BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 325
- 414
Makundi mbalimbali ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wakufunzi, bodaboda, Machinga, viongozi na wananchi waelezea Nuru ya Mafanikio ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi kifupi cha Mwaka Mmoja.
Katika Kongamano lililofanyika leo Jumamosi 26 Machi 2022 na Seneti ya Vyuo na vyuo vikuu Kuu Mkoa Mwanza na kuongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
Tazama vipande vya Video kuona Nuru ya Mafanikio ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika Kipindi cha Mwaka Mmoja wa Uongozi wake
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Katika Kongamano lililofanyika leo Jumamosi 26 Machi 2022 na Seneti ya Vyuo na vyuo vikuu Kuu Mkoa Mwanza na kuongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka.
Tazama vipande vya Video kuona Nuru ya Mafanikio ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika Kipindi cha Mwaka Mmoja wa Uongozi wake
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿