Si utani mkuu nimeona ni bora tukaongea kwa lugha nyingine labda tutaeleweka kidogo kuhusu huu muungano nashukuru kwa kumaliziaIf
t + z= t
then
z=t - t
and as
t-t=0 no mater what
therefore
z=0
ha ha ha ha ha ha ha ha
Naona una utani na wazenji wewe
Upuuzi ni kutokuwa na Tanganyika. Acha ujinga wewe f.a.l.a nini???Acheni ujinga wenu hata kama Muungano Zanzibar waende kivyao na sisi tubaki na Tanzania yetu,mimi sitaki kusikia upuuuzi unaoitwa Tanganyika