Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,542
Mkuu ungejaribu kufanya kautafiti kama account zao zinakumbukwa
Hii kampuni ya ujenzi wa barabara yenye makao yake pale Bwiru road Mwanza itakuwa na bahati sana.
Kila wakati inalalamikiwa sana kwa kuchelewesha miradi ya barabara lakini bado inapewa tenda.
Makonda kaisema sana kuhusu barabara ya Kitunda to Kivule mpaka katishia kutoipa tena Kazi mkoani Dar
Lakini pia kampuni hii ilipewa kazi ya kutengeneza Barabara ya Nyakanazi Kakonko mpaka Kibondo miaka mitano iliyopita. Lakini mpaka leo hakuna hata km30 zilizojengwa. Wakaazi wa Kigoma na Kagera hasa wilaya za Bihalamuro, Kakonko na Kibondo wanapata taabu sana. Barabara hiyo ni diversions to mpaka Kalenge.
Barabara za Musoma mjini nazo pia hoi na ni kampuni hiyo hiyo walipewa tenda. Au kuna kitu hatujui kuhusu kampuni hiyo. Inaweza kuwa ni kampuni ya serikali lakini hatujui.
amin ni yake statement yko ingkua hivi ingkua sio ya magufuli angkua kashaitumbuaDodoma,Kuna barabara ya Kutoka geti la UDOM hadi njia ya panda ya barabara ya kwenda Moro.Ni kipande cha km 15 tu.Huu ni mwaka wa saba hawajamaliza.Mimi siamini kama ni ya Mjomba Magu,isingekuwa ya kichovu kiasi hiki
Miradi yote inayotekelezwa kwa fedha za ndani maarufu kama development budget projects huwa haikamiliki kwa wakati na sio huko tuu ni nchi nzima,lawama kwa John maana serikali huwa haina pesa ila ukiona mradi uko Fasta jua ni mkopo au mfadhili
Are you sure?
Ila muitaliano ile Barabara ailiijenga kwa viwango vikubwa... Ni lami nzuri kwamkoa wa Mwanza sioni kipande cha kuilinganisha japo ina miaka kama 14 sasa.Hyo ni kampuni ya Maghufuli, alinunua vifaa toka Kwa waitaliano wa Astard waliojenga kipande cha Kutoka Nyanguge mpak mwanza mjin toward airport mwanzoni mwa miaka ya 2000..
Lakn mpak leo hakuna repair kwenye vifaa vyao , vimechoka vibaya....ukiachilia mbali pesa ya miradi kuchelewa lakn pia wapo narrow Sana kurun project nying nying Kwa mpigo....wingi wa miradi unazidi uwezo wao wa kuhudumia
Ila muitaliano ile Barabara ailiijenga kwa viwango vikubwa... Ni lami nzuri kwamkoa wa Mwanza sioni kipande cha kuilinganisha japo ina miaka kama 14 sasa.
Nyanza Road hata hiki kipande cha Usagara-Kisesa kitafumuka na kuiacha Barabara ya Mwanza _ Nyanguge.. Nimeona kwa macho yangu sio engineer lakini ni vumbi tupu limejazwa hasa hapo karibu na kituo cha polisi Kisesa.
Iwe kampuni ya Pombe halafu Bashite aikoromee? Labda iwe usanii fulani kupoteza maboya.
Hii kampuni ya ujenzi wa barabara yenye makao yake pale Bwiru road Mwanza itakuwa na bahati sana.
Kila wakati inalalamikiwa sana kwa kuchelewesha miradi ya barabara lakini bado inapewa tenda.
Makonda kaisema sana kuhusu barabara ya Kitunda to Kivule mpaka katishia kutoipa tena Kazi mkoani Dar
Lakini pia kampuni hii ilipewa kazi ya kutengeneza Barabara ya Nyakanazi Kakonko mpaka Kibondo miaka mitano iliyopita. Lakini mpaka leo hakuna hata km30 zilizojengwa. Wakaazi wa Kigoma na Kagera hasa wilaya za Bihalamuro, Kakonko na Kibondo wanapata taabu sana. Barabara hiyo ni diversions to mpaka Kalenge.
Barabara za Musoma mjini nazo pia hoi na ni kampuni hiyo hiyo walipewa tenda. Au kuna kitu hatujui kuhusu kampuni hiyo. Inaweza kuwa ni kampuni ya serikali lakini hatujui.