Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wakati hali ya upinzani ikizidi kubanwa kwa kunyimwa nafasi za kufanya shughuli zao za kikatiba mh Nyarandu ameendelea kupokea wananchama wapya kutoka ccm.
Amewapokea wana ccm walio amua kujivua gamba na kujiunga cdm ambacho ni chama cha kuwatetea wananchi.
Hongera sana mh Nyarandu
Amewapokea wana ccm walio amua kujivua gamba na kujiunga cdm ambacho ni chama cha kuwatetea wananchi.
Hongera sana mh Nyarandu