kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
DNA: mkemia mkuu' kasema kuwa asilimia 44 ya waliopima vinasaba kwa ajili ya kujua uhalali wa watoto kwa baba, wamethibitishiwa kuwa watoto hao sio wao. My take: kwahiyo nusu ya watoto wa kitanzania sio wa wababa wanaoishi nao au wanao walea. Kwa ushauri wangu ninapendekeza watoto wote wakitanzania wapimwe ili wakabidhiwe kwa baba zao. Au mnasemaje wanaJF?