Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Kwa mara ya kwanza since 2016 leo nimeona bendera ya CHADEMA inapeperushwa sehemu ambayo Rais anahutubia, heko Mama samia, juhudi zako za kuirudisha demokrasia iliyominywa kwa kipindi hicho zinaonekana.
Hii ina maana kwamba wateule hawana hofu na unafiki tena kwa mamlaka ya uteuzi (Enzi za bwana yule huyo alipandisha bendera angekiona cha moto or Mkuu wa wilaya, mkoa, RPC na OCD leo ingekuwa mwisho wao na matusi juu).
Pia wananchi hawana hofu na utawala tena, na washamjua mtawala mpya hana roho mbaya ya kuwachukia wapinzani na kuwaona ni maadui wa nchi.
Heko Mama, kazi iendelee!
Hii ina maana kwamba wateule hawana hofu na unafiki tena kwa mamlaka ya uteuzi (Enzi za bwana yule huyo alipandisha bendera angekiona cha moto or Mkuu wa wilaya, mkoa, RPC na OCD leo ingekuwa mwisho wao na matusi juu).
Pia wananchi hawana hofu na utawala tena, na washamjua mtawala mpya hana roho mbaya ya kuwachukia wapinzani na kuwaona ni maadui wa nchi.
Heko Mama, kazi iendelee!