Ufunuo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 563
- 160
Wanajamvi nipo Zanziba kwa takribani mwezi sasa nimekua nikisikiliza redio moja ya hapa iitwayo NURU FM imekua na ajenda za uchochezi haswa suala la muungano, wamekua wakichukua vipande vya hotuba za viongozi wa SMZ na kurusha hewani na kutaka maoni ya watu, kweli ni fedheha ukisikia wachangiaji wanavyotukana viongozi wao, moja ya viongozi waliokashifiwa sana ni makamu wa pili wa REais SEIF ALLY IDD kwenye ufunguzi wa chaguzi za UVCCM hapa alitoa rai kwa asietaka serikali mbili ndani ya CCM arudishe kadi kwani hiyo ndo sera ya chama na kila mwana ccm anatakiwa aisimamie, michango iliyotoka hapo kwa alie znz anayajua in short ni shame mbaya zaidi mwongoza kipindi nae kuna upande anasimamia so akitokea anaesapoti serikali 2 anaambiwa asante na kukatiwa simu,
my take mauwaji ya genocide (halaiki) ya Rwanda yalichochewa na redio si muda wa kufumbia macho vitu kama hivi.
my take mauwaji ya genocide (halaiki) ya Rwanda yalichochewa na redio si muda wa kufumbia macho vitu kama hivi.