Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

kila bidhaa itakua na bei yake ya kusafirisha??
SAhihi
Sababu kila bidhaa itakuwa na uzito wake.
- Mfano iwapo utaagiza saa uzito wake ni chini ya 0.2kg
- Ila kama ni laptop uzito wake ni zaidi ya 2.5kg
Hivyo kila bidhaa itakuwa na gharama yake ya kusafirishia.
 
Mchongo unakuwa je?
1563937196945.png

Muuzaji hatumi Tanzania
- Angalia aliexpress waweza kupata.
 
Nilitaka kuagiza laptop kutoka UK.
Ni gharama zaidi kuagiza nje ya nchi kwa laptop, ukilinganisha na bei za wauzaji hapa nchini.
Ni vyema ukanunua hapa hapa nchini.
Ila iwapo toleo unalohitaji halipatikani kabisa nchini basi tutaaagiza.

Ingia www.ebay.co.uk na tafuta hapo model unayohitaji
 
So why nimevamia hapa maana aliexpress, banggood na Gearbest hamna hayo makitu.
Amazon hawatumi pia
Kama hamna namna ya kunisaidia Weka link au Niambie utani charge ngapi?
Hadi Dar ni TZS. ‭65,880‬,
Ukiwa tayari kwa malipo nijulishe.
 
78 Reactions
Reply
Back
Top Bottom