meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Naibu waziri wa maliasili na utalii mh Nyalandu amesema matukio ya ujangili yameongezeka mara baada ya kusutishwa kwa operesheni ya 'kihalifu dhidi ya ubinadamu-operesheni Tokomeza.
Amesema jumla ya tembo 60 wameuawa na pia kuna matukio ya kushambuliwa kwa maafisa wa maliasili na utalii,haya yametokea kuanzia novemba mosi.
Hii inamaanisha naibu waziri bado anaamini operesheni hii ni ya mafanikio licha ya udhalimu ulioonekana.
UHALISIA WA JAMBO HILI NI UPI?
Nyalandu hajaeleze ni tembo wangapi au maafisa wangapi waliathiriwa na majangili katika kipindi cha mwezi novemba mpaka disemba mwaka 2012 au 2011 au 2010?
Nyalandu au tume ya Lembeli hawajaeleza mafanikio ya operesheni hii kwa kuangalia kwa ulinganifu(comperative analysis) idadi ya waathirika wa ujangili(iwe ni watu,miti au wanyama) kabla na baada ya operesheni TOKOMEZA!
Amesema jumla ya tembo 60 wameuawa na pia kuna matukio ya kushambuliwa kwa maafisa wa maliasili na utalii,haya yametokea kuanzia novemba mosi.
Hii inamaanisha naibu waziri bado anaamini operesheni hii ni ya mafanikio licha ya udhalimu ulioonekana.
UHALISIA WA JAMBO HILI NI UPI?
Nyalandu hajaeleze ni tembo wangapi au maafisa wangapi waliathiriwa na majangili katika kipindi cha mwezi novemba mpaka disemba mwaka 2012 au 2011 au 2010?
Nyalandu au tume ya Lembeli hawajaeleza mafanikio ya operesheni hii kwa kuangalia kwa ulinganifu(comperative analysis) idadi ya waathirika wa ujangili(iwe ni watu,miti au wanyama) kabla na baada ya operesheni TOKOMEZA!