Ndugu zangu, hii taarifa naona ina kosa la kiuandishi, theluthi moja ya 81 ni 55?
Msivamie maeneo ya watu wajumbe kwa zanzibar ni Wawakilishi 81 na Wabunge 83 jumla 164 theluthi yake ni 54.6 approx to 55.Kweli nimeona, sasa hapa magwanda ndipo wanaponichosha
Acheni ujinga wenu hata kama Muungano ukivunjika Zanzibar waende kivyao na sisi tubaki na Tanzania yetu,mimi sitaki kusikia upuuuzi unaoitwa Tanganyika
Nchi zipi ziliungana na kama ziliungana mbona moja bado ipo nje ina maana yenyewe haikuingia ndani.Nadhani ukiutazama huo waraka wa magwanda wanashindwa kuelewa kuwa Zanzibar ni nchi, ina Rais wake, ina Katiba yake, ina Bendera yake, ina Wimbo wake wa Taifa. Na hapa ni nchi zimeungana tu, na hata huo waraka uliwekwa wa 1964 ni amendment tu, jee waraka orijino kabla haujawa amended uko wapi?
Kuna wengine hawajui hata tunachodai hatudai jina la Tanganyika tunachodai ni sovereignty ya tanganyika, kazi kweli ndio maana kina Lissu wanapata shida bungeni.Acheni ujinga wenu hata kama Muungano ukivunjika Zanzibar waende kivyao na sisi tubaki na Tanzania yetu,mimi sitaki kusikia upuuuzi unaoitwa Tanganyika
kwahiyo JK akipewa nondo kama hii anamuita FF na MS ndo wampe ushauri???Rais akiomba ushauri kwa watu type ya maralia sugu na faizafoxy jamaa watakuwa wamepoteza muda wao bure wa kunywa beer na mbuzi katoliki.
Mkuu, ukisoma vizuri alichoandika huyu mama utagundua she is just bluffing!!Nchi zipi ziliungana na kama ziliungana mbona moja bado ipo nje ina maana yenyewe haikuingia ndani.
By FaizaFoxy
Nadhani ukiutazama huo waraka wa magwanda wanashindwa kuelewa kuwa Zanzibar ni nchi, ina Rais wake, ina Katiba yake, ina Bendera yake, ina Wimbo wake wa Taifa. Na hapa ni nchi zimeungana tu, na hata huo waraka uliwekwa wa 1964 ni amendment tu, jee waraka orijino kabla haujawa amended uko wapi?
Hii kitu imenivutia sana hii...........labda tuanze kudai Tanganyika yetu kutoka pale Lumumba.
Kuna wengine hawajui hata tunachodai hatudai jina la Tanganyika tunachodai ni sovereignty ya tanganyika, kazi kweli ndio maana kina Lissu wanapata shida bungeni.
I love my Tanganyika!
Hivi, Zanzibar iliungana na Tanganyika zikatengeneza Tanzania. Tanganyika ilipotelea wapi?
Hii ni nafasi nzuri sana kwa Watanganyika kudai Tanganyika yetu ambayo ilipotezwa kinamna kwa miaka zaidi ya 47 sasa. Na kwa maoni sioni sababu yoyote ya kubadili bendera wala mwimbo wa Taifa pindi Tanganyika itakaporudishwa rasmi kama nchi kwenye katiba mpya.
mkuu, unajua kuwa bila ya Tanganyika huwezi kuwa na Tanzania?Acheni ujinga wenu hata kama Muungano ukivunjika Zanzibar waende kivyao na sisi tubaki na Tanzania yetu,mimi sitaki kusikia upuuuzi unaoitwa Tanganyika
Ukirejea kwenye somo la historia, ZNZ ilipata uhuru wake wa bandia (nadhani tarehe 10 dec. 1963 - sina hakika na tarehe wala mwezi) wakati Mdhungu alipoondoka na kuikabidhi nchi kwa vibaraka wa wamanga. Kuona huo sio uhuru, mwezi mmoja baadaye, Wazanzibari wakafanya Mapinduzi (matukufu?) hapo tarehe 12 Januari 1964. Hii ndio siku yao rasmi ya uhuru wao. Hata Watanganyika ikifika siku hii nao angalau hupata mapumziko hawaendi kazini. Watanganyika wao wanasherehekea siku ya uhuru wao tare 9 Dec., na Wazanzibar nao hupata siku ya mapumziko, na wote kwa pamoja, Watanganyika na Wazanzibari, husherehekea tarehe 26 Aprili, kama siku ya Muungano. Sasa nongwa ziko wapi?Hakuna swali linaloniumiza kichwa kama hili.Wapi Tanganyika ilifia?Kwanini Zamnzibar hawakuua jina lao?Pongezi kwa wazanzibar katika hili kuendelea na jina alo la asili.Sisi tunajidai tunajua wakati leo hii Muungano ukifa sisi tunapaswa kubadilisha jina hili la Tanzania.Bila zanzibar hakuna Tanzania.Naungana na wazanzibari wote wanaodai sis wabara tunawakandamiza.
Swali kubwa Uhuru wa Tanzania Bara au Tanzania?Kwanini tusiwe wakweli kuwa uhuru wa Tanganyika?Maana unaposema uhuru wa Tanzania unawajumuisha na wazanzibari.Kumbe kimsingi Zanzibar haipaswi kusherehekea sikukuu hii kwani nao wanasubiri yao.Je ikifika siku hiyo kwanini wasisherehekee?Pia kuna mkanganyiko unaoletwa na wazanzibar wenyewe.Kwanini hawana tarehe ya kusherehekea uhuru wao badala yake wanaungana na Tanganyika kusherehekea Desemba 9?Kusema uhuru wao ulikufa na kupewa wa kwetu?Watu wa historia wajibu hili.