Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

cc: Invisible ,
Nimepokea ushauri wako ndugu a4apple

Hili nalitambua.
Kwa miaka mitatu nimekuwa nikiwahudumia wadau bila ya kuwa na official Thread, Ndipo nikaona ni vyema kuwa na thread ya rejea.
Uaminifu kwangu ni msingi wa huduma

Changamoto za TRA nazifahamu.
Pia huwa nawashauri wateja wa nini cha kufanya ili kuepukana na hizi changamoto

Hili ni kweli.
Hasa wanapo Uplift item price kutoka ile uliyonunulia na wao kuweka yakwao.
Nimetolea maelezo kidogo kwenye hii link.
>> Kukatwa kodi kwa mizigo

Wakati wowote ukihitaji msaada wangu nakukaribisha.

KARIBU
Naendelea kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAADHI YA TOVUTI ZITAKAZOTUMIKA KUNUNUA BIDHAA

Ziko tovuti nyingi, siwezi orodhesha zote, baadhi ninazopendekeza ni kama AMAZON & EBAY ( Bila kujali .com, .in au .uk )


EBAY
EBAY.png


AMAZON
AMAZON.png


UAE (DUBAI & ABUDHABI )

SOUQ
SOUQ.png

ALSHOP
alshop2.png


CHINA
View attachment 496445


ETOTALK_COM.png

Masoko mengine kwa china ni kama ALIEXPRESS, ALIBABA n.k


JE NITAUPATA VIPI MZIGO WANGU BAADA YA KUWA UMEFIKA TANZANIA?
- Utapigiwa simu kukujulishwa kuwa mzigo wako umefika.

- Utaletewa ofisi kwa wale wanaoishi katikati ya jiji ya Dar es salaam, FREE DELIVERY. au

- Utaelekezwa mahala unatakiwa ufike ili uchukua mzigo - Ni city centre kwa walio Dar es salaam, Waweza kuja wewe mwenye au ukamtuma mtu akuchukulie.

- Kwa walio mikoani au nje ya Tanzania utatumiwa kwa njia ya EMS au kwa njia ya basi kwa kadri wewe utakavyo pendekeza njia ipi itumike – Utalipia hii ghalama.

Mifano hai:

1. Mteja Toka nje ya TZ (anaishi DRC) – Bidhaa yake imetoka China, Na alitumia kwa basi kwenda DRC.
MTEJA_DRC_congo.png


2. Mteja ndani ya TZ anaishi Mkoani – Bidhaa yake imetoka UK
mtwala.png
mtwala2.png

Wateja wote nimekutana nao hapa JF na hakuna tuliye onana ana kwa ana, Zaidi ya njia za mawasiliano tajwa hapo juu.

ANGALIZO

1. Usifanye malipo yeyote bila kuwasiliana nami kwanza, Kwa njia mojawapo ya mawasiliano tajwa hapo juu.

2. Haito tokea kupigiwa simu, au kuandikiwa ujumbe mfupi, kuwa fanya malipo kwenda namba Fulani ya simu.

3. Hakuna malipo yeyote yatakayofanyika kwa fedha taslimu kwa kukabidhiana mkononi.

4. Malipo yote ya fedha yatafanyika kwa utaratibu uliowekwa hapo juu.

5. Miongoni mwetu kuna wenye uoga na mawazo ya kuibiwa/ kutapeliwa pindi lijapo swala la fedha na swala zima la manunuzi mtandaoni.

Yaani kutuma fedha kwa mtu usie mfahumu/ kumuona/ asiye na ofisi mahala ulipo.
Na hujibainisha kwa haya maswali Ofisi yako iko wapi? , Uko wapi nataka nikukabidhi fedha mkononi au nataka tuandikishiane!

- ONDOA shaka, kwa kufuata taratibu zilizo ainishwa hapo juu, uko salama, Na bidhaa yako AU huduma utakayolipia utaipata.

- Iwapo UNA SWALI, PENDEKEZO au USHAURI wasiliana namI au andika kwenye hii thread.

KARIBU
Maelezo yako vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom