Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,697
- 13,079
Chama cha MatangaKuna kile chama form ya ugombea uRais ipo moja tu.Wengine hakuna kugombea na ukijaribu kugombea unavuliwa uanachama.Hivi ni chama hicho jina limenitoka
Chama cha MatangaKuna kile chama form ya ugombea uRais ipo moja tu.Wengine hakuna kugombea na ukijaribu kugombea unavuliwa uanachama.Hivi ni chama hicho jina limenitoka
Kama alisoma Ilboru, itakuwa sio alifaulu vizuri, bali ni alifaulu vizuri sana kwa kupata DIV 1 kali, ndipo akaweza kuchaguliwa Ilboru!.alifaulu vizuri na kujiunga na Shule ya Sekondari Ilboru ambako alisoma kidato cha tano na sita.
Ni Jambo la heri kuona namna Chadema wanavyojitahidi kukuza demon ghasia katika chama Chao kilichopoteza uelekeo.
Nyalandu kwa Chadema ni correct candidate kwanza ana connections za uhakika ndani na nje ya nchi.Anakubalika na wafadhili wa nje na ndani ,ana pesa aweza jiendeshea kampeni mwenyewe bila kusumbua chama au wanachama wamchangie aweza simama mwenyewe
Ni mwanasiasa mzoefu kimataifa mwenye elimu ya kimataifa na uzoefu wa kimataifa kwenye mambo ya fedha,biashara na uchumi na uwezeshaji wa watu maskini kiuchumi practically sio kwa kupiga domo
Ameweza kutatua practically changamoto za kwenye swala la elimu kwa kusomesha watoto elfu 10 kwa kuwalipia ada watoto ambao future zao zingekatikia njiani bila intervention ya shirika lake
Nyalandu si mwongeaji sana ni mtu wa vitendo zaidi vinavyoleta positive impact kubwa kwenye jamii kujikwamua kwenye maswala ya umaskini,elimu na afya
Ni mwanasiasa aliyeshika nafasi kubwa ndani ya serikali ,bunge,sekta binafsi na taasisi za kijamii
CV Yake imekaa vizuri inajibu majibu ambayo jamii kubwa ya watanzania wanayahitaji kuyapata kwa changamoto zao practically
Mwisho Nyalandu hana matusi hajui kutukana mtu kama wanasiasa wengine wa Chadema au mimi hapa kichwa changu kikiniwaka moto.Ana siasa za kistaarabu zinazojikita kwenye ustaarabu na kuzingatia katiba kipengele kinachosema kila binadamu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake.Nyalandu anaheshimu kila mtu na kuthamini utu wa kila mtu . Sijawahi msikia akimporomoshea mtu matusi wala kumdhalilisha awe mkubwa au mdogo wa CCM,CHADEMA au chama chochote
Kama alisoma Ilboru, itakuwa sio alifaulu vizuri, bali ni alifaulu vizuri sana kwa kupata DIV 1 kali, ndipo akaweza kuchaguliwa Ilboru!.
Watu wanaopita Ilboru wako vizuri!.
Mwingine ni huyu
P
Ulisahau ccm walichukua 42 fomu Mwaka 2015, safari hii wamepigwa marufukuBado yericho nyerere naye maana chadema ni ukoo wa kambale
Una ubaguzi mbona hata Msigwa alikuwa TLP ndio akahamia Chadema?
Kwa hiyo wahamiaji toka CCM wanaruhusiwa kuwa wapiga kura wenu tu sio wagombea? Demokrasia gani hiyo? Na nyie mnajiita chama Cha demokrasia? Kama ni uhamiaji Lisu pia alitokea NCCR kwa Mbatia baki la Mbatia Hilo pia Msigwa alitokea TLP ya Mrema baki la Mrema hiloNi hivi, baada ya kosa la kumchukua lowassa ndani ya cdm na kumpa nafasi, huyo Nyalandu apambanie nafasi nyingine na sio urais tena ndani ya cdm. Na hata akipewa nafasi ya kugombea, wengi hatutamuunga mkono. Hatuko tayari tena kubeba hizo taka ngumu toka ccm na kuzisupport.
Kwa hiyo wahamiaji toka CCM wanaruhusiwa kuwa wapiga kura wenu tu sio wagombea? Demokrasia gani hiyo? Na nyie mnajiita chama Cha demokrasia? Kama ni uhamiaji Lisu pia alitokea NCCR kwa Mbatia baki la Mbatia Hilo pia Msigwa alitokea TLP ya Mrema baki la Mrema hilo
Makundi yaliyohamia chadema Ni makubwa kuliko chadema waliowakuta na wengi wako huko msimamo ukiwa huo chadema inaenda kuparaganyika .Hayo makundi ya wahamiaji ndio yaliwapa kura nyingi na wabunge wengi mkiyabwaga itakula kwenu nawapa ushauri wa bure kabisa nisiohitaji hata AsanteWatu toka ccm wagombee udiwani au hata ubunge nao ni kwa shingo upande, lakini sio urais. Waliotoka TLP & NCCR wangalau wana damu ya upinzani, sio hao wahuni toka ccm.
Makundi yaliyohamia chadema Ni makubwa kuliko chadema waliowakuta na wengi wako huko msimamo ukiwa huo chadema inaenda kuparaganyika .Hayo makundi ya wahamiaji ndio yaliwapa kura nyingi na wabunge wengi mkiyabwaga itakula kwenu nawapa ushauri wa bure kabisa nisiohitaji hata Asante