Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,084
- 1,076
Jamani sijawahi kula nyama ya bata.
Je hapa jijini Dsm ni hoteli ipi wanauza nyama ya bata?
Sokoni wako wengi wanauzwa lakini nasikia ukichinja bata ni lazima umning'inize kwanza kwani ana maji mengi.
Naomba wajuzi wa kuoka au kupika bata watupe darasa.
Asante
Je hapa jijini Dsm ni hoteli ipi wanauza nyama ya bata?
Sokoni wako wengi wanauzwa lakini nasikia ukichinja bata ni lazima umning'inize kwanza kwani ana maji mengi.
Naomba wajuzi wa kuoka au kupika bata watupe darasa.
Asante