The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,153
- 51,042
"Sukuma ndani"
Mkuu hii ni uongo ktk utawala huu hakuna aliyewahi kuitamka aisee"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people. "
Duuh acha fiksiKatika kampeni kule kilombero mheshimiwa baada ya kuchanganyikiwa kutokana na mafuriko ya mabadiliko mara PushUps mara Magufuli for Change(M4C) basi siku ya kampeni ikawa hv.
Wapiga kura; Ndugu mgombea ukiwa Raisi na sisi huku Kilombero tunataka utuletee Bahari km ile ya DSM
Magu; Niwaahidi tu ndugu zangu wa Kilombero mkinichagua kuwa Raisi wenu na Mungu ananiona maana msemakweli ni mpenzi wa Mungu,Nasema hiviiii,BAHARI NITALETAAAAAAA..
Wapiga kura; Makofi Papapapappaapapa.
Wanawashwa washwaWanagongwa gongwa!
Mkuu sio fiksi aisee kipindi kile mzee baba alipagawa aisee mpaka akawaahidi kuwapelekea bahari watu wa KilomberoDuuh acha fiksi
Hahahahaaaa jamaa mtemi balaahauwezi kunijibu mimi hivyo wewe.
Afu wakati huohuo anasaka vyeti feki na kuwatimuaMimi siangalii elimu ya mtu, kama anachapa kazi nitamteua tu.
Saddam Hussein ni rais wa kuwait
'Kipigo chake kitakua ni cha mbwa kokoo'Watapata tabu sana