Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Habari wakuu?
Nimepata safari ya kwenda Zambia kuna shughuli halali naenda kuifanya huko ktk kujitafutia kipato.
Swali:
1. Je, ni nyaraka gani muhimu niwe nazo na ninazipata wapi?
2. Zitanigharimu kiasi gani kuzipata hizo nyaraka?
Asanteni sana.....
Nimepata safari ya kwenda Zambia kuna shughuli halali naenda kuifanya huko ktk kujitafutia kipato.
Swali:
1. Je, ni nyaraka gani muhimu niwe nazo na ninazipata wapi?
2. Zitanigharimu kiasi gani kuzipata hizo nyaraka?
Asanteni sana.....