Nyama imepanda bei, maharage yamepanda bei, unga umepanda bei, mchele umepanda bei sijui tutaponea wapi

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
 
Mkuu hongera sana, usawa huu unatoa wapi laki nne ya kufanya matumizi ya home mwezi mzima, inaonekana bajeti yako ya home ni zaidi ya laki 5 kwa mwezi maana hawa wake zetu hata uweke kila kitu ndani bado hawakosi cha kununua,hivyo pesa utatoa kama kawa
 
Hapo ungemkabidhi mtu akusaidie kupurchase ungehisi kakupiga changa la macho...Sometimes ni vyema kujionea mwenyewe.
 
Wakulima wamezingatia agizo... Wafanyabiashara wamefanya kweli
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
 
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
Hayo ni mafanikio ya awamu ya tano. Wenyewe wanasema kanyaga twende.

Yaani maskini watakanyagwa hadi watoke damu.

Maendeleo hayana chama eti.
 
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
Kama unaona nyama imepanda bei na wewe nenda ukafuge
 
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.

Mwenye nchi alisema kama bei iko ju basi watu wakalime.
Alisema haya bila kufikiria huyo mkulia aliyemsema ni yupi. Kwa sasa hao wakulima ndo wanataabika maana kutokana na mahitaji yao waliuza mazao yao kwa wafanya biashara, sasa wanaofaidi ni wafanya biashara na si wakulima anaowahurumia.
 
Anayeona gharama katika matumizi ya chakula ni makubwa na yeye aende akalime yake halafu hayafanye yabei nafuu
 
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
Mmeambiwa mkiona ghali limeni vyenu.
 
Leo nimeingia sokoni kufanya mahemezi ya mwisho wa mwezi sikuweza kuamini. Mwanzoni nikienda na laki nne namaliza kila kitu kwa matumizi ya Nyumbani kwa mwezi mzima.

Nimeigwa na butwaa sana. Maharage nikinunua 2300 kilo sasa kuna ongezeko la 500 kilo. Unga nikinunua 900 kilo sasa kuna ongezeko la 600 kwa kilo. Nyama nilikuwa nikinunua 5500 kilo sasa imekuwa 8000. Mchele nilikuwa nikinunua wa 1700 kilo sasa imekuwa 2100 kilo.

Hapa sasa lazima nipunguze mlo kwa wana familia ili kuweza kufika mwezi mwingine. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa viongozi wanaosema hawataingilia kati kuhusu bei eti wataacha soko liamue.

Huu ni ubeberu uliopitiliza. Tusipo angalia tutawasababishia utapia mlo watoto wetu. Mshahara nao umezidi kupungua badala ya kuongezeka hasa baada ya Heslb kuongeza makato yao, huku Workers Compensation Fund nao wakitaka kuchua chao kutoka mshahara mdogo huo huo.

Tutaanza kushinda njaa na kukondeana muda si mwingi. Mahemezi ya laki nne ambayo tulitumia kwa mwezi sasa tutayatumia kwa siku 17 tu sijui fidia ya siku 13 itatoka wapi.
Tulipiga kura siku ya tarehe 25/10/2015 kuingiza watawala madarakani, sasa wamesema wanataka kukusanya kodi ili wanunue Bombadier nyingine, jusi rais alisema serikali haiwezi kuingilia kati kupangia wakulima/wauzaji bei ya mazao yao, na kwamba yeyote anayeona bei ya chakula ni kubwa aende akalime chakula chake mwenyewe, yaani usubiri mpaka mahindi yaive uvune ndio ule na watoto wako, Wanakamua kodi PAYE kwa ng'ombe ambaye hawajamlisha akashiba, (Roma Mkatoliki)
 
Anayeona gharama katika matumizi ya chakula ni makubwa na yeye aende akalime yake halafu hayafanye yabei nafuu
Hapana dawa ni ndogo tu. Aache kula kabisa halafu tuone, watu tunapoteza mamilioni na muda halafu yeye na tumbo tumbo lake analalamika mbona zikishuka hawaongei?
 
Mwenye nchi alisema kama bei iko ju basi watu wakalime.
Alisema haya bila kufikiria huyo mkulia aliyemsema ni yupi. Kwa sasa hao wakulima ndo wanataabika maana kutokana na mahitaji yao waliuza mazao yao kwa wafanya biashara, sasa wanaofaidi ni wafanya biashara na si wakulima anaowahurumia.
Huyo rais hajui anachoongea, ni kweli hivyo vyakula kwa sasa viko mikononi mwa wafanyibiashara ambao walinunu kwa wakulima tena kwa bei chee, huku kwetu nakumbuka debe la mahindi lilikuwa likiuzwa kwa shilingi 5000 mwanzoni mwa mwaka huu na leo tunanunua shilingi elf 20, halafu mtu anasema anataka kuwa saidia wakulima, lakini pia serikali yenyewe ilinunua hayo mahindi ya wakulima kwa shilingi 6000 kwa debe na sasa wakulima wameanza kulia njaa.
 
Back
Top Bottom