MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Namsikiliza hapa mbunge wa viti maalum Chadema Mh Nusrat Hanje akifanya mahojiano na moja ya idhaa za Kiswahili ya kimataifa.
Ameulizwa kama wao waliowachache bungeni wanaonaje uongozi wa spika kutoa nafasi kwa vyama vyote hasahasa upinzani bila upendeleo.
Hanje amemjibu mtangazaji kuwa "Ni muhimu kwa spika kuwasikiliza wabunge wote bungeni, hasahasa sisi 19, maana sisi tuko 19 humu ndani lakini tunawakilisha sauti za mamilioni ya upinzani Tanzania bara na visiwani" mwisho wa kunukuu.
Yapi maoni yenu wakuu.
Ameulizwa kama wao waliowachache bungeni wanaonaje uongozi wa spika kutoa nafasi kwa vyama vyote hasahasa upinzani bila upendeleo.
Hanje amemjibu mtangazaji kuwa "Ni muhimu kwa spika kuwasikiliza wabunge wote bungeni, hasahasa sisi 19, maana sisi tuko 19 humu ndani lakini tunawakilisha sauti za mamilioni ya upinzani Tanzania bara na visiwani" mwisho wa kunukuu.
Yapi maoni yenu wakuu.