Nuru fm zanzibar inadhaminiwa na nani?

Ufunuo

JF-Expert Member
Jun 6, 2011
563
160
Wanajamvi nipo Zanziba kwa takribani mwezi sasa nimekua nikisikiliza redio moja ya hapa iitwayo NURU FM imekua na ajenda za uchochezi haswa suala la muungano, wamekua wakichukua vipande vya hotuba za viongozi wa SMZ na kurusha hewani na kutaka maoni ya watu, kweli ni fedheha ukisikia wachangiaji wanavyotukana viongozi wao, moja ya viongozi waliokashifiwa sana ni makamu wa pili wa REais SEIF ALLY IDD kwenye ufunguzi wa chaguzi za UVCCM hapa alitoa rai kwa asietaka serikali mbili ndani ya CCM arudishe kadi kwani hiyo ndo sera ya chama na kila mwana ccm anatakiwa aisimamie, michango iliyotoka hapo kwa alie znz anayajua in short ni shame mbaya zaidi mwongoza kipindi nae kuna upande anasimamia so akitokea anaesapoti serikali 2 anaambiwa asante na kukatiwa simu,

my take mauwaji ya genocide (halaiki) ya Rwanda yalichochewa na redio si muda wa kufumbia macho vitu kama hivi.
 
..huku Tanganyika wana gazeti lao linaitwa An-Nuur.

..70% ya habari za An-Nuur zinawahusu wa-ZNZ na chuki zao dhidi ya wa-Tanganyika.

..hili ni gazeti la uchochezi, lakini serikali haitaki kulifungia.
 
Wanajamvi nipo Zanziba kwa takribani mwezi sasa nimekua nikisikiliza redio moja ya hapa iitwayo NURU FM imekua na ajenda za uchochezi haswa suala la muungano, wamekua wakichukua vipande vya hotuba za viongozi wa SMZ na kurusha hewani na kutaka maoni ya watu, kweli ni fedheha ukisikia wachangiaji wanavyotukana viongozi wao, moja ya viongozi waliokashifiwa sana ni makamu wa pili wa REais SEIF ALLY IDD kwenye ufunguzi wa chaguzi za UVCCM hapa alitoa rai kwa asietaka serikali mbili ndani ya CCM arudishe kadi kwani hiyo ndo sera ya chama na kila mwana ccm anatakiwa aisimamie, michango iliyotoka hapo kwa alie znz anayajua in short ni shame mbaya zaidi mwongoza kipindi nae kuna upande anasimamia so akitokea anaesapoti serikali 2 anaambiwa asante na kukatiwa simu,

my take mauwaji ya genocide (halaiki) ya Rwanda yalichochewa na redio si muda wa kufumbia macho vitu kama hivi.
Natofautiana Nawe
1. Mwananchi anahaki ya kuamua aina ya muungano au kuukataa kabisa c kuburuzwa na CCM
2. Hiyo media iendelee kupinga upuuzi wa Nyinyiem
3. Sio kila kiongozi yupo sahihi na ni kutii kama Jeshini
 
Natofautiana Nawe
1. Mwananchi anahaki ya kuamua aina ya muungano au kuukataa kabisa c kuburuzwa na CCM
2. Hiyo media iendelee kupinga upuuzi wa Nyinyiem
3. Sio kila kiongozi yupo sahihi na ni kutii kama Jeshini
sijakataa maoni yao na wala siungi mkono madai ya Seif Idd bali msimamo wa redio na the way wanavyoendesha kipindi, ni kuchochea wananchi dhidi ya viongozi wao kama mtu anapiga simu na kusema makamu wa rais si mzanzibari ni kibaraka na mtangazaji anasema hayo ndio maoni ya wanzibari wenye masikio na wasikie ni sahihi? for sure hata mimi huu Muungano hata mimi siusapoti lakini haijafika mahali kutoa lugha za kashfa kwa kiongozi wa nchi tena redioni.
 
Back
Top Bottom