Nunda (8) -- Mwalimu eti moyo una miguu ?

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Nunda akiwa darasani na mwalimu wake aitwae Jeni akiwa katika kufundisha somo la sayansi ya baiolojia juu ya mzunguko wa damu moyoni ,ghafla Nunda alinyanyua mkono na kusema anasuali anataka kuulizah !
Mwalimu akampa ruhusa ya kuuliza.

Nunda :- Eti Mwalimu moyo una miguuu ??

Mwalimu huku ikiwa ameshangaa na suali hilo: Kajibu kwa suala kwa nini umeuliza hivyo Nundaa ?

Nunda :- Kwa sababu jana nilisikia Baba akiwa chumbani akisema sweetheart fungua miguu yako :becky:
 
Nunda akiwa darasani na mwalimu wake aitwae Jeni akiwa katika kufundisha somo la sayansi ya baiolojia juu ya mzunguko wa damu moyoni ,ghafla Nunda alinyanyua mkono na kusema anasuali anataka kuulizah !
Mwalimu akampa ruhusa ya kuuliza.

Nunda :- Eti Mwalimu moyo una miguuu ??

Mwalimu huku ikiwa ameshangaa na suali hilo: Kajibu kwa suala kwa nini umeuliza hivyo Nundaa ?

Nunda :- Kwa sababu jana nilisikia Baba akiwa chumbani akisema sweetheart fungua miguu yako :becky:

duuu! hiyo noma
 
Nunda akiwa darasani na mwalimu wake aitwae Jeni akiwa katika kufundisha somo la sayansi ya baiolojia juu ya mzunguko wa damu moyoni ,ghafla Nunda alinyanyua mkono na kusema anasuali anataka kuulizah !
Mwalimu akampa ruhusa ya kuuliza.

Nunda :- Eti Mwalimu moyo una miguuu ??

Mwalimu huku ikiwa ameshangaa na suali hilo: Kajibu kwa suala kwa nini umeuliza hivyo Nundaa ?

Nunda :- Kwa sababu jana nilisikia Baba akiwa chumbani akisema sweetheart fungua miguu yako :becky:

hahaha! umetisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom