Loh. . . .
Wapi wizara ya afya ?
MBOGAMBOGA ZINAZOONGOZA KWA KUPULIZIWA DAWA NI CHINESE NA CABAGE nyanya nazo zinawekwa dawa, ndo mana nikaamua kujilimia vimboga vyangu mwenyeweKabichi zinapuliziwa ngao ile dawa ya mbu ili wadudu wasiziharibu, JE tutafika?
Hii habari imewafikia wizara ya afya? Je na nyie mliogundua hivyo mmechukua hatua gani?
ni hatar kupublish habari kama hii mkuu. Tulishampoteza mwenzetu aliyekomalia hatchery moja kule moshi. We have to b careful tunapocompromise maslahi ya watu.
Una heri sana wewe uliyeweza kusitisha kula nyama. Wengine nyama ndo chakula kwetu...
Hata hivyo sijui unakula nini kisicho na madhara...