Nyanya katika kituo cha anga za mbali

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Katika harakati za kuhakikisha pengine maisha yanafanikiwa mbali na eneo la dunia yetu wanaanga walikuwa wanafanya majaribuo mengi huku mojawapo ya majaribio waliyoweza kufanya ni kupanda nyanya huko

Kama unavyoweza kuona katika picha hapo chini kuna nyanya ambazo zilipandwa katika eneo maalumu lisilohitaji udongo ili kufanya ule ukuzaji wa mmea wowote ule

Ni hatua kubwa sana katika zile hatua ambazo wengi walikuwa wanafikiria sababu mojawapo ya kitu muhimu maishani mwetu ni kupata chakula ili kuwezesha maisha yetu kuendelea kuwepo huko tutakapopanga kwenda

Mazao mengi yalishafanyiwa majaribio huko ikiwemo pilipili na baadhi ya mboga mboga za majani kama vile spinachi

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili

FB_IMG_1678560559569.jpg
 
Waache wahangaike na vinyanya vinyanya

Ila sina shaka na mlenda huo hauhitaji tag utajiotea wenyewe bila kupandwa
 
Katika harakati za kuhakikisha pengine maisha yanafanikiwa mbali na eneo la dunia yetu wanaanga walikuwa wanafanya majaribuo mengi huku mojawapo ya majaribio waliyoweza kufanya ni kupanda nyanya huko

Kama unavyoweza kuona katika picha hapo chini kuna nyanya ambazo zilipandwa katika eneo maalumu lisilohitaji udongo ili kufanya ule ukuzaji wa mmea wowote ule

Ni hatua kubwa sana katika zile hatua ambazo wengi walikuwa wanafikiria sababu mojawapo ya kitu muhimu maishani mwetu ni kupata chakula ili kuwezesha maisha yetu kuendelea kuwepo huko tutakapopanga kwenda

Mazao mengi yalishafanyiwa majaribio huko ikiwemo pilipili na baadhi ya mboga mboga za majani kama vile spinachi

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili

View attachment 2546557
Sayari gani hiyo mkuu?

Alafu mbona maeneo Kwa ajili ya kilimo hapa duniani bado yapo mengi tu
 
Sayari gani hiyo mkuu?

Alafu mbona maeneo Kwa ajili ya kilimo hapa duniani bado yapo mengi tu
Hapo ni kweny kituo cha anga wanajaribu kufanya tafiti mbali mbali nje ya DUNIA yetu
 
Back
Top Bottom