Mh SAMBALA
Member
- May 29, 2011
- 43
- 2
movies hii kai kulio ya babu wa loliondo
Safi sana naona umeamua kujitoa muhanga kwa ajili ya watz......Mungu atakulinda kwa sababu umesimamia hAki....na akujalie ubaki na moyo huo bila kutetereka......ila usifanye kwa ajili ya CDM...fanya kwa ajili ya wanyonge walioodhulumiwa.....watzNiseme ukweli mimi si mwana CCM na sintokufa nikiwa CCM, mimi ni CHADEMA tangu mwaka 1999 na nitaendelea kuwa CHADEMA - Msemakweli
Safi sana naona umeamua kujitoa muhanga kwa ajili ya watz......Mungu atakulinda kwa sababu umesimamia hAki....na akujalie ubaki na moyo huo bila kutetereka......ila usifanye kwa ajili ya CDM...fanya kwa ajili ya wanyonge walioodhulumiwa.....watz
Ameitisha Press Conference, ana ushahidi...
Follow me...
See the attachment for the evidence presented
More attachments follow - Kagoda: Ni Rostam
Wamiliki wa makampuni haya WANAFAHAMIKA! Tunaweza kuwataja hapahapa na hata mahala wanapoishi.
Kivipi mkuuMajungu
The noose is closing around their neck.Naona mnakusanya machepeo juu ya KABURI. Dah, waliokua wapigaji matumbo moto.
Anaewafundisha unafiki anastahili pongeziMwizi akikamatwa na kurejesha alichokiiba haimaanishi kuwa hana hatia. Tena hayo marejesho ndo ushahidi tosha kwamba waliiba.
Khana, wabhaki karuka?!Anaewafundisha unafiki anastahili pongezi