Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
"mwongozo wa chadema umekaa vyema sem tatizo tuna wabunge vihiyo wengi sana kupitia ccm.ila naamini mapambano yanaendelea na ipo siku ccm itabakia historia kuwa waliwahi kuwa chama tawala
"mwongozo wa chadema umekaa vyema sem tatizo tuna wabunge vihiyo wengi sana kupitia ccm.ila naamini mapambano yanaendelea na ipo siku ccm itabakia historia kuwa waliwahi kuwa chama tawala
Kaka,
Unaweza kutusaidia kwa kuwasiliana na JDH tupate uthibitisho wa maneno haya?
Dada FFJumulisha wabunge 81 wa baraza la wawakilishi na 83 wabunge toka zanzibar ambao wapo bunge la muungano unapata 164 ukigawa kwa 3 unapata 54.67 (sawa na watu 55 maana hakuna mtu 0.67)
Wakuu, nimezinasa nyaraka hizi ambazo nimeziambatanisha kama attachment toka kwa sosi wangu ndani ya CDM na nimeona niwashirikishe:
Mosi, CHADEMA imemwambia Rais atumie mamlaka yake kwa mujibu wa ibara ya 97 akatae kusaini muswada kwa sababu zilizoelezwa kwenye sheria hii.
Pili, iwapo serikali haitafanya mabadiliko katika muswada husika CHADEMA haitashiriki mchakato ambao hautaleta katiba bora badala yake itaendelea kuunganisha nguvu ya umma kutaka mabadiliko ya msingi.
Tatu, CHADEMA imetaka suala la sheria hii lisiwe la mapendekezo ya CHADEMA pekee ila mjadala wa muswada huu urudi kwa wananchi na wadau wengine ili kuwa na wigo mpana wa marekebisho.
Nne, wakati marekebisho yakisubiriwa, CHADEMA itaendelea na mikutano nchi nzima katika ngazi mbalimbali ili kutoa elimu ya uraia kwa umma kuhusu sababu za kupinga muswada wa mabadiliko ya katiba uliopitishwa na bunge ili kuuandaa umma kwa hatua za ziada kwa kadiri ya maazimio ya kamati kuu ya chama.
Barua ya awali ilitoka kwa Dr. Slaa na kusambazwa nchi nzima, na mapendekezo attachment ni yale waliyoyapeleka Ikulu (17pages).
Kazi ni kwenu!!!!
=============
Hivi, Zanzibar iliungana na Tanganyika zikatengeneza Tanzania. Tanganyika ilipotelea wapi?
Hapana, Dada.
Nadhani ukiwapigia ITV watakusaidia zaidi jina la kipindi, sikumbuki nimekuta kati na ni cha mahojiano ya watu wawili. Hata hiyo JDH sijui ni mdudu gani?
Kama Nyerere aliifuta Tanganyika basi Watanganyika tunaitaka Tanganyika yetu leo hii. Hakupata ridhaa yetu ya kuifuta Tanganyika bali alitumia mamlaka ya u rais tu.Juma Duni Haji alikuwa analijibu swali hilo kupitia ITV usiku huu.
Alimtaja Nyerere kuwa ndiye aliyeifuta Tanganyika na waraka alikuwa nao mkononi anausoma, siukumbuki ni upi.
awa jamaa walifanya mlinganyo huu;Hii ni nafasi nzuri sana kwa Watanganyika kudai Tanganyika yetu ambayo ilipotezwa kinamna kwa miaka zaidi ya 47 sasa. Na kwa maoni sioni sababu yoyote ya kubadili bendera wala mwimbo wa Taifa pindi Tanganyika itakaporudishwa rasmi kama nchi kwenye katiba mpya.
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo uwongo unaavyozidi kujitenga na ukweli!Tuko hovyo sana,hatujui tulichonacho na wala hatujui tunachotaka,tupo tupo tuu!
Baasi tu vurugu tupu,haya mambo yanachosha sana.
Ma Eng utawajua na assumption zao, upo juuu mkuu kwa kutoa derivation ya Tanganyika ilipopotelea.awa jamaa walifanya mlinganyo huu;
t[SUB]1[/SUB]+ z = t
where t[SUB]1[/SUB]= tanganyika
z= zanzibar
t= tanzania
but t[SUB]1[/SUB] ~ t
then the equation becomes t + z = t
hapo ndipo TANGANYIKA yangu ilipo fia duh !!!!!H
Hivi, Zanzibar iliungana na Tanganyika zikatengeneza Tanzania. Tanganyika ilipotelea wapi?
Taarifa nzima imeshiba maslahi ya Taifa Tupu asanteni CDM kwa kuweka maslahi ya Taifa mbele.
Hivi, Zanzibar iliungana na Tanganyika zikatengeneza Tanzania. Tanganyika ilipotelea wapi?