BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Kuna huu ugonjwa sasa hivi unakuwa common hapa Arusha, I know like 4 to 5 friends ambao watoto wao wamesumbuliwa na hizi nyama za pua na ikabidi wafanyiwe operation hapa SELIAN HOSPITAL. Dalili za nyama za pua mtoto anakuwa anahema kwa shida especially akiwa amelala na pia anakuwa na flue ya mara kwa mara. Ikabidi nami nichukue tahadhari jana nami nikampeleka mtoto hospitali Njiro kwa Dr Mremi. Dr alisema nae pia ana hizo nyama za pua hivyo akapewa dawa ya ku spray na ya kunywa. Through experience from my friends whom their kids have suffered already, ni kwamba hii dawa ya ku spray inaongeza hizi nyama kukua ambapo inabidi afanyiwe operation.
SWALI.
1. Haya matatizo yanasababishwa na nini?
2. Kwanini ma Dr wanaendelea kuto hii dawa ya ku spray?
3. Kwanini hii operation ni ghali hivi tshs 650,0000/=
SWALI.
1. Haya matatizo yanasababishwa na nini?
2. Kwanini ma Dr wanaendelea kuto hii dawa ya ku spray?
3. Kwanini hii operation ni ghali hivi tshs 650,0000/=