Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Nyalandu siku zote hamjamuona mpaka leo kajiingiza kuchangisha mchango kwa mtu wa kwao Singida Tundu Lissu?Habari wanajamvini, tunaomba mh Rais Magufuli akimaliza kwenye madini arudi kwenye maliasili kwa kuunda tume maalumu ya kuchunguza waliotufikisha hapa kwenye upande wa maliasili.
Watanzania hatujasahau jinsi gani twiga alivyopandishwa ndege. Watanzania bado hatujamsahau yule waziri aliyefanya ufisadi na kutumia pesa ya nchi na mastaa wa bongo movie.
Watanzania tunaomba Rais wetu kipenzi Dr. Magufuli achunguze nani aliyetufikisha hapa kwenye maliasili pamoja na waziri Nyalandu awajibishwe kwa uzembe na uhujumu uchumi alioufanya kipindi chake cha uwaziri.
Asingechangia mgesema kitu?