Nyandua: Afa baada ya kushinda shindano la kunywa Pombe

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,852
Kenya-Jamaa mmoja ameripotiwa kufariki baada ya kushiriki katika shindano la kunywa pombe kaunti ya Nyandarua -Jamaa huyo alishiriki shindano hilo baada ya kujigamba mbele ya wenzake kuwa yeye ni bingwa wa ulevi -Alishinda shindano hilo na kuzawadiwa shilingi 100 lakini akafa muda mchache baadaye Jamaa mwenye umri wa miaka 38 kaunti ya Nyandarua amefariki baada ya kushiriki katika shindano la kunywa pombe.

Francis Mungai Kimunya alishinda shilingi mia moja baada ya kushinda katika shindano hilo “Aliibuka mshindi baada ya kunywa chupa tatu za mililita 250 za pombe ya bei rahisi,”shahidi mmoja alisema.
 
nyang'au moja amekufa baada ya kufakamia chang'aa kwa pupa kwa ujira wa ksh100!!!
Wakenya mmefikia hapa?!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom