Nusu Fainali UCL: PSG anashinda leo, msiwe na wasiwasi

Tumeona
FB_IMG_16201860188160981.jpg
FB_IMG_16201860025869313.jpg
 
Leo ndio ile mechi pendwa imewadia, PSG vs Man City saa 4 usiku.

Kwa nyota, siku na tarehe ya leo vinaibeba sana PSG.

Hivyo PSG leo ataibuka na ushindi tena sio haba na kuwashangaza wengi.

Kwahyo kama wewe ni mzee wa mkeka tembea na PSG uje unishukuru baadae.
Asante sana bro. nilitembea na PSG jana.
 
Back
Top Bottom