Nunda (14) Nunda amdondokea mwalimu wake wa darasa.

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Mwalimu wakike ambae alikuwa na sura nzuri na umbo la kuvutia ambae alikuwa kadogokadogo tu hata hajaolewa, alimwacha Nunda hoi kiasi Nunda alikuwa hafanyi vizuri katika matokea ya majaribio na mitihani.

Siku moja mwalimu aliamua kumwita Nunda pembeni :

Mwalimu wa kike ; Nunda mbona siku hizi matokeo yako sio mazuri darasani ?

Nunda ; Ah mwalimu siku hizi napenda nimemdondokea mtoto si wa kawaidah.
Mwalimu huku akikaribia kucheka kwani Nunda laikuwa ni mdogo sana sana na aliona leo ni kioja na jambo la kuchekesha.

Mwalimu wa kike ; Umempenda nani tena ,eei Nunda nani huyo uliempenda ?
Nunda ; si mwengine ila weweh.
Duh mwalimu kaona leo makubwa kwa kutumia lugha nyepesi na ya kumtuliza Nunda .

Mwalimu:Nunda huoni kama bado wewe ni mwanafunzi tena darasa la tatu ,kweli mimi sijaolewa na natamani siku moja nami niwe na mumwe wangu na natamani sana sio lakini sitaki mtoto.

Nunda kwa kujiamini:confused2:

Nunda ; Ohoo mwalimu nawe ,usiwe na wasiwasi kabisa nitatumia kondomu :becky:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom