Wapigaji hao wenye link hizo.
Ebay wapigaji wengi sio kwamba wote wahuni ko umakini wako unapona bidhaa bei iko chini sana na ukilipia tu wanaondoa bidhaa.
bei gani bongo mpya?Mkuu bora nikanunue hizi huku bongo, mana ni mpyalkn bei iko chini ya hapo.
Nilifikiri nikiagiza naweza save
1.25mbei gani bongo mpya?
😂😂😂😂😂😂 acha utani1.25m
Naendelea kujifunzacc: Invisible ,
Nimepokea ushauri wako ndugu a4apple
Hili nalitambua.
Kwa miaka mitatu nimekuwa nikiwahudumia wadau bila ya kuwa na official Thread, Ndipo nikaona ni vyema kuwa na thread ya rejea.
Uaminifu kwangu ni msingi wa huduma
Changamoto za TRA nazifahamu.
Pia huwa nawashauri wateja wa nini cha kufanya ili kuepukana na hizi changamoto
Hili ni kweli.
Hasa wanapo Uplift item price kutoka ile uliyonunulia na wao kuweka yakwao.
Nimetolea maelezo kidogo kwenye hii link.
>> Kukatwa kodi kwa mizigo
Wakati wowote ukihitaji msaada wangu nakukaribisha.
KARIBU
Asante ntakua na maswali kwenye kodi na mengine yatafuata ngoja kwanza niusome uzi wako mara kadhaaKaribu
Iwapo utakuwa naswali waweza kuuliza na utapewa ufafanuzi.
Maelezo yako vizuriBAADHI YA TOVUTI ZITAKAZOTUMIKA KUNUNUA BIDHAA
Ziko tovuti nyingi, siwezi orodhesha zote, baadhi ninazopendekeza ni kama AMAZON & EBAY ( Bila kujali .com, .in au .uk )
EBAY
AMAZON
UAE (DUBAI & ABUDHABI )
SOUQ
ALSHOP
CHINA
View attachment 496445
Masoko mengine kwa china ni kama ALIEXPRESS, ALIBABA n.k
JE NITAUPATA VIPI MZIGO WANGU BAADA YA KUWA UMEFIKA TANZANIA?
- Utapigiwa simu kukujulishwa kuwa mzigo wako umefika.
- Utaletewa ofisi kwa wale wanaoishi katikati ya jiji ya Dar es salaam, FREE DELIVERY. au
- Utaelekezwa mahala unatakiwa ufike ili uchukua mzigo - Ni city centre kwa walio Dar es salaam, Waweza kuja wewe mwenye au ukamtuma mtu akuchukulie.
- Kwa walio mikoani au nje ya Tanzania utatumiwa kwa njia ya EMS au kwa njia ya basi kwa kadri wewe utakavyo pendekeza njia ipi itumike – Utalipia hii ghalama.
Mifano hai:
1. Mteja Toka nje ya TZ (anaishi DRC) – Bidhaa yake imetoka China, Na alitumia kwa basi kwenda DRC.
2. Mteja ndani ya TZ anaishi Mkoani – Bidhaa yake imetoka UK
Wateja wote nimekutana nao hapa JF na hakuna tuliye onana ana kwa ana, Zaidi ya njia za mawasiliano tajwa hapo juu.
ANGALIZO
1. Usifanye malipo yeyote bila kuwasiliana nami kwanza, Kwa njia mojawapo ya mawasiliano tajwa hapo juu.
2. Haito tokea kupigiwa simu, au kuandikiwa ujumbe mfupi, kuwa fanya malipo kwenda namba Fulani ya simu.
3. Hakuna malipo yeyote yatakayofanyika kwa fedha taslimu kwa kukabidhiana mkononi.
4. Malipo yote ya fedha yatafanyika kwa utaratibu uliowekwa hapo juu.
5. Miongoni mwetu kuna wenye uoga na mawazo ya kuibiwa/ kutapeliwa pindi lijapo swala la fedha na swala zima la manunuzi mtandaoni.
Yaani kutuma fedha kwa mtu usie mfahumu/ kumuona/ asiye na ofisi mahala ulipo.
Na hujibainisha kwa haya maswali Ofisi yako iko wapi? , Uko wapi nataka nikukabidhi fedha mkononi au nataka tuandikishiane!
- ONDOA shaka, kwa kufuata taratibu zilizo ainishwa hapo juu, uko salama, Na bidhaa yako AU huduma utakayolipia utaipata.
- Iwapo UNA SWALI, PENDEKEZO au USHAURI wasiliana namI au andika kwenye hii thread.
KARIBU
Hatimae nimeupata mzigo wangu shukrani sana Mkuu.Karibu
Iwapo utakuwa naswali waweza kuuliza na utapewa ufafanuzi.
Bei haina uhalisia.CANON PIXMA MG5750 All-in-One Wireless Inkjet Printer - Currys | eBay
Hii mpaka inifikie mbeya itagharimu kiasi gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
Online Shop Original Phone Nokia lumia 1020 Windows phone 2GB 32GB Camera 41MP GPS Wifi 4.5 inch Screen Unlocked Lumia 1020 mobile phone | Aliexpress Mobile
Naomba uniangalizie hiyo mkuu, bei ya mpka mkononi.