Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Wadau, mimi nawasaidia wale ambao wanataka kufanya shughuli za kilimo lakini wapo bize na kazi zao nipm tuwasiliane. Lakini pia muda huu ni mzuri kununua mazao kwa sababu mikoa mingi wanavuna, bei ya mazao ni rahisi sana.
Mahindi 1kg tsh.300 hadi 500, mpunga 1kg tsh.500 hadi tsh.800, ufuta 1kg tsh.2500 hadi tsh.3500, maharage 1kg tsh 1500 hadi tsh.2000, karanga, mtama, mihogo n.k.
Kama unapenda kununua kipindi hiki ili uuze kipindi soko likiwa vizuri nipm tuwasiliane. malipo yangu tunakubaliana tu wala haina shida tena nitayafuata mazao mikoani huko.
Karibu.
Mahindi 1kg tsh.300 hadi 500, mpunga 1kg tsh.500 hadi tsh.800, ufuta 1kg tsh.2500 hadi tsh.3500, maharage 1kg tsh 1500 hadi tsh.2000, karanga, mtama, mihogo n.k.
Kama unapenda kununua kipindi hiki ili uuze kipindi soko likiwa vizuri nipm tuwasiliane. malipo yangu tunakubaliana tu wala haina shida tena nitayafuata mazao mikoani huko.
Karibu.