SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
Tafadhili mwenye hio number au mawasiliano au njia yeyote ya kuweza kufika kwa TB joshua (SCOAN) anisaidie
Mnaija Huyu anapiga pesa kirahisi sana. Kuna ndungu yangu alifunga safari kwa bwana huyu isee matatizo yako unaweza pata ufumbuzi hapa hapa, povu ruksaTafadhili mwenye hio number au mawasiliano au njia yeyote ya kuweza kufika kwa TB joshua (SCOAN) anisaidie
Huhitaji kupitia kwa mtu kumfikia bwana muumba wako,maana yu karibu nawe kuliko nywele zako,safisha nafsi yako na msifu na kumhimidi kwa majina yake makuu.
Tafadhili mwenye hio number au mawasiliano au njia yeyote ya kuweza kufika kwa TB joshua (SCOAN) anisaidie
Acheni utapeli washenxi nyie0754070315
0712455951
0683070000
Acheni utapeli washenxi nyie
Huhitaji kupitia kwa mtu kumfikia bwana muumba wako,maana yu karibu nawe kuliko nywele zako,safisha nafsi yako na msifu na kumhimidi kwa majina yake makuu.[/QUOT
hata mimi zamani nilikua nakakiburi kama wewe nikawa najua hivyo, na nilikua nimejikita kwenye kufatilia mambo ya freemason, illuminat nikajiona najua then baadae ndio nikajua POWER PASS POWER my friend
Tafadhili mwenye hio number au mawasiliano au njia yeyote ya kuweza kufika kwa TB joshua (SCOAN) anisaidie
Hayo maelekezo akupe bure hiyo kodi ya pango benjamin mkapa unamlipia wewe? Huyo T.B Joshua si ajabu yupo chooni anakunya muda huu, wewe ndie unataka ukamwamudu? IdiotDU kwahio hapo nilitaka nipigwe, halafu hawajui mi sitoi hela ticket nakata mwenyewe na lagos naingia mwenyewe nataka maelekezo tu Da hawa watanzania kweli magumashi
Hivi hata humu kuna watu vichwa ngumu kama huyu mtoa post!!
Mtaliwa sana tu... matapeli wa bongo umewachoka sasa unawapelekea wa-nigeria pesa! Tena kwa nauli yako, chakula chako, malaz ya kwako, nk. Yaani ungekuwa karibu ningekunasa kibao, maana nazidi tu kupata hasira.
Hayo maelekezo akupe bure hiyo kodi ya pango benjamin mkapa unamlipia wewe? Huyo T.B Joshua si ajabu yupo chooni anakunya muda huu, wewe ndie unataka ukamwamudu? Idiot