Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Wapendwa mim nawasaidia watu ambao wapo bize na kazi zao na wanatamani wajiingize kwenye kilimo, nipm tufanye mawasilia. VILEVILE kipindi hiki mikoa mingi wanavuna hivyo mazao ni bei rahisi sana mahind 1kg tsh.300 hadi 500 ,mpunga 1kg tsh.500 hadi 800, ufuta 1kg tsh.2500 hadi 3500,maharage 1kg tsh.1500 hadi 2000 karanga, ulezi, mtama, mbaazi, mihogo N.K, kama unapenda kununua mazao ili uweze kuyauza wakati soko likiwa vizuri, mi nipo nipm tufanye mawasiliano nitakununulia kadri ya hela yako na malipo yangu tunakubaliana tu haina shida.. nitayafuata mazao mikoani ambako ni rahisi kupatikana.. KARIBU