Nusu ya maisha yake kaishi Tanzania hajaenda huko, sioni kama ni tatizo

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.
 
Screenshot_20200201-082835.jpeg
 
Hata mimi natamani siku moja nishuke pale JFKI Airport tena iwe majira ya usiku.
 
Mi naona mmarekan anajitekenya tuu,mtu maisha yake yote ameish kwao hajawai shoboka kwenda huko,et leo unamkataza asiende

Haina mantik

Mmarekan hajui kitu fulan kwamba,africa katka watu ambao huwa hawanaga habar ya kwenda huko kwao na wanaish kwenye dunia yao na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama wakenya ni Tanzania

Goin abroad kwa wa Tz si ishu,ndomana waishio huko from Tz ni wachache sana compared na nchi zingne za africa
Haujashobokea lugha yao lakini umechanganya lugha yao na yako! Uwe mkweli tu wewe ulifeli shule au ulitoroka.
Usipo safiri kwenda sehemu nyingine ubongo wako hudumaa, kusafiri ni elimu tosha maishani mwako.
Sijaupenda uandishi wako kwani haufanani na memba wa JF wa GT, kiwango chako cha nchini sana sana sana.
 
Una luck Exposure, USA kukutaza kuingia kwake ishu kubwa sio kuingia nchini hiyo inatafsiriwa kama WARNING au ALERT uji tathmini.

Man Of October
 
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.
Wanachowafundisha ninyi ni kwamba hawaungi mkono ushenzi wa bashite na sio ishu ya kwenda kwao.
 
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.
Sawa.

Lakini Wamarekani wana haki ya kumkataa yeyote asiye raia wao kuingia nchini mwao.

Na wameitumia haki yao hiyo.

Tatizo liko wapi?

Unaumia Marekani wakitumia haki yao?

Na nyie si muwakataze wasije Tanzania kama mnaona itafaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nyie mamtu mngekuwa na akili mngekaa kimya. Msijiingize kwenye haya makesi. Hivi mnapata wapi ujasiri wa kujifanya sio ishu saaaana kwenda marekani na hakuna cha kupoteza, hivi niwaulize huyo mwenyewe aliyezuiwa kwenda, baba namba moja na yule prof macho kodo mmewasikia wamejibu chochote? Huu mziki ni mkubwa hata kwao, wanajitafakari! Nyie sijui mnatokea wapi mnajifanya mashababi kuliko hata huyo Bashite mwenyewe. Tulizeni mishono kwanza hali itulie. Wenyewe walengwa wamekaa kimya nyie ndio mnajifanya palu paluuuuuuuu. Kuna mtu ana majibu ya shombo kama Bashite, umemsikia anainua mdomo wake kujibu hapa?
 
somo la civics litaendelea kuwa useless kama watu wataendelea kufundishwa kwa ajili ya kufaulia NECTA. Impact yake ndio hii ya kizazi kinachoweza kuandika paragraph za kulana kimasihara perfectly ila sio mstari mmoja wa vitu logical.
 
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.
Ni sawa na kumzuia Simba asitoke Serengeti, kwanza JPM ndio aliowazuia kutembea ovyo ovyo, siumemuona Kangi kwenda Romania tu ikala kwake
 
Afrika makini, inaundwa nà waafrika wenye umakini wa uthubutu wa kiafrika, haileti tija yoyote kuhatarisha usalama wa nchi kwa faida ya kushangaa maghorofa yao.
Faida ni hamna, gharama ni kubwa.
 
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.
Mtoto wake hakupandikizwa huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa mantiki ya katazo.

Nia ya katazo la Marekani ni kuonesha wanafahamu mambo maovu yanayoendelea humu nchini.
Mimi naona Mmarekani anajitekenya tuu, mtu maisha yake yote ameishi kwao hajawahi shoboka kwenda huko, eti leo unamkataza asiende.

Haina mantiki!

Mmarekani hajui kitu fulani kwamba, Africa katika watu ambao huwa hawanaga habari ya kwenda huko kwao na wanaishi kwenye dunia yao, na ndomana hata hatukuishobokea lugha yao kama Wakenya ni Tanzania.

Goin abroad kwa Watanzania si ishu, ndomana waishio huko from Tanzania ni wachache sana compared na nchi zingne za Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom