longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
Nilitaka iwe kama ANC ya 1990sUlitaka CHADEMA iwe Kama CUF?
Nilitaka iwe kama ANC ya 1990sUlitaka CHADEMA iwe Kama CUF?
Huyo Mbowe aliandaliwa na Baba Mkwe wake ambaye naye Jasusi bobezi tangu enzi za Mwalimu.Hata Mbowe vinginevyo historia ingekua tofauti.
Mwambieni Dikteta Mbowe aachie madaraka, zaidi ya maiaka 30 mwenyekiti yeye tu! ShubamitiCHADEMA ndio chama pekee kinachotegemewa na Watanzania kama mbadala wa CCM, mateso ya Watanzania dhidi mtesi CCM yanatarajiwa kuondolewa na CHADEMA, Kama ilivyokuwa kwa ANC ya South Africa, CCM ni kaburu wa Tanzania.
Hakuna CCM bila Police, CCM imeshakufa, uhai wa CCM unategemea mabavu ya Dola. Hayati ametumia nguvu zake zote alizojua ili kuiua CHADEMA lakini wapi, Chama hiki bado kinapumua hakijafa na hakitakufa.
Uovu wa CCM kwa Watanzania ni mkubwa mno, unahitaji kitabu kuandika juu ya uovu wa CCM kwa Watanzania, Paragraph tu hazitoshi. Naam, ndoto ya CCM ni kuitawala Tanzania milele ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna aishiye milele zaidi ya MUNGU wetu.
Ili kutimiza ndoto zake za mchana, CCM imejaza Majasusi ndani ya CHADEMA hawa wanajua Siri zote za CHADEMA, yaani Badala TISS wafanye kazi ya kwenda nje kuiba Teknolojia ili Tanzania iwe Taifa kubwa eti wanaiba Siri za CHADEMA,sasa mkiiba hizo Siri zinaisadia nini Tanzania?
Ujio wa Nyalandu CHADEMA ulikuwa ni wa kimkakati na bahati mbaya kwake hajafanikiwa lolote, Tunamjua Nyalandu kama mtumishi bora na aliyetukuka wa TISS, kwa kipindi kile ilikuwa ni ngumu sana kuongea lakini sasa iko dhahiri kabisa.
Tumeshasema hapa mara nyingi sana kuwa ukishaapa kuwa Jasusi huwezi kuacha ,na ukiacha adhabu yako ni kifo,ndo maana yule jamaa wa Mahenge nilimtoa nishai humu kwa kumueleza ukweli.
Hata kabla hajawa Waziri , Nyalandu alikuwa Jasusi haswa. Bado wengine kibao ndani ya CHADEMA ni Majasusi waliotumwa kutoka CCM na kuna mpango wa kuwatuma wengine zaidi,wapo halmashauri kuu ya Chama na wengine wapo BAVICHA.
Na ndo hao waliokuwa wakipiga kelele Mbowe aondolewe kwenye nafasi ya mwenyekiti ili Serikali ya CCM iweke mtu wao atakayeua CHADEMA.
CHADEMA inalindwa na Mungu vinginevyo hiki Chama kingekuwa kimeshapotezwa siku nyingi.
Huyu sio jasusi ni mbabaishaji naogopa kutumia neno tapeliMajasusi wengi Tu failed to fade CHADEMA
Nilijuwa kuwa Nyarandu ni JASUSI mwaka 2008 tukiwa Ilongelo na Mh. Kikwete.Huna unalojuwa umeendaika upuuzi mtupu. Nyalandu hana ujasusi wowote ni njaa zake tu zimemfanya arudi
Kilichomtoa CCM Nyarandu ni kutokuwa mnafiki, baada ya Lisu kupigwa risasi karibia wabunge wote wa singida hawakuafiki tukio lile utaona mwigulu, nyarandu na ndiyo kipindi MO yalimkuta ya kumkuta Damu ni nzito kuliko maji, walioweza kubadilika na kuwa kinyonga walidumu lakini wasioweza unafiki ndiyo hivyo. Sasa mtesi hayupo tena, unadhani kwanini hakuunga juhudi enzi za mwendazake
Mumeamua kumwachia Mungu sio , hapo ndo miongo itakata pasipo muujiza kutokea, so mbaya tufanye tu unabiiCHADEMA itashika dola muda si mrefu katika mazingira ambayo hayakutaraiwa kwani hiki chama ni mpango wa Mungu kwa watanzania.
Mungu hawezi kuruhusu CCM iendelee kutesa na kunyanyasa watu wake na ataipiga kofi na kuiondoa madarakani .
Hayati hakudumu, na hata hiki kikundi cha watu kilichosalia na kinachokula mema ya nchi hii kwa gharama ya masikini wa nchi hakitadumu pia.
Ni swala la muda tu.
Mnyika piaMbooweee
Nyalandu hana cha ujasusi bali ni msakatonge kama wenzake waliokimbia CCM wakaishia kuramba matapishi yao na kujirudisha kwa aibu kama mbwa aliyefumaniwa akimwibia bwana wake. Hakuna cha ujasusi wala nini bali njaa. Msimpe Nyalandu ujiko bure.CHADEMA ndio chama pekee kinachotegemewa na Watanzania kama mbadala wa CCM, mateso ya Watanzania dhidi mtesi CCM yanatarajiwa kuondolewa na CHADEMA, Kama ilivyokuwa kwa ANC ya South Africa, CCM ni kaburu wa Tanzania.
Hakuna CCM bila Police, CCM imeshakufa, uhai wa CCM unategemea mabavu ya Dola. Hayati ametumia nguvu zake zote alizojua ili kuiua CHADEMA lakini wapi, Chama hiki bado kinapumua hakijafa na hakitakufa.
Uovu wa CCM kwa Watanzania ni mkubwa mno, unahitaji kitabu kuandika juu ya uovu wa CCM kwa Watanzania, Paragraph tu hazitoshi. Naam, ndoto ya CCM ni kuitawala Tanzania milele ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna aishiye milele zaidi ya MUNGU wetu.
Ili kutimiza ndoto zake za mchana, CCM imejaza Majasusi ndani ya CHADEMA hawa wanajua Siri zote za CHADEMA, yaani Badala TISS wafanye kazi ya kwenda nje kuiba Teknolojia ili Tanzania iwe Taifa kubwa eti wanaiba Siri za CHADEMA,sasa mkiiba hizo Siri zinaisadia nini Tanzania?
Ujio wa Nyalandu CHADEMA ulikuwa ni wa kimkakati na bahati mbaya kwake hajafanikiwa lolote, Tunamjua Nyalandu kama mtumishi bora na aliyetukuka wa TISS, kwa kipindi kile ilikuwa ni ngumu sana kuongea lakini sasa iko dhahiri kabisa.
Tumeshasema hapa mara nyingi sana kuwa ukishaapa kuwa Jasusi huwezi kuacha ,na ukiacha adhabu yako ni kifo,ndo maana yule jamaa wa Mahenge nilimtoa nishai humu kwa kumueleza ukweli.
Hata kabla hajawa Waziri , Nyalandu alikuwa Jasusi haswa. Bado wengine kibao ndani ya CHADEMA ni Majasusi waliotumwa kutoka CCM na kuna mpango wa kuwatuma wengine zaidi,wapo halmashauri kuu ya Chama na wengine wapo BAVICHA.
Na ndo hao waliokuwa wakipiga kelele Mbowe aondolewe kwenye nafasi ya mwenyekiti ili Serikali ya CCM iweke mtu wao atakayeua CHADEMA.
CHADEMA inalindwa na Mungu vinginevyo hiki Chama kingekuwa kimeshapotezwa siku nyingi.
Mtaacha lini ujinga.CHADEMA ndio chama pekee kinachotegemewa na Watanzania kama mbadala wa CCM, mateso ya Watanzania dhidi mtesi CCM yanatarajiwa kuondolewa na CHADEMA, Kama ilivyokuwa kwa ANC ya South Africa, CCM ni kaburu wa Tanzania.
Hakuna CCM bila Police, CCM imeshakufa, uhai wa CCM unategemea mabavu ya Dola. Hayati ametumia nguvu zake zote alizojua ili kuiua CHADEMA lakini wapi, Chama hiki bado kinapumua hakijafa na hakitakufa.
Uovu wa CCM kwa Watanzania ni mkubwa mno, unahitaji kitabu kuandika juu ya uovu wa CCM kwa Watanzania, Paragraph tu hazitoshi. Naam, ndoto ya CCM ni kuitawala Tanzania milele ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna aishiye milele zaidi ya MUNGU wetu.
Ili kutimiza ndoto zake za mchana, CCM imejaza Majasusi ndani ya CHADEMA hawa wanajua Siri zote za CHADEMA, yaani Badala TISS wafanye kazi ya kwenda nje kuiba Teknolojia ili Tanzania iwe Taifa kubwa eti wanaiba Siri za CHADEMA,sasa mkiiba hizo Siri zinaisadia nini Tanzania?
Ujio wa Nyalandu CHADEMA ulikuwa ni wa kimkakati na bahati mbaya kwake hajafanikiwa lolote, Tunamjua Nyalandu kama mtumishi bora na aliyetukuka wa TISS, kwa kipindi kile ilikuwa ni ngumu sana kuongea lakini sasa iko dhahiri kabisa.
Tumeshasema hapa mara nyingi sana kuwa ukishaapa kuwa Jasusi huwezi kuacha ,na ukiacha adhabu yako ni kifo,ndo maana yule jamaa wa Mahenge nilimtoa nishai humu kwa kumueleza ukweli.
Hata kabla hajawa Waziri , Nyalandu alikuwa Jasusi haswa. Bado wengine kibao ndani ya CHADEMA ni Majasusi waliotumwa kutoka CCM na kuna mpango wa kuwatuma wengine zaidi,wapo halmashauri kuu ya Chama na wengine wapo BAVICHA.
Na ndo hao waliokuwa wakipiga kelele Mbowe aondolewe kwenye nafasi ya mwenyekiti ili Serikali ya CCM iweke mtu wao atakayeua CHADEMA.
CHADEMA inalindwa na Mungu vinginevyo hiki Chama kingekuwa kimeshapotezwa siku nyingi.
Ujio wa Nyalandu CHADEMA ulikuwa ni wa kimkakati na bahati mbaya kwake hajafanikiwa lolote
Tunamjua Nyalandu kama mtumishi bora na aliyetukuka wa TISS
Nyalandu hana cha ujasusi bali ni msakatonge kama wenzake waliokimbia CCM wakaishia kuramba matapishi yao na kujirudisha kwa aibu kama mbwa aliyefumaniwa akimwibia bwana wake
Msimpe Nyalandu ujiko bure