Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
Hilo alilizungumza kwenye kikao cha ndani akiwa na WAKURUGENZI.Mwenyekiti video link ya Magufuli akiwaagiza wakurugenzi wasiwapitishe wapinzani hata wakishinda, naomba anisaidie
Mchu. mba mbona humfagilii makonda siku hizi!! Kulikoni?Napenda sana kusoma juu ya Rais wetu mpendwa.. ni Rais Jembe haswaaa.. amevunja historia nchini kwa kusikilizwa na wana CCM wengi, pamoja na Wapinzani.. tena hao kizaidi.. Chaguo la Mungu..
Hii alisema imesaidia sana wanchi kuacha uvivu na kujitambua na kufurahia maisha yao ya kuishi kama binadamu.. usipo fanya kazi na usile
💚💛💚💛💚💛 💯
Magufuli oyeeeee
Dr Magufuli ni chaguo la Mungu!
Fanyeni kazi tetemeko halikuletwa na serikali.
Mwandishi: Nje na siasa, kitu gani kingine unapendelea?
Rais: Unataka nikwambie nakupenda wewe?
🤣🤣🤣 Jibu muruaMwandishi: Nje na siasa, kitu gani kingine unapendelea?
Rais: Unataka nikwambie nakupenda wewe?