Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Shikamoo Pacha. πππSisi wazee wa kubet ni kawaida sana huo utabiri,sio suala la kuotesha hapo π
Shikamoo Pacha. πππSisi wazee wa kubet ni kawaida sana huo utabiri,sio suala la kuotesha hapo π
Ahsante Mtani. ππhata mimi huwa nakukubali kwa utulivu wako mtani!
@Shadeeya
Hahahaaaa. Haya bana.Washabiki ws utopolo wangekuwa wastaarabu kama Shadeeya tungewabeba wapate nafasi ya kushiriki kimataifa
Ahsante Binamu. Japo leo ni siku niliyojifungia ndani tu. πππKaribu lau unywe juice
Kumbe ulikata tamaa mapema hivyo. Unajuaje pengine yale magoli yalirudishwa kama yalivyorudi kwenye ile mechi ya 2-2!? Kwani ushajua matokeo ya dakika tisini Shadeeya ?ππ€£ππ€£, maana kwa Yanga mpira haujaisha mpaka uishe.....chezea Chura churani weweπ€£π€£π€£Sikumbuki hata niliishia dakika ya ngapi. πππ
Toka tuu tulisha wasamehe.Ahsante Binamu. Japo leo ni siku niliyojifungia ndani tu. πππ
Tuliwashika pabaya eehπ€£?Mtani naona mmetuweza aisee.
Mzima?
Mimi mzima, Naomba mtuuzie MorrisonMtani naona mmetuweza aisee.
Mzima?
Mchukueni tu Mtani.Mimi mzima, Naomba mtuuzie Morrison
Au kayapanda dau?View attachment 1505527
Nadhani wako sahihi hao mana ameshakuwa kichefuchefu ndani ya klabu.Au kayapanda dau?View attachment 1505527
Tumebadili gia anganiMchukueni tu Mtani.
Ajue wana Yanga akituchukiza leo basi leo leo tunamtoa thamani.Mshamba huyu anajikuta n zaid ya messi
Mnabadilishaje wakati nyie ndo mmempa hiyo kibri.Tumebadili gia angani
Hatumtaki mechi yajana ilikuwa majaribio na kumpima Kama ana hadhi ya Kuchezea wana MsimbaziMnabadilishaje wakati nyie ndo mmempa hiyo kibri.
Ila nimejikuta namchukia tu.Hatumtaki mechi yajana ilikuwa majaribio na kumpima Kama ana hadhi ya Kuchezea wana Msimbazi