS umenibariki sana namshukuru sana Mungu kwa ajili yako. I appreciate you
Wadau, hivi barua ya maombi (application letter) inatakiwa kuandikwa kwa mkono (hand-writen) au kuchapwa(printed), msaada wenu wadau
pole bro find me @ my office,i'll help u.
Hairuhusiwi, labda umwambie aandike ai-scan akutumie kwenye email yako alafu ww ui-print then unaendelea mbele, au unawasiliana naye kwanza, yeye ndiye akuruhusu uandike kwa niaba yake ikiwezekana akupe na maneno machache ya kuweka kwenye hiyo barua weka sahihi yako, weka na mawasiliano yake pale chini. Waajiri weng wanapiga kwa referee kuuliza km yeye ndio kaandika
swali ni kwamba referee wangu akiniruhusu kuandika wao watajuaje?